Jina la Fatma Kigondo gjafla limekuwa maarufu sana ndani na nje ya nchi yetu. Limekuwa gumzo mitandaoni. Sijui linatoa tafsiri gani kwa taifa letu. Mungu tusaidie tu.
Safi sana wakili msomi madeleka lisaidieni taifa hili wengi hafujui sheria ingekuwa ni boni yai meye had leo wangemzuia kwa sababu ya usalama wake ila kwa fatuma kigondo Aaaaaaa
Kenya wako vizur sana ila hapa kwetu kwenye goli la mama !!! 😂 tuko hovyooo sana kaz yetu kupost upumbavu hapa ilitakiwa huyu askar tumtie za kichwa kwanza
mimi ni pasta wa mchongo ila we chukua maombi mungu akusimamie akupe uzima utunyoshee hawa paka pori maana sasa inafika kipindi kabla ya kesi kuanza tayari ishahukumiwa geresha sasa mzee baba nimekuona moto wako mungu akusimamie ukaze nati vinzuri wasipumue haiwezekani wale mande alafu mtumaji wanamficha hivyo madereka kaza borit kitaumana mdo mdo na sisi hadi kieleweke
Hizi habari zinafuatiliwa na Watu dunia yote mitandaoni. Sasa tunaiweka wapi Tanzania yetu usoni pa.kimataifa? Historia ya nchi yetu itaandikwaje? Jamani wahusika angalieni na legacy. Maisha kuna leo na kesho ndugu zanguni
Kaka NCHI inaongozwa kwa maelekezo kutoka juu saivi haki hakuna ebu imagin wewe musomi Ivo wanakufanyia Ivo chukulia mtu wa kawaida atapata haki yake kweli?
KAMA MAHAKAMA IKIZINGUA TUACHIE WANANCHI TUMUJUKUMU SISI HUYO AFANDE NASI TUMALIZANE NAE TU ILI SERIKALI IJUE WANANCHI NDIO TUMEWAWEKA IKULU NA TUNAWALIPA MISHAHARA ILI WAJIFUNZE
kaka madeleka ana public image, sio rahis, lakin uyu ni askari alieataaf kwa hiari akiwa ni platun kamanda(askri mwenye nyota 2) kaishaka ndan miaka miwil utawala wa jpm kwa kesi ya kubambikiw ya uhujum uchumi...muangalie vzr ongea yake uyo alikua mpelelez uyo...
@@stephanokaaya1881 huyo madereka ni mwanasiasa tena wa chadema wanaojiita advocate musomi mbona alimutetea mbowe kesi ya kutaka kuua viongozi akashindwa na mbowe akatiwa Haitiani?
Mungu wetu saidia taifa letu tunalipenda sana. Tunajua anatupenda na unapenda haki sawa kwa watu wako.
Tusaidie baba yetu.
Asante sana wakili msomi madereka kwa kuonyesha msimamo wako wa kisomi
Kumbe wapo mahakimu mataahira,Aibuu
Jina la Fatma Kigondo gjafla limekuwa maarufu sana ndani na nje ya nchi yetu. Limekuwa gumzo mitandaoni. Sijui linatoa tafsiri gani kwa taifa letu. Mungu tusaidie tu.
RIP Rais Magufuri daaah
Safi sana wakili msomi madeleka lisaidieni taifa hili wengi hafujui sheria ingekuwa ni boni yai meye had leo wangemzuia kwa sababu ya usalama wake ila kwa fatuma kigondo Aaaaaaa
Kumbe wapo watu wako juu ya sheria!!! Eee mungu tusaidie sisi wenye hatuna msaada apa dunian
Hivi mapendekezo ya time ya haki jinai....kipi kinaendelea....hii ndio Nchi yetu
Kenya wako vizur sana ila hapa kwetu kwenye goli la mama !!! 😂 tuko hovyooo sana kaz yetu kupost upumbavu hapa ilitakiwa huyu askar tumtie za kichwa kwanza
Hakimu wa haki ni Mungu pekee. Lakini hakuna kukata tamaa.
Aibu zao
mimi ni pasta wa mchongo ila we chukua maombi mungu akusimamie akupe uzima utunyoshee hawa paka pori maana sasa inafika kipindi kabla ya kesi kuanza tayari ishahukumiwa geresha sasa mzee baba nimekuona moto wako mungu akusimamie ukaze nati vinzuri wasipumue haiwezekani wale mande alafu mtumaji wanamficha hivyo madereka kaza borit kitaumana mdo mdo na sisi hadi kieleweke
Madereka hongera kwa kufatilia hili swala mola atakulipa kwa kupambania wanyonge
Haki itendeke maana sijaona kuongozi yeyote au mtu mwenye pesa kafungwa Sasa nashangaa sana hz adhabu zinawahusu maskini peke yao?
Mungu akulinde kaka,
Kuna juhudi kubwa zinazo fanywa na watawala kumlinda Afande 😡
Pambana nao mkuu mpaka waku ue.
We sio mzima ukapimwe akili
Msenge we wanakudukulia account yk yamkunduni mbwa
We ni mzoga wa nyani.
Ndio kifatacho
Kwakuwa mahakama inamkingiya kifuwa huyo fatuma, basi nasisi wananchi tujichukuliye sheriya mkononii?? Zidiyahuyo fatumaaa,
Wasipomhukumu wao mahakimu huyu mwanamke bas sisi tutamhukumu tena hukumu tunayoijua sisi.
Hayasasa
Jaji nakwambia tokea sasa usipomhukumu huyu Fatma kidongo bas sisi huku nje tutamhukumu tunavyojua sisi.
Mimi nilishawahi kupeleka kesi mahakama kuuu nilishangaa kuona mahakama ya mwanzo inauhafadhari kuliko mahakama kuu
❤🎉🎉❤
Hizi habari zinafuatiliwa na Watu dunia yote mitandaoni.
Sasa tunaiweka wapi Tanzania yetu usoni pa.kimataifa?
Historia ya nchi yetu itaandikwaje? Jamani wahusika angalieni na legacy. Maisha kuna leo na kesho ndugu zanguni
Ni Aibu saana
Msifie baba yako wew huyo magu alikuzaa au ni mungu wa
Hakika mungu atatoa haki
Nchi ngumu sana hii,huyo Hakimu ni TP kama ma-TP wengine tu
Watakukua jmn
Pambaneni naye mpaka atubu huyo afande
Wanalindana hao
Aise aibu kweli kwa mahakama zetu hamna. Haki kabisa
Apoooo ndiooo mjuee tunaporaramikaa kuaa nchiii hiii wakubwaa wanaeindanaa ndio muamini iviii piididy Kama angukuaa Tanzaniaa kashapataaa zamanii kwawezetuuu anasugua tuuu apooo kirichobakii mwanasheriaa ujiandaee utasikiaa umetekwa nawatuu wasiojurikanaa
Hii ndyo shida ya viongoz wetu watanzania, kesho atachaguliwa kuwa Kiongozi wa nchi, na nimekwambia hawa watuhumiwa watakuja kutolewa
Kaka NCHI inaongozwa kwa maelekezo kutoka juu saivi haki hakuna ebu imagin wewe musomi Ivo wanakufanyia Ivo chukulia mtu wa kawaida atapata haki yake kweli?
KAMA MAHAKAMA IKIZINGUA TUACHIE WANANCHI TUMUJUKUMU SISI HUYO AFANDE NASI TUMALIZANE NAE TU ILI SERIKALI IJUE WANANCHI NDIO TUMEWAWEKA IKULU NA TUNAWALIPA MISHAHARA ILI WAJIFUNZE
Ndgu achana nao watakufanya mbaya shauli ako
kaka madeleka ana public image, sio rahis, lakin uyu ni askari alieataaf kwa hiari akiwa ni platun kamanda(askri mwenye nyota 2) kaishaka ndan miaka miwil utawala wa jpm kwa kesi ya kubambikiw ya uhujum uchumi...muangalie vzr ongea yake uyo alikua mpelelez uyo...
@@hashimjumahassani5268 hashim kwn ali alikua nani
Tutafute Sana hela aseeee
KWA SASA,NINAVYOONA...HAPA NCHINI TANZANIA,KAMA WEWE HUNA,"FEDHA"...HUPATI HAKI YOYOTE...IWE VYOMBO VYA SHERIA...AU HUDUMA YA AFYA...HUPATI KITU
Huyo wakili ni muongo anaviongoa vitu ambavyo havipo bahati nzuri namjua vizuri ni mzee wa fursa
Ukweli ni upi basi.
Tupe ukweli sasa
Masikini hatuna haki sijui kwa nini
Madereka vuwa jooho la advocate van magwanda ya siasa
Wacha tantarira kwani kafanya kosa gani
Shabiki wa mbowe huyu madeleka
@@stephanokaaya1881 huyo madereka ni mwanasiasa tena wa chadema wanaojiita advocate musomi mbona alimutetea mbowe kesi ya kutaka kuua viongozi akashindwa na mbowe akatiwa Haitiani?
@@RamadhanMohamedi-j3dHaki za watu kwanza Mbowe na vyama badaaye.
Hivi mapendekezo ya time ya haki jinai....kipi kinaendelea....hii ndio Nchi yetu