uko kimya sana kama hakuna wazir, sion bidii yoyote umefanya kwa wanaotekwa, wanaoteka , wanaobaka , wanaolawiti wote ni kundi moja, yaan ww wazir mm sikuelew kabisa.
Kwa jeshi letu linafanya kazi kimazoea na siyo kwa ubunifu wa mmoja mmoja wala siyo kama jeshi kwa ujumla wake. Wanaamini kuwa vitisho vitaleta suluhu!
Hii nchi ni ngumu sana mh tundulisu alipigwa risas mchana kweupe watu wanatekwa police wanau watu nchi yetu imekuwa si salama kabisa wazir ajiuzulu tu sina koment nyingine
Kuna habari sasa hivi za Makonda kupotea na kupewa sumu mwandishi wa habari kama huyu aulizwe habari hizo amezipata wapi kama sio kweli achukuliwe hatua.
Kwani hawa Wazanzibar wamekosea nini acheni na ubaguzii kuwa waziri hawa Marais wanaotawala huku Zanzibar si Watanganyika na Mawaziri ndio watupu mbona munawachukia Wazanzibar wakati huku Zanzibar wako hata DC RC na hata Mawaziri na Masheha mbona Wazanzibar hawasemi lolote au wao hawaumii munao umia ni nyinyi tu.
Mbona unamzungumzia watoto tu je watu wazima! Hivi huyu waziri hajui yanayoendelea nchini wakati hata sasa kuna taarifa za watu kutekwa au ndyo mnaosema wamejiteka na kijipiga risasi???
Tukumbuke!! Maadui wa hii nchi na wale wenye jucho la husda BADO WAPO. Nia yao ni kuasudio la kuichafu ili ATI AONEKANE HAWEZI Mama mwenyewe kwa mdomo wake aliawma, " Vyama pinzani ukiwatekelezea yalio kwenye TARATIBU ZILIZOPO HAWANA TATIZO. Tatizo lipo kwa wavaa nguo za KIJANI!"!.
Jeshi la Polisi ni UKWELI WANAFANYA KAZI YAO KWA 80% (nionavyo) ila TRAFIKI WA BARABARANI NI 45% tatizo . Wizi wamefanikiwa kwa zaidi 95% Naomba tusijeTUKAWANYOOSHEA KIDOLE JESHI LA POLISI. TUWACHUNGUZE WAZEMBE WAPISHE!
Tuambieni wasiojulikana mmewakamata wangapi? Watu waliotekwa na mmewawakoa wangapi? Mh. Umesema mnapambana na wanaoteka watoto. Je hao wanaotekwa na magari kuteswa na kutupwa msituni taarifa yake ni vipi?
Serikali inafaidi nini kuwa na waganga wa ramli karne hii? Futeni usajili tubaki na utabibu wa kawaida kama nchi zingine dunia iliyoendelea. Wananchi wanafahamu nan mpiga ramli chonganishi na nani ni.mtabibu bila ramli. Wizara inayotoa usajili iwajibike kufuatilia mienendo ya waliowapa leseni. Hata baadhi ya madhehebu yanaendeshwa kishirikina lakini mtoa leseni.achukue hatua stahiki kuyaadhibu. Mamlaka za usajili zichukue hatua za kiuchunguzi je masharti.ya leseni yanafuatiliwe vilivyo? Wananchi tuwe bega kwa bega na serikali hasa kutoa taarifa sahihi.
Makondoo ni watanganyika siyo Zanzibar jeshi la lenyewe linadili n'a chadema mambo ya watu wanakufa wenyewe hawajui waza'zibar qanapokezanakuja kuja kwa wajinga
Nimeamini Serikali ya Mama ipo makini. Hata asemwa vibaya hadharani, MSICHOKE, heri wasemao kuliko wale NDUMA KUWILI. AMANI, UPENDO NA MSHIKAMAO NDIYO VITU VYA KWANZA!. MAENDELEO misingi yake ndiyo hiyo!!
Mheshimiwa waziri mimi majuzi nimeona video mtu akimwagiwa mafuta na kuvalisjwa tairi bovu na kuchoma moto kwa tuhuma za kutaka kuteka mtoto je! Kama ni kweli polisi ilifikia wapi kiupelelezi
hivi ninyi viongozi uchwara kuweni na haibu basi atakidogo, yani mtu anatekwa nayeye mwenyewe anasema police wana usika, alafu we unasema nchi iko safi acheni ubwege, tumechoka propanganda zenu wajinga sana nyie yani mpa nchi ikamwage damu ndio hakili zenu zita funguka,,?
wazir wa mambo ya ndan ( Hamad Masaun) jihudhuru, hufai kabisa kuwa kiongoz
uko kimya sana kama hakuna wazir, sion bidii yoyote umefanya kwa wanaotekwa, wanaoteka , wanaobaka , wanaolawiti wote ni kundi moja, yaan ww wazir mm sikuelew kabisa.
Uyu waziri sijawai mwelewa hata kidogo
Hafai hata kidogo
@@leokamil6284huyu anabebwa na mama mbona kwa JPM alifeli kabisa
ajihudhuru, hafai kabisa, na hata mm simwelewi kabisa ni kama sanamu
KUTOKA ZANZIBAR, DIRECT KUJA KUWA WAZIRI WA WIZARA NYETI TANGANYIKA. HIVI MTANGANYIKA ANAWEZA KWENDA KUWA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI ZNZ
Huyu jamaa anamaliza bando langu
Jeshi la polisi lilishapoteza legitimacy Mwananchi ni bora kutafta haki yake kwa njia nyingine si jeshi la polisi
Wewe husikii anawatetea kwa kuwa wanamlinda yeye .Hizi nani anamuelewa Waziri huyo wa mambo ya ndani?.Kwa mtazamo wangu hafai hata kidogo
Tatizo lenu hamtaki kukosolewa au kuambiwa ukweli mnapenda kusifiwa vitu ambavyo havipo
Kunausalama gan watu wanatekwa ko nisalamaa watoto wanapotea ko nisalamaa Kwa kupotea Kwa wa toto na kutekwa Kwa watu wazili mwoongo mkubwa
Ndiyo aina ya viongozi wetu
Huyu waziri kichefuchefu anatoka nchi gani
Kwa jeshi letu linafanya kazi kimazoea na siyo kwa ubunifu wa mmoja mmoja wala siyo kama jeshi kwa ujumla wake. Wanaamini kuwa vitisho vitaleta suluhu!
Unaleta siasa kwenye maisha ya watanzania
Tumechochewa hapo et wazr wambo ya ndaniiiiiiiiii!
Kweli upo vizuri mama kombo analia😊
Hii nchi ni ngumu sana mh tundulisu alipigwa risas mchana kweupe watu wanatekwa police wanau watu nchi yetu imekuwa si salama kabisa wazir ajiuzulu tu sina koment nyingine
Ndio waziri wa kwanza anayeangalia tumbo lake hata barabarnani mageti kibao tumedi kulekule
Hafai lakini upole wetu ndio matokeo haya
Huyu kiongozi hajitambui natamani angevaa siku kiatu anachopia mwanainchi Huyu ni kilaza mkubwa anajitekenya mwenyewe
Ninyi endeleenitu sikuzinakuja
Daah. Kwer ina mana huyu mwamba. Ana ishi dubai au wende hajui kinacho enderea
hana sifa ya kuwa mwamba
Gazeti la mwananchi!!!!??
Kuna habari sasa hivi za Makonda kupotea na kupewa sumu mwandishi wa habari kama huyu aulizwe habari hizo amezipata wapi kama sio kweli achukuliwe hatua.
Mheshimiwa waziri nakuomba kwa jinsi hali ya upotoshaji wa habari na ukweli waandishi wa habari hao wangechukuliwa hatua kali.
Kwani hawa Wazanzibar wamekosea nini acheni na ubaguzii kuwa waziri hawa Marais wanaotawala huku Zanzibar si Watanganyika na Mawaziri ndio watupu mbona munawachukia Wazanzibar wakati huku Zanzibar wako hata DC RC na hata Mawaziri na Masheha mbona Wazanzibar hawasemi lolote au wao hawaumii munao umia ni nyinyi tu.
Mbona unamzungumzia watoto tu je watu wazima! Hivi huyu waziri hajui yanayoendelea nchini wakati hata sasa kuna taarifa za watu kutekwa au ndyo mnaosema wamejiteka na kijipiga risasi???
MUNGU gani huyo unamtaja wakati kila kona kilio wizara unayoiongoza inahusishwa na mateso ya wananchi
Tuache siasa baba.
Mbona hata watu wazima wanatekwa mmh
Tanzania haijawahi kuwa na Waziri ambae haeleweki kama huyu
Uhalifu kupungua ,je vituoni mahabusu wamepungua
Hotuba kaandikwa au niaje mbona anafanya kuisoma
Hakuna mungu wa kutujalia wrong myself wewe labda upewe uongozi huko huko kwenu soo huku...
ILA BORA UTUONGOZE WEWE KULIKO HUYO MTOTO WA MAKAMBA
Hivi hawa wauliza maswali kama wanaogopa kuuliza maswali mbona kuna kesi mahakamani kuuawa kwa albino?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uswe tukuti asee
Hakuna usalama unavyoongea TU inaonyesha hujui unasoma ulichoandikiwa hakuna kit
Hawa wanahabari wa Tanzania ni vichekesho wanauliza maswali ya uwoga uwoga tu pumbavu
Tukumbuke!! Maadui wa hii nchi na wale wenye jucho la husda BADO WAPO.
Nia yao ni kuasudio la kuichafu ili ATI AONEKANE HAWEZI
Mama mwenyewe kwa mdomo wake aliawma, " Vyama pinzani ukiwatekelezea yalio kwenye TARATIBU ZILIZOPO HAWANA TATIZO. Tatizo lipo kwa wavaa nguo za KIJANI!"!.
Jeshi la Polisi ni UKWELI WANAFANYA KAZI YAO KWA 80% (nionavyo) ila TRAFIKI WA BARABARANI NI 45% tatizo . Wizi wamefanikiwa kwa zaidi 95%
Naomba tusijeTUKAWANYOOSHEA KIDOLE JESHI LA POLISI.
TUWACHUNGUZE WAZEMBE WAPISHE!
Acha kudanganya watu sativa na hao wanaotekwa na magari vp
KWA NINI?WAZIRI WA MAMBO YA NDANI MAMBO MENGI YANATOKEA HUTOKI KAMA ULIVYOTOKA LEO? UZALENDO SIKU HIZI UKO WAPI LITOKEE LIPI ILI UWEZE KUJIUZURU?
Tuambieni wasiojulikana mmewakamata wangapi? Watu waliotekwa na mmewawakoa wangapi? Mh. Umesema mnapambana na wanaoteka watoto. Je hao wanaotekwa na magari kuteswa na kutupwa msituni taarifa yake ni vipi?
Serikali inafaidi nini kuwa na waganga wa ramli karne hii? Futeni usajili tubaki na utabibu wa kawaida kama nchi zingine dunia iliyoendelea. Wananchi wanafahamu nan mpiga ramli chonganishi na nani ni.mtabibu bila ramli. Wizara inayotoa usajili iwajibike kufuatilia mienendo ya waliowapa leseni. Hata baadhi ya madhehebu yanaendeshwa kishirikina lakini mtoa leseni.achukue hatua stahiki kuyaadhibu. Mamlaka za usajili zichukue hatua za kiuchunguzi je masharti.ya leseni yanafuatiliwe vilivyo? Wananchi tuwe bega kwa bega na serikali hasa kutoa taarifa sahihi.
Polisi wanafanya kazi kubwa gani,? Labda ya kupoteza watu
Si wanawalinda wao ndio maana hajali
Mzenji
M
Tunamtaka Makonda
Makondoo ni watanganyika siyo Zanzibar jeshi la lenyewe linadili n'a chadema mambo ya watu wanakufa wenyewe hawajui waza'zibar qanapokezanakuja kuja kwa wajinga
Nimeamini Serikali ya Mama ipo makini.
Hata asemwa vibaya hadharani, MSICHOKE, heri wasemao kuliko wale NDUMA KUWILI.
AMANI, UPENDO NA MSHIKAMAO NDIYO VITU VYA KWANZA!.
MAENDELEO misingi yake ndiyo hiyo!!
Je Ile taarifa ya gari la mafuta kugeuzwa kuwa chombo maalum ya kubebea watoto ni vipi
lile gari lilibeba wahamiaji haramu na sio watoto tuache kuongeza chumvi
Mambo ya ndani kombo mpeleken hoapitali kidole kinanza tumbo limefurugika police mnakaa na mtu badala ya kumpeleka hosp
Mheshimiwa waziri mimi majuzi nimeona video mtu akimwagiwa mafuta na kuvalisjwa tairi bovu na kuchoma moto kwa tuhuma za kutaka kuteka mtoto je! Kama ni kweli polisi ilifikia wapi kiupelelezi
HUYU WAZIRI NI SHOGA, ETI WATU WANATESWA KISIASA👁️👁️! RUDI KWENU ZANZIBAR JISHOHA
Hshaha😂😂😂😂
Mdogo wangu masauni kazan sana lazima uwe mkali usipochukua hatua afirika imebadirika lejesha macaroni wa nyumba kumi
Lejesha mabarozi wa nyumba kumi
@@Omarjumanne-zm9zh Ibrahim Troure wa Burkina Faso Ni kidume kweli naongea bila shida anakabili maswali ya Aina yote
hivi ninyi viongozi uchwara kuweni na haibu basi atakidogo, yani mtu anatekwa nayeye mwenyewe anasema police wana usika, alafu we unasema nchi iko safi acheni ubwege, tumechoka propanganda zenu wajinga sana nyie yani mpa nchi ikamwage damu ndio hakili zenu zita funguka,,?
Nenda tu kwenu zanzibar huku tanganyika tumewachoka
fake news serikali iwe kali world wide fake news ni uharifu😟