SONAA _ Episode 14

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лют 2025
  • #bintinyoka #kp #kpnazebuu #lastcard #wamangushi #zebuu #sonaa #kpcomedy
  • Комедії

КОМЕНТАРІ • 452

  • @TsombeJuscare-sh3pg
    @TsombeJuscare-sh3pg 8 місяців тому +24

    Wa kwanza mimi kutoka Congo 🇨🇩 naomba like zangu

  • @yusuphmwanza507
    @yusuphmwanza507 8 місяців тому +7

    Dah ongera zenu movie nzuri sana story yakipekee mmetisha sana chukueni maua yenu

  • @Zulfaamiry
    @Zulfaamiry 8 місяців тому +29

    Jmn mwenzenu me mshamba nilikua nauliza kwani mtu akiomba like kuna hela hua wanapata

  • @salmasalam3268
    @salmasalam3268 8 місяців тому +11

    Wowo❤❤❤tuskilize adi mwisho ndo tutoe maoni syo kuwahi wa kwanza ujatizsm movie mnakela

  • @BahatiKadenge-n5r
    @BahatiKadenge-n5r 8 місяців тому +10

    Moto hatari nawaaminia hamna kazi mbovu leteni muendelezo msichelewe kama mwanzo

  • @SmilingEquestrianHelmet-mc7lk
    @SmilingEquestrianHelmet-mc7lk 8 місяців тому +14

    Wakwanza Leo asanteni sana nimekuwa naigoja kwa hamu Sana

  • @HalimaBakari-so8dp
    @HalimaBakari-so8dp 8 місяців тому +15

    Jamn nmechelewa kdg naomba na mm likes jmn

  • @Christina-i6c
    @Christina-i6c 8 місяців тому +33

    Wa tatu jamani naombeni like hata tatu tu

  • @zainzain1163
    @zainzain1163 8 місяців тому +1

    Aiseee kazi nzuri team kp na zebuuu hila tunataka dibozi na mzee likoma

  • @ZoazinaJohn
    @ZoazinaJohn 8 місяців тому +1

    Mpk mwili umenisisimka kwa Roho mbaya aliyokuwa nayo Nora aiseee huyu kiumbe ni kauzuuuuuuii😂

  • @ndayiragijejeanclaude-rh1zl
    @ndayiragijejeanclaude-rh1zl 8 місяців тому +6

    😂😂😂😂😂 yani series tamu nisikwambiye kbx..ifuatiliao plse.nawapenda sanaaaaaaaa.tena sana kbx.from Burundi 🇧🇮

  • @isaacmutuku515
    @isaacmutuku515 8 місяців тому +34

    WA kwaza Leo kutoka Kenya. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Wapi likes ❤❤❤❤❤

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq 8 місяців тому +54

    Km unaamini kua mimba ya nora ni mimba ya kisai gonga like😂😂❤❤

    • @janetmaturu2377
      @janetmaturu2377 8 місяців тому +2

      😅😅😅

    • @Sayd-pi5lq
      @Sayd-pi5lq 8 місяців тому +1

      @@janetmaturu2377 ipo ivo

    • @elinapetro7136
      @elinapetro7136 8 місяців тому +2

      Umewaza kama mimi😂😂😂😂

    • @Bizo-hd
      @Bizo-hd 8 місяців тому +2

      dah km huna D mbili huwezi kuelewa😀

    • @Sayd-pi5lq
      @Sayd-pi5lq 8 місяців тому +2

      @@Bizo-hd umeonaa ee 😂😂

  • @jennifercharls4991
    @jennifercharls4991 8 місяців тому +8

    Siku hiz mnachelewa sana kutoa af mnatoa fupi mno tofauti na mlivyokua mnatoa kipindi cha nyuma, angalieni hilo msitukwaze mashabiki😊

  • @Tikijmlengo
    @Tikijmlengo 8 місяців тому +1

    Hapoooo sasa malikia ndo pakugundua maua yako malikia 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 By Tk j mlengo

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp 8 місяців тому +7

    Tunasubiriii couple ya Norah na Kp❤...maana Norah alifuraii 😂kuambiwa I LOVE YOU ❤🎉❤🎉

  • @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص
    @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص 8 місяців тому +2

    😂😂😂ndohapo sasa malikia huyo ni kijana wako wamchongo umeanza kupata picha sasa

  • @ElianeNsabumuremyi
    @ElianeNsabumuremyi 8 місяців тому +1

    Kazi nzuri inakua butamu sasa malikia umefunguka macho

  • @Aziza..Shaban
    @Aziza..Shaban 8 місяців тому +5

    Nashuku mimba ya Nora sio ya KP. Mwenye ananiunga mkono❤

  • @NiceboyTz
    @NiceboyTz 8 місяців тому +3

    Jaman nampenda sonaa mpaka naumwaaa like nyingiiiiiii

  • @Zuonist-y3q
    @Zuonist-y3q 8 місяців тому +11

    Wangap tunaamin kp kamchezea mchezo Nora akajikuta anabebeshwa mimba na mwanamme mwingne baada tu ya kulewa,maana Kuna sim kapga na ksema deal done......!!!!?

  • @dianasindika5249
    @dianasindika5249 8 місяців тому +9

    Mnatukalisha sana jmn afu muda mchache tuongezeeni atleast hata dakika 30

  • @mwajohari4385
    @mwajohari4385 8 місяців тому +3

    Mie huwa sikomenti leo nimekomenti,,leo nimeipenda nasubiri yangu kimyaa

  • @reylahCastory
    @reylahCastory 8 місяців тому +3

    Adi Nika sahau kama kuna sonaa Nikajua ime ishaa mna niuz movie inachelewa sanaa kutokaaa 😢😢

  • @Gnp-g8n
    @Gnp-g8n 8 місяців тому +3

    Jamna ya leo ni kali nimeipenda sana kama umependa kama mimi gonga like

  • @finegatwiri2597
    @finegatwiri2597 8 місяців тому +1

    Atari sana imenonga kweli kweli 😂😂😂

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 7 місяців тому +1

    Lovr from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 8 місяців тому +1

    Uyo chawa kibao kimemuingia sawa sawa tena cha ukweli.avumilie maana wanaombaga kazi kwenye komenti ongeza zebu kwa kumpa kazi.salam kwa wanyaturu wote nakwa mrangi noorah

  • @zuberhamza7852
    @zuberhamza7852 8 місяців тому +1

    Daah hatar
    Mara paaa nura ana mimba ya kisai😂😂😂

  • @JobWekesa-s2j
    @JobWekesa-s2j 8 місяців тому +19

    Wakwanza leo npe likes jaman

  • @Emily-k98
    @Emily-k98 8 місяців тому +1

    Jamani msinicheleweshe hii itafuata naona nikivumbi ayiiiiiiiimama kumekucha🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @Dogomache
    @Dogomache 8 місяців тому +1

    Jamani mimi nimekuwa wa mwisho naombeni like Jamani

  • @BARNABASTV2
    @BARNABASTV2 8 місяців тому +55

    Jamani nipewe like zangu wa kwanza Toka UDOM HUMANITIES

    • @Misheckkazilist-cv2hb
      @Misheckkazilist-cv2hb 8 місяців тому +1

      Duu aise kazi nono vibaya mnoo jmn hongereni sanah na pongenzi ziwafikie kokote mliko❤❤❤ ombi kazi itoke wepesi 💪

    • @EmmanuelAnthony-tr1ot
      @EmmanuelAnthony-tr1ot 8 місяців тому +1

      Au co

    • @ZamdaMkula
      @ZamdaMkula 8 місяців тому +1

      Nikajua udom naifatilia mwenyewe tu kumbe tupo wengi blessing sana

    • @ZamdaMkula
      @ZamdaMkula 8 місяців тому +1

      Umetisha mwana humanity mwenzangu

    • @AnethiShaban-fz3ir
      @AnethiShaban-fz3ir 8 місяців тому +1

      Jaman likoma yuwap

  • @IngabireKezia
    @IngabireKezia 8 місяців тому +7

    kuna uwezekano kp akamuua malikia kwa sababu kuna uwezekano malkia akaenda kusaka kila nyumba na akampata kp na kp kwa sababu amekabidhiwa kisu kuna uwezekano wakamuua malikia na atakapomuua ukweli utakapojulikana atajuta kwa kumuua mama yake na kwa sababu nola tayari ana ujauzito kinakaribia kuacha na nola na malkia atajuta kwa kumwamini sana nola

    • @liliy-u3n
      @liliy-u3n 8 місяців тому +2

      Nahisi kp amecheza na Nora ajelala naye ni mtu mwingine cz kp alipiga simu aliongea nini baada ya Nora kwenda

    • @IngabireKezia
      @IngabireKezia 8 місяців тому +1

      ​@@liliy-u3noh ndio kweli umenifumbua hakili inaonekana kp alicheza na akili ya nola baada ya nora kwenda kuchukua madawa ya kulevya na inaonekana nora alilala na mtu mwingine kulipokucha akajifanya kama ndiye aliyelala naye huu ni mchezo mzuri ambao kp ameucheza

    • @liliy-u3n
      @liliy-u3n 8 місяців тому +2

      @@IngabireKezia kabisaa Nora akona tamaa but atakosa kila kitu uko mbeleni😅

  • @aishaqassim1777
    @aishaqassim1777 8 місяців тому +5

    Janmani nikizaza huu nora anataka mamlaka kupitia kaka yake na zebuu duuh hatali 😂😂😂😅😅

  • @TantineKalumba
    @TantineKalumba 8 місяців тому +3

    Jamani imekuwa yamuzuri sana naomba like zangu notoka Congo wa Congo yezangu like apa🎉🎉🎉🎉

  • @SummaiyaKassim-zv5nt
    @SummaiyaKassim-zv5nt 8 місяців тому +13

    Kp napenda janja zako nora utajua haujui alafu uzuri malkia kashajua ukweli kuhusu kp fake mbona patamu hapo

  • @Fatma-h3d9k
    @Fatma-h3d9k 8 місяців тому +22

    Sijachelewa sana ila naomba hata like Moja

    • @malmavoice8989
      @malmavoice8989 8 місяців тому +1

      Naamin udug Wang na like nimekupa

    • @Fatma-h3d9k
      @Fatma-h3d9k 8 місяців тому

      @@malmavoice8989 kwani nnani samahani

  • @ShillaSaimon
    @ShillaSaimon 8 місяців тому +12

    Mimi Leo nimewah like hat 10

  • @TEZONE3337
    @TEZONE3337 8 місяців тому +2

    Hello team kufatilia sonna , hongereni sana kwa kaz nzuri

  • @DalmondLaurent
    @DalmondLaurent 8 місяців тому +2

    Apo ndo mchezo imeanza sasa malkia pokea maua yako ❤❤❤❤

  • @HuseniSabiti
    @HuseniSabiti 8 місяців тому +4

    Dah hu ni moto wa kuotea mbali❤❤

  • @MawazoJustin-fw2ws
    @MawazoJustin-fw2ws 8 місяців тому +1

    Wakwanza mm jamani nahomba like zangu

  • @FatimaFatima-bx8ez
    @FatimaFatima-bx8ez 8 місяців тому +2

    I like season 😂😂jamani imefika patamu Sasa nawapenda nyote ❤❤😂😂😢😢🎉

  • @HappyThomas-vl3gd
    @HappyThomas-vl3gd 8 місяців тому +3

    Mnachelewa sana kutoa ep zinazofuata muwe mnawai bas jaman movie nzur sanaaa

  • @zulphermshana9487
    @zulphermshana9487 8 місяців тому +1

    Hapa sasa ndy naanza kuona utam wa sonaaa msituangushe bas.

  • @JoyDavid254
    @JoyDavid254 8 місяців тому +1

    Kaka haoni mkia yuaona nyoka😂😂😂😂

  • @Naahmkabala-rr7bd
    @Naahmkabala-rr7bd 8 місяців тому +13

    Mnachelewa san jman mpk tunasahau

  • @GrettaAkimana-v5o
    @GrettaAkimana-v5o 8 місяців тому +8

    Wakwanza leo from🇧🇮🇧🇮

  • @zeinabuAchiengOkara
    @zeinabuAchiengOkara 8 місяців тому +2

    ❤❤❤ naipenda sana lakini kp umekuwa soft sana

  • @ayshaaysha3489
    @ayshaaysha3489 8 місяців тому +2

    Ongera kwa kazi ila mnachelewa.sana

  • @Masonkingtz-dr8wm
    @Masonkingtz-dr8wm 8 місяців тому +1

    Kama kweli kp ni mkali kwa movi naomba liki nione

  • @gracejastini
    @gracejastini 8 місяців тому +1

    Dah nmefulahi san jmn tuwekeee 14 maaan imenoga kweli peny ukweli pameonekan😀😀

  • @BahatiKadenge-n5r
    @BahatiKadenge-n5r 8 місяців тому +13

    Mbona kp umetulia hivi sna hadi ilikuwa kidogo nije kwenu 😂😂😂😂

  • @Everayubu
    @Everayubu 8 місяців тому +10

    Tanzania wa kwanza like zenuu bc

  • @MR_RAMSATZ
    @MR_RAMSATZ 8 місяців тому +15

    kaka kazi nzuri sana shabiki ako from Tanzania ila naomba kaka kama Kuna nafasi ya kuigiza na mm nionyeshe kipaji changu natamani sana hata usipo nip maokoto ila kikubwa kwanza kazi NAWAPENDA sana na zebuu wenuu

    • @zenasalumu8570
      @zenasalumu8570 8 місяців тому +1

      Tafta season za dj vassico huwa Kuna namba anatowa kwa ajiri ya wenye uwezo wa kuigiza unatuma clip kidogo ili aone uwezo wako na picha na vitu vingne atakavyo kuelekeza

    • @zuwenaomar4201
      @zuwenaomar4201 8 місяців тому +1

      Fanyeni fasta

    • @zuwenaomar4201
      @zuwenaomar4201 8 місяців тому +1

      Ep15

    • @MR_RAMSATZ
      @MR_RAMSATZ 8 місяців тому

      @@zenasalumu8570 au sio

    • @MR_RAMSATZ
      @MR_RAMSATZ 8 місяців тому

      @@zuwenaomar4201 au sio

  • @AbertDaGreenHearted-fo8eq
    @AbertDaGreenHearted-fo8eq 8 місяців тому +1

    Wa kwanza kutoka Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬 like hata moja inanitosha

  • @BahatiKadenge-n5r
    @BahatiKadenge-n5r 8 місяців тому +3

    Nawapenda sana much love from saudi ❤❤❤❤

  • @dolinepeter2503
    @dolinepeter2503 8 місяців тому +4

    Hapa ndo patamu tuwaishie inayofata nimefrah sana malkia kujua ukweli wote natamani norah asiwe na mimba ya kp

  • @doublehenterprise2906
    @doublehenterprise2906 8 місяців тому +1

    Isi ishe hii nzuri sana

  • @Meryda623
    @Meryda623 8 місяців тому +3

    Naombeni like 3 nawapenda sana kina kp

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 8 місяців тому +3

    Jamani sonaa yaisha haraka tena patamu hivyoo ❤❤❤❤

  • @irinemmasy8387
    @irinemmasy8387 8 місяців тому +1

    Patamu hapo😅😅 mimba ya nani ya k p😂😂😂 msitucheleweshee mambo ni 🔥🔥

  • @Bitulomaingu
    @Bitulomaingu 8 місяців тому +3

    Vyinzur sem mnachelewa San Pak tunasahau

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 8 місяців тому +2

    Pole sana sona lakini sio keep ni Nora jayafanya

  • @Irine-n4c
    @Irine-n4c 8 місяців тому

    Kazi nzuri Sana team kp nawapenda Sana from Mombasa kenya

  • @SaidatiAthuman-lm7zb
    @SaidatiAthuman-lm7zb 8 місяців тому

    Kazi nzuri Maashallah ila mnachelewesha sana msitufanyie hivo😢 afu tuwekeeni ndefu

  • @ahmadally2437
    @ahmadally2437 8 місяців тому

    Hahahah nakubali kp...naona umechezeshea nora, kumbe mimba ya kisai bhn

  • @LeopoldBigirimana-f4g
    @LeopoldBigirimana-f4g 8 місяців тому +1

    Mimi sitokupa like ila big up Kp

  • @Babygirl-s3h
    @Babygirl-s3h 8 місяців тому

    Nawapnda Sana KP n zebuu n kikosi chenyu love from Kenya

  • @LilianAndrea-ot3zy
    @LilianAndrea-ot3zy 7 місяців тому +1

    Kaz nzr guyz😊😊

  • @SamanthaMugisha-n9x
    @SamanthaMugisha-n9x 8 місяців тому +2

    Kutoka Burundi ❤❤❤ pls muschelewe pls jaman

  • @MaryamShabani-n2u
    @MaryamShabani-n2u 8 місяців тому +1

    Au mumegombana maana wsgizaji nyinyi inakywaga ngumu kuishi miaka mingi pamoja

  • @SaumuHassanAli
    @SaumuHassanAli 8 місяців тому +1

    Dibos manuva na likoma kwenye sonaa hawapo❤❤❤

  • @LeylaMgaya-og5mm
    @LeylaMgaya-og5mm 8 місяців тому

    Usicheleweshe eps 15 jamani ni fireeeeeee hongereniii sana team.

  • @TerenaStevelii-1995
    @TerenaStevelii-1995 8 місяців тому +3

    Hii moto sana wallai ❤😂

  • @kurumoneystock5397
    @kurumoneystock5397 8 місяців тому

    Umetumia wimbo mzuri sana ndugu yangu

  • @samuelgathanga757
    @samuelgathanga757 8 місяців тому +3

    Kp bna ako na nafasi haitumii dah😢😢

  • @GladysRizikiKahindi
    @GladysRizikiKahindi 8 місяців тому

    Hongereni kwa kazi nzuri 🎉🎉❤❤

  • @Mbaroukbakar-wu1tq
    @Mbaroukbakar-wu1tq 8 місяців тому +4

    Vipande viwe vilefu kidogo bwana kp zebuu nimekumiss

  • @TwalibuSuleiman
    @TwalibuSuleiman 8 місяців тому +2

    Mnachelewesha sana jamn

  • @AzamJuji
    @AzamJuji 8 місяців тому

    Pol sana norah hio mimba sio ya kp 😅😅😅😅nawapenda sana watu wangu msichereweshe ep ifuatao

  • @josephfrumence5815
    @josephfrumence5815 8 місяців тому

    Nzr sana naomba like hata moja

  • @SamuelAloo-qv3kg
    @SamuelAloo-qv3kg 8 місяців тому +1

    Watching from Kenya 🇰🇪

  • @MariamRiziki-o8x
    @MariamRiziki-o8x 8 місяців тому +2

    Sijachewa❤❤❤❤nko hapa nchi jirani

  • @juliethlaizer
    @juliethlaizer 8 місяців тому +1

    Jamni tunasubiri san jitaidini bx mtoe haraka next plz

  • @TecklaLozi
    @TecklaLozi 8 місяців тому +6

    Nimewahi jaman🎉🎉🎉

  • @Amena-z5r
    @Amena-z5r 8 місяців тому

    😂😂😂😂 Nora wewe ni to much huogopi malikia ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @wemakorogwe6900
    @wemakorogwe6900 8 місяців тому

    Nimefurah mama yke sonaaa kuujua ukwel kuwa huyo kijana

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 8 місяців тому

    I love you so much guys ,nice work kwakweli

  • @salomejames9639
    @salomejames9639 8 місяців тому

    😂😂ila shei shei ety utasema paaah patamu hapo

  • @KhadijaMasoud-m6u
    @KhadijaMasoud-m6u 5 місяців тому

    Yaani hilo mwanamke shenz anae taka kuzaa n kp nyoka

  • @zabulonNiyongere
    @zabulonNiyongere 8 місяців тому

    WE Kp jitahindi basibmuongezee mda kigogo maana ilivoanza kuwa tamu mnakata

  • @NansiJuma
    @NansiJuma 8 місяців тому +2

    i like this movie hahahaha 😍😍😍😍

  • @DolinKavishe
    @DolinKavishe 8 місяців тому +1

    Norah sijapendaa

  • @JosephMwendwa-ov2zd
    @JosephMwendwa-ov2zd 8 місяців тому +6

    Next ni tag plz am first in comments

  • @DhidhaGhofwa
    @DhidhaGhofwa 8 місяців тому

    Jamani naipenda sana kazi ya sheila.

  • @zuberipaulo90
    @zuberipaulo90 8 місяців тому +1

    Naonba like maana nora anataka mimba

  • @alfredtebeka2497
    @alfredtebeka2497 8 місяців тому

    Kimenuka 😊😊😊 huyu jamaa kijakazi wa Norah kimemramba😂😂😂😂

  • @AdohClassic
    @AdohClassic 8 місяців тому

    Kp natamani kufanya kazi na wewe naomba fursa ata mwanzoni usiponilipa nipo tayali