Ndio maana ctizami movie za kitanganyika maana huelewi ni za kiswahili ama za kizungu mbona huoni wakorea movie zao wakaekti za lugha nyengine wanaweka kwa lugha yao ili watuwao waelewe ila watanganyika wanataka uzungu ikiwa 100% wanazungumza kiswahili ndio mana hawafiki mbali na watachelewa sana tena bado sana
Ubora unaoneka upo vizuri. Sasa wangechangua kuongea lugha moja Kingereza au Kiswahili, wakaweka subtile. Hebu fikiria movie za marekani mtu akiongea awe anachangavya lugha mbili, ki Spanish na Kingereza ingekuwaje. Halafu waongee normal. Jinsi unyoongea Kwa Ku fake, Basi character yako uwe Una act kuwa wewe ni fake. Ama sivyo waongee normal.
Wamefanya jambo zuri, lakin kwa upande wangu wangeleta msisimko zaidi kama wangeiheshimu Lugha ya kiswahili na wasikipe kizungu kipaumbele, Hawajaonesha mchango katika kukikuza kiswahili
😂😂😂, ila #Sky, yaan hivi tu ilete mapinduzi, kipi kipya ambacho wenzao hawajakifanya, MAANA NAONA NA HUMU NI WAUZA NYAGO TU NA SURA na ni MAPENZI TU YALEYALE
Nimependa sura ngeni nyingi, sio kila siku watu walewale kwenye mziki, movie, mtandaoni, inachosha. Twisted inaonekana safiiii
Bado kwenye mpira kila siku misurq ileile
Point
Napenda movies za Tanzania nazipenda walai, much live from kenya
Yani natamani sana brother sky watu wote wa UA-cam channel wanasuppot kazi za wasanii wetu
Yani bongo siku hizi wanajitahidi sana hongera sana yani cinephootgraph nzuri sana
Ni fire 🔥 🔥🔥😍 😅mashallah ni warembo haswa🥰
tyler perry sistas😂😂😂😂😂
😂🙌 kwel kbx
Wow my yasintaaaaaaaaa
Uzuri sns washalipwa waitangaze 😂
Mbona ni kama movie ya kizungu hv afu walio igiza ni wabongo
Quality nzuri saana
Ivi najuliza kwanini wanaigiza kama wazungu na sio maisha uhalisia wa maisha ya mtanzania huu ni uchafu tu na upotofu wakimaadili kwa watanzania
Hakika hakuna cha maana mfano jua kali kuna lipi lakujivunia
Sistas ya kibongo
Alafu wameiga mpaka wanaboa yani. Tyler perry wont like this 😂
😂alaf nilijua nimeona peke yangu😂😂
Aseeh i thought nmefikria peke angu😂😂
Wanaiga sistas ya Tyler Perry hadi pozi za cover yao dah anywey😂🎉
Nothing without Kajala🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Ila Anna nyange😂
Pamoja sna sky💪
Wamejua
Ndo maan anna ameolewa lamata mot unawaka
wabongo kwenyemaigizo mm huwa siwaelewagi kabisa
Hii nayo nzuri sana ila pia kina movie ya mvera kutoka pwani ya Kenya Mombasa imagine inaruka kupitia Netflix ❤❤❤
Mvera ya moto sana
Nliangalia trailer ya mvera nkapagawa nkaisaka nkaikosa. Mana mimi sio mtumiaji wa netflix
@@Bruno4cus mbona haipatikan Netflix jaman,niliona komenti yako nikaingia Netflix kui search but is not...
Jaman haipo Netflix...
@@hopechidera Ipo netflix ila mimi sio mtumiaji wa netflix
Mama nyonzo na prisca liymo 😂🙌
Yeah Bora kahuna wale wale wa kale ...
Hyu queen mulerwa mbna ni kma mrundi vle af na hyo ann nyange ana mzigo hataree adi cjui nakwama wpi mbna sikuwahi kumuona b4.
Bado sana! I siri ya mtungi itabaki kuwa series bora kwa miaka yote
Siri ya mtungi🙌🙌 usingeitaja tu hapa maana haya makorokoro hayawezi ifikia ile kitu
Ndio maana ctizami movie za kitanganyika maana huelewi ni za kiswahili ama za kizungu mbona huoni wakorea movie zao wakaekti za lugha nyengine wanaweka kwa lugha yao ili watuwao waelewe ila watanganyika wanataka uzungu ikiwa 100% wanazungumza kiswahili ndio mana hawafiki mbali na watachelewa sana tena bado sana
Kweli kabisa,Korea,uturuki wanaongea kugha zao na zimeenea duniani kote Kwa kutafusiriwa, Tanzania sijui Wana shida gani
Nilijua2 sky utaanza kuwachambua mademu cz sindio mambo ye2 kupenda mizingo😂
Oya anna nyange ana balaaa😢😢😢
Hakuna jipya
Lbd hii ntaanza kuangalia maana niliacha Huba na jua Kali wanazingua
Wanakera,mi nilihamia golden boy, visa vinaenda chaochap sio huku tunazungishwa upuuzi mtupu 😅
Wanaiga sistas hawa
Inatoka lini hii na italuwepo kwenye you tube au imebireshwa kwa mtandao wa Netflix?!
Ushaambiwa itaruka kwenye app iitwayo hun+ na sio Netflix...
sasa bundala unaposema italeta mapinduzi yann ni sawa na mbwa kumuita jibwa walewale tu
Tayar nishajua itaishaje😅😅
Umesema 😂
Ujuaji wa kijinga...
Weka hapa itaishaje ili ikiisha turudi kwenye comment tukuone nabii
😂😂😂😂😂😂
❤🤗🇹🇿🤩🤲
Ubora unaoneka upo vizuri. Sasa wangechangua kuongea lugha moja Kingereza au Kiswahili, wakaweka subtile. Hebu fikiria movie za marekani mtu akiongea awe anachangavya lugha mbili, ki Spanish na Kingereza ingekuwaje. Halafu waongee normal. Jinsi unyoongea Kwa Ku fake, Basi character yako uwe Una act kuwa wewe ni fake. Ama sivyo waongee normal.
Ulikimbia shule😅😅😅
Wamefanya jambo zuri, lakin kwa upande wangu wangeleta msisimko zaidi kama wangeiheshimu Lugha ya kiswahili na wasikipe kizungu kipaumbele, Hawajaonesha mchango katika kukikuza kiswahili
hakuna ubunifu hapo,copy series z TYLER PERRY ha ha h 🤣😅😂😂😂😂😂.!!!! hakuna ubunifu hapoooooo
😂😂😂, ila #Sky, yaan hivi tu ilete mapinduzi, kipi kipya ambacho wenzao hawajakifanya, MAANA NAONA NA HUMU NI WAUZA NYAGO TU NA SURA na ni MAPENZI TU YALEYALE
Saf kbx
Wangechabgaya na bongo movie icon hata mmoja kwa wananwake ila Mrs energy sio mwanamke jmn mbona hujamtaja
huo upumbav saiv haup kutumia kina wema sepet sijui nm akuna
Kila zama na vipaji vyake.... vijana wapya wenye vipaji wapate ajira