We nae akili yako ya matope ambayo inashikwa na kupelekwa kwa mkumbo huwez ukakaa na ukachanganua maswala....we hivi unafuatilia matukio yote kwnye jamii na kuona yalivyo?
Ni ukosefu WA nidhamu kwanini hakimu amtreat vibaya afisa WA mahakama wakili ni afisa WA mahakama, hakimu amekosa nidhamu nafikiri Kwa maslahi mapana ya haki nafikiri ni haki achukuliwe utaratobu WA kinidhamu, mahakama ni chombo cha kutoa haki pale siyo nyumbani Kwa hakimu lazima afanye kazi Kwa Sheria na taratibu zilizowekwa, kwanini kuwepo na double standard???????????
Afandi ni Afandi hawezi kuwekwa ndani hawo wameshafungwa Afandi muachie adunde mjini huyo hana kesi labda ni kulinda hapo Wakili hana lake wakubwa hawana makosa isipokuwa wadogo ndio wenye makosa
Kaka madeleka big up sana pambana kaka tuko pamoja Mungu akutangulie kwa kutafutia haki Sisi wanyonge tunakandamizwa bila haki
Baba madeleka tupo pamoja mpaka yule shetan anyongwe mungu yupo nasi💪👍
Nice wakili wetu Madeley mungu akutangulie
Broo unajiamini sana na unajua vipengele vya sheria.
Mungu akulinde wakili kw utetezi w wanyonge. Akuepushe n hatari yoyoye y kukudhuru.
Viva madelekaaa🎉🎉🎉
Madeleka Mungu akutangulie
🎉kuna kitu nyuma ya pa,zia huo ndo ukweli
Unavita kubwa sana madereka unapaswa kulindwa
Mh madereka mungu akubaliki
Mungu akulinde wana bebana hao
Yani mbaka najuta kuzaliwa nchi hii
Jamaniii na huyu chinja chija alomchinja mtoto mariam uku ashughulikiwe
Mmekata kwa Bonifasi siyo😊😊😊
Serekali inachangia uwalifu na watu kufa,kutekwa 99%, so wananchi toweni uwoga igeni inchi nzingine zinavyofanya😢😢😢😢😢😢
We nae akili yako ya matope ambayo inashikwa na kupelekwa kwa mkumbo huwez ukakaa na ukachanganua maswala....we hivi unafuatilia matukio yote kwnye jamii na kuona yalivyo?
Ni ukosefu WA nidhamu kwanini hakimu amtreat vibaya afisa WA mahakama wakili ni afisa WA mahakama, hakimu amekosa nidhamu nafikiri Kwa maslahi mapana ya haki nafikiri ni haki achukuliwe utaratobu WA kinidhamu, mahakama ni chombo cha kutoa haki pale siyo nyumbani Kwa hakimu lazima afanye kazi Kwa Sheria na taratibu zilizowekwa, kwanini kuwepo na double standard???????????
Nchi ngumu sana hii ,hakuna kujiandikisha wala kupga kura
Ujitahidi kujilindaaaaa
Kwani nani yupo juu ya sheria??
Chini ya serikali hii uhalifu utazidi, kwasababu sheria inachaguwa.
Du! Nawasihi wananchi tujirinde wenyewe la sivyo hatuko salama
Tumpigie simu 😢😢
Kaka MUNGU akutagulie
Hii nchi itaokolewa na mawakili lisaiidieni taifa hili kutoka mikononi mwa mbwa mwitu wakali
Afandeeeeeeeeeeeeeeeeeeee😢
Hii nchi inawenyewe na mmoja wapo ni huyo Afande Fatuma Kigondo
Miaka hii tutaona mengi sana!
Mahakama hii nyoo
Kaka ukipungukiwa hela tuambie tutachanga
Tuamini maneno ya rostam Aziz? Mahakama ,mahakama,mahakama
huyo hakimu ana maslahi na hiyo kesi.. watu washapenyeza bahasha... kikubwa hapo ni kuanza na huyo hakimu.
yupo juu ya sheria??
Madereka kichwa cha maana
Duuu tutafika mbinguni tumechoka sana
Kwa Leo tupo pamoja
Mbn km global Tv mnakata maneno, dawa yenu kuwapotezea
Mahakimu wa CCM hao shenz kabisa
Viongozi wetu ni wabinafsi hao maaskari ndio wahalifu namba moja Tanzania na ndio maana wanafanya wanavyotaka kwasababu wanajua sheria iko chini yaoo
Kaza buti kaka peter sheria ichukue mkondoo wake
Wakili madeleka kaza ipatikane haki Kwa yule arie bakwa toa haki kaka hta huyo akimu afate shelia nasio kupindisha shelia
Tulijua tuu
Mahakama ni yetu sisi walala woi tu viongozi na wenye ela wanahamuamua chochote mda wowote akiamua
Komaa nao kitaeleweka tu..
Afandi ni Afandi hawezi kuwekwa ndani hawo wameshafungwa Afandi muachie adunde mjini huyo hana kesi labda ni kulinda hapo Wakili hana lake wakubwa hawana makosa isipokuwa wadogo ndio wenye makosa
Huyo afande kuna lake lamngoja na yy ndugu zake watalia Allah atampa kubwa kuliko alilolifanya
Hee. Mtumeee sisi wanyonge hatutapona na hatuko salama hawamajaji wengine ni wababaishaji cheo ni zamana
Rostam alishalimaliza Hilo la mahakama.
Roma nay ssytstm?
Hakim amehonwga
Yani mpaka hakimu yupo hivyo kutetea ujinga huyo hakimu majanga
Well said....!! Wengine tunajua kuwa magereza ni ya wezi wa kuku..... double standards tu. Ujinga mwingi.....!!
Madeleka komaa HIVYO hivyo
Fatuma kigondo kwanini unakataa kwenda mahakani na wewe unadai sio muhusika
Mpaka wakili amelaza😂😂
Mimi kama mimi Fatuma kigondo wala mahakama ningiweka pembeni ila mahakama ile nyingine ingemhusu
Global mnakata maneno ya kusema Boniface jacobo alinyimwa dhamana , maneno hayo mmekata.
Kuweni makini.
Tupo makini
Duuh
Kweli kuna watu wako juu ya sheria . Kusema ni rais kuliko jutenda . Wananchi wa kawaida itakuwa hivi mpaka lini ?😊
Rais mahakimu hawA wanakuharibia nchi na sifa zako,wanakuchafulia nchi,fukuza hakimu,fukuza huyo polisi