Nabii John Said Mutuka na Mkewe Martha Mwaipaja sasa Injili ni moto ndani na nje ya Tanzania
Вставка
- Опубліковано 17 тра 2018
- SUBSCRIBE HAPO JUU
Kama ulikuwa haufahamu kwamba sasa makanisa yao yapo sehemu nyingi Tanzania pia wameendelea kuwasomesha watoto wenye mazingira magumu ki elimu kwenye shule yao jijini Dar es salaam, habu itazame hii
tembelea WEBSITE YETU
bmtvtanzania.com/
INSTAGRAM
/ bmtvtanzania
FACEBOOK
/ bmtvtanzania
Mungu awabariki sana hua nabarikiwa sana na nyimbo za dada Martha
I love Martha mwaipaja sana 🥰🥰 ana nyimbo za kufariji moyo sana from Kenya 🇰🇪
Nice
Ni siku za mwisho
Muhun tuu hyu hufai kbsa mchg gn unatamaa
Amen. Mungu awabariki sana Watumishi, Mungu azidi kuwapigania Muendelee kutoa Huduma za kiroho.
Glory to God. Your wife's ministry is a great blessing to many...I really like her songs. Kindly share the song played at the end of this video.
mungu awabariki mzidikutupa huduma
Amen, Mungu awabariki Sana watumishi
Mtumishi wewe ni kioo cha jamii, kucha zako ni ndefu, ingekuwa vyema ukazikata, kuna vitu vingu tunaviangalia
Yesu ni Bwana
Mungu akubariki sana
Amen.my God bless you .with you're family.
Ameni lakini nabii upaswi kuwa hivyo kumsaliti dadangu Martha Fanya bidii mrudiane mungu awabariki
Hakuna manabiii saiv wewe jiite mchungaji tu inatosho huko kungineko unadanganya
mungu akubariki sana mungu azidi kukuinua katika huduma yako
Dada Martha , Mungu yupo na wewe dadangu
Mbarikiwe sana na Mungu awaongoze katika huduma ya uinjilisti
Mnasikitisha sana ,ila Mungu awatetee coz hakuna aliyemkamilifu chini ya jua sisi sote tumepungukiwa na utukufu wa Mungu.Mungu na aihuishe tena ndoa yenu
Mungu akubariki sana,Umechangua dini kulingana na maamuzi yako,waislam wengi n wapinga kristo,Tuombe mungu pia awabadilishe kwa mungu hakuna cha dini sisi wote n wamoja,Karibu sana ndugu
.
Mungu akuinue zaidi ane
Mungu awabarki Kwa utumishi
Asante kaka yangu mungu akuzindishie Zaidi .
mbarikiwe sasa mungu azidi
Martha nabarikiwa na nyimbo zako sana.
Ameni
Kama kuna kitu wana wa Mungu tunafeli ni pale watu wanapookoka kutoka ama kwenye uchawi ama Islamic hua tunapenda kuwaamini nakuwapa nafasi kubwa kama walimu au wainjilisti Ama wachungaji....
MADHARA YAKE
Wengi wametuletea miungu migeni nakututoa kwenye mpango wa Mungu
ANGALIZO
SIKATAI WAO KUPEWA NAFASI HIZO ILA WAKAE SANA KUJIFUNZA KWELI YA MUNGU NA IKIWEZEKANA WAWEWASHIRIKA TU MPAKA HAPO MUNGU ATAKAPOONA VEMA WAMTUMIKIE KAMA HUYU NITATIZO TAYARI
Nimekusikiliza vizuri ila inasikitisha vile mnajipachika majina..sijui kama umeitwa unavyojiita
mtumishi nin tena kugombana na munaweka hadharani.honestly Martha kwa nin umekubali kuweke mambo yenu Viral.hii unampa adui nguvu.pls usikubali kuachana na Mumeo
Barikiweni Sana,,,napenda dada Martha Sana ....nyimbo zake hunibariki .
Mubarikiwe we na family
Sipendi malaya kabisaaaaa maisha yangu yoteeee
Mko vizur watumishi wa Mungu, msameheane muitengeneze ndoa yenu, msimruhusu shetani awafarakanishe.
Msimpe nafasi aduwi katka ndoa yenu
Be blessed man of GOD
I
Kumbe sio kosa lako,u need deliverance only that,in Jesus name
pray 4 me too pastor and am always blessed with the songs of siz mathah
Unatuambieje kuhusu Yale yaliyo rushwa kwenye mitandao kuhusiana na ndoa yenu?
Amen papaa
Mungu awabariki sana,tuna barikiwa sana na huduma yenu,nidhamu na heshima mnayoonesha kwa jamii
amen
Hizo ma titles jamani
Kwann umemsaliti Martha? Wanaume wabaya sana...hutapata tena mwanamke mwenye busara km Martha
Anna Justine unauwakika gan ana busra uez jua ya ndn mt awez kumsalit mwenzie bure kuna kitu ndani yake
Huwezi jua siri ya kitandani dada
Wewe kwa ujumla hufai hiyo huduma munatudaganya kuwa nyinyi wachugaj kumbe siyo mambo yako tumeyasikia umesality doa yako,haina haja hata kukusikilaza kwakifup hunaaibu,
Umejiita mwenyewe kuwa nabii haukuitwa na Mungu. Ndyo maana unaona ni sawa kabisa kumuacha mke wa ujana wako. Laiti angekuita Mungu kumtumikia hakika ungemuhofu yeye, ukatumia gharama zozote kuinusuru ndoa yako. Leo hii tunashuhudia vituko na mauzauza ukiuliza manabii mitume watumishi wa uongo! Mmeamua kwenda jehanam ya moto mkiwa na akili zenu timamu??
Samahani jamani hivi ni kweli wameachana au ni uzushi tu wa mitandao😓
Msaliti
Asante baba nime furahi kwambe wewe njoo mme wa dada yetu Martha, nashukuru kwa kujuwa nisije pita siku moja bila kusema hi
waoo rg
mnakosea kujiita manabii, ni kwamba mnatabili saizi yatatimia baadae au mi siwaelewi!
Amina mtumishi,nimebarikiwa
Mungu huyu daah...huyu baba kama kweli vile anavyoongea...wangapi tumemsaka baada ya kuskia alivyomtesa Martha...uv mnajua kama amezaa na Angel bernrd aloimba siteketei
Mungu atusaidie🙄🙄
What is the name of song played at the of this video please?
Nataka uniombe mtumishi
Lakn sio mbaya maana saiv shetan ndo anamanabii kwan hata kwenye maandiko matakatifu imeandikwa watakuja manabii wa uongo siku za mwisho
Tunawashukulu.kwa.Huduma.yenu
Barikiweni sana kwa kazi ya kurejesha kondoo za mungu zilizopote katika zizi lake,mungu azidi kuwainua jinsi apendavyo.
Tuko duniani shetani hapotezi muda cha maana ni kuomba kusameheana
Ulimsaliti Martha wakati unajita nabii...PONA KWA JNA LA YESU aakh!!😡😡
Nikweli kabisa msaliti uyo
No school can make prophet or pastor's that is a liars
Nakumbuka ulishawahi nifundisha juu ya habari ya ukuhani na ulisemaga kuwa kuhani ni msiri wa siri za Mungu tena ni mwakilishi kati ya Mungu na mtu mwingine lkn kwann nyie hamkuwa wasiri wa matatizo ya ndoa yenu mpk mmeweka mitandaoni
Sitaki kusahau maneno ya Gamalieli yaliyonakiliwa Matendo ya Mitume 5 mstari wa 36 hadi 39! Kila wakati ni dawa ya moyo.
Do
Halelua mubarikiwe ni yesu amen
Haya maswala ya kujiita nabii tutayatolea majib siku ya mwisho coz unabii mungu ndo alikuw anawapa watu wa kale tena kipind cha agano la kale sasa nyie leten habar zenu za unabii akat saiv tunao wachungaj tu kama yesu alivyokuwa
Kwenda huko ukaombe msamaha kwa mungu nakwa mke wako mmmmmm
Dada matha hakujua inaingia kwenye ndoa na mtu waaina gani akaulize agape
Laana zinakusumbua fyuuu ameokolewa au zimeangamia.!!!! Nabii muhuni
Martha kakumbia kwa sababu y umalaya wako,mnajificha kwny utumishi il mcjulikane? sasa Mungu kakuweka peupe
Yani acha tu alafu watu wanamlaumu matha uyu jamaa mipepo ya umalaya ilimvamia likaanza uzinzi
eti mmeachana?
mweh na mchungaji anadunsua fyuu chaaa ridhika na mke wako
IPO Siku utarudi ulikotokea maana roho ya huko haijakutoka. USO wako unaonyesha unafiki. Macho yako yaonyesha jinsi ulivyo. Una ile ya jihad . Umemsaliti mkeo wewe. 0714520072,
Sasa unabii uliutoa wapi? Ee nabii!? Katika Tanzania ni unabii gani ulowahi kutoa ukatimia?
Hawajui maana ya neno nabii ndo maana hawaogop, lakn huenda hawa ndo manabii wa uongo walio tabiriwa ktk maandiko matakatifu
yan we ndo ulie mcheat dada martha mwehu wew shetan ajakuacha urudi kwenu.ulikotoka😏😏😏😏
Gonja Dunus muhuni sn unamwacha mkeo kisa ujinga
Gonja Dunus muhuni sn unamwacha mkeo kisa ujinga
Nahitj huduma
Sikupendi wewe mkaka yaani ulijua Martha ni mzinzi mwenziwe Yule dada anapigana na Mungu apigani mwenyewe huna lolote wewe kafanye umalaya wako huko kuzimu pumbavuu
Mtabeba mizigo isiyoyenu Muache mungu afanye kazi yake
Ulimsaliti Martha.
Hhhhhhhhh yani wew Mchungaji ni kiboko ngoja nikuhifadhi tu hahahaaa
Amekuwaje Dada?
Siri yangu
hahahahaha
Sema usikie, kama husemi basi ni mnafiki bora using comment chochote ukanuamaza kimya
Unafika
mambo. dada
Mbna mmehama ukonga
Hakuna mwanadamu aliyekamilika
Mmefanana sauti!
Wacha uongo kaka,wewe huwezikua nabii hata siku moja,labda tu NABII WA UONGO
Nabiii wa uongo
Sharon Yasin kabisa
Kwendaa huna jipya!!
Huna cha unabiii Wewe said unavipepo kibao, acha unyamaze tu , unasbb martha aonekane mbaya hivi ,Mungu kakuitaje wewe?Said wake 4 mmoja amekushinda , unamdhihaki Mungu tengeneza na Martha kwanza
Huyu ndo alie kuwa mume wa dada Martha ?????
Ndio sura tyuu inaonesha hafai