PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI PART 62 | Love Story
Вставка
- Опубліковано 8 лют 2025
- Welcome to the DONTA TV channel and we proudly present new episode PENZI LA MTOTO WA BOSS. This heartfelt story follows the emotional journey of a rich young man who falls deeply in love with a poor local worker. Despite their different worlds, their love is pure and undeniable. However, their relationship faces countless challenges as the young man's wealthy parents strongly oppose their union, believing she is not worthy of their son. Through tears, sacrifices, and unwavering determination, the couple fights against all odds to prove that love knows no boundaries. Will their love conquer societal expectations and family pressures? Or will their differences tear them apart? A tale of love, struggle, and triumph - watch as these two souls navigate the complexities of their relationship and discover if true love can truly overcome everything. Don’t miss this emotional rollercoaster! Like, comment, and subscribe for more touching stories like this one.
#love #penzilamtotowaboss
❤❤❤❤❤ daaah hongera sana Mr kelvin nilisubil sana hii ck kama weng tulisubil weka❤❤❤
❤
❤❤❤❤❤
New hit song chriga sina
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimefurahi sana kelv kuinuka tena❤❤❤❤ tina, mr gamba mama tina, na denis kuleni chuma hichooo😂😂😂😂😂😂 waliofurah kama mimi gonga like hapa🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Sio kufurai tu nimecheka kwanguvu sio kucheka nimeruka ruka kama ndege nasio kuruka natamani watume EP nyingine
Hyo n furaha tele 🤗💃🏼💃🏼🤸🏼🤸🏼🤸🏼@@solangeramadhani4038
Pumbavu we binamu hiii ni muviii
@@solangeramadhani4038😂😂😂😂😂
@@CassianFabianKakobe😂😂😂😂
Hii ya leo ilikuwa moto. Kazi nzuri sana Kelvin. Kesho mapema tunaomba mwendekezo😊
New hit song chriga Sina
Wow jarufu ameangukia akuna kuunda matofali tena 🤣 na huu mchezo umecheza na hailat good job Hailat ❤🎉🎉
New. Hit song chriga sina
😢😢
Yah very nice
Jamani week nzima kweli kwa kuwategemee 😢😢 tunaomba basi hi film mara 2 kwa week Asante🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
kifo cha candy 😢 kimeniumiza sana😢 kama na wew umeumia weka like
Sasa unaombaje like watu tuko kuomboleza????
😅😅😅@@TaqiyyaMwijage
hiii n mvi wew cadey yupo mzma 😂😂😂😂e
@@TaqiyyaMwijagebe nice😂😂😂😂
Sana yn lkn mm nmejipa moyo kwamba hii ni movie
Kila mtu huku ni likes Tu jamani
Mimi nawaombea maisha marefu na yenye fanaka nawapenda nyote 💞💞💞
Amin🤲❤
Amina tunakupenda pia
Nawe pia
Amin na ww pia❤
tunakupenda pia
Mm wa elfu moja mtanipea likes ama niende 😂😂😂
Team donta maua yenu 🎉🎉🎉❤❤❤❤
Kelvin hii imeenda vizuri sana,sasa basiii maana maisha yamerudi tena kwa mtoto wa boss❤❤❤🎉🎉🎉 Mama Cendy upone umalizie uzee wako kwenye mafutaaa😊
Congratulations donta t.v nawapenda wote Kevin maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Glory to God 🙏 🙌, kweli baada ya thiki ni faraja,kevo liche umeyapitia matatizo mengi yenye uzuni ,lkn tapasam lako limerejea, pia namshukuru loveness kua mfariji mkubwa ulipokua una chechemea
Hongera Hongera Hongera mr Kevin 🎉🎉🎉🎉❤
Asante YESU kwa kuwatazama wanyoge jaman usimwani mwanadamu wanabadirika lakini huyu yesu abadiliki kamwe na kingine Cha mtu ni Cha mtu tu lakini usilipe mabaya
Waaah😅😅😅dakika mbili mumefika watu 98 hapa niupendo mob kwa hii filamu mwenye amekimbia kma mimi tujuane❤❤❤
Watu hawalali
Na mbona imekawia lkn wenzang
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wow kelvin iyiiiiii ndiyo umeweza kabisa ijapo mangumu nataka yengine haraka
What goes around comes around 👌 finally 💪💪Hakika nimefurahi sana mchezo umeanza
Pole mama kelvin kwa msituko lakini naamini kwamba God is with u.quick recovery.mambo mazuri yanakuja hivi karibuni tusherekee kwa pamoja family ya Maru ❤❤❤❤❤❤🎉 nawapenda sana
Doctor Yuko vizuri sana anajua sana.Mpeni maua yake🎉🎉🎉🎉🎉
New hit song chriga sina
Mimi kutoka Rwanda Ndo mara ya kwanza nimeandika kwenye comment ongera Sana Kevin 👏👏👏👏
Karibu 😊
Jitahd na mara ya pili tena
Ila hii episode ndo zaid ya zote congratulations DONTA TV
Safi sana kbs
Kabisa❤
Vipi Mr Denis utaendelea kunishangaa ama utaketi tuendelee na kikao😂😂kula chuma icho Denooo,,,,alafu Bonny nawe weka begi kwa meza si kwa miguu😅😅 congratulations nyinyi wote❤
😂😂😂
😂😂@@KazdoWills
Chukua Maua yako Kelvin kwa majibu uliompatia denis🎉🎉😂😂😂👌👌👌🤗🤗🤗😍😍nimeipenda iyo
Mambo imechemka upande wa Dennis looo kazi nzuri sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mitihani tuliumbiwa bina damu kilicho baki ni kumshukuru Mungu tu❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉exactly
Tulio Subiri Kuona Denis anadundia Pua Kwa Miba na Kunasisha Kapua huko, huku miguu ikipepea Kwa Hewa na Hana Kampuni Tujuane 😂🤸
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂
😂😂😂😂😂😂sijelewi Niko hapa 🖐️🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Io ingine ikuje haraka tunataka kuona icho kikao😅😅
Asante mungu 🙏 Kelvin karudi ofisini...wapi like za watu wa Kenya 🇰🇪
❤
❤
❤
🎉🎉🎉tuko pamoja kutoka kenya
Jaman wapenzi wa donta tv naimani wote n wazima nawaombea kwa allah azid kuwapa nguvu na kuwajaalia afya njema kwa kila hatua mnazopiga na huu mwaka uwe wa mafanikio mengi kwenu❤❤
Jamani familia ya Mr marwa poleni sana. Pia hongereni kwa kazi nzuri 🎉🎉🎉❤❤❤❤
Kazi nzuri xan Masha'Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤hii movie jamn ni kubwa zaid bongo movie's japo kidgo dgo minutes bt inaujumbe mzur na mzito xn ndan yake haswa yaleo nmfurahi kuwaona wengin baadhi wapya jamani muendlee kufanya kazi safi xn wanadonta tv mpo juu zaid 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Jamani nimefurahi sana kuona kelvin kawa boss ❤❤❤❤❤😊
Jaman mimi ndonaangalia sahii kwan kelvin kawa bos tayar
Yes@@HalimaAdam-r5e
Ila Denis atanifanya kitu mbaya
Lakin Kevin ajanunua hisa ni lati aliyenunua kwa navyo hc
Yani simpend denis@@saidjumanne6364
Safi sana kelvi pia nkupongeza kwa kumchukuwa jarufu kazi nzuri❤❤❤❤❤❤❤
Nawapnda nyote wana donta ❤❤❤❤❤ mnaweza zaidi
sema mtengenezaji wa hii ngoma apewe 🎉🎉🎉🎉🎉,
thanks All Characters🎉🎉
Ngoma aichuji toka ep1🙌🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 good
Kazi nzuri Sana nawapata nikiwa Nairobi Kenya 🇰🇪 naikubali kazi yenu sana 🎉🎉
Woyooooooooo boss kelv nimefurahi sana 😂😂😂😂😂😂 mungu afanhe wepesi doa ipite na miss lavoness ❤❤❤
Hii filam naipenda sana yani story inaelekeweka hongera bwana Kelvin hapa umetuliza kichwa vizur na umejua kututeka mashabiki❤❤
Yaleo Kali jamani hongereni TM donta nawapenda bure
Hakika movie nzuriii na inatufunza sana congratulations to you brother CALVIN. ❤❤❤❤❤❤❤
Nilianza kufuatilia toka ikiwa part 5 hadi waleo lakini leo imenibidi kelvin congratulations imenigusa mahali ndo nkaamua kukomendi🎉🎉🎉🎉 basi 63 isichelele
❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉iyo ni yako Kelvin 😂😂😂😂 Dennis kimekuramba mtu wangu Wacha kushangaa 🎉😂❤ Kenya twawapenda sana
Wanaoskitishwa na kifo Cha kendy tujuane Kwa mikono plz, watching from Kenya.
Yan nimeumia kwakwel
Dah imenisikitisha sana
Dah yn imenisikitisha sana
Dah inauma sana😢😢😢😢😢😢
Much love from Kenya ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉 good work guys keep it up 👌👌👏👏
Aki pole sana my brother kelvin Kwa mambo unabidia❤❤❤🎉
Kwenye hii dunia hakuna kinachomshinda Mungu unapokua na changamotozak mwelez Mungu alikujua toka tumbon mwa mama yako hakun aliekuj kwa bahati mbya,❤❤❤
Waooooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉makofi mengi kwa Kelvin japokua tunamacungu ya mama na Candy yani nimefurai bala❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂
Hapo sawa wa kwanza like tu
Pole sana Tina enderea kuifuatila madeni kw amosi,ira amos umesho Tina visuri ,kiendacho kw mganga akirudi tena 😂😂😂😂
Nimeumia sana kwa hii kifo ya candy bt yote ni ya mungu,,,kazi nzuri Kevin nikupee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hatimae kevi karudi kuwa boss dunia hadaa ulimwengu shujaaaa😂😂😂😂 hongera kevi kazi yako nzuri mauwa yako🎉🎉🎉🎉
Nmefika jaman nioneni na likes from Kenya ❤❤
Wakwanza 😂😂😂 Kenya is proud of you
Yeah we're here😂
Nakubali saana kelvin king 👑 of Film in East Africa. From USA California 🔥🔥🔥
This is a very good lesson tor us.
One crime can destroy the entire village...
We bwana weeee yaani sijui but mwajua kuicheza ngoma hiii ingawaje huzuni kwa mpigo maua kwenu 🎉🎉🎉🎉🎉wadau 🎉🎉🎉🎉🎉
Le premier aujourd'hui, je veux mes likes
Nilikuwa na shaukunkubwa sana kumwana boss japo nilikuwa na jua atakuwa kelvin, jamaniii tunaomba msitucheleweshe 63 ije mapema ❤🎉🎉🎉
Hongera sana kelvin kwa kuwa na subra kweli subira huvuta kheri🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤️❤️❤️❤️
Waaau congratulations Kevin ❤❤🎉
Wa kwanza APA naomba likes zang drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ina maana drs kuna watu mna hadi muda wa ku watch move
Nimengoja lakini hatima ishafika❤❤❤
Wow Leo Jarufu na Kevin wanapendeza mno😊❤🎉
Jamani Kelvin kazinzuri sana❤🎉🎉 nimependa staili yako wenibola sana kelvin mauwayako 🎉🎉🎉
Kelvin waoooo!!!! Kwenye shida matatizo umevuka walotaka kukuangusha Leo wanaangka wenyew bla hata we kuwagusa
Pia mmi nimewasili nipeni like na mmi kutokea kenya ..🇰🇪🇰🇪🇰🇪 hey niwaulinze nyinyi mbona movie ainyonekani au kwangu tu guys..🎉🎉🎉
Nimewahi leo nimekua wa kwanza plz nipeni zangu🎉🎉🎉❤❤❤
hii sijapenda mnawahii kuona moviee, mimi napata taari watu 12k mmeview na like hazifiki hata 2k surely😔😔
😂
Yani wanaona kufinya dole tu ni asara kwao 😂
@chunaabdullah1333 banaeee😂
Nimefurah sana jamani Kevi karudi kama zamani
Waaaa nimefurahj sana mungu akuongezee maisha marefu Kelvin na mamako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
MashaAllah nimefurahi sana kuomba kelvin amerudi kua boss kwan amepitia maisha ya shida sana nawapenda sana Wana Donta Tv
Wa kwanza Leo kutoka Kenya wapi likes zangu jamani🇰🇪🇰🇪
Oyooooooo!piga kelele kwa kelvin wakeeee!❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂puq linakwenda kuvimba
Hongeren sana kwa Kaz nzur mung awatangulie 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
In a much wait finally here we go❤❤❤
Naipenda sana muvi kutokeya Congo naomba yakezanyu❤❤ kama wewe unaipenda muvi kama mimi
Karibu 😊
Jaman sjawah kupewa like kiukweli kama.unapenda hii movie nipe.like kdgo
lovenes wewe ni bin it mwenye hekima sana umejua ukiwaambia ukweli wataumia sana naupate lawama kwamba ungekua umewaambia candy.hangejiua😢😢
Nilikua nimengoja kwa hamu sana licha nimechelewa kufika,,,, basi nipe likes jamani❤❤❤
Jmn pole sana mama Kelv ,,,,daaah Tina ndio umepauka hivo😂😂😂😂😂😂
Kwanzia hii episode ndw nilikuwa nasubiri sana,,, hapo kwa Dennis,, Thanks bro Kelvin,,, take your flowers from Kenya
Leo nimetangulia pia❤❤nipeni likes za loveness na kelvin... We love you from Kenya 😍😍
Thsnks
Tuliokua tumeimiss hii movie tujuane❤❤❤
Naww up uk
Abuchumwa Ali kutokea Kenya
Am the one from 🇰🇪 and you
Am the one from kenya ❤❤❤❤
@@SmilingBreakingWaves-jy3ry bila kuchoka
kwani we nani???
Whauuuuuu hongera mafuzo Kevin na love na mama Kevin 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Whaooo kelvin umeteseka sana inafika mwisho kabisa
Latiiiiiiiiìii mshitueni bac mwambieni nampa hongera kwa plani b🎉🎉🎉🎉🎉
Wa kwanza leo kutoka Kenya ...wapi maua ya kelvin🎉🎉🎉🎉
Wakqnzakutoka 🇧🇮 jamani naomba like zenu
Bwana yesu asifiwe 🤲...
Rest in peace My Dear KENDY 🫀
Nawapata vizuri nikiwa Nairobi Kenya ongera sana Kelvin
Familia ya kevi yahuzunisha sana ak ingawa mwacheza poa part yenu🎉🎉🎉🎉❤❤
Wale tunao wah tujuane❤🎉😂
Wa Kwanza Leo kutoka kwa kasongo najua mko huku maua yenu nawapea🎉🎉🎉🎉
Here iñ kenya mnipe like zangu Wacha wivu wewe😂😂🇰🇪💪
Chukua nmekupa
@NuruNdegwa-yg2bm wow thanks babygal🙏
Pole Sana Kelvin kwa magumu unayo pitiable wacha mungu akutie nguvu, one yes utatoboa😮😮😮
Jamani , nawambiya kiukweli, akuna episode nayi furahiya kama iyi kumuona tena kelvin kucheka na kurudi kuwa boss. Sasa unga ndowa na loveness. Nawafuata toka RDC toka part 01 mpaka leo. Jamani mnipe nami vile vile like zangu.💃💃💃
Wanaotamanj wanawake wenye sifa kama laveness gonga like hapa,
🎉🎉🎉❤❤
Good job Kelvin ❤❤imeishia patamuu xnaaaa❤❤
Mnachelewesha sana donta tv tunaomba mjitaid kutuwaishia
Haki Kelvin kazi nzur pole mama Kelvin Mungu akuponyeshe, haraka Denis unapakwa mafuta Na mgongo Wa chupa Na Latif ndo mshidi,,,hayo yote❤❤❤🎉🎉🎉lat unatumika akili,,
Wah nasubiri 63,,Kevin shda nazo zimekuadama wah,,,muharakishe 63 Inger to watch it
Wangapi wanafurah kumuona calvin tena akirud kuwa boss🎉🎉🎉❤❤
Team fulus, jedid, hamam huku Kuna vitu vingi like tukituma Rambirambi zetu kwa kina Kelvin
Hongera sanaaa popote muripo mungu aeneze maombi yenu I have you ❤❤❤❤❤
kelvin kenya umefanya ni kitu kikubwa sana ila usijali mama mungu atamsaidia🎉🎉🎉🎉🎉
kama unasikiaga ndoto ya mchana ndo hiyo sasa imemutokeaa denis❤❤❤