YAFAHAMU MENO BANDIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 83

  • @GaitoneApatapata
    @GaitoneApatapata 10 місяців тому

    Docter eu não tenho dentes d frente está quanto por cada?

  • @zainabumatili7450
    @zainabumatili7450 Рік тому +1

    Docta mmi naomba unijibu Mimi jino langu la mbele la juu limevunjika je? Naweza kupata jino la kuvalisha kwa juu Bila kuling'oaa? Maana halijaozaa

    • @alexiahospital1739
      @alexiahospital1739  Рік тому +1

      habari, ndio inawezekana kupata jino la kuvalisha. Karibu tukuhudumie

    • @alexiahospital1739
      @alexiahospital1739  Рік тому +1

      ndio inawezekana kupata jino la kuvalisha bila kung'oa

    • @zainabumatili7450
      @zainabumatili7450 2 місяці тому

      Mpo wapi na hospitali inaitwaje? Pia naomba no za cm mi nashida nawapataje,?

  • @PraxidesNelima
    @PraxidesNelima Місяць тому

    Mnapatikana maeneo gani naitaji Juno doctor

  • @AnnaMarco-sh7mq
    @AnnaMarco-sh7mq 11 місяців тому +1

    Jino moja linabeigan

    • @alexiahospital1739
      @alexiahospital1739  7 місяців тому

      jino la kuvaa na kuvua ni 50,000 na jino la moja kwa moja ni 100,000. Karibu tukuhudumie

    • @AgredaMoyo
      @AgredaMoyo 6 місяців тому

      Nahitaji namba

    • @alexiahospital1739
      @alexiahospital1739  6 місяців тому

      @@AgredaMoyo 0677016818

  • @UpendoMtemelo
    @UpendoMtemelo Рік тому +1

    Bei siyo rafiki

  • @ShalifuMwangomile
    @ShalifuMwangomile 6 місяців тому

    Mim meno yangu yametoboka mawili mnasilibia sh, ngapi

    • @alexiahospital1739
      @alexiahospital1739  2 місяці тому

      habari, tunashauri uonane na daktari kwanza maana ukubwa wa tatizo unasaidia kujua aina gani ya matibabu yatakua sahihi

  • @RizikiTesha-v1y
    @RizikiTesha-v1y Рік тому +2

    Ninashida na meno ya bandia yambele ma nne ni bei gani?

  • @veronicaluvanda2880
    @veronicaluvanda2880 Рік тому

    Mpo wapi dr

  • @HanifahSadjid
    @HanifahSadjid 9 місяців тому

    Dactari sasa mbona watsap haupatikani?

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 місяці тому

    Mnapatikana wapi?

  • @adilaabdallah4670
    @adilaabdallah4670 Рік тому

    Doctor Jino bandia kiasi gani

    • @alexiahospital1739
      @alexiahospital1739  Рік тому

      jino la kuvaa na kuvua ni 50,000 na jino la moja kwa moja ni 100,000. Karibu tukuhudumie

  • @ZelaMasaba
    @ZelaMasaba 2 місяці тому

    dactari nina uhitaji wa meno mnapatikana wapi tafadhalo

    • @alexiahospital1739
      @alexiahospital1739  2 місяці тому

      Habari, tupo Toangoma wilaya ya Temeke mkoa wa Dar es Salaam

  • @NegejiLuguma-wp6rm
    @NegejiLuguma-wp6rm 11 місяців тому +2

    IPO mkoa gan

    • @alexiahospital1739
      @alexiahospital1739  11 місяців тому

      Habari, tuko mkoa wa Dar es Salaam, Temeke-Toangoma

    • @RobertMlay
      @RobertMlay 4 місяці тому

      ​@@alexiahospital1739 umesema hayo ya kuweka mojakwamoja yapo material aina mbili vp bei yake itakuwa moja pia .na vp je?ukishaweka kunakuwa na cliniki ya kubadilisha baada ya mda flan:au ukishaweka ndo bas hayatakusumbua wala.kumuona docter tena msaada tafadahli

    • @hamisifarashini
      @hamisifarashini 16 днів тому

      ​@@alexiahospital1739ayo ya moja kwa moja ndo bei gan?

  • @brightonmnanka9987
    @brightonmnanka9987 7 місяців тому

    Mnapatikana mkoa gan no za sim

    • @alexiahospital1739
      @alexiahospital1739  7 місяців тому

      habari, tuko mkoa wa Dar es Salaam, namba ni 0677016818

  • @SaudaJumanne-z5z
    @SaudaJumanne-z5z Місяць тому

    Bei gan

  • @UmmulkheirAlly-dl2sc
    @UmmulkheirAlly-dl2sc 8 місяців тому

    Dokta

  • @JoyceElias-pl5mo
    @JoyceElias-pl5mo 4 місяці тому

    Na magego yanapatikana mana kalibu nitakua kibogoyo

  • @saidmohammed2405
    @saidmohammed2405 2 місяці тому

    Maswali mengi hakuna majibu
    hawako makini na kaziyao

  • @elizabethanangisye4621
    @elizabethanangisye4621 7 місяців тому

    Alexia hospital iko wap?

  • @Taslo
    @Taslo Рік тому +1

    Thanks Doctor

  • @KhadijaRajabu-d7h
    @KhadijaRajabu-d7h Рік тому

    Mawili shingapi

  • @MayasaOmar-c8r
    @MayasaOmar-c8r Рік тому +1

    jino bandia lakudumu kiasi gn au inategemea na matirial

    • @alexiahospital1739
      @alexiahospital1739  Рік тому

      kuna la kuvaa na kuvua ni 50,000 na la moja kwa moja ni 100,000

  • @SelinaDanielBastola
    @SelinaDanielBastola 2 місяці тому

    Naomba namba zenu ninauhitaji

  • @elishamussamahesahosea
    @elishamussamahesahosea 7 місяців тому

    habari

  • @elizabethanangisye4621
    @elizabethanangisye4621 7 місяців тому

    Tupe mawasiliano

  • @stamelistameli8461
    @stamelistameli8461 Рік тому

    Mnapatikana wapi mimi yambele yote itakua shingapi

    • @alexiahospital1739
      @alexiahospital1739  Рік тому

      Tuko Toangoma Dar es Salaam, karibu uonane na daktari kwanza ili ashauri matibabu sahihi

    • @nurujainamwile1618
      @nurujainamwile1618 3 місяці тому

      Nataka jino la bandia la mbele jmn ni sh ngp​@@alexiahospital1739

  • @RichardjohnJohn
    @RichardjohnJohn Рік тому

    Meno bandia matano ya kuvaa na kuvua nj bei gan

  • @LucyMathew-u9n
    @LucyMathew-u9n Місяць тому

    Mnapatikana wap na namba zenu

    • @alexiahospital1739
      @alexiahospital1739  Місяць тому

      @@LucyMathew-u9n tupo toangoma dar es salaam, mawasiliano ni 0677016818

  • @RobertMlay
    @RobertMlay 4 місяці тому

    Hayo ya kuvaa mojakwamoja umetaja.material tofauti vp material yote yatakuwa bei moja

    • @alexiahospital1739
      @alexiahospital1739  3 місяці тому

      karibu uonane na daktari ili ashauri nini kitafaa na gharama yake

  • @Mdogomind
    @Mdogomind Рік тому

    Me naitaji jino moja la juu mbele ya kinywa bei gani

    • @alexiahospital1739
      @alexiahospital1739  Рік тому

      inategemea, la kuvaa na kuvua ni 50,000 na la moja kwa moja ni 100,000. Karibu tukuhudumie

    • @alexiahospital1739
      @alexiahospital1739  Рік тому

      kuna la kuvaa na kuvua ni 50,000 na la moja kwa moja ni 100,000

  • @amour5535
    @amour5535 Рік тому

    Daktar jino moja bandia bei gani?

    • @alexiahospital1739
      @alexiahospital1739  Рік тому

      jino la kuvaa na kuvua ni 50,000 na jino la moja kwa moja ni 100,000. Karibu tukuhudumie

    • @amour5535
      @amour5535 Рік тому

      @@alexiahospital1739 mupo maeneo gani naomba namba zenu tafadhar daktar

    • @alexiahospital1739
      @alexiahospital1739  Рік тому

      @@amour5535 tupo Toangoma Dar es Salaam. Namba ya ofisi ni 0655842339

    • @amour5535
      @amour5535 Рік тому

      @@alexiahospital1739 Asante sana nilihangaika kuulidhia ila asante nakuja 🙏🙏🙏

    • @NEEMANdembwe
      @NEEMANdembwe Рік тому

      Docta meno bandia unaweza kula chakula chochote?

  • @elishamussamahesahosea
    @elishamussamahesahosea 7 місяців тому

    naomba namba zenu

  • @vumiliandulu1486
    @vumiliandulu1486 Рік тому

    Likiwa limekatika

    • @alexiahospital1739
      @alexiahospital1739  Рік тому

      kama unauliza huduma ya meno bandia kwa jino lililokatika, inategemea. Nakushauri ufike hospitali kuonana na daktari kwa ushauri na maelekezo zaidi

  • @landolinmbogolo8434
    @landolinmbogolo8434 Рік тому

    Bei ya kila jino

  • @elishamussamahesahosea
    @elishamussamahesahosea 7 місяців тому

    naomba namba zenu