MWANZO MWISHO CHINO ATUONESHA JUMBA LAKE, MTANGA, RINGO NA WENGINE NDANI YA NYUMBA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 366

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 3 місяці тому +17

    Mashalah mashalah mashalah chino anaela asaiv... mashalah Kila la heri bwana..chino umebalikiwa kaka ..Kila la heri

  • @matrixmedia989
    @matrixmedia989 3 місяці тому +31

    Kama mziki unalipa basi jay melody angekua na mali nyingi sana hapa kuna siri kubwa sana

    • @Alexismadimo
      @Alexismadimo 3 місяці тому

      Kwani hana mali umeambiwa mkuu

    • @Daecotz8597
      @Daecotz8597 3 місяці тому +4

      Yan ukiangalia Chino kwenye mitandao Hana wafuasi wengi hata robo ya Jay Melody hafikii lakn mafanikio mengi ase Kuna Siri kubwa nyuma ya mafanikio

    • @blackpanther4825
      @blackpanther4825 3 місяці тому +2

      kajiongeza kazitumia connection za serikali kikamilifu. anajichanganya na wakubwa wa nchi wanammgea madili

    • @collinndabi1914
      @collinndabi1914 3 місяці тому

      Jay hana mambo mengi

  • @mdl6463
    @mdl6463 3 місяці тому +11

    Kama ni mafanikio ni hongera kwake chino,,,, mutangulize Mungu upate zaidi na zaidi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @FarajaSijali
    @FarajaSijali 3 місяці тому +3

    Hongera chino mungu akupe uhai mlefu maana siyo lahisi kwal vita ninying lakin nakuombeya mungu awe pamoja nawewe kila wakat 🙏

  • @Charlesnorbert-yb6zh
    @Charlesnorbert-yb6zh 3 місяці тому +104

    taratibu tu ela zitakuja kuwa kitu cha kawaida ata uku africa kwani naona siri ya dark money inazidi kushika hatam dunian kote.....ushauri tu wa bure tusitaman maisha ya watu ,,,mafanikio yana siri kubwa guys

    • @AishaMohamed-q3l
      @AishaMohamed-q3l 3 місяці тому +3

      Kabsa

    • @daxmtiwandege5063
      @daxmtiwandege5063 3 місяці тому +2

      True

    • @sammasika3627
      @sammasika3627 3 місяці тому +2

      Vinamuda bac😂😂

    • @LuluAquai
      @LuluAquai 3 місяці тому +8

      Huo sio ushauri bali ni ukumbusho,M'mungu kwenye Qur'an mbona alishatueleza kuwa tusitamani maisha au mafanikio ya mtu,ila me nakuunga mkono upo sahihi

    • @athumanimtajih
      @athumanimtajih 3 місяці тому +5

      Na ndo maana alofanikiwa kimaisha hapa dunian hawezi kukuelekeza njia zote alizopita

  • @eusebiaurassa3417
    @eusebiaurassa3417 3 місяці тому +8

    Hakika maisha ya usanii yanapaswa kuwa na usanii mwingi sana, kama hauna uelewa huwez elewa nini nmemaanisha, kwahiyo hata wakipatwaga na changamoto wakaanza kutuomba michango ya matibabu tuwachangie tuu maana kwenye usanii bila usanii inakua ngumu🤝

  • @WilifrerdOnesmo
    @WilifrerdOnesmo 7 днів тому

    Mwanya bwana eti congulation chino😮😮😮

  • @jeffkonki8279
    @jeffkonki8279 3 місяці тому +42

    Nyuma ya kitu kizuri chochote Kuna maumivu makali usiyoyajua tusitamani sana maisha yawatu ya kirahisi rahisi tu Kuna Siri kubwa nyuma ya pazia mungu atupe Mali halali zenye uhalisia

    • @AishaMohamed-q3l
      @AishaMohamed-q3l 3 місяці тому +3

      Ameena

    • @betterlifeinvestment2192
      @betterlifeinvestment2192 3 місяці тому +3

      Fanya kazi mbwa ww

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 3 місяці тому +2

      Mmmh waja Sasa 😂Hebu Fanya Kaz pesa zipp tuu😂

    • @EverMayala
      @EverMayala 3 місяці тому +1

      Waache wafurahie uzuri wa ua linalochania asbh... Hata aibu Hana eti familia

    • @jafarinauma6798
      @jafarinauma6798 3 місяці тому

      ​@@betterlifeinvestment2192mbona kama makasiriko na matusi juu

  • @blackpanther4825
    @blackpanther4825 3 місяці тому +6

    Chino ana roho nzuri sana sana. Dogo fighter mno

  • @RahelSimon-bm8tm
    @RahelSimon-bm8tm 3 місяці тому

    Kaka chino god bless u,,😢😢😢mimi nibless tu milion tano ya mtaji ili niweze lea familia yangu,wazazi,kwetu hakuna msomi hata mwenyekit wa mtaa tumezaliwa tisa

  • @HijjaMpenja-m1x
    @HijjaMpenja-m1x 3 місяці тому

    Daaah yan nimefurahi sana kumbe chino ni mtu mzuri sanaaaaaa yan nlikua sikuelewi kabisa ila leo nimeangalia interview hii asee kumbe ni bonge la mtu allah akulinde akupe afya njema wewe ni binadam wallah uzid kufanikiwa usaidie wengine unakumbuka ulikotoka unawakumbuka watu wako huna majivuno safiii sanaa wanaman

  • @ellgodfather282
    @ellgodfather282 3 місяці тому +1

    Big up brother Tanzania 🇹🇿 we all way up

  • @4gwafuraha992
    @4gwafuraha992 3 місяці тому +3

    Napendaga sana kichekoooooo yaaan ukichekaa N Hatariiiiiii

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 3 місяці тому +2

    Tid,dully sykes,barnaba,Mr blue,q chilla vipaji vyote walivyonavyo hawajawahi kuishi hata nusu ya maisha haya

  • @annamihenga9330
    @annamihenga9330 3 місяці тому +1

    Big up Chinno Kid. All the best

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 3 місяці тому +2

    Usisahau kuwekeza mzee big up kaka

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo4657 3 місяці тому +1

    Mpe hongera zake ila siku nyingine wakisema ni vyao wakuoe na stakabadhi kukuthibitishia

  • @BabuallyAbdul
    @BabuallyAbdul 3 місяці тому +13

    Masikini tuache roho mbaya mwenzetu akifanikiwa! Mtoaji Mungu tupunguze fikra finyu

    • @limymasele21
      @limymasele21 3 місяці тому +1

      Mtoaji Mungu tutajuaje waache kuwato kafara wenzao Kisha wanajificha eti kwakumchukua ndugu yake na marehemu hata raha Hana kijana wawatu 😢😢anajua nini kilitokea

  • @MajimbiTz
    @MajimbiTz 3 місяці тому +3

    KASEMA ANA WATU NYUMA 🔥🔥

  • @SalumuRamadhani-y4y
    @SalumuRamadhani-y4y 3 місяці тому +2

    sili anaijua mwenyewe

  • @AbdulMajid-x7e
    @AbdulMajid-x7e 2 місяці тому

    Nakukubali mwanangu chino wanaman

  • @LUKIUSJOSEPHATI
    @LUKIUSJOSEPHATI 2 місяці тому

    Uyu msengeeee kasha jipataaaaa tayariii

  • @kingngoshazephania4344
    @kingngoshazephania4344 3 місяці тому

    ❤❤❤ King of reggae music in dodoma Tanzania

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 3 місяці тому

    Muziki unalipa sana kumbe!

  • @rozaninachota1176
    @rozaninachota1176 3 місяці тому +1

    Jaman Kwan hayo meno kalazimishwa kuwekewa cheni 😂😂😂😂anaongea kama amekula mavi 😂😂😂

  • @GomaRunyamila
    @GomaRunyamila 3 місяці тому

    Nakubari chino dunia ya mungu vtu vyenyewe tunaviacha kweri kabsa

  • @alhajiFashions7563
    @alhajiFashions7563 3 місяці тому +1

    Oeeeee craping for others until your time ❤❤❤

  • @dastandeogratius
    @dastandeogratius 3 місяці тому +2

    Achen wvu bn kapambna jamaa kila mtu Mungu kampangia maisha yake we ukizpata ukawa w kula t actually haztoonekan but kilakitu n malengo tu

  • @martinemayunga2357
    @martinemayunga2357 3 місяці тому +4

    😂😂😂hi ni move ngoja nisubili BEHIND THE SCENES nione inavyookua

  • @BabuKitumbika
    @BabuKitumbika 3 місяці тому +7

    Huyu jamaa toka dereva wake afe kwenye ajali ya gari amekuw na mafanikio Sana mh pana kitu nyuma ya pazia

  • @avocadomatala2883
    @avocadomatala2883 3 місяці тому +2

    Mungu akubariki Sana kaka uendelee kupata Zaid

  • @bilakawaboynew978
    @bilakawaboynew978 3 місяці тому +7

    Hii si sawa kabisa ifike wakati na mungu atuone nasisi sio tule moto duniani na mbinguni kwel

    • @AmaniManase-x1i
      @AmaniManase-x1i 3 місяці тому

      Daah😂😂😂umenena kwa uchungu Sana aisee na kweli hebu atukumbuke na sisi

    • @ErenestElias
      @ErenestElias 3 місяці тому

      nimemuelekeza ndg hahahahahaa

    • @khadijaacute
      @khadijaacute 3 місяці тому

      ND mpambane kihararii vipo tu😂

    • @landmadvdmbeyacity9561
      @landmadvdmbeyacity9561 3 місяці тому

      Hahahahahahahaaaaa😂😂😂😂...

    • @landmadvdmbeyacity9561
      @landmadvdmbeyacity9561 3 місяці тому

      ​@@AmaniManase-x1i Jamaaa kaongea kwauchungu nmecheka ad nmeliaaaa yaan😂😂😂

  • @thabitdaudi9815
    @thabitdaudi9815 3 місяці тому +12

    Kuna ktu hakijakaa sawa i hope nothing illegal or supersticious kwasbb mafanikio ni makubwa kushinda mtu na hata kaz yake.

    • @zaytounerzahran7553
      @zaytounerzahran7553 3 місяці тому

      Nimetoka kuliongea hilo kwa mtu asiyejua mzunguko wa hela unavyoenda watachukulia kawaida ila mfunguke

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 3 місяці тому

      @@zaytounerzahran7553 ingekua nchi za wenzetu wanatumwa feds kufuatilia kimya kimya kila source ya shillingi anayopata hata mwaka mzima unafuatiliwa kimya kimya ila Bongo ya mama unachowez kufanya ww fanya ilimrad usikamatwe. Huko serikalin ndy kumeoza kwa rushwa na wizi

  • @Msafirimakini
    @Msafirimakini 3 місяці тому +13

    Mmmh ni kweli mziki una pesa lakini ni mapema muno kwa haya mafanikio sio kweli nakataa nakataa Tena kwa hits zipi hizo za kuwazidi akına Mbosso akina Mario ni mapema sana kila kitu tukipe mda 😅😅😅

    • @LucyNgowi-m5z
      @LucyNgowi-m5z 3 місяці тому

      😂😂😂😂😂

    • @libandaonline5358
      @libandaonline5358 3 місяці тому +1

      Wee endelea kukataa hivyohivyo ,,,utkufa masikini na roho mbaya yako

  • @LUKIUSJOSEPHATI
    @LUKIUSJOSEPHATI 2 місяці тому

    Kumbe muziki unalipa saana

  • @danielpatrickrobert125
    @danielpatrickrobert125 3 місяці тому +1

    Huyu ni msanii katoa nyimbo gani? anajiusisha na nini? au mziki tu?nyumba nzuri nimeipenda

  • @RUKIAMALUNDE
    @RUKIAMALUNDE 3 місяці тому +1

    Itafahaamika tuu ngoja tuendelee kuangalia movie 🎬

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 3 місяці тому +8

    Maisha yana siri kubwa... 😂😂 Chino kawa tajiri kuliko Marioo, mboso na lavalava 🤭

  • @gastonpeter4265
    @gastonpeter4265 3 місяці тому +1

    Vijana wa P Diddy wako vizuri kweli 😅😊

  • @davidsibejo4916
    @davidsibejo4916 3 місяці тому

    Wanarohu nzuri

  • @godywyne7671
    @godywyne7671 3 місяці тому +2

    Noma💥

  • @oneagainstone593
    @oneagainstone593 3 місяці тому +5

    Sanaa inalipa sana.
    Chino ametumia akili na sanaa ametoboa kimaisha.
    Vijana tupambane kila kitu kinawezekana

  • @YahayaAbedi-c4g
    @YahayaAbedi-c4g 3 місяці тому +1

    Kweli shetan noma

  • @MusaRajabu-rw7uz
    @MusaRajabu-rw7uz 3 місяці тому +2

    Ringo uspande gorofani maana jamaa analoho nzuri sana

  • @YonaElikunda
    @YonaElikunda 3 місяці тому +26

    Kuna siri kubwa apa....sio sanaa

    • @obbybenitho5803
      @obbybenitho5803 3 місяці тому +1

      Vip kuna pid did

    • @ericksonmuhulo1570
      @ericksonmuhulo1570 3 місяці тому +1

      ​@@obbybenitho5803😂😂 hauna akili kbs 😂😂😂

    • @Shokolokobango9385
      @Shokolokobango9385 3 місяці тому +1

      Ni kwel hata mm naunga mkojo hoja wanabebaga ngada pia hawa

    • @sagengejackson3623
      @sagengejackson3623 3 місяці тому +1

      Kuruka ruka tuu mafanikio ya hvo, wawadanganye wajinga 😅😂

    • @Alimbaruk002
      @Alimbaruk002 3 місяці тому +1

      Unga mkojo pekeako😂

  • @twahaissack7887
    @twahaissack7887 3 місяці тому +9

    juhudiii nidham havimtupii m2

  • @zunguselaofficial8195
    @zunguselaofficial8195 3 місяці тому +2

    Respect

  • @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM
    @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM 3 місяці тому +1

    Mtangazaji ❤

  • @AmranShafik
    @AmranShafik 3 місяці тому +5

    Seme uyu chino kama kitaila frani iv 😂😂😂 Dah maishaa bhnaa kweli pin code 😂😂😂

  • @NajmaRamadhan-ig2cw
    @NajmaRamadhan-ig2cw 3 місяці тому +2

    hongera kaka

  • @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy
    @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy 3 місяці тому

    Ishi maisha yako aiseee sitamani pesa za mtu

  • @jeckytown907
    @jeckytown907 3 місяці тому +3

    Hv ni kudans tu au ni kuimba maana kama celew hv yan kwa mzk ghn had leo unamilk hvyo vtu mzee mmmh au bas 🏃🏃🏃🤣🤣🤣

  • @JosephMwazembe-u1h
    @JosephMwazembe-u1h 2 місяці тому

    Jaman chino ametafta acheni ale matunda yakee naqubaliii snaa kaka tupo nyuma yako kaka

  • @eliashibundabalinze2754
    @eliashibundabalinze2754 3 місяці тому +1

    Vijana tupambane tuache majungu mungu akulinde mdau endelea kupambana

    • @shebyUlaya
      @shebyUlaya 3 місяці тому

      kuna time mungu akiamua kila unachogusa kinajibu

  • @AthonySaimon
    @AthonySaimon 3 місяці тому

    Tamaaa zitawapoteza, uyu nae msanii😅😅😅😅😅

  • @jeedymasoud4269
    @jeedymasoud4269 3 місяці тому

    Allah akutangulie Inshallah

  • @magabiromaerere6747
    @magabiromaerere6747 3 місяці тому

    P Diddy kashafika mpaka huku, bongo bila Diddy wasanii hamna kutoboa😁

  • @tonnybrighton7528
    @tonnybrighton7528 3 місяці тому +2

    Maskini mnakomenti usengee😂😂😂

  • @mdachiog5211
    @mdachiog5211 3 місяці тому +2

    Kama umejenga hongera sana ila kama umepanga huzuni kubwa

    • @AgnesJohn-f1r
      @AgnesJohn-f1r 3 місяці тому

      Kwa hiyo wote tulio panga unatusikitikia duu

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 3 місяці тому +28

    Kijana katika kutamani maisha ya mtu usivuke mipaka...ilo tu

  • @SalamMasanga-hb4lt
    @SalamMasanga-hb4lt 3 місяці тому

    Mashaallah 👏👏

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 3 місяці тому +3

    Huyo jamaa hana riho mbaya anaishi na watu vzr jamaa ana wakumbuka wanae

  • @firdausqutty2067
    @firdausqutty2067 3 місяці тому +2

    Kila penye mafanikio ya haraka nyuma na mbele kuna vilio vingi nakujutia😢

  • @surebeting2673
    @surebeting2673 3 місяці тому +3

    Eti ananunulia watu magari😢😢😢

  • @paulsibu5770
    @paulsibu5770 3 місяці тому

    Mridieni Mungu Vijana Mnapotelea gizani.

  • @yamungungendu4839
    @yamungungendu4839 3 місяці тому +2

    KASHAUNGWA FREEMASON HUYO.Sisi walimwengu tunajua hayo!! ...Anasema ni Watu wazuri...ni Brotherhood hao...Freema...

    • @husseinmramba
      @husseinmramba 3 місяці тому

      Wengi bado wamelala ukisema ukwl tu eti chuki wafkir mamb kirahisirahisi mambo yanatokea from nowhere hizo rahisi sana hata hao wasanii wa mbele huo ndio mwenendo wao

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 3 місяці тому +8

    Watanzania tunaroho mbaya sana usipokua nacho hawaku saport ukiwa nacho watakupiga vita umaskini mzigo

    • @limymasele21
      @limymasele21 3 місяці тому

      Sasa mnataka watu wa nyamaze ili iweje kama ametoa kafara mtoto wawatu kwanini asiumbuliwe ametoka lini kimziki mapema hii amzidi Marioo na Amapiano yake

    • @T.Amir15
      @T.Amir15 3 місяці тому

      ⁠@@limymasele21una ushahidi gani kama kamtoa kafara? Acha fikra potovu. Au ulikuwepo wakati anamtoa kafara??

  • @mwakwelisaid3152
    @mwakwelisaid3152 3 місяці тому +10

    Mafanikio ya mwanadamu yana siri kubwa sana

  • @salimchum8572
    @salimchum8572 3 місяці тому +3

    Maisha ya kuigiza sio mazuri kabisa yani hata mungu hapendi

  • @listerlujiso6009
    @listerlujiso6009 3 місяці тому

    Hayo meno yanamfanya anashndwa kuongea kwa kujiachia😅😅😅

  • @Teamidrisa
    @Teamidrisa 3 місяці тому

    Bongo ukifanikiwa kidogo unatoa nyuma yaaan😂😂😂😂

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar21 3 місяці тому +2

    Inaonyesha chino ananidhani Nzuri alafu anakumbuka walikua wanyonge wenzake

  • @danielaugustino705
    @danielaugustino705 3 місяці тому +2

    Jumba kaliiii

  • @rodgerushindi85
    @rodgerushindi85 3 місяці тому +2

    Mpika Mpishi😂😂😂😂

  • @FatmaHalfan-w3l
    @FatmaHalfan-w3l 3 місяці тому

    Mmh ndo muziki tuuu au😂😂

  • @feyxalbarry4595
    @feyxalbarry4595 3 місяці тому

    Sasa kaka mdomo uwo na Bado ukatia meno hhhh

  • @AlexWilliam-ky6mn
    @AlexWilliam-ky6mn 3 місяці тому

    Mm namini hakuna kinacho shindikana na sikila tajiri lazima ahaso saaana apana achen mawazo finyu

  • @trendtv3323
    @trendtv3323 3 місяці тому

    Ninyumba au ni ukumbi😅😅😅😅😅 watu wengi

  • @AmranShafik
    @AmranShafik 3 місяці тому +6

    Chino kwa jili ya kudans tu.... mmmmh sio kweli atakua anauza mchelee 😮😅

  • @JamesAlphonce-i9i
    @JamesAlphonce-i9i 3 місяці тому +1

    Ety chino ni kama pdidy mbona watu wamejaa ndani ivo wanatoka kweli mtanga na ringo embu wekeni neno😂😂😂😂😂😂

  • @ZakiaAlRamadani
    @ZakiaAlRamadani 3 місяці тому +2

    Alie mshauri kueka hayo meno nani jameniiii😂😂😂😂

    • @MarthaMgaya-zo4bi
      @MarthaMgaya-zo4bi 3 місяці тому

      Na hilo Cheni sasa mapete ka mwehu😂😂😂

    • @listerlujiso6009
      @listerlujiso6009 3 місяці тому

      Sass kaamua kuacha meno nje wkt wenzie wakijbu mambo ya bonden kanichekesha jmn😅😅😅😅😅😅😅

  • @MustymediaTv
    @MustymediaTv 3 місяці тому

    Marioo mwenyew anashangaa hizi pesa za chino 😂😂😂

    • @shebyUlaya
      @shebyUlaya 3 місяці тому

      marioo atakuaje na pesa kwa familia ile aliyojiweka(kajala) ya bata wanyonyaji

  • @CashMoney-zf4qr
    @CashMoney-zf4qr 3 місяці тому +20

    Huyu jamaa baada ya ile mbanga ya yeye na dereva ake gari iwage chapati mafanikio yalikuja ka bomba imeng'olewa koki😂

    • @ramadhanihudhaifani4376
      @ramadhanihudhaifani4376 3 місяці тому +5

      Facial expression ya jamaa inaonesha wazi kuwa kuna kitu hakiko sawa kabsa hapa! Lucifer! Lucifer! Lucifer wewe. Subiri Mwana wa Adam arudi! Umetuharibia sana vizazi vyetu. Dah....🤦‍♂️😭😭😭

    • @LucyNgowi-m5z
      @LucyNgowi-m5z 3 місяці тому

      Yaani umewaza kama mimi

    • @Happizo
      @Happizo 3 місяці тому

      😅😅😅😅😅😅😅

    • @finiaskalist747
      @finiaskalist747 3 місяці тому +1

      Nimemuona kaka wa marehemu alivyokuwa amekaa pale nje kwenye ngazi mpaka huruma asee kanyweaa

    • @LucyNgowi-m5z
      @LucyNgowi-m5z 3 місяці тому +1

      @@finiaskalist747 Lazima anywee kwasababu bado halewi sema ni siri yake.

  • @josephmturi6936
    @josephmturi6936 3 місяці тому

    Piddy atawamaliza sanaa

  • @MohamedMkota
    @MohamedMkota 3 місяці тому +1

    😂😂ela bwn inambadilisha mtu mpk kuongea kucheka😅😅

  • @ZiyandaMhlana
    @ZiyandaMhlana 3 місяці тому +1

    Kaka nyumba hiyooo niya bwana samatta mtuu akijenga ni Bruce kutoka burundi uriza Alikiba na mwana fa

  • @salitosofo5561
    @salitosofo5561 3 місяці тому +2

    Hakuna kitu kwa nyimbo gani

  • @PeterRas-o7d
    @PeterRas-o7d 3 місяці тому +21

    Yani Juzi Tu Leo Una Ranger kudansi tu Namjengo kama Huwa Mhm Emu Ngoja Nimhulize Sa god😂😂😂Mhm

  • @faridiathumani3114
    @faridiathumani3114 3 місяці тому +1

    Ringo kawa chawa

  • @jumamofu9573
    @jumamofu9573 28 днів тому

    Comment nyingi watu wanasema eti nyuma ya mafanikio kuna kilicho jificha,, nauhakika chino hapigi show chini ya milioni kumi.. tufanye ni milioni kumi tu, kila wiki apige show moja kwa mwezi ni milioni 40., na inawezekana ukitoa HIT na ukawa na connection nzuri show ni nyingi msanii anakuwa hapumziki na wengine wanapiga show mpaka mbili kwa wiki moja.. sasa ww piga hesabu kwa mwaka mtu anatengeza kiasi gani.?? Ni ss maskini ambao hatuna connection za kupiga hela za hvyo ndo tunakuja na kisema mambo ya kafara. watu wanapambana show zinafatana na mpaka zingine wanazikataa. Tuache wivu mtu akifanikiwa sio kafara jamani

  • @JomoKilawe
    @JomoKilawe 3 місяці тому +1

    A Chinooo...

  • @jumaBakari-d2h
    @jumaBakari-d2h 3 місяці тому

    going Conversation

  • @tangtavi
    @tangtavi 3 місяці тому +4

    Kuna vimasikini vina comment utumbo 😂
    Acheni wivu

  • @LukasMakunda
    @LukasMakunda 3 місяці тому +6

    Alichovaa shingob ndo tatizo fuvuu I'll sjongon

  • @mpenzisamaki9488
    @mpenzisamaki9488 3 місяці тому

    Duh dogo punguza moto asee huu moto ipo siku utajuta mwamba

  • @kenedymkwawa6978
    @kenedymkwawa6978 3 місяці тому

    Aliyegundua kama chino kalewa mkono juu

  • @mpirapesatv6798
    @mpirapesatv6798 3 місяці тому +1

    jumba la pdidy

  • @AntonyAlvin-p3m
    @AntonyAlvin-p3m 3 місяці тому +1

    Mmmh usitoke live🎉🎉

  • @LUKIUSJOSEPHATI
    @LUKIUSJOSEPHATI 2 місяці тому

    UA-cam pana lipa saana

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py 3 місяці тому

    Jamani miye naomba niulize, amepanga au kajenga?