Ambwene Mwasongwe. Kwa nyimbo zao umewakaribisha wengi kwa Mungu. Unavyovaa, unavyo nyoa nywele inafanya wengine wasiwe na mashaka na wewe. Kuna watu anaweza akawa ameimba wimbo mzuri lakini amevaa vibaya sana. Hapo kwa mtu anayetaka kumkaribia Mungu kwelikweli anakosa amani ya kuusikiliza labda watakaovumilia ni wale wanaosema Mungu huangalia moyo wala siyo mavazi au unyoaji. Wasijue kimtokacho mtu ndicho kiujazacho moyo wa mtu. Jitahidi kuendelea kusimama na Mungu katikati ya ulimwengu wenye ukengeufu ili uwavute wengi kwa Mungu
Amen,napenda sana nyimbo zako Ambwene Muda mwingine mpaka natamani ziweke zote kwa pamoja. Mungu akuhifadhi sana na akupe enzi kwenye utumishi wako,asikupungukie wala asikuache daima.
Jamani watumishi wa MUNGU muliyopo duniyani pote naitwa nabii bikemwa mwimbaji wa nyimbo za injili kutoka DRC congo munisaidiye ku sambaza Channel yangu ao link zangu apo UA-cam mukiandika jina la nabii bikemwa na MUNGU atafurayiya ilo jambo
This is was a prophecy to come 2020..wingu jeusi LA laana nililifika uliwenguni kote wingu lenyewe ni corona...it was a prophecy... Nilipo sikiza wimbo huu nililia sana nika muliza Bwana itakua aje Yesu siri hii ni gani but hapa kua na jibu..
Nikiskiza huu wimbo nakumbuka maovu,mateso na uchungu niliofanyiwa na familia fulani na (Nyagaka family)niliwaachia Mungu kwa sababu amesema :vengeance is mine says the Lord and I shall surely repay.
When I watch these song it just heats my heart and I feel the presence of almighty God Glory be to you everlasting God ,,the song carries creat message
Mungu akulinde na kukupanua zaidi kwa mafundisho mazuri kupitia nyimbo pia napenda kujua ratiba zako za makongamano ambayo hua unaalikwa kupafom kiukweli upo Vizuri Mcfrank.mtumishi top in the world
Hii ni kati ya nyimbo zako zinazonigusa kijana usiyeringa nimekutana nawe zaidi ya mara mbili Mungu akubariki zaidi kuinua vipawa vilivyomo ndani yako 2020
Barikiwa Mtumishi wa MUNGU akufanyie wepesi katika Magumu unapopitia Nguvu ya Adui isiwe na Nafasi juu yako na ww usikilizae huu wimbo ukafanyike Baraka ya kukuvusha katika Jaribu ulilonalo ila ole wako walionakilio juu yako. Tujifunze kwa watu wenye kiburi mwisho wao walifika wap Hakika Mungu ni mkuu
Nangalia bado 2024😥🙌🙏
So am not alone watching still
Ambwene Mwasongwe. Kwa nyimbo zao umewakaribisha wengi kwa Mungu. Unavyovaa, unavyo nyoa nywele inafanya wengine wasiwe na mashaka na wewe. Kuna watu anaweza akawa ameimba wimbo mzuri lakini amevaa vibaya sana.
Hapo kwa mtu anayetaka kumkaribia Mungu kwelikweli anakosa amani ya kuusikiliza labda watakaovumilia ni wale wanaosema Mungu huangalia moyo wala siyo mavazi au unyoaji. Wasijue kimtokacho mtu ndicho kiujazacho moyo wa mtu.
Jitahidi kuendelea kusimama na Mungu katikati ya ulimwengu wenye ukengeufu ili uwavute wengi kwa Mungu
Mungu akubariki kwakwel na kukutia nguvu katika kazi zako amina
Amen
Ushauri mzuri sanaaaaaa... Natamani ningekujua ndugu nikakununlia japo maji ya kunywa ... Lakin Mungu akubarik
Amen 👏
Ubarikiwe San mtumishi
Ee Mungu mguse mke Wang Sofia kupitia huu wimbo alinisaliti mchana kati hanitaki tena niliumia sana nlimuomba msamaha lkn wapi
Tulio angaria hii nyimbo zaid ya mara moja tujuane barikiwa sana mtumishi wa mung.
I really appreciate this song✨. Ata Mara kumi sichoki jamn
Vincent Massawe kibamba
Kwa afya ya mwili na ya Roho huwezi kuchoka kuangalia wimbo huu
Amina
Amen
Ole wako nchi isiyo na hakii 😰😰😰😰
Barikkiwa Sana rafiki kazi yako njema sana
Amen,napenda sana nyimbo zako Ambwene Muda mwingine mpaka natamani ziweke zote kwa pamoja.
Mungu akuhifadhi sana na akupe enzi kwenye utumishi wako,asikupungukie wala asikuache daima.
Mungu akuzidishie afya njema mtumishi wake
Ambwene nimekupenda ghafla hakika Mungu Akupe maisha Marefu tuzidi kuvuna matunda yako Mungu aliyo kukirimia Hongera Mtumishi.
Ambwene na mrisho aka mjomba ni ndugu Coz naona wote mnabusala sana
Jamani watumishi wa MUNGU muliyopo duniyani pote naitwa nabii bikemwa mwimbaji wa nyimbo za injili kutoka DRC congo munisaidiye ku sambaza Channel yangu ao link zangu apo UA-cam mukiandika jina la nabii bikemwa na MUNGU atafurayiya ilo jambo
This is was a prophecy to come 2020..wingu jeusi LA laana nililifika uliwenguni kote wingu lenyewe ni corona...it was a prophecy... Nilipo sikiza wimbo huu nililia sana nika muliza Bwana itakua aje Yesu siri hii ni gani but hapa kua na jibu..
Naangalia bado 2021.. Hakika 😭😭😭😭
Nyimbo nzur sana
Mungu akutunze.kila nipozisikia nyimbo zako.mara nyingi najikuta naomba Kwa kunena Kwa ruga.ni nyimbo zenye upako usio wa kawaida.na ujumbe mzito.
Ukweli mtupu wengi wamefunguka macho kupitia uimbaji wako barikiwa sana mtumishi wa mungu.
Huyo binti wa mwisho anacheza vizuri mwenye sketi pana. Laki nawapongeza wote
Amen huu wimbo Kuna umenivusha barikiwa bro
Pongez sanaa mtumish mungu aendelee kuibark kaz ya mikono yako nyimbo zako zanibark sanaa
I recently discovered you,but man oh man,your a blessing for me at this moment in my life.
💞from TRAVERSE CITY ,MICHIGAN 🙏
Naona huu wimbo ni wakati wake. Nchi isiyo na haki, watu wasio na haki nk....
Good song from Ambwene Mwasongwe. Barikiwa sana mtumishi wa mungu.
Huu wimbo unanifanya nitende haki kwa kadri Mungu atavyonifunulia
Naogopa sana kuambiwa umenidhulumu
Hasa kwa wanaofanya kazi kwangu
Amen habakuku 2:1-5
Ambwene nyimbo zako zinanifanya njifunze mungu Kila cku mungu akubariki sana
Amen 💕
@@lilianmbalozi5664 ó
Ambwene pesa inamwisho tunapenda kudanlodi ilaumefunga fungua kilakitu kitafunguliwa kwako asante
Hongera sana Abwene Kwa huu wimbo mzuri umenigusa mm
Kuna wakati nilipitia magumu...nikatamani nife,wimbo huu ulinihudumia Sana ...Mungu akubariki mtumishi
Hiii nyimbo kwangu ni kila siku nilidownload lakini lazima nije huku kusikiliza, Asante ndugu Ambwene 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Nikiskiza huu wimbo nakumbuka maovu,mateso na uchungu niliofanyiwa na familia fulani na (Nyagaka family)niliwaachia Mungu kwa sababu amesema :vengeance is mine says the Lord and I shall surely repay.
Tukukimbuka sodoma kuchomwa moto na Mungu ni thulma kuto kutii nandokilip kwa sasa Mungu atupe mwisho mwema Mungu turehem
Tusamehe
Ubalikiwe sana ambwene nyimbozako zinaujumbe
This song hit me different 2020 after passing through a lot ...HAKI YANGU IPO KWA MUNGU,RIGHT?
Thanks kaka Ambwene for preaching ubarikiwe!
Still love this song in 2021! 🇿🇦🇿🇦🇿🇦
🙏🙏🙏 Hakika Mungu Azidi kukutunza Broo unanibariki sanaa
When I watch these song it just heats my heart and I feel the presence of almighty God Glory be to you everlasting God ,,the song carries creat message
so beautiful song full of teachings on repentance
Am blessed by this song my brother. GOD increase you. Hallelujah
MTUMISHI AMBWENE, WEWE NI CHOMBO HATARI SANA CHA BWANA UZIDI KULINDWA NA NGUVU ZA MUNGU KWA JINA LA YESU
Daaaaa mkuuu nyimboo zako zinanikunaga sanaaaa hakika mungu akuongezeee maarifa zaidi
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU.unapotubari na nyimbo nzuri nazipenda sana❤❤
Barikiwa mtumishi Mungu azidi kukuinua juu zaidi kwaviwango vingine
Mungu akulinde na kukupanua zaidi kwa mafundisho mazuri kupitia nyimbo pia napenda kujua ratiba zako za makongamano ambayo hua unaalikwa kupafom kiukweli upo Vizuri Mcfrank.mtumishi top in the world
Wewe ni mtumishi bora sanaaaa ubarikiwe kwa huduma yako bro @mwasongwe
We jamaa yangu una kipaji napwndaga in navokujaga hapa kinondoni Revival church
Barikiwa Kila siku lazima nisikilize huu wimbo kama si asubuhi basi mchana barikiwa
Mungu niumbie moyo wa toba na kusamehe wanaonikosea,
Hii ni kati ya nyimbo zako zinazonigusa kijana usiyeringa nimekutana nawe zaidi ya mara mbili Mungu akubariki zaidi kuinua vipawa vilivyomo ndani yako 2020
Mungu anatujali kuliko rafiki kuliko ndugu kuliko yoyote yule yesu ni rafiki wa kweli
This is so touching .....I just can't say how drawn i become while listening To it....very blessing....:)
Hallelujah
Ole wako nchi isiyo na haki ole wako watu wanaodhulumu
Amina sana! Utukufu wa Mungu utufikie wote tuonasikiliza huu wimbo
Mmie Alphayo omwega mogunde from kiango village Bombaba sub location Kisii county,i like this song very much.
Napenda sana nyimbo zako na barilikiwa sana
Amen MUNGU akubariki Sana Kaka yangu,,ujumbe mzuri mno🙏🙏
Your song's Man of GOD keep going am blessed alot ....
Jamani abwene unanigusa sana umenibadilisha aise mananyimbozako zinamafundisho
Ubarikiwe sana Ambwene nyimbo zako zina ujumbe unao gusa
Olewako uoneaye aisee hii vase inaumiza sana
MUNGU tuhurumie sisi wakosefu
Nabarikiwa sana na nyimbo zako kaka
2022 still the song is doing well
2020 Nautazama wimbo mzuri
Wimbo mzr sana barikiwa sana kaka kwa kaz njema
Namaliza mwaka kwa wimbo huu nipo mbeya
Kaka yangu wewe ni mtu wa Mungu
This is a great song all times. Whenever I hear this beautiful voice my soul gets lifted high and high...
My 0
Amen
Duuuu kweli uko makin
Hakika Mungu wangu simama na familia Yang katika kipnd hiki kigum
Ooh my Lord ! Mpe ufunuo huyu mtumishi anagusa jamii
nice song this is message from the god. godbless you
Barikiwa xana ambwene napenda xana nyimbo zako ofcoz zinanibariki sanaaaaaaaa. Mungu akutie nguvu uzid kusonga mbele.
Jackson ahsant tunabarikiwa
huu wimbo umenigusa sana kwa kweli. asante mtumishi wa Mungu
Kabisa
Mutumishi kumbuka utunzi wa zaman usishinda e na watu wamepotea
Wimbo mzuri kuna cha kujifunza hapa mungu tusaidie
Listernig to this song today 31st of August 2022,very Powerful! Thanks Ambwene.
Amina sana ubalikiwe kweli tutende mema hata usiye mjua
Barikiwa Mtumishi wa MUNGU akufanyie wepesi katika Magumu unapopitia Nguvu ya Adui isiwe na Nafasi juu yako na ww usikilizae huu wimbo ukafanyike Baraka ya kukuvusha katika Jaribu ulilonalo ila ole wako walionakilio juu yako. Tujifunze kwa watu wenye kiburi mwisho wao walifika wap Hakika Mungu ni mkuu
Ubarikiwe mtumishi wa mungu akutiye nguvu asante kwaku tu bariki kwa nyimbonzuri
Nimebarikiwa sana.natamani tuonane
Naipenda sana hii nyimbo. Patana haraka na mshitaki. Barikiwa sana mtumishi Ambwene Mwasongwe.
Kweli nabarikiwa sana, napia najifunza kitu
I love thé song .....be blessed servant of God
thanks and god bless your art
👋👋👋👋
March 2021
Best of the best thank god🙏
Mungu anamtumia vyema mtumishi wake
You are a blessing to many brother. I am blessed.
Nimeangalia huu Wimbo zaidi ya 50
My favourite gospel singer. I lovehim so much
Love song
Amina
Barikiwa mtumishi huwanabarikiwa nanyimmbo zako sanaa
This song will never be forgotten in my life when my husband faced troubles at place of work. Be blessed servant of GOD
Mungu akupe maisha marefu mpendwa
I love this song so much 😍
Nafarijika nisikiapo nyimbo zako
Nabarikiwa sana na uwimbaji wako.Mungu aendeleee kukuinua
Unatisha Sana gwakukaja
Ndani yako kuna hazina ya BWANA
Utunzwe na JEHOVAH Ambwene
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu.
❤❤❤❤❤ barikiwa mtumishi wa mungu
This song is the biggest lesson in our life with a lot of blessings
Barikiwa mutumishi wa Mungu
Mungu akubariki sanaa
Watching in 2022 OCTOBER
Bwana akubaliki Sana brother
wimbo mzur sana so napenda gospel kama hii, god blessd bro
Ngoma nzurisana mtumishi wa Mungu ubarikiwesana
Barikiwa mtumishi wimbo huu unaniumiza Sana.
Nyimbozako na zipendakasana
Tutende mema Yesu Yuaja upesi
2021
😭😭😭😭mng nsamh mm mweny dhamb