Waiting for the coming series, right from Turkana Kenya. Good job Mr. Ntusuvile, najua nimeandika vibaya lakini samahani Baba Joan aka Mwalimu Mgeni. 💛💛
From Zambia nakupenda sana Mwalimu mgeni,hii movie ilikuwa tamu ya kutosha kbsa...tuko pamoja kwa movie nyingine...aksanteni sana kwa kazi nzuli uliofanya.....
Eeeh jamn mbona tutawamisi sana jamn..!mpaka shule zifunguliwe daah! sio mbaya ni jambobla kumuomba mungu uzima ilii mkirudi mara ya pili muwe na kasi kubwa..ki ukwel napendezewa na hii movie yenu ya mwalimu mgeni...inafundisha sana....na pia nabarikiwa na uimbaji wa patronize..! baba joan endelea kutokata tamaa nae mungu atakuzidishia baraka!nawatakia likizo njema na maandaliz mema ya movie mpya
Twashukuru sana Twakupenda sana Twapenda series unazotuletea Twakusihi uendelee kupambana na tutakupa sapoti na kukuombea Kwa mwenyezi mungu uzidi kupata mafanikio na series unazotuletea
Olaaa wanateam strong mm ndio wa kwanza kwa mwalimu mgeni km wapenda hii movie like apa please ata km uko hamam 🇸🇦🇰🇪💪🔥🔥more love kwenu kwa comment please 🙏🙏
Kwani nimekuwa aje joo😢 naelewa sana kuzidi mpaka mwenye ameandaa hii story 😂😂😂 ni mnaweza nisaidia hiyo Like 5 tu niache kuelewa .❤❤❤ much Love team B. Joan
Tunangojea wapendwa wetu mwalimu mgeni pamoja na wakuu washule na pia patronize na wenye moyo na roho safi wanafuzi wenzake tuwatakia la heri kwa masomo yenu na likizo 🎉🎉🤝🥰🥰
Aaaaah mwalimu mgeni kweli nimekupeda na kunitia moyo kuwa kuna Mungu ktk maisha yetu,,,,,,,umenifunza mengi sana mwalimu mgeni,,,,,,,,I wish ugekua mwalimu wagu gefurai,,,,n wachache wagefanya ka wewe,,,,,,mh nimefurai na kushukuru kwa movies zako Zuri ,,,,,,nikona ww benga kwa benga mwalimu mgeni,,,,, naobe usiwai kikoma hicho kipidi n kizuri sana kwa wanarika hasa watoto wadogo kujifuza mema nashukuru sana,,,,,Mungu akuweke hai na akupe guvu ili kuweza kuedelea kutufuza mema,,,,,I Valerian nimeshukuru sana at my age of 19 years nimejifuza megi sana,,,,,,,ASANTE SANA ❤❤❤❤🎉🎉🙏🙏🙏🙏📚📚📚📚 have those surprises from Church Girl VALERIAN NDUKU good luck teacher
Haaa baba John mbn tena alafu wajua vile nakufatilizia sana bro unafanya kazi ya kweli sio kuigiza tu bali n vitu via kweli sasa basi kipindi hiki cha mwalimu mgeni kinarejea lini baada ya kwenda likizo
Sawa binafsi nimekuelewa, ila likizo likimalizika turudi shule, kwani huwa ninapotazama video hizi huwa napenda sana kutazama na watoto wangu ambao wao wanasoma pia, tunaenjoy kwa kweli,lakini pia tunajifunza kitu kuputia hizi episode zako, kazi njema na songeni mbele zaidi.
Tunaomba uzima shule zikifunguliwa nyote mrudi Kwa usalama na wanafunzi wetu Mungu awabariki na muendelee kukuza vipaji vyenu bado twapenda kuvisikiliza mwatuburudisha na sisi pia watazamaji Kwa kweli, muwe na likizo njema
Mungu huwa hamtupi mja wake na magesa alivo fanya hiv alijua amemmaliza kumbe anamsogeza hivyo no funzo kubwa kwa jamiii kuwa katika maisha usimtegemeee mwanadam huwa hana lolote mwenzako au mambo ya ushirikina mwisho wake huwa ni mbaya sanaaa so people take care....
Sawa Baba Joan 🙌 tamthilia zako zipo vizuri, japo tutaimisi mwalimu mgeni kwa muda tuko pamoja na wewe. Much-love ❤❤😅😅😊
Leo sisemi kitu mm ndio wa kwanza kutoka kenya so much love from baba Joan ❤❤❤❤n maadamu endelea kuwa n chuki 💔💔💔
Big up kwa timu mzima munafany vizur San Ila Ilo wigi la madamu Kam la pungasese 😂😂😂😂😂 alieona Ilo agonge like apa twende saw
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 ameazima kwa punga😂😂😂
😂😂😂😂😂
@@ngumbaohalimah65 kwakweli 😂😂
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣 kama kwely vile😂😂😂
Waiting for the coming series, right from Turkana Kenya. Good job Mr. Ntusuvile, najua nimeandika vibaya lakini samahani Baba Joan aka Mwalimu Mgeni. 💛💛
kwanzia nmeanza kuangalia hii siries sijawah pata like hata 5 jmn nioneen huruma leo
From Zambia nakupenda sana Mwalimu mgeni,hii movie ilikuwa tamu ya kutosha kbsa...tuko pamoja kwa movie nyingine...aksanteni sana kwa kazi nzuli uliofanya.....
Nimempenda mwalimu mgeni sanaa from Kenya🇰🇪
Safi sana baba joan.naitegemea hio sizoni.zizoni zako nazipenda sana ziko na masomo ya kimaisha.big up sana👏👏👏👏
Aaaah sawa mwalim mgeni muwe na likizo njema❤❤❤❤❤. Na mungu awazidishie vipaji nyote washiriki wa series hii ya mwalim mgeni mzidi kutuelimisha.😊
Good job💪mwalimu mgeni👏👏!!!!
From in Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿....
Eeeh jamn mbona tutawamisi sana jamn..!mpaka shule zifunguliwe daah! sio mbaya ni jambobla kumuomba mungu uzima ilii mkirudi mara ya pili muwe na kasi kubwa..ki ukwel napendezewa na hii movie yenu ya mwalimu mgeni...inafundisha sana....na pia nabarikiwa na uimbaji wa patronize..! baba joan endelea kutokata tamaa nae mungu atakuzidishia baraka!nawatakia likizo njema na maandaliz mema ya movie mpya
Safi sana Baba Joan,,, umetisha❤❤
Twashukuru sana
Twakupenda sana
Twapenda series unazotuletea
Twakusihi uendelee kupambana na tutakupa sapoti na kukuombea Kwa mwenyezi mungu uzidi kupata mafanikio na series unazotuletea
Mwalimu mgeni hana bayaa❤❤❤❤❤Akifa haozi wala hanuki🎉 anakiti chake spesho mbinguni❤
Olaaa wanateam strong mm ndio wa kwanza kwa mwalimu mgeni km wapenda hii movie like apa please ata km uko hamam 🇸🇦🇰🇪💪🔥🔥more love kwenu kwa comment please 🙏🙏
❤❤
@@Sofiashabani780❤❤❤
Twakupenda pia ❤❤
❤❤
❤❤ mi pia kama team strong napenda sana hii movie
Mwalimu mgeni jamani hii movie ilikuwa Tamu nawafatilia kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥💪💪💪
Mwiliwe mwenewachu, hakika mimi na family yangu tunapenda kazi yako,tunazidi kukuombea sana kwa mungu.Imana ishimwe.
Ngoja tuenjoy vya asubuhi asubuh ❤❤❤❤
Thank u muwalimu mugen, am from uganda bat I watch our move is so nice😂😂😂
Hongera mwalimu mgeni....hapo nakubali matokeo.... you're the best teacher
Kwani nimekuwa aje joo😢 naelewa sana kuzidi mpaka mwenye ameandaa hii story 😂😂😂 ni mnaweza nisaidia hiyo Like 5 tu niache kuelewa .❤❤❤ much Love team B. Joan
Baba Joan nimefurahia sana Mungu akuzidishie ujuzi zaidi na utende makuu
Mwalimu mgeni hongela, kutoka Nairobi Kenya nakupenda sana kwa kutulea vitu motomoto, naitwa Daudi.
Baba Joan una juwa nakujuwa tena salut
Asanteni san timu ya mwalimu mgeni ulipo nipo kutoka omani Mungu awabariki san kwa kazi nzuri mashaallah ❤️❤️❤️👌👌
Leo wakanza nipee ata like tano ❤❤❤
Huyu madam mbn atapenda😂😂😂😂🎉🎉😂❤
Big up kwake Baba Joan❤❤
🎉🎉🎉Mwalimu mgeni love from Kenya
Haya sasa gonga like kwa Mwalimu mgeni,,Sasha,,Patronas❤❤
Sawa baba Joan. Hata iwe ni miezi mingapi, nitasubira kwani subira huvuta heri. Kazi nzuri sana. EP 27 inangojewa kwa hamu na ghamu
Baba Joan napenda hii movie love you guys ♥️♥️
Tunangojea wapendwa wetu mwalimu mgeni pamoja na wakuu washule na pia patronize na wenye moyo na roho safi wanafuzi wenzake tuwatakia la heri kwa masomo yenu na likizo 🎉🎉🤝🥰🥰
Daah jamn kwahyo saiv hatuipat ihi muvi aisee mbn mmetukatizia utamu wa muv yet pendwa
Pila shaka tutaizubiria.
Ili movie imenipa matumaini katika masomo yangu❤❤❤🎉. Asante baba Joan tuko pamoja.
Upendo mwingi hapa Uganda 🇺🇬🇺🇬🇹🇿🇰🇪
Congratulations mwalimu mgeni ❤️❤️❤️
Mmi napenda sana hii nyimbo naeza zipataje surely l miss this songs mmi Mary frome kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪pls l miss this song🙋🙋🙋🙋
Mwalimu mgeni.ninaomba likizo ikiisha uje muenderee na hapa munapo ishia mana muko sawa.ndabakunda cane from burundi.ndazi Kirundi uracumva .ndagukurikirana cane.be blessed baba Joan.
Aaaaah mwalimu mgeni kweli nimekupeda na kunitia moyo kuwa kuna Mungu ktk maisha yetu,,,,,,,umenifunza mengi sana mwalimu mgeni,,,,,,,,I wish ugekua mwalimu wagu gefurai,,,,n wachache wagefanya ka wewe,,,,,,mh nimefurai na kushukuru kwa movies zako Zuri ,,,,,,nikona ww benga kwa benga mwalimu mgeni,,,,, naobe usiwai kikoma hicho kipidi n kizuri sana kwa wanarika hasa watoto wadogo kujifuza mema nashukuru sana,,,,,Mungu akuweke hai na akupe guvu ili kuweza kuedelea kutufuza mema,,,,,I Valerian nimeshukuru sana at my age of 19 years nimejifuza megi sana,,,,,,,ASANTE SANA ❤❤❤❤🎉🎉🙏🙏🙏🙏📚📚📚📚 have those surprises from Church Girl VALERIAN NDUKU good luck teacher
Hongera kaka mwalimu mgeni, kweli iko na mafunzi sana
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI.
💕💞Mwalimu mgeni safi sana nakuaminia mwalimu na katika mwanafunzi nilie mkubali ni patronise yani akiimba zile wimbozake aaah mbona ananikosha💕💞
Safi sana Baba Joan...Mwalimu Mgeni keep it up the goodwork
Jaman tutaimiss mwalimu mgeni😥😥
Saw baba joan lakini tunaombe watoto wakiludi shule mwalimu mugeni iludie❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Naipenda mwl mgeni bhana baba Joan. Shule zikifunguliwa usitunyime uhondo na nimepata funzo
Hii nayo baba Joan na team nzima mmeweza sana❤❤❤❤
Nimezipenda filamu, natazama toka Kenya Mwalimu..👍
Baba John shukran sana kipaji chako ni cha ajabu sana mungu akusimamie kwa hichi ulichotufunza .HONGERA
Kazi nzuri walaih mungu awalinde InshaAllah much love from Kenya ❤
Kazi safi mwalimu mgeni😂❤❤❤
Wah! Nitaimiss sana mwalimu mgeni epsd 27 january inshallah
Kazi nzuri baba Joan umeniuliza wewe kaka yani achatuu
Kama wivu ingekuwa ni harufu, magesa angeishi kunuka vibaya
Hongera kazi nzuri tupo pamoja , tutaisubili , unyama ni mwingu 🔥👊🔥👊
Move nzuri sana inatufundisha mambo mengi Allah awajalie vipaji vyenu
Nawatch nikiwa dubai nakupenda sana mwalimu mgeni ❤❤
Mashaallah tabarka allah bba joan kiboko bwana mungu akubariki,ola wakifungua c tutaendelea au sio mtu wngu
nampenda bure mwl mgeni unatufunza mengi sana jinsi yakuishi na watu makazini
Ok fine bb jhon Asante sana mwalimu mgeni, katika kipindi chenu Kwa kweli nimekifurahia tu sana
So amazing mwalimu mgeni nawai mafunzo mazuri sana haize
Hongera san bab joan movi yako nzur nakupend sana
Thank you mwalimugeni Ivo sasa umefanya muzuli sana Wacha tungoje nyingine
Wow Leo nimefika wakwanza🎉
Duh ntammis mwalimu mgeni jaman 😂🎉🎉🎉🎉 nawapwnda sana team babajoan
Tumekuelewa bb joan❤❤🎉🎉
❤Wewe ninoma na tokea congo
Ooh jaman nimechelewa dakika 7❤❤❤❤❤
Congratulations for hitting 203k subscribers
Hivi kumbe ni shule kweli? Hongera sana mwalimu Tusi
Napenda kazi zako nitaimis mwalimu mgeni
Hey guyz let's go with new banger❤❤❤❤
Nawatakia likizo jema ,, asanteni sana kwa kazi zuri ❤❤❤
Imetisha sana baba Joan,kazi nzuri sana
What a suspense. Really fun... waiting for the new season
Mi leo wa kwanz jamn like 5
Haaa baba John mbn tena alafu wajua vile nakufatilizia sana bro unafanya kazi ya kweli sio kuigiza tu bali n vitu via kweli sasa basi kipindi hiki cha mwalimu mgeni kinarejea lini baada ya kwenda likizo
English ya magesa kiko aje hivi😂😂😂wakenya wenzangu hii English n ya wapi😂😂😂😂
Sawa binafsi nimekuelewa, ila likizo likimalizika turudi shule, kwani huwa ninapotazama video hizi huwa napenda sana kutazama na watoto wangu ambao wao wanasoma pia, tunaenjoy kwa kweli,lakini pia tunajifunza kitu kuputia hizi episode zako, kazi njema na songeni mbele zaidi.
Jamani tuta. watamani wanafunzi🇹🇿🇴🇲
Sawa ila shule zikifunguliwa tunataka mwendelezo
Saw mwarimu mungen unajuw nguce san ❤❤❤
Ahsante sana kwa timu nzima . Mwatutolea burudani na hisia za huzuni.
Mwalimu mgeni Kazi Safi xna❤❤❤
Ahaa mmefanya mubaya sana mwiche mbele mwalimu mgeni
Tunaomba uzima shule zikifunguliwa nyote mrudi Kwa usalama na wanafunzi wetu Mungu awabariki na muendelee kukuza vipaji vyenu bado twapenda kuvisikiliza mwatuburudisha na sisi pia watazamaji Kwa kweli, muwe na likizo njema
Mambo moto 🔥🔥🔥
Leo wa kwanza like 16 jamani❤❤
Jaman tutamiss sana kwahyo mpaka January syo😊
Kazi nzuri timu nzima ,barikiwa
Nice one...nilikua naona nyumbani sasa naona kwa simu❤❤❤❤❤
Asante sana mwalimu kazi nzuri sanaa❤❤❤❤🎉
Nakupenda mwalimu mgeni ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu huwa hamtupi mja wake na magesa alivo fanya hiv alijua amemmaliza kumbe anamsogeza hivyo no funzo kubwa kwa jamiii kuwa katika maisha usimtegemeee mwanadam huwa hana lolote mwenzako au mambo ya ushirikina mwisho wake huwa ni mbaya sanaaa so people take care....
Good job 👍
Like zangu jamani Kenya nawakilisha😂😂😂❤
I love, this movie❤❤❤❤
Kiukweli kaka unatisha Unatoa mikakati kwalimu ata Kwa wanafinzi mimi nakukubali bro
Mwarimumugenisantesana nakumiss nagupenda sana patronaiz thenk you me ni muburundi merci
Long waited 🎉❤
Nimependa moves zako