MZEE MSUMI" HATUMTAMBUI MAGOMA/ANATUMIKA KUCHAFUA KLABU/KUNA WATU WAMEJIFICHA NYUMA YA PAZIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024
  • Leo July 17,2024 Mpenja TV Tumefika Makao Makuu ya Yanga Jangwani na tumezungumza na baadhi ya Wazee waliopo kwenye Baraza la Wazee wa klabu hiyo, Kuhusu kile kinachoendelea ndani ya klabu hiyo mara baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutoa uamuzi wa uongozi uliopo Madarakani, ukiongozwa na Eng Hersi Said ung'atuke madarakani.

КОМЕНТАРІ • 201

  • @ZanikMwakanyamale
    @ZanikMwakanyamale Місяць тому +22

    Safi sana angalau akili yangu imetulia... kweli daima mbele nyuma mwiko 💛💚

    • @hawajohn749
      @hawajohn749 Місяць тому

      Mimi nilivoona hizi taarifa nilivurugwa kiukweli

    • @Ramadhani-y6e
      @Ramadhani-y6e Місяць тому

      Mwenyewe kidogo I'm happy now

  • @chinaaudax6459
    @chinaaudax6459 Місяць тому +14

    Asante Mzee wetu Umeongea point zote sisi ni Yanga moja tusonge mbele

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 Місяць тому +27

    CHANGAMOTO ZITAIFANYA YANGA ICHUKUE KOMBE LA AFRICA CHAMPIONS LEAGUE....WANACHAMA TULIENI EVERYTHING WILL BE ALRIGHT....VIVA YANGA VIVA.❤LOVELY YANGA.

    • @AishshibnShibani
      @AishshibnShibani Місяць тому

      Kipeni moyo

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Місяць тому

      Soma ulichoandika kabla ya ku share,,, utajitukana bure kisa yanga inakuumiza roho " # Daima mbele ​@@AishshibnShibani

    • @AishshibnShibani
      @AishshibnShibani Місяць тому

      @@damianmcba9525 nikitukaba sindio vizur ww yanakuhusu nn kama nimekosea embu pelaka mwiko wako uko nyuma

    • @AishshibnShibani
      @AishshibnShibani Місяць тому

      @@damianmcba9525 kwaro gani yakuniuma kisa utopolo

  • @ruthkami2273
    @ruthkami2273 Місяць тому +11

    Mzee Msumi Mungu akutunze

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa Місяць тому +50

    Kateni rufaa akishindwa hiyo mzee afutwe uanachama mnapata tabu na mtu mmoja hiyo hataki maendeleo ya yanga

    • @GraceMarine-vo9hu
      @GraceMarine-vo9hu Місяць тому +2

      Yeye mwenyewe ameshakataa amesema hicho kinachotambaa mitandaoni kimetoka wapi? Kina lengo lakumchafua, anadai endapo angekuwa amepeleka kesi mahakamani na akashinda kesi inamaana yeye ndo angepewa nakala ya hukumu kisha yeye angetuma watu wake waipeleke yanga,
      Sasa yeye hana nakala ya hukumu, hana nakala aliyoituma yanga ameshangaa tu nayeye ananyooshewa kidole bila kujua yanayoendelea mitandaoni yametoka wapi

    • @rahmaabdul1820
      @rahmaabdul1820 Місяць тому

      MPAKA hapa tunapoongea sio MWANACHAMA WA yanga maana tangu KADI mpyaa zitokee hajajisajilo

    • @chinaaudax6459
      @chinaaudax6459 Місяць тому

      Rufaa ya nyokwe

    • @IjumaaIjumaa
      @IjumaaIjumaa Місяць тому

      @@chinaaudax6459 rufaa ya nyokwe

  • @mcnakupenda
    @mcnakupenda Місяць тому +12

    Mzee yupo vizuri sanaa

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r Місяць тому +10

    Msumi Asante ngojanijiandae nikanywe kahawa umenitia moyo sana.

  • @bmkaskazinib4363
    @bmkaskazinib4363 Місяць тому +18

    Ikithibitika Magoma anayumika kuiharibu Yanga ahukumiwe kwa kosa LA kuifhalilisha klabu na uongozi wake

  • @TwahirAlly-w4g
    @TwahirAlly-w4g Місяць тому +8

    Nipeni namba za huyu mzee ana facts sana nimtumie chochote ila huyo magoma jau sana ni simba huyo

  • @user-bj7kd8es2x
    @user-bj7kd8es2x Місяць тому +17

    Akitoka Engnea tutaandama kakenya wakalale tutpiga watu huyo magoma.

  • @user-ym4pf9ib6o
    @user-ym4pf9ib6o Місяць тому

    Huyu mzee ni adhina ya taifa letu ana elimu ya kutosha pia ana uwezo mzuri wa kuifadhi nyaraka za taasisi mungu akubariki baba angu

  • @kazimilykulwa2516
    @kazimilykulwa2516 Місяць тому +7

    Huyu mzee Yuko vizur 🤝🏾

  • @kayikumazoya322
    @kayikumazoya322 Місяць тому +2

    Umeelezea vizuri sana, watu huwa tofauti sana ata ukiamka ugawe maadazi kila siku kwa majirani Kuna wengine watasema umetuona hatuwezi kutafuta hela ya kununuliia maandazi amaanisha nini si kila umuonaye akufurahie, kuteseka kwako ndio furaha kwa mwenzako

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz8485 Місяць тому +27

    Magoma tuna kaziii nae 😢😢

  • @leonardbihemo4797
    @leonardbihemo4797 Місяць тому +7

    Huyo hakimu pia aliyesikiliza kesi achunguzwe huwezi anadhalilisha mahakimu wenzake

  • @user-ws5uj8rz6r
    @user-ws5uj8rz6r Місяць тому +5

    Mzee nazingua kama kashiba makana mwembieni akacheze anako chezaga atuwache naichinia uwetu

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy Місяць тому +6

    😂😂😂 kashayatimba kwa wazee uyu magoma ngoja wamnyooshe

  • @user-nx9sm2ry3g
    @user-nx9sm2ry3g Місяць тому +1

    Safi sana nimejikuta nalala vizur sana mzee umepigaje hapo?

  • @HabibuHeri
    @HabibuHeri Місяць тому

    Asante mzee msumi nimekuelewa yanga tupo pamoja

  • @Mudathir-tx1md
    @Mudathir-tx1md Місяць тому +6

    Magoma ni mdogo wake mangungu kabc😂 sasa kazi ipo

  • @josephmwangita7041
    @josephmwangita7041 Місяць тому +1

    Asante mzee wetu

  • @hawajohn749
    @hawajohn749 Місяць тому

    Nimekupenda Bure mzee msumi

  • @mgobanyapazi7738
    @mgobanyapazi7738 Місяць тому +1

    Anatafuta kufa bila kujijua. Mzee Msumi anajielewa sana. Sijui huyo Magoma kama anafika hapa kwa uelewa alionao Mzee Msumi

  • @user-lq1fm4dj2n
    @user-lq1fm4dj2n Місяць тому

    Mzee mungu akubariki

  • @oscarclaine5878
    @oscarclaine5878 Місяць тому +4

    Magoma na Mangungu ni ma homeboy ndo maana wanafanana😅

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 Місяць тому

    Huyu ni Mzee wa maana kabisa tuachane na magoma

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 Місяць тому

    Asante Mzee msumi

  • @alexsikab6433
    @alexsikab6433 Місяць тому

    Magoma aje Simba ndo tuwe tuna washenyenda vizuri

  • @elment7269
    @elment7269 Місяць тому +2

    Mzee anapoint sanaa

  • @thabithamagnus638
    @thabithamagnus638 Місяць тому

    Wananchi tumechukia mno mno kwa kweli,atuondolee nuksi hapa,Magoma umetuudhi

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 Місяць тому

    KATA MIRIJA YOTE YA HAO WAZEE WALIZOEA KUZURUMU DAMU ZA WACHEzAJI NJAA ZINAWASUMBUA, bRAVO ENGINEER KWA MAENDELEO MAKUBWA YANGA , MIMI NI SIMBA LAKINI BIG UP KWA ENGINEER MFANO WA KUIGWA!!!

  • @rigobertdimoso6637
    @rigobertdimoso6637 Місяць тому

    Hukumu itelelezwe haraka kama viongozi hawajakata.rufaa
    Magoma apewe timu yake kashinda kesi kwishaaa

  • @MariaNicolaus-uk8of
    @MariaNicolaus-uk8of Місяць тому +1

    Upo sawa baba washindwe kabisa kusambalatisha yanga

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn Місяць тому +3

    Mzee naomba namba yako nikutumie hela ya soda,pili huyu kagoma mnyanganyeni kadi ,kagoma ni mtu wa simba na mo anawatumia

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini Місяць тому +1

    Saf mzee wangu

  • @user-kz8di5th6e
    @user-kz8di5th6e Місяць тому

    Mzee msumi upewe mauwa yako 🎉🎉

  • @MuddySalim
    @MuddySalim Місяць тому

    Good up sanaa mpeni salamu magoma

  • @meckcassius3983
    @meckcassius3983 Місяць тому

    Mzee anajielewa sana🎉🎉🎉🎉

  • @TravisGvn
    @TravisGvn Місяць тому

    Interview bora hii 👏👏

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini Місяць тому +1

    Nicee

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz Місяць тому

    inamaana izi mahakama zetu zinapokea tu kesi bila kuangalia ukweli wa kesi hizo

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 Місяць тому +4

    Kwani mahakama inatoa hukumu bila kuwepo mshitakiwa ? Huyo magoma ameendaje huko ?

  • @mohamediibrahimu7064
    @mohamediibrahimu7064 Місяць тому

    Uko vizur mzee umetoa elimu tosha

  • @OmarySamata
    @OmarySamata Місяць тому

    Mzee unaongea point sana

  • @robertmswanyama8488
    @robertmswanyama8488 Місяць тому +7

    Kwanza sio mwanachama hai iyo mahakama inasikiliza kesi iliopelekwa na mtu ambae sio mwanachama hai iyo hukumu ajaielewa kabisa na atuto waelewa

  • @user-qw2ti8mo1b
    @user-qw2ti8mo1b Місяць тому +3

    Safi sana Mzee

  • @thabithamagnus638
    @thabithamagnus638 Місяць тому

    Jamani huyu Magoma angekuwa Wananchi tulivyochukia?Au kuna Siri nyuma ya pazia? Maana wenye vyeo nao wanaweza kuvuruga jambo jema kwa kumtumia mtu wa chini kabisa! Sura yenyewe ya Magoma inaonyesha ni mtu wa kuomba hata hela ya mboga,Kweli ndiyo tumpe tomu mtu kama huyo jamani

  • @user-uk9vr6yk5v
    @user-uk9vr6yk5v Місяць тому +1

    Magoma tuna kazi naye ameyatimba

  • @DottoMoshi-x9o
    @DottoMoshi-x9o Місяць тому +1

    Uyo mzee magoma ameyatimba bola ata akacheze anako chezaga

  • @EmanuelMika
    @EmanuelMika Місяць тому +1

    Mzee wa yanga umefafanua vzr

  • @rigobertdimoso6637
    @rigobertdimoso6637 Місяць тому

    Magoma yupo sahihi na ndio demokrasia yenyewe

  • @LisiasiFanueli
    @LisiasiFanueli Місяць тому

    Huyo mzee maga Hana mpango anatafuta kk yakujulikana anaona jua linatua bila kujulikana

  • @ImanueliMwakajinga-ry8ig
    @ImanueliMwakajinga-ry8ig Місяць тому

    DAIMA MBELE NYUMA MWIKO🙌🏽🤗

  • @edwardchecha-gz7sr
    @edwardchecha-gz7sr Місяць тому

    Mzee katulia kweli Katika maongezi yake

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 Місяць тому

    Mzee msumi anatetea ugali wke UTOPOLO lkn mzee magoma yupo sahh 😂😂😂

  • @ZephaniaMgaya-ns5vm
    @ZephaniaMgaya-ns5vm Місяць тому +12

    Huyo mzee magoma ni chizi akapimwe milembe

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 Місяць тому

    Kweli baba ilo magoma lifuteni uwanachama lisiwaumize kichwa yeye nani katika timuyetu nyinyi ndiowazee mnaojitambawa ilo magoma halijitambuwi lifukuzeni lisitualibie timuyetu wehu huyo

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Місяць тому +2

    Hawa wenye vichwa vinavyoelekea Kiisugu

  • @hashimurashidi6573
    @hashimurashidi6573 Місяць тому +3

    Wapeelim mzeewangu

  • @PhilimoniKazungu-bi2ru
    @PhilimoniKazungu-bi2ru Місяць тому

    Magoma nimabaki ya mzee akirimali

  • @MahmoudKhamis-cv9pi
    @MahmoudKhamis-cv9pi Місяць тому

    Huyo mzee anaelezea Katiba ya Sasa laki kesi aliyo shinda Magoma ni Katiba iliyo pita kabla kuundwa ya sasa

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 Місяць тому +1

    Daaah.....afadhari naanza kupata amani ya moyo ila magoma

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Місяць тому

      Kajua kutuchangamsha mi nimelala na marue rue shenz kabisa hyu magoma

    • @JumanneIbrahim
      @JumanneIbrahim Місяць тому

      Magma ni mshenz sana

  • @yakubuipariro6392
    @yakubuipariro6392 Місяць тому

    Magoma akapige2 ngoma takukur wamchunguze inawezekana katoka kuzim kwan hao sindo wanaouuza viwanja mbingun😮😮😮😮😮

  • @HanifaBruno-lv1qf
    @HanifaBruno-lv1qf Місяць тому

    Anatumiwa na watu wavuruge kwa uwezo wa mungu huyu shetani magoma mbwa kabisa tena mshenzi

  • @ridhiwanijuma5743
    @ridhiwanijuma5743 Місяць тому

    Kumbe tuna wazee wenye akili nyingi kuliko ata wachambuzi

  • @FrancisBogori
    @FrancisBogori Місяць тому

    Huyo Mzee me nikwambie yanga daima mbele nyuma mwiko

  • @michaelmpangwa6366
    @michaelmpangwa6366 Місяць тому

    Hilo zee Lina njaa hakuna kingine njaa tupu

  • @lwzmangulu7532
    @lwzmangulu7532 Місяць тому

    Huyo mzee bahati Yake yaan angekuwabmtaani kwetu si tungemuongezea kiparaa aseee

  • @MombokaMomboka
    @MombokaMomboka Місяць тому

    Msumi uwezikusemakweri godoro unaroraria rinachapa GSM.

  • @user-ru1yk6tc7w
    @user-ru1yk6tc7w Місяць тому

    Sawa mzee

  • @sadicksalekhe
    @sadicksalekhe Місяць тому

    Hao wazee wote hao ndio wanachangia kuiloga simba

  • @KhamisHassan-ql5ut
    @KhamisHassan-ql5ut Місяць тому +1

    KESHATUCHOKOZA MAGOMA NGOJA TUMTIE UBOVU NA HATUMUACHI

  • @hassaniibrahim300
    @hassaniibrahim300 Місяць тому

    HARAKA SAAANA WANACHAMA KUJADILI NA KUPITISHA HAO WAWILI KUFUTIWA UANACHAMA WAO HARAKA SAAANA

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises Місяць тому

    uyo mbwa magoma, asitake kutuona wabaya,magoma magoma,kama autkaki kuishabikiya yanga toka 😮

  • @aminangano3635
    @aminangano3635 Місяць тому +1

    👏👏👏👌💛💚💛🙏

  • @SammyMwita-z7e
    @SammyMwita-z7e Місяць тому

    Hyo mahakama imerogwa,,,,,,wameona yanga inaendelea vzuri wanaleta longo longo ikasome kwanza Allah

  • @AbdallaShaban-j1q
    @AbdallaShaban-j1q Місяць тому

    Huyo mzee atuachie yanga yetu mzee mchaw huy katumw

  • @user-ut9zv7ft1g
    @user-ut9zv7ft1g Місяць тому

    Wafafanulie vixuri kwa sababu wameshikilia kidedea mno

  • @hassaniibrahim300
    @hassaniibrahim300 Місяць тому

    DAWA NI KUFUTIWA UANACHAMA WAO HARAKA SAAANA WANACHAMA KUJADILI NA KUPITISHA HAO WAWILI KUFUTIWA UANACHAMA WAO TUUFUTE SABABU NI WASALITI WAKUBWA

  • @valentinoswenya748
    @valentinoswenya748 Місяць тому

    Watu wasiojulikana wausike nae uyo mzee

  • @user-sy4wf5ll4o
    @user-sy4wf5ll4o Місяць тому

    Magoma uko vzr broo

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Місяць тому

      Huyu sio magoma huyu ni Mgumi. ,,,,Magoma ndio mzee anaeleta njaa, Zamani walikuwa wanaenda klabuni kukinga,,Sasa hivi akuna hiyo ndio mzee ana mind

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 Місяць тому

    Huyo Mzee Magoma wala siyo ni tapeli wa viwanja anashinda kila siku pale Ardhi House

  • @enockjoseph3818
    @enockjoseph3818 Місяць тому +1

    Fact ni kwamba Mzee alitaka apewe nafasi flani ambayo atakuwa anapata chochote kitu halafu awe na sauti pia ifike sehemu tukomeshe huu ujinga na hii inshu jamani tunaimaliza sisi mashabiki juu ya huyu Mzee timu ikifanya vizuri wasemwe wakifanya vibaya wasemwe mashabiki tumvae huyu mtu kwanza alikuwa mwanachama huko katoka kwahiyo Sasa hivi sio mwanachama tunahangaika nae vipi ?

  • @maryfides591
    @maryfides591 Місяць тому +1

    Uyo mzee hanatafuta kifo tu😮

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi Місяць тому

    Magoma 😢😢

  • @GULIELMAS
    @GULIELMAS Місяць тому

    Wazee msibaguane. Huyo mzee magoma ni mzee mwenzenu msimtupe kwa namna moja ama nyingine. Ukimsikiliza utagunduwa kitu. Clabu mliipokea toka kwa Wazee mkiwa kitu kimoja iweje Leo mu mtenge? Bila shaka kama mngalikuwa mna jinsi ya kuwaangalia hao Wazee wala wasinge peleka case mahakamani. Acheni uroho juaneni.

  • @user-ck6lf9gg6v
    @user-ck6lf9gg6v Місяць тому

    Shida tumachagua watu kwa weredi wa kusema sio kwa uwezo wa elimu tutafute viongozi bora hakuna anaewatuma ni uwezo wao tu umefika mwisho eti unaomba ngoja niseme unasema ujinga njaa tu sasa kuwa mwanachama toka 77 umesaidia nini

  • @gaddafiswallahbawazir7999
    @gaddafiswallahbawazir7999 Місяць тому

    Magoma mirembe anaitajika 😂😂

  • @MonahMosafiri
    @MonahMosafiri Місяць тому +1

    Mbele daima nyuma mwiko

  • @saidseleman2973
    @saidseleman2973 Місяць тому +1

    Ilo jambo la kishelia amuezi kutoa maamuzi

  • @tabasamtv6728
    @tabasamtv6728 Місяць тому

    Najaribu kujiuliza swali hv kuna Club za Nje ya Nchi zina wazee kwenye uongozi wanaojiita baraza.

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 Місяць тому

    Kagoma jeshi la MTU MMOJA (Putin)

  • @user-kz8di5th6e
    @user-kz8di5th6e Місяць тому

    Uyo ni paka kama mapaka walio mtuma

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn Місяць тому +1

    Hili pepo kagoma linatoka wapi?

  • @nuruelsamiu
    @nuruelsamiu Місяць тому

    Kajib mahakamn

  • @IbrahimMohammed-f2t
    @IbrahimMohammed-f2t Місяць тому

    Magoma anakitu nimegundua sasa mwnachama anafaidika na nn kwanu mashabiki na wanachama😅😅😅

  • @yuzolove7120
    @yuzolove7120 Місяць тому

    Huyu magoma tutampiga mbuzi kagoma mpuuzi sana

  • @AbdulMuhammed-e5q
    @AbdulMuhammed-e5q Місяць тому

    Me ctaki kusikia kuhusu injineer kuondok na kama akiondok tunahama yanga

  • @LisiasiFanueli
    @LisiasiFanueli Місяць тому

    Huyo Hakim alieamua hiyo kesi anafi........

  • @KhamisHassan-ql5ut
    @KhamisHassan-ql5ut Місяць тому

    HEBU HUYO MAGOMA TUACHIENI SISI HUKU ZANZIBAR TUMFANYIE KAZI