Huu wimbo haushi hamu ni balaa mzee omary mkali sijaziona nyimbo za pam sound nakumbuka ulikua matata sana pale siza lion hotel,kijiweni nambuka nilikuwepo siku marehemu rukia mcheza shoo alipoolewa na muuimbaji mmoja sikumbuki jina mkawapigia mziki wapi jonico flawa maua
wacha bambino sound wacha extra bongo na bendi kadhaa tukiongelea mkusanyiko hatar wa wasanii wakali waliodumu muda mfupi chuchu sound inashika hatam ilikuwa balaa hawa jamaa kuanzia saut vyombo na mpangilio mzima wa mziki...hapana tutawakumbuka kwa muda mref ujao!
your very right Khalid, na ni wachache sana walitambua uwezo mkubwa wa chuchu sound, haikudumu kwa muda mrefu, bahati nzur zote nilibahatika kuziona but chuchu sound ulikuwa huwez kufananisha na bambino wala na extra bongo
Hautakuja kupigwa tena mziki mzuri kama huo Mao Santiago,omari mkali,yusuph chuchu,mangostino,waziri sonyo ,Gabby Katanga,joniko flower (maua)all time heshima kwenu.
leo ninausikiliza huu wimbo tarehe 10 march 2024
niko hapa 2024 18 august tufurahie maisha jaaman maisha yanaenda mbelee
Mungu muweke pema peponi mau Santiago rapa chuchu
Aug 26 2024 Hatar saana!!!watu walifanya kazi ambazo zinaendelea kuishi💪💪💪
Nauskiliza huu Wimbo leo tarehe 21 August 2024
Leo Julai 4 2024 ikiwa ni birthday yangu pia, wapi Aboubacary Sadiq na kati ya radio one ilikuwa balaa kwenye dj show na wikiend show
Ama kwa hakika chuchu walijua kutupa burudani ya Aina yake mwaka 2001 ilikua hatari Sana omari mkali alikua juu sana
Huu wimbo haushi hamu ni balaa mzee omary mkali sijaziona nyimbo za pam sound nakumbuka ulikua matata sana pale siza lion hotel,kijiweni nambuka nilikuwepo siku marehemu rukia mcheza shoo alipoolewa na muuimbaji mmoja sikumbuki jina mkawapigia mziki wapi jonico flawa maua
Hakunaga tena kama hz nw tunaimbiwa nyimbo za kukimbilia jogging
Daah Namkumbuka Dj Makei na Sister Farida ndani East Africa Radio kila ijumaa miaka ya 2001 siyo mchezo
Farida alishaded
sista farida, daah kitambo sana
Omary Mkali Mtoto wa Soko Matola Mbeya, mtoto wa Mzee Mkakile
Hivi Omary mkali ni mtu wa Mbeya
Hizi nyakati zitarudi kweli? naukubali sana wimbo huu
wapi Gaby katanga na Mao santiago
joniko flower hatari
Ramadhani Madoweka Zi rudi wapi? ndg yangu Ramadhani Madoweka.
Natafutia sauti nzurii kma hizi aaaaaa ewe acha tuu
Paul Nyingo #paul Nyingo ukumbuki kama Gabi Katanga alishafariki kitambo sana!?
haitatokea ramadhan madoweka ilikuwa nuksi hatariiii
Omary Mkali ni kipajo Cha juu kilichosahaulika. Kama Mwinjuma Muumini, ni watu muhimu hawa kwa muziki wetu. Tuwatunze
dah kipindi chuchu ipo juu na mwanangu papii kocha na band yake Fm academia wapo juu vibaya sana
huu wimbo naupenda sana...asante kwa kutuwekea humu.
Mao santiago naye amefariki
Bado naaikiliza 2021
balaa....watu wenye muziki wao walifanya kazi bana...............baraka sunga hapa, Arusha ni moto!.
Kuna mtu hapo anitwa #King Jiovann ni sheeda
dah sawa kabisa wachache sana walikuwa wanaelewa gitaa lake la solo, na ndio alikuwa kiongozi wa bendi ya chuchu sound
Nasikiliza 2021 nyimbo tamuu sanaa
Rip Gabby Katanga man rasco hapa arusha
Jamani jamani jamaniiii 😭😭😭 nyakati hizi kamwe hazitajirudia tenaaaa!!!!!
RIP gabi katanga &rapa matata mao Santiago....sijui jonico flower yupo wapi
Na omar mkali, hicho kikosi kilikuwa moto chini
Jonico yupo fm academia sasa hivi
King jovan alikuwa anapiga solo
Gabby Katanga? Drums alipiga nani?
@@ansilaulotu7178 marehemu gabby katanga alipiga drums huyu alikuwa mmasai
King Giovanni aliimba tu, wameimba watu watatu tu uyo anaemfata mau ndo Giovanni
Hii dedication kwa Mdogo wangu tulikua waudhuriaji wazuri pale ukumbi wa sinza kijiweni about 18 years past hataee
Ok ok unamaanisha Imasco center Kumekucha au Vatican City hotel.
Kweli kabisa wimbo ulitoka 2001, enzi hizo nipo darasa la sita...ila ujumbe wake unaishi mbaka leo
chuchu sound daaa ktambo sanaaaa
those good old days wayback nikiwa handsome boy kinoma nilitesa sana wanawake but now nimekua babu. 2000 minaki sekondari kisarawe
Dj chalz. Africa Bambaataa. The way alivyokuwa anaumix hataree na nusu
aaaah bwana chuchu umerudi tenaaaa rudi tenaaaaa............. nimemiss sana hawa jamaaaaa walikua na burudaniiii safiiiiiiiiii
Allen Marco kama unanipenda nenda kwa baba ukatoe ng'ombe tuishi kama mke na mume. Mambo ya chuchu sound hayo
@@tatumohamed399 nimekupenda bureeee nitafuteeee 0718575251
Kutoka lushoto Tanga Tanzania hii nyimbo naisikiliza leo tarehe 26/10/2022
Rip mao santiago
R.I.P Gabby katanga
2022...tuppo happpppppper😍
gabii katanga yeroo masai
Kulikuwa na mutu mubaya mutu wa kazi Gabii Katanga drums
huu ulikua moto sio mchezo jiji lilizizima maana kailifanyika hapo kunamtu anaitwa GABBY KATANDA alikua kwenye drum hatariiiiiii
namkumbuka dj ommy ndani ya redio one alikua anapiga sikuya ijuma
R.i.p dj ommy
wimbo waga hauchuji.mzuri sana kweli wakongo walikuwa wapo vyema.omary mkali yupo wapi siku hizi?
2023 ❤❤
Hatari Sana wallah
khatari!....
Chuma NI fire iyo
Mziki mzuri chuchu sound 2001
Hakuna kama chuchu Sound ilikuwa sio mchezo kulala nje kawaida tu
😂😂😂
wacha bambino sound wacha extra bongo na bendi kadhaa tukiongelea mkusanyiko hatar wa wasanii wakali waliodumu muda mfupi chuchu sound inashika hatam ilikuwa balaa hawa jamaa kuanzia saut vyombo na mpangilio mzima wa mziki...hapana tutawakumbuka kwa muda mref ujao!
your very right Khalid, na ni wachache sana walitambua uwezo mkubwa wa chuchu sound, haikudumu kwa muda mrefu, bahati nzur zote nilibahatika kuziona but chuchu sound ulikuwa huwez kufananisha na bambino wala na extra bongo
Bungoni msipasahau ndio ukumbi wao imasko
hakika chuchu hakuna tenaaaaaa,wapi mausantiago?
Mao ndo huyu kafariki Leo Tena so sad
Hautakuja kupigwa tena mziki mzuri kama huo Mao Santiago,omari mkali,yusuph chuchu,mangostino,waziri sonyo ,Gabby Katanga,joniko flower (maua)all time heshima kwenu.
Hahahaaa!!!Hawa wa 2000 watuache kwanza
Nomaaaaa
Max bar ilala King Johvan sikia mkono huo!
Dah ilikua hatar sana enzii hii
Nasepeli mingi
Ilikua ni hatari band hii ili washa moto lkn haukuchelewa kuzimika hakika tuta wakumbjka sana.
Vp Omary Mkali hizi zilikua hazina video?
Mimi ni ndugu wa Gabby Katanga niko Arusha tunauliza hizi hazina video?
Ukumbi wao imasko bungoni simchezo yani nilikua sikosi
Hiyo T shirt ya FUBU ilikuwa balaa sana 😅
Daah Namkumbuka Dj Makei na Sister Farida ndani East Africa Radio kila ijumaa miaka ya 2001 siyo mchezo