BBC DIRA YA DUNIA JUMATATU 13.01.2020

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 245

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania 5 років тому +1

    Kumbe asili yetu ni Oman! Shukrani nmefahamu mie nlidhani ni mwingiliano tu!

  • @bikomboali7342
    @bikomboali7342 5 років тому +4

    mie nampenda huyu zuhura yunus sauti yake nzur mashallah na mwenyewe sura yake nzur

  • @dubais9018
    @dubais9018 5 років тому +1

    Kaongea kitu vizur bwana Hamad kweli oman ni nchi ina saidia zanzibar sana mie nimekaa oman miaka 6 na nimepata mazur mengi siwezi yasahau kutoka oman.

  • @daprince7545
    @daprince7545 5 років тому +2

    Assalamualaikum mamangu zuhra yunus . Shukran kwa habari

  • @shekhansaid77
    @shekhansaid77 5 років тому

    Mungu amlaze mahala pema peponi sultan qaboos bin saidy "amn"

  • @langatjosphat
    @langatjosphat 5 років тому +3

    Perfect swahili voices...ikiongozwa na kikeke,

  • @azaliamathias414
    @azaliamathias414 5 років тому +2

    Nice BBC keep it up

  • @amanitv4468
    @amanitv4468 5 років тому

    Kiukwel sautiyak inanikosha sichoki kukusikiliza.Honger sana zuhura

  • @amanmkwanga2658
    @amanmkwanga2658 5 років тому +4

    Mpo vizuri BBC SWAHILI

  • @rashid.mwenyezimunguakurin2968
    @rashid.mwenyezimunguakurin2968 5 років тому

    iran mumefanya vizuri sana dawa ya moto ni moto

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 5 років тому

    Anti sherry nakuonaaa😀🤣.tunamuombea kaboos Allah amlaze pema amsamehe makosa yake ya rabb,amjaalie janatulfirdous a3la..nasi atujaalie mwisho mwema amin.

  • @msafiridaudiiliyasa66
    @msafiridaudiiliyasa66 5 років тому

    wazanzibari hatuijui historia yetu nadhani itatucost

  • @nyawawawanyawawa935
    @nyawawawanyawawa935 5 років тому +8

    Marekani ilidungua ndege ya Abiria ya Irani kimakosa enzi zile nailikataa katakata kuomba msamaha. Leo IRAN imefanya makosa hayo Wa Iran mnaandamana Mnaeeleke Libya Iraq na Syria

    • @Fm-MornStar2014
      @Fm-MornStar2014 5 років тому +1

      Ndege ilikuwa ya Canada au ya Marekani! 🤔

    • @nyawawawanyawawa935
      @nyawawawanyawawa935 5 років тому

      @@Fm-MornStar2014
      Ni miaka ya nyuma Ndege ilikuwa ya Iran. Sema hao waandaanaji wa Iran Marekani nayo inatia kuni either Wananchi wamechoka na Economic international sanctions

    • @Fm-MornStar2014
      @Fm-MornStar2014 5 років тому

      @@nyawawawanyawawa935 ni sawa nakuelewa, ila Iran ilidungua ndege ya Canada kimakosa, na Canada haihusiki na ugomvi kati ya Iran na Marekani, hivyo kulinganisha hayo matukio, haileti mantiki.
      Waandamanaji ni kubebwa na upepo uliopo, juzi waliandamana kuuawa kwa Suleiman, leo ndege kudunguliwa kimakosa. Wao wanafuata kile ambacho kinaweza pengine matokeo mabaya kwao kwasababu ya viongozi wao! 🤔

  • @fundimchizi5225
    @fundimchizi5225 5 років тому

    Ule unabii wa daniel kuhusu sanamu ndio una malizikiki kutimia chuma na udongo havishikani lakina vitatenda kwa pamoja,marekani ndio serikali kuu ya 7ya mifumo hii misri iliyo watawalala wana wa israel ikiwa ya kwanza hakuna serikali kubwa itakayo tokea tena hadi lilejiwe litakapo iponda ile sanamu aliona danieli jiwe likiwa ufalme wa mungu ule watu wanao uomba uje ufanye mapenzi ya mungu hapa duniani...unabii mkubwa unatimia bila wengi kujua,(1)Misri,(2)Ashuru,(3)Umedi na Uajemi,(4)Babiloni(5)Ugiriki(6)Roma Empire(7)Ungereza na Marekani,hizi ndizo kuu zinazo tawala sasa,lakini unabii unaswma hizi zitasimamisha kinyago serikali nyingine zitakiabudu lakini zenyewe hazita kiabudu,yani (umoja wa mataifa)ikitajwa kama serikali ya nane kuu,,,(Soma daniel 2:44)

  • @jovinevedastus4244
    @jovinevedastus4244 5 років тому +1

    Nakupenda sana mama yangu ZUHURA

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 5 років тому +1

    QABOOS SAYEED BIN SAYEED💔😭

  • @watchme1558
    @watchme1558 5 років тому +1

    Iam from Zanzibar (Tanzania

  • @abduldude3375
    @abduldude3375 5 років тому

    Napenda hbr zenu

  • @abdulrazakyussef3177
    @abdulrazakyussef3177 5 років тому +7

    Iran imeomba radhi, jamani….wanasema ni bahati mbaya tu....Marekani pia 1985, (hali ya hekaheka za kivita na wasiwasi kama hali hiyo ya Iran ) na Urusi (1986) walitunguwa ndege za abiria…..mbona hatuwa kali hazikuchukuliwa? …..tukubali yaishe….na yasitokee tena

    • @mkiwamagreth08
      @mkiwamagreth08 5 років тому

      Kweli kabisa. Isiwe nongwa. Kama hawataki, basi haogopi ngumi.

  • @chamysuleiman8280
    @chamysuleiman8280 5 років тому +3

    Uongozi ndio chanzo kikuu cha maendeleo katika nchi. Nimehuzunika kuskia zanzibar ilikua inaisaidia Oman, leo zanzibar 😭😭😭😭. Uongozi uongoz uongoz zanzibar ndio kulio chao

    • @trophainamagogwa7966
      @trophainamagogwa7966 5 років тому

      Tutawaogopa Zanzibar

    • @chamysuleiman8280
      @chamysuleiman8280 5 років тому

      @@trophainamagogwa7966 na siku mkituacha kua na uhuru wetu MTATUOGOPA kweli kwa kila kitu, nyingi ndio mnatufanya kua maskini.😭😭😭😭

    • @trophainamagogwa7966
      @trophainamagogwa7966 5 років тому +2

      @@chamysuleiman8280 hata kama mnakuwa masikini ndo mnashirikiana kufanya mauaji?Si vizuri mbona hapa Canada wanamilikiwa na Queen Elizaberth wa Uingereza lakin hawajiungi na Watu waovu wanajitahidi kuwa wapole mpka hapo watakaporuhusiwa kuwa huru,Zanzibar mkiachiwa kuwa huru Na Al shababu atahamia kuweka uwanja hapo hapo kwenu maana hapo kuna Waislamu wale wasio na nia njema kabisa walio wengi ,zamani wakiona Kanisa tu Basi Waliuunguza ni Mungu tu kufanya leo Zanzibar Pawe na hata kanisa Moja ,Asante Yesu

    • @chamysuleiman8280
      @chamysuleiman8280 5 років тому

      @@trophainamagogwa7966 unauhakika na unachokisema??? Kua zanzibar wanashirikiana kufanya mauaji??? Tunaongelea uhusiano baina ya maendeleo na uongozi, lakini nashangazwa na maneno yako ambayo yapo mbali na mada hio. Tunaongelea Uongozi na maendeleo.

    • @chamysuleiman8280
      @chamysuleiman8280 5 років тому

      @@trophainamagogwa7966 ongea kwa ulichokua na ushahidi nacho, una ushahidi wa kua zanzibar wanashirikiana kufanya mauaji??? Zanzibar ni nchi ya amani na nchi ya watu wastaarabu, wanatatizwa tu na suala la uongozi na ndio chanzo cha umaskini.

  • @jarsaduba2626
    @jarsaduba2626 5 років тому +2

    Asante BBC kwa habari ila Iran walifanya kitendo ambayo sio nzuri kwa kundungua dege ya ukrein

  • @hamadimadisa9346
    @hamadimadisa9346 5 років тому

    Dada zuhura kiswahili nacho kitumia ni fasihi sana

  • @francolazaro8646
    @francolazaro8646 5 років тому +2

    Mara amestaafu Mara aliejiuzuru.. @zuhurayunus @bbcswahili

  • @pastorcarolicarlostokunmbo826
    @pastorcarolicarlostokunmbo826 5 років тому +1

    Nashangaa sana kwenye vurugu zote na mauaji makubwa duniani kuna uislamu hivi hii ni dini ya kuuwana au kwani wanauwana sana sana wenyewe kwa wenyewe hii dini mtihani kwakweli.poleni ndugi zangu waislamu Mwenyezimu Mungu awasaidie tu musiuane bali mupendane.

    • @ramadhanimandoa4058
      @ramadhanimandoa4058 5 років тому

      Caroli Carlos kwamtu anaejitambua na anaelew mbinu anazotumia marekan kudhulumu waarabu awez sema hivy hat kam ni kafiri

    • @pastorcarolicarlostokunmbo826
      @pastorcarolicarlostokunmbo826 5 років тому

      Mtu anaejitambua hawezi kukubaliana na Mauaji yanayofanywa na waarabu duniani.Dunia ni mahali pa kuishi sio pakuuwana na kumwaga damu zisizo na hatia.mtu anaejiamini hawezi simama hadharani na kupinga mauaji yanayoendelea pote duniani kwa jina la dini/Imani/mungu.
      Angalia leo kwa vyombo vya habari kila mauaji yanayoendelea ni waarabu au kwa jina la imani.hv hata nyinyi munaoongozwa hamuezi tumia akili ya kuzaliwa.unasapoti vipi uharifu dhidi ya ubinadamu namna hii.
      Na wewe je ukipewa panga unaweza ukauwa maana jina lako ni kama hao yani uislamu imekuwa dini ya kuuwana wanauwana wenyewe haitoshi wanauwa na wengine kama kuku dunia nzima ni kuua tu.anaelewa thamani ya maisha na atepinga uharifu huu.

  • @ramachambela1802
    @ramachambela1802 5 років тому +1

    Wairani wanapaswa kutambua hayo yote yaliyojili chanzo ni Marekani, bila ya yeye kuuwa kiongoz wa Iran yasingejili hayo ya kudunguliwa ndege

  • @isacktarimo8917
    @isacktarimo8917 5 років тому

    Huyo ndo marekani bn wanawatwanga wanawagombanisha mnachapana we yew kwa wenyew

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele 5 років тому +2

    Sio kweli kuwa Zanzibar kila mtu amechanganya damu na Watu wa Oman

    • @BBCNewsSwahili
      @BBCNewsSwahili  5 років тому

      Sawa

    • @exaverymlaponi8788
      @exaverymlaponi8788 5 років тому

      Kujipendekeza

    • @namisgiggah1571
      @namisgiggah1571 5 років тому +1

      Hakusema kila mtu. Bali tuliowengi tumechanga Damu. Ndio maana mzanzibar Oman anthaminika zaidi ya mtanganyika. uwe unasikiliza na kuelewa sio ukurupuke tu kwa wiivu wako binafsi kwa kuskia Hilo.

    • @edwardmkwelele
      @edwardmkwelele 5 років тому

      @@namisgiggah1571 sikiliza vizuri huyo mama na huyo baba tena sikio lako vizuri

  • @almandroo8258
    @almandroo8258 5 років тому

    Kweli ni bahat mbaya lkn chanzo ni marekani kuichezea anga ya iran .....

  • @trophainamagogwa7966
    @trophainamagogwa7966 5 років тому +1

    Wenzetu wanajua kutakatisha mpaka wanakuwa sugu duu Mungu awaonee huruma

  • @jacksonmodeste3540
    @jacksonmodeste3540 5 років тому

    asante sana BBC

  • @mussahamimu9442
    @mussahamimu9442 5 років тому +1

    Wairan hao ni wapumbafu, badala ya kuunga mkono serikali wanataka walete fitina itawaghalim

  • @jumaamsuya5264
    @jumaamsuya5264 5 років тому +2

    Jinaminzi laliby naona litawakuta wairani marekani nimchochenzi vitavikianza u s a wanaunza silaa nairani watauwana wenyewe kwawenyewe Allaah wanusuru

  • @ramadhanirashid7798
    @ramadhanirashid7798 5 років тому +1

    Tuangalie haki tusiegemee upande safi iran

  • @maulidabdallah8743
    @maulidabdallah8743 5 років тому +8

    Hata kama viongoz wewnu hamuwapend lakin sio kujipendekeza kwa Marekan na Israil

    • @carenmihayo7991
      @carenmihayo7991 5 років тому +2

      Waislamu wanamatatzo sana

    • @pastorcarolicarlostokunmbo826
      @pastorcarolicarlostokunmbo826 5 років тому +1

      Bila marekani waarabu wangeigeuza hii dunia kuwa majivu.anngqlia nchi zao siku zote wanauwana Uku duniani kungebaki salama.MUNGU ibariki marekani.sisi wote tunapaswa kumshukuru Mungu kwa ajili ya nchi hii.sisemi hawana makosa wanaweza kuwa na makosa ya kiutendaji ni binadamu ila hawa marekani kama serikali imesaidia sana kuleta amani duniani kwa kuuwa watu hatari duniani

    • @pastorcarolicarlostokunmbo826
      @pastorcarolicarlostokunmbo826 5 років тому

      Kama hunielewi angalia duniani leo kwenye machafuko ni wapi.
      Popote kwenye machafuko na mauaji mengi duniani ni waarabu.

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 5 років тому +2

      Wewe upo kiudini zaidi watu kama nyinyi nyerere aliwatokomeza

    • @ramadhanimandoa4058
      @ramadhanimandoa4058 5 років тому

      Caroli Carlos Wew jamaa inaonesh hujui chochote yaan mjing

  • @huserehema8618
    @huserehema8618 5 років тому

    Asanteni sana BBC

  • @topaviator
    @topaviator 5 років тому +8

    Hawa wa iran hawana akili,wao hawajui kwamba ile ndege ilipigwa kibahati mbya na hlf kibaya zaidi wameanza kuisapoti israel na marekani sasa subri wataona cha moto

    • @shelderpius95
      @shelderpius95 5 років тому +1

      Wewe unajua kuliko wao...!Una akili kuliko wairani..!

    • @topaviator
      @topaviator 5 років тому +2

      @@shelderpius95 enhee nna akili klk wa iran

    • @shelderpius95
      @shelderpius95 5 років тому

      @@topaviator Angeuwawa ndugu yako kwenye ndege ungesema ni bahati mbaya...!

    • @topaviator
      @topaviator 5 років тому +1

      @@shelderpius95 kwenye ile ndege walkuemo wa iran watatu sasa wale wate wanaandamna kwa kumkaribisha mmarekani aje aiteke ili nchi hlf iwe kma iraq vile

    • @raphaelshan4905
      @raphaelshan4905 5 років тому +2

      @@topaviator wewe uelewa wako mdogo Sana hujui kuchanganua mambo

  • @anthonypatrice5247
    @anthonypatrice5247 5 років тому +1

    asantee kwa taarifa

  • @vinkaza4058
    @vinkaza4058 5 років тому +4

    English: PariS
    German: PariS
    Spanish: PariS
    Swahili: Pari
    Mimi: ??

    • @umojaafrika2447
      @umojaafrika2447 5 років тому +1

      French = Pari
      Maana ya kiswahili ni vizuri saana

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 5 років тому +1

    Fukuzeni wasomali wote kenya na muweke ulinzi wote wakiingia waingie kwa mashart makubwa kabisa kama vile kuingia uingereza

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 5 років тому +1

    USTADHAT ZUHURA nimekumiss mno.YNWA

  • @lucaspetromassawe2282
    @lucaspetromassawe2282 5 років тому

    Duu dunia inaenda kwao

  • @hamdaniyasinimunguibarikit6734
    @hamdaniyasinimunguibarikit6734 5 років тому +1

    Wairaniwanao Andamana niwanafiki navibarakawaliopandikizwa Ilawakumbuke libia.

    • @shelderpius95
      @shelderpius95 5 років тому

      Basi kama ndivyo Marekani mbali nakumiliki siraha nzito na jeshi lenye uwezo mkubwa kuliko yote duniani pia ana mbinu nyingi sana za kumshinda adui..!

  • @jumamohamed8042
    @jumamohamed8042 5 років тому +3

    Waandamaji ni vibaraka kwa marekani,ndege imetunguliwa bahati mbaya iweje waandamane?nakama ingekuwa ndege ya adui ingekuwaje?sioni sababu ya kuilaumu Iran,hiyo ni ktk kujihami,mwisho waafrika tuwe na akili siku zote tujifunze kuzima moto sio kupigana na moshi,chanzo cha tatizo ni nini? Ukigundua chanzo huwezi ilaumu Iran,na mwisho Iran uko vizuri vibaraka hawataweza.

    • @raphaelshan4905
      @raphaelshan4905 5 років тому +1

      Vipi kuhusu Watu 1500 waliouwawa Kenye maandamano na jeshi LA Iran mwezi uliopita.

    • @mkiwamagreth08
      @mkiwamagreth08 5 років тому

      Walipewa hela kidogo ya kula wafanye fujo.

  • @AbuuRuudaynaa
    @AbuuRuudaynaa 5 років тому +2

    BBC tunashukuru kwa taarifa muhimu

  • @heriethjosephat4787
    @heriethjosephat4787 5 років тому

    Inna lillah was Inna ilaih rajiun

  • @eddimalon6051
    @eddimalon6051 5 років тому +3

    Na leo wa kwanza.

  • @martinl.5497
    @martinl.5497 5 років тому +1

    Utajiri iliokua inachuma toka zanzibar enzi za ukoloni walifanyia nin kama 1970 walikua na barabara 2 tu na shule hawakujenga kitu

  • @aishaomari1881
    @aishaomari1881 5 років тому +1

    Love you zuhura hasaan

  • @gastonamnon7005
    @gastonamnon7005 5 років тому +3

    Wa kwanza leo

  • @masagapaul5039
    @masagapaul5039 5 років тому +1

    BBC/Swahili ninyi ni BABA lao kwa habari za kimataifa

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 5 років тому

    Miaka 50 ya kaboos marndeleo yameonekana hehehe kwetu sasa miaka 56 watu bado wanasota maendeleo bado sanaaaa tuwe pole.

  • @wisetvtanzania1015
    @wisetvtanzania1015 5 років тому +1

    Mazungumzo yanatakiwa kufanyika pande zote mbili kwani Vita ikitotokea hata nchi Kama Tanzania kwa tunategemea mafuta kutoka huko. bei itakapo panda itathili sisi wanafunzi kwani tutateseka

  • @mpangomzima9280
    @mpangomzima9280 5 років тому +1

    BBC swahili nawapata. Vema

  • @Tariqxxtenations
    @Tariqxxtenations 5 років тому +2

    Kenya polen

  • @bhardened1
    @bhardened1 5 років тому

    "useja" ni nini?

  • @mexicomaxwell4156
    @mexicomaxwell4156 5 років тому +7

    Iran naona mnaekekea usawa na Libya.

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 5 років тому

    Watumwa na waarabu(wauza watumwa)

    • @mkiwamagreth08
      @mkiwamagreth08 5 років тому

      we acha tu, haielezeki. shida walizopata watumwa ni kubwa sana. hasa wakiwa njiani.
      shida na misukosuko waarabu wanazopata sasa huenda ni kisasi kiinawatembelea bila kujua.

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 5 років тому +4

    Poleni kenya ila ifikie kipindi hili swalala lizibitiwe jaman raia wanakufa tu

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele 5 років тому

    Kifo ni kifo hakuna kifo kikubwa au kidogo

  • @hajjirama5234
    @hajjirama5234 5 років тому +2

    Shukra BBC Swahili

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 5 років тому

    WAKATI WA VITA KUTUNGULIWA NDEGE ZA ABIRIA KIMAKOSA HUTOKEA WAHUSIKA WANAPASWA KUCHUKULIWA HATUA KABSA ILA HA VIBARAKA WAANDAMAJI WANAPASWA WAJIULIZE KWANZA JUU YA LENGO LAO.

    • @mgasathedon1579
      @mgasathedon1579 5 років тому

      Wa Zanzibar wana akili Ndogo low iQ mtu mweusi anajifananisha na mwarabu upuuzi

  • @emmanuelkimath2881
    @emmanuelkimath2881 5 років тому

    Mi ndo wa kwanza

  • @akramdinn7
    @akramdinn7 5 років тому +1

    wamarekani wakiua safi wengine wakiua magaidi 😂😂 mtaisoma namba

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 5 років тому

    Acha afe ana laana .mtu kumtoa baba kwajli ya madalaka na Allah akamlaani kafa bila mtoto.. hawa ndio wauza watumwa na eti kusaidia watoto wasiojuwa historian na kuwapa dini ili wasilipize. Naashangaa ujinga wetu tunarithi hadi majinA.. waawafrika hatuna dini bali tunaiga wazungu(wanunuwa

  • @dazmeddvevo8547
    @dazmeddvevo8547 5 років тому

    shukran

  • @kebo2155
    @kebo2155 5 років тому

    ... asili yenu siyo Oman.. Asili yenu ni makabila ya wabantu ya tumbatu, wapemba Black African siyo Oman.. Oman walileta biashara za utumwa Tanzania.. Sasa udugu gani huu au njaa..

  • @kassimissa6841
    @kassimissa6841 5 років тому +1

    Hasira hasala

  • @abilityrabia2277
    @abilityrabia2277 5 років тому +6

    Kweli Zanzibar bado watumwa elimiken

    • @mkiwamagreth08
      @mkiwamagreth08 5 років тому

      Sultan amefariki bila kuwaomba watanzania msamaha wa kuuzwa kama bidhaa madukani.

    • @saidyssaley1509
      @saidyssaley1509 5 років тому

      @@mkiwamagreth08ndo amewaomba msamaha kwa kuwatendea Mema mbona wazungu hawajaomba msamaha na bado wanakukandamizeni husemi na tanaganyika bado mnainyonya Zanzibar mbona husemi

    • @BBCNewsSwahili
      @BBCNewsSwahili  5 років тому

      Asante kwa maoni yako

    • @hajisalum17
      @hajisalum17 5 років тому

      kinacho kuuma nini

    • @dunduumaster4815
      @dunduumaster4815 5 років тому

      @@saidyssaley1509
      Ivi nyie watu mbona hamzindukagi ulaya uwe mweusi muhindi mwarabu haki unapewa sawa saudi wako ivyo wanawake hadimu wamekimbilia nchi za kizungu kupata haki

  • @zahorrashid5459
    @zahorrashid5459 5 років тому

    Nyy Kenya waachieni somalia nchii yao nyy muliwaua mashekhe bure aya mbona bado mnakula kichapo.

  • @trophainamagogwa7966
    @trophainamagogwa7966 5 років тому

    Canada tunasikitika saana

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 5 років тому

    Komaeni.

  • @emmanuelwiliamkway185
    @emmanuelwiliamkway185 5 років тому

    Neno msaadaa

  • @mkiwamagreth08
    @mkiwamagreth08 5 років тому

    aliwauza utumwani

    • @christopherleonard1264
      @christopherleonard1264 5 років тому

      Wazanzibar bwana mpaka ilitwa ziwa LA moto sababu ya sultan jamshid Leo yote wamesahau nisawa na Japan kujipendekeza kwa marekani

  • @yahyayazidi6767
    @yahyayazidi6767 5 років тому

    Mmarekn bana

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 5 років тому +1

    Jamani Afrika na uhodari wetu wote pamoja na ubinaadamu, tunashindwa kweli kuliangamiza kundi la kigaidi la al-shabab? Inasikitisha watu wasio na hatia kufa kila mara kutokana na ugaidi usio na lengo maalum.

    • @lukmanally5328
      @lukmanally5328 5 років тому

      Amour Mtungo ,,ACHAKAKA, AFRIKA,,INAWEZA,KUANGAMIZA,,IKIUANGANA,,TATIZO,,SIASA, NAUSHETANU

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 5 років тому +4

    Qaboos alikuwa kiongozi bora na aliyedumu madarakani kwa muda mrefu sana.
    Cha ajabu hakuwa na mke,watoto,wala ndugu wa karibu ni ajabu sana

    • @nailamohd7693
      @nailamohd7693 5 років тому +2

      Alokwambia hana ndugu wala jamaa nani sasa huyo alomrithi nani sie ndugu wa karibu

    • @Bobobobo-jr9zr
      @Bobobobo-jr9zr 5 років тому +2

      Ww hujui kitu kuhusu babaetu mlezi usiseme usichokijua

    • @abuyunusmohamed6961
      @abuyunusmohamed6961 5 років тому +1

      @@Bobobobo-jr9zr kwani Kuna Siri gani? vyombo vyote vya habari vinatangaza hivyo.
      Nakusudia maajabu ya Allah kupewa ufalme lakini kunyimwa kizazi na familia ya karibu.
      Ufalme umeenda kizazi kingine.yote ni mazingatio ndani yake.Allah analolitaka ndio linakuwa

    • @mkiwamagreth08
      @mkiwamagreth08 5 років тому

      Labda madaraka yalikuwa na masharti usioe wala kuzaa.

  • @mussaabobakar7537
    @mussaabobakar7537 5 років тому +3

    Kenya ondoen tu majeshi somali muushi kwa salam jaman

    • @zulfahhussein505
      @zulfahhussein505 5 років тому

      Umeona nawe hilo

    • @pastorcarolicarlostokunmbo826
      @pastorcarolicarlostokunmbo826 5 років тому

      Ivi akitoa majeshi ndio suluhu?.
      Jeshi la kenya ilikurupuka uamuzi wake,wamevulia nguo maji sasa wameoga na wameshindwa kumaliza

  • @patrickmulamboruhurumba4639
    @patrickmulamboruhurumba4639 5 років тому

    Iran imetumiya hasira bila kujuwa hasira hasara ona Sasa matokeo wangelituliya kwanza laiti hawange haribu

  • @chescomwakipese3422
    @chescomwakipese3422 5 років тому +5

    Malekan wanyoshen ilan wanauwa watu

  • @josephnjellah280
    @josephnjellah280 5 років тому

    Utakatishajimaana yakenini

  • @leymanleyman7426
    @leymanleyman7426 5 років тому +1

    America ndio wakulaumiwa kwa ajali hiyo ya ndege. Ila muanzaji haonekani mmalizaji ndie anae laumiwa. Kwa sababu hiyo ndege sio lengo lao ila marekani waliwahi ilipua ndege ya abiriya ya irani kwa kukusudia sasa nani mbaya ila hao wananchi wanacho kitaka watakipata tu. Waitazame libya ilivyo.

    • @Fm-MornStar2014
      @Fm-MornStar2014 5 років тому +1

      Duh!
      Kweli watu wengine wanaakili Sana kwa kutoa pointi! Hongera aisèe!
      Kwa hiyo wewe ukipigana na mwenzako nikiwa mpita njia ukarusha jiwe likanitandika kichwani, mwenzako uliyekuwa unamlenga ndiye amenipiga jiwe? 🤔
      😁 🤣 Hongera tena na tena!
      Na-edit tena
      Hongera kwa kutoa pointi kali.

    • @raphaelshan4905
      @raphaelshan4905 5 років тому

      @@Fm-MornStar2014 😂😂😂 you make me die for laugh 🙌👍

  • @thomasmbungeabdullah2319
    @thomasmbungeabdullah2319 5 років тому +2

    UTumwa haushi

  • @jumaamsuya5264
    @jumaamsuya5264 5 років тому +1

    Irani imesahau yaliby ile nibaatimbaya inziraeli marekani wameuwa wangapi wanataka kilichowakuta waliby

  • @dareenali6086
    @dareenali6086 5 років тому

    Ilitokea kwa bahati mbaya tu Iran hawawezi kufanya hivyo kabisa

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 років тому

    BBC NAWAPENDA SANA, NKO VIZURI.

  • @watchme1558
    @watchme1558 5 років тому +4

    Oman anatujua nani ss zanzibari wapo watu wanaend kikaz wanarud wanalia wananyanyasw. Acha kjipendekez mzee

  • @lukmanally5328
    @lukmanally5328 5 років тому +1

    MAREKANI, NAOMBA, UWATEKETEZE, WALEWOTE, WALIO, DUNGUWA,,NDEGE,NAKUWAUA,,WASIOKUWA,,NAHATIYA

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 5 років тому +1

    Sometimes kupakana na Nchi za namna ya Somalia ,Libya na zingine za namna hiyo ni balaa

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 5 років тому

    Misaada eti, Ni ujinga mtu kupenda kusaidiwa.. Yani Magufuli kachelewa kuja . Tujifunze kwa rais Magufuli . Kazi kazi na cyo kuwa ombaomba na kuiga utamaduni wa wajinga Hawa.. badala wasaidie elimu wanasaidi for dini na kujaza vyoo tu.

  • @aminamussa7312
    @aminamussa7312 5 років тому

    Mimi wa pili

  • @bindawood978
    @bindawood978 5 років тому +1

    Zanzibar ilikuwa nchi tajiri katika Afrika

    • @Jojo-princess-x1z
      @Jojo-princess-x1z 5 років тому +1

      Nakuunga mkono bro but Kenya n Tanganyika ndio sababu ya umasikini wa zanzibar

    • @BBCNewsSwahili
      @BBCNewsSwahili  5 років тому +1

      Asante kwa maoni yako

    • @bindawood978
      @bindawood978 5 років тому

      @@Jojo-princess-x1z kumbe na Kenya?

    • @Jojo-princess-x1z
      @Jojo-princess-x1z 5 років тому

      @@bindawood978 yeah kenya kupitia jon okele yeye ni jeshi kutoka Kenya aloletwa n nyerere ndio muongozaji wa uvamizi wa mauwaji y mapinduzi

  • @hennaali823
    @hennaali823 5 років тому

    While uhuru Kenyatta supporting mohamed madoobe you Kenyans gonna have problems like always because al Shaba are mohamed madoobe people the citizen of kismayo are treated bad toured killing by the military of mohamed madoobe because they’re looking alike kenyans, the alshaba are Mohamed madoobe’s militants groups play different role between Kenya and Somalia border and uhuru Kenyatta is with him supporting him good luck Kenyans I’m sorry for your poor understanding

  • @rkitindi
    @rkitindi 5 років тому +1

    Jaribuni kuacha kucheka au kuongea kabla camera haijawamulika. Inapunguza ladha ya hizi habari. Angalieni VOA.

  • @aishaomari1881
    @aishaomari1881 5 років тому

    Laanatullah Trump we ndio chanzo tunakuchukia we mbwa WA dunia

  • @michaelmasebo2623
    @michaelmasebo2623 5 років тому

    Mpira Leo final kombe LA map in dust

  • @johnchampionndibalema2758
    @johnchampionndibalema2758 5 років тому

    But of all the people kimani ngunjir who do you think you,re?domo kubwa hiyo niyanini huyo uhuru ako sawa hata uende juu urudi yeye amefanya kazi yake mumelemaza kipindi chake ninyi ni conmen to hell with you

  • @blessed9676
    @blessed9676 5 років тому

    Mambo muhimu kwa viongozi wa Kenya. ua-cam.com/video/7BgFbFpmYp8/v-deo.html

  • @mauricempinga81
    @mauricempinga81 5 років тому

    Safi Sana wairani

  • @Tariqxxtenations
    @Tariqxxtenations 5 років тому +2

    Daaa

  • @GNC-Church1FM8MS4F
    @GNC-Church1FM8MS4F 5 років тому +2

    Zuhura kunataarifa kua wewe ni mpenzi wa Zitto kabwe abu tuambie ukweli wa swala hili