MARAFIKI WOTE_OMARY MKALI & CHUCHU SOUND

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 сер 2024
  • OMARY MKALI & CHUCHU SOUND

КОМЕНТАРІ • 88

  • @user-uo6eb4wf7m
    @user-uo6eb4wf7m 4 місяці тому +6

    leo ninausikiliza huu wimbo tarehe 10 march 2024

  • @bigmzazee2961
    @bigmzazee2961 11 днів тому +2

    niko hapa 2024 18 august tufurahie maisha jaaman maisha yanaenda mbelee

  • @Ramadhaniomary-kr3le
    @Ramadhaniomary-kr3le 2 місяці тому +1

    Mungu muweke pema peponi mau Santiago rapa chuchu

  • @ismailhanya2327
    @ismailhanya2327 3 дні тому

    Aug 26 2024 Hatar saana!!!watu walifanya kazi ambazo zinaendelea kuishi💪💪💪

  • @ABDULRAHIMMAKAKA
    @ABDULRAHIMMAKAKA 8 днів тому

    Nauskiliza huu Wimbo leo tarehe 21 August 2024

  • @MartinSwai
    @MartinSwai Місяць тому +1

    Leo Julai 4 2024 ikiwa ni birthday yangu pia, wapi Aboubacary Sadiq na kati ya radio one ilikuwa balaa kwenye dj show na wikiend show

  • @hamzaahmed69
    @hamzaahmed69 4 дні тому

    Ama kwa hakika chuchu walijua kutupa burudani ya Aina yake mwaka 2001 ilikua hatari Sana omari mkali alikua juu sana

  • @athumanhmagoma4453
    @athumanhmagoma4453 8 днів тому

    Huu wimbo haushi hamu ni balaa mzee omary mkali sijaziona nyimbo za pam sound nakumbuka ulikua matata sana pale siza lion hotel,kijiweni nambuka nilikuwepo siku marehemu rukia mcheza shoo alipoolewa na muuimbaji mmoja sikumbuki jina mkawapigia mziki wapi jonico flawa maua

  • @sadikiyusufu1048
    @sadikiyusufu1048 4 роки тому +5

    Hakunaga tena kama hz nw tunaimbiwa nyimbo za kukimbilia jogging

  • @muhibuadinani5245
    @muhibuadinani5245 9 місяців тому +1

    Daah Namkumbuka Dj Makei na Sister Farida ndani East Africa Radio kila ijumaa miaka ya 2001 siyo mchezo

    • @MartinSwai
      @MartinSwai Місяць тому

      Farida alishaded

    • @SAMJIKASSIM
      @SAMJIKASSIM 17 днів тому

      sista farida, daah kitambo sana

  • @ansilaulotu7178
    @ansilaulotu7178 5 років тому +7

    Omary Mkali Mtoto wa Soko Matola Mbeya, mtoto wa Mzee Mkakile

  • @ramadhanimadoweka6458
    @ramadhanimadoweka6458 7 років тому +12

    Hizi nyakati zitarudi kweli? naukubali sana wimbo huu

    • @paulnyingo7316
      @paulnyingo7316 7 років тому +2

      wapi Gaby katanga na Mao santiago

    • @paulnyingo7316
      @paulnyingo7316 7 років тому +3

      joniko flower hatari

    • @yusuphbalali9037
      @yusuphbalali9037 6 років тому +2

      Ramadhani Madoweka Zi rudi wapi? ndg yangu Ramadhani Madoweka.

    • @salummohammed9121
      @salummohammed9121 6 років тому +1

      Natafutia sauti nzurii kma hizi aaaaaa ewe acha tuu

    • @davidjulius9032
      @davidjulius9032 6 років тому +1

      Paul Nyingo #paul Nyingo ukumbuki kama Gabi Katanga alishafariki kitambo sana!?

  • @Dukeduncan010
    @Dukeduncan010 7 років тому +8

    haitatokea ramadhan madoweka ilikuwa nuksi hatariiii

  • @kaisarimbisso7579
    @kaisarimbisso7579 4 роки тому +2

    Omary Mkali ni kipajo Cha juu kilichosahaulika. Kama Mwinjuma Muumini, ni watu muhimu hawa kwa muziki wetu. Tuwatunze

  • @hakunamatata8065
    @hakunamatata8065 7 років тому +7

    dah kipindi chuchu ipo juu na mwanangu papii kocha na band yake Fm academia wapo juu vibaya sana

  • @sophiamgoto7310
    @sophiamgoto7310 7 років тому +10

    huu wimbo naupenda sana...asante kwa kutuwekea humu.

  • @sunriseradiotz
    @sunriseradiotz 6 років тому +5

    balaa....watu wenye muziki wao walifanya kazi bana...............baraka sunga hapa, Arusha ni moto!.

  • @davidjulius9032
    @davidjulius9032 6 років тому +6

    Kuna mtu hapo anitwa #King Jiovann ni sheeda

    • @franklyimo577
      @franklyimo577 4 роки тому

      dah sawa kabisa wachache sana walikuwa wanaelewa gitaa lake la solo, na ndio alikuwa kiongozi wa bendi ya chuchu sound

  • @malickkasuga7435
    @malickkasuga7435 3 роки тому +3

    Nasikiliza 2021 nyimbo tamuu sanaa

  • @lucasrobertlukindo1624
    @lucasrobertlukindo1624 5 років тому +4

    Rip Gabby Katanga man rasco hapa arusha

  • @paulkapalata
    @paulkapalata 4 роки тому +3

    Jamani jamani jamaniiii 😭😭😭 nyakati hizi kamwe hazitajirudia tenaaaa!!!!!

  • @meshacklucas8089
    @meshacklucas8089 3 роки тому +3

    RIP gabi katanga &rapa matata mao Santiago....sijui jonico flower yupo wapi

  • @allynayomo485
    @allynayomo485 5 років тому +4

    King jovan alikuwa anapiga solo

    • @ansilaulotu7178
      @ansilaulotu7178 5 років тому

      Gabby Katanga? Drums alipiga nani?

    • @allynayomo485
      @allynayomo485 5 років тому

      @@ansilaulotu7178 marehemu gabby katanga alipiga drums huyu alikuwa mmasai

    • @norbertsongo9060
      @norbertsongo9060 5 років тому

      King Giovanni aliimba tu, wameimba watu watatu tu uyo anaemfata mau ndo Giovanni

  • @athumanhmagoma4453
    @athumanhmagoma4453 5 років тому +3

    Hii dedication kwa Mdogo wangu tulikua waudhuriaji wazuri pale ukumbi wa sinza kijiweni about 18 years past hataee

    • @erasmusshauritanga4444
      @erasmusshauritanga4444 5 років тому

      Ok ok unamaanisha Imasco center Kumekucha au Vatican City hotel.

    • @alliemboya4150
      @alliemboya4150 5 років тому

      Kweli kabisa wimbo ulitoka 2001, enzi hizo nipo darasa la sita...ila ujumbe wake unaishi mbaka leo

  • @chilledpalangale9628
    @chilledpalangale9628 5 років тому +4

    chuchu sound daaa ktambo sanaaaa

  • @mjusega3611
    @mjusega3611 3 роки тому +1

    those good old days wayback nikiwa handsome boy kinoma nilitesa sana wanawake but now nimekua babu. 2000 minaki sekondari kisarawe

  • @FRANKMWOMBEKI
    @FRANKMWOMBEKI 4 роки тому +2

    Dj chalz. Africa Bambaataa. The way alivyokuwa anaumix hataree na nusu

  • @allenmarco9320
    @allenmarco9320 5 років тому +2

    aaaah bwana chuchu umerudi tenaaaa rudi tenaaaaa............. nimemiss sana hawa jamaaaaa walikua na burudaniiii safiiiiiiiiii

    • @tatumohamed399
      @tatumohamed399 5 років тому

      Allen Marco kama unanipenda nenda kwa baba ukatoe ng'ombe tuishi kama mke na mume. Mambo ya chuchu sound hayo

    • @allenmarco9320
      @allenmarco9320 5 років тому

      @@tatumohamed399 nimekupenda bureeee nitafuteeee 0718575251

  • @jameskarata9451
    @jameskarata9451 Рік тому

    Kutoka lushoto Tanga Tanzania hii nyimbo naisikiliza leo tarehe 26/10/2022

  • @fridajosephyusif4364
    @fridajosephyusif4364 3 роки тому +3

    Rip mao santiago

  • @dicksonchilalile
    @dicksonchilalile 5 років тому +11

    R.I.P Gabby katanga

  • @obeydmwemezi3663
    @obeydmwemezi3663 Рік тому +1

    2022...tuppo happpppppper😍

  • @rashidibrahimshemlugu7845
    @rashidibrahimshemlugu7845 5 років тому +3

    gabii katanga yeroo masai

  • @kelvinmrope4620
    @kelvinmrope4620 4 роки тому +1

    Kulikuwa na mutu mubaya mutu wa kazi Gabii Katanga drums

  • @dickinsonkessy3893
    @dickinsonkessy3893 4 роки тому +2

    huu ulikua moto sio mchezo jiji lilizizima maana kailifanyika hapo kunamtu anaitwa GABBY KATANDA alikua kwenye drum hatariiiiiii

  • @GeofreyMwechiwe-my3sh
    @GeofreyMwechiwe-my3sh Рік тому

    namkumbuka dj ommy ndani ya redio one alikua anapiga sikuya ijuma

  • @deocresemmanuel5763
    @deocresemmanuel5763 4 місяці тому

    wimbo waga hauchuji.mzuri sana kweli wakongo walikuwa wapo vyema.omary mkali yupo wapi siku hizi?

  • @Atb300
    @Atb300 Рік тому +1

    2023 ❤❤

  • @sunriseradiotz
    @sunriseradiotz 5 років тому +1

    khatari!....

  • @RollenLyimo-ph6wx
    @RollenLyimo-ph6wx 11 місяців тому

    Chuma NI fire iyo

  • @rashidmbelikwe4433
    @rashidmbelikwe4433 Рік тому

    Mziki mzuri chuchu sound 2001

  • @chilompadimoso1710
    @chilompadimoso1710 4 роки тому +3

    Hakuna kama chuchu Sound ilikuwa sio mchezo kulala nje kawaida tu

  • @khalidvova6601
    @khalidvova6601 7 років тому +6

    wacha bambino sound wacha extra bongo na bendi kadhaa tukiongelea mkusanyiko hatar wa wasanii wakali waliodumu muda mfupi chuchu sound inashika hatam ilikuwa balaa hawa jamaa kuanzia saut vyombo na mpangilio mzima wa mziki...hapana tutawakumbuka kwa muda mref ujao!

    • @franklyimo577
      @franklyimo577 4 роки тому +1

      your very right Khalid, na ni wachache sana walitambua uwezo mkubwa wa chuchu sound, haikudumu kwa muda mrefu, bahati nzur zote nilibahatika kuziona but chuchu sound ulikuwa huwez kufananisha na bambino wala na extra bongo

  • @thadeiandrea877
    @thadeiandrea877 2 роки тому

    Bungoni msipasahau ndio ukumbi wao imasko

  • @feruzihassan8387
    @feruzihassan8387 7 років тому +4

    hakika chuchu hakuna tenaaaaaa,wapi mausantiago?

  • @peteronono9618
    @peteronono9618 7 днів тому

    Hautakuja kupigwa tena mziki mzuri kama huo Mao Santiago,omari mkali,yusuph chuchu,mangostino,waziri sonyo ,Gabby Katanga,joniko flower (maua)all time heshima kwenu.

  • @maujamadary
    @maujamadary Рік тому

    Nomaaaaa

  • @modestsharia7127
    @modestsharia7127 Рік тому

    Max bar ilala King Johvan sikia mkono huo!

  • @saidishebuge4796
    @saidishebuge4796 6 років тому +3

    Dah ilikua hatar sana enzii hii

  • @thadeiandrea877
    @thadeiandrea877 2 роки тому

    Ukumbi wao imasko bungoni simchezo yani nilikua sikosi

  • @fredyshayo5345
    @fredyshayo5345 Рік тому

    Hiyo T shirt ya FUBU ilikuwa balaa sana 😅

  • @muhibuadinani5245
    @muhibuadinani5245 9 місяців тому

    Daah Namkumbuka Dj Makei na Sister Farida ndani East Africa Radio kila ijumaa miaka ya 2001 siyo mchezo