Ijumaa hii, LIN BBQ waliandaa tukio la kulisha watoto yatima kwenye ofisi zao zilizopo Sinza. Miongoni mwa watu walioalikwa ni Dora na Tausi ambao tumeongea nao
Dora katulia sana adi raha Tausi mbwembwe nyingi, mpaka zinaleta kelo, mbwe mbwe zake za uswazi uswazi anakitafuna nn, jitahidi Tausi ujibadili zaidi. Ukiwa sehem kama hii kuwa mtulivu kama mwenzio dora.
Dora mzuri jaman sauti yake naipenda Sana tausi nae kadamsh kinomanoma mungu awape maisha marefu
Napendaga sana interview za dora anajua sana kujieleza💖💖💖💖💖
Ila dora umetulia sana tausi mcharuko😁😁😁
Salma Othman nakwambia...
Dora ni msomi na amelelewa mazingira ya masister nadhani ndo maan amekuwa hivyo
Sanaaa anatembua huyo
😂😂😂😂
kweli kabisa taus kihele hele sana anaboa
Nawapenda sana hawa watu Dora na Tausi
Wow nampenda sana Dora mimi
Na tausi pia nampenda
Dora katulia sana adi raha Tausi mbwembwe nyingi, mpaka zinaleta kelo, mbwe mbwe zake za uswazi uswazi anakitafuna nn, jitahidi Tausi ujibadili zaidi. Ukiwa sehem kama hii kuwa mtulivu kama mwenzio dora.
Ukitulia kimyaa utaonekana mzuri ila ukijitia matashtiti sana unaonekana kituko zaidi ya kituko. Ili usionekane kituko acha papala.
Dora mustarabu inaonekana kasoma,tausi uswazi😂😂👍
Dora msomi
Ndio Dora yupo chuo sasa lakini pia kalelewa na masister
Dora kasoma
😂😂
Hongera sn Dora kwamadili mazuri uliyolelewa mwenyez mungu awajalie mwendelee kupendana
Tausi na Dora nyinyi Indio Tz sweethearts
Kabisaaa
Nawapenda sana
Sure they are😘😘
Kwel kabisa
Thats true
Nawapenda sana hawa wa remboo
Nawapendaa xan hawa wa2 jmn daah 😍😍
Dora u r soo adorable N matured.. love ur confidence and class
She is so composed,, I also love her, Dora's voice is great too, she is such a 💎gem
Hhhhhhhhhhhh amazing ,,duh Mungu wew ni mwema asikushukuru wew uyo ni mwehu
Nawapenda sana Tausi na dora,Allah awatimizie ndoto zenu.
Eeeh dora naye eti kikubwa pesaaa♨♨♨♨♨♨
Mmpendeza sana jaman
Dora mpole sana jamani pia mzuri mungu awape maisha marefu nyote wawili
😂😂Tausi unavyoringa jaman khaa 😁😁 jicho kulizungusha kama nini sijui
Aki Dora nakupenda sana💕💕
elmeldah kwamboka 😁😁😁
mbarikiwe wadada zetu warembo😘😘
Tausi unajishebedua sana dadangu kuwa mpole kama dora aky dora ako simple lkn tausi bala hayo macho yanarembuliwa kama ngo'mbe aliefumaniwa
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Aya bna
kila mtu na character yake
Kila mtu the way alivyo usiforce wafanane
Dora kipole ila taus mcharuko kweli he co kwenye michezo tu mpaka sehemu nyengne
hahahahhahahahaaaaa uwiiii kiukweli nimecheka sana mimba jambo la heri
Napenda sauti ya #dorah# af yuko na furaha sana wallah mrembo aisee😙😉
Mungu akusaidie Sana pri..... Esko♥️♥️♥️♥️ fika pale Mungu kakupangia.
OK Dora mwanamke kujiamini uko vzur xana
Wazur lv u guyz mna big confidence xnaa
Tausi mcharuko🤣🤣 sana Lkn nawapenda sn nyie watu ❤️
Dora Mrembo zaidi lakini hapo kabrauzi anakapenda balaaa 😂😂😂😂
Misalaba Charles 😂😂😂umeonaaaaa eeh
Hahaha labda zinafanana
Umeona eee anakapenda had me leo nilijua wamerudia interview kumbe hii ni nyngn🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂
Kweli aisee 😂😂😂
Misalaba Charles Hahahahahaha Hahahahahahha Hahahahahahahah
Nawapenda😘😘
Esko umekuza kipaji hongera sanaaaaa aiseeee Mungu akupiganie nawe ufanikiwe zaidi na zaidi
kidora sura nzuri
Mrembo dora, mashaallah
Jamani mnamuandama taus mbona katulia watanzania nawpenda nyie warembo
Tausi anarembua jmn duh,,,hongren mmedamshi
Wa dada warembo tena wenye eshima na wa penda sana Mungu awape furha kila siku
Mumependeza warembo masha Allah mola awape maisha marefu
Ameen
Tanzania's sweethearts
Ma sha Allah warembo wetu
QUEEN DORA.... mambo n 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nawapendaa nyie xan khaa😍😍😍
Ma sha Allah. Cute and amazing both of them
Mashaallah nawakubali ❤🔥💯
Nawapenda saaaana❤👌👍
Nawapenda sana haoo wdada💋💋💖💃💖😍
Big up kwenu Dora na Tausi 😍😍😍😇😇
😄😄😄😄😄love you freely Tausi, love you more Princes Dorah.
uko sawa doro
Love u from 254...all dah best
Manshallah Tabarkallah warembo wametulia 😗😗❤❤
masha-Allah with a capital A
farida yahya mambo.tausi
mambo
umependeza
Tausi hajambo 😁😁😁😅😅😅😂 ila dora interested nampenda I mean wote I from🇰🇪👉👉❤
Tausi uko vizuri lakini acha ushanta mwanangu tulia,Dorah love u soon much my baby girl
hongern kwa moyo mzurii woyo mzuri
NAWAPENDA SANA hawa 😂😘🔥
kama umemsikia malkia wa muziki wa gospo gonga gonga like apa
weee esko wa sms mbona upo pekeyako mkaka mwingine yupo wapi mm nawapenda sana pamoja na baby sky hivi salamu zangu mnampa
Nyi warembo kweli mwenyezi mungu awabariki kwa msa hada wenu juu ya watoto hao
😍😍😍😍 nawapenda sana
Wow God is Good mmependeza sana very honest
nawapenda wote
Eeeeh mutangazaji umewaka namademu wawiri .big up
Wako vizuri warembo
Warembo kamani ndio haooo mungu azidi kumbariki
Huyu tausi yani huyu angekuwa mrefu kidogo bac bongo watu wangekomaaa heee chashuo hiloo😅😅😅😅😅😅😅😅yani hizonyodoooo😂😂😂😂😂😂
Dora is so humble l like her
nawapenda sana hawa warembo wanajiamini
Nyingi niwazur sana napenda movie zenu
Love you'll😍😍
Dora Mashaaallaaah 💕💕💕🙏🙏Tausi 😂😂😂
nyie ndio tanzanian sweartheart,nawapenda buree
Mko vizuri
Mnapendeza#dora na tausi
Mashaallah mmependza mahabinty
masha-Allah with a capital A
Tsusi nakupenda sanaaa buree kma huna mume niko tsysri uwe my wife
Tausi wasuuza jamani🤣🤣🤣🤣🤣
Mwapendeza kweli lol Dora kako yuu kiasi ata kuongea waah
Little genious
Tauc anajixhonoa mashallaaaah
muko vizuri
MashaAllah
Love you Dora best ake mm tauc jicho hilo
Hahahahaha jaman tauc anachekesha sana hajatulia kabisa shingo inazungushw hiyo
Nawapenda
😂😂😂jamani tausi kuchakuwa km mbuziii ndonin😁😁😁😊😊mbavu zanguuu
Tausi ni mswahili😆😆😆anavyoangaliaaaa
Mie team tausi damu damu lop u tausi👌👌😘😘😘😘😘😘
Jamani nampenda dorah naomba no zako dorah
wewe ni mrembo kwili Dora ❤️
❤❤❤ ❤ ❤ ❤ ❤ ❤ love sns
Namipenda sana
Nakupendaga sana warembo wetu❤❤
Nakupenda Sana Dada Dora
Nampenda sana Dora ana muonekano mzuri
Nice gs
Dorah anaongea kwa utulivu sana
Nawapenda wote
Okio
Na wapenda sana
Congratulations
Dora karembo jaman love u
Love you Dora Tausi punguza nyenyenye
Uko instagram ni shidaa yaa nawapendag bure
Mm nawapenda hawa sababu wanatafuta riziki nawaomba watoa koment wenzangu tuache kuwabeza hawa mungu hawabariki Sana maana yeye ndo mjuzi wa hali zetu
Nimempenda burreeee
Hawa wadada wanajielewa akili kama zote maa shaa allah
Wanjipendaa wanajikupa kutoan n walivyoumbwa n ila ssi wengine n wanene wa tumbo lkn tuna stress km nn
Asante sana
Jamani tausi Huyu hahaahah kila kambi yumo. Dora kapole.
I love u dora and tausi