EXCLUSIVE : CHID BENZ AMJIBU HAJI MANARA KUHUSU MADAWA YA KULEVYA / SITAKI MSAADA WAKE
Вставка
- Опубліковано 15 жов 2024
- MWANAMUZIKI CHID BENZ AMEMJIBU HAJI MANARA KUHUSU KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA / SITAKI MSAADA WAKE / NITAZINGUANA NA MTU TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA
#manaratv #chidbenz #hajimanara #diamondplatnumz #wasafifm
kwa mutazamo wangu,Chid ameshuka kidogo tu kimaisha.Ila kihakili,kiafia chid yuko sawa kinoma.big up sana chid❤
Huyu Chid wa leo yupo pure Sober!!! Huyu ndio Chid wetu, Huyu ni Rashid Makwiro 🙌
Chidi benz ni shuja kweli, wange kua wengine wangekua kichaa. Huyu kaka anaimani , mungu amemsaidia ku protect akili yake kwa utu alio toa❤❤❤❤❤❤❤❤ You're always legend❤❤❤❤🇬🇧
chid wangu nakupenda sana unaakili naushauru ijapokuwa watu wanakushukuliya poa
Ah! Chid si chiz bana,,, anajitambua vizur tu,,, wamwache na maisha yake tu
Dogo unajua sana kutangaza ila punguza kujiamini hii ni interview yangu bora hongera chid unaakili sana Mungu akulinde chid
Kwamajonzi makubwa na mchanganyiko wa furaha kubwa niliyo nayo ni kwamba chid ni yule yule Leo Jan na hata milele nimwambie tu nilikuwa karibu na marahemu nisher since 2021 na tulimuongelea sana chid na tulimuwa tu asikiliza mziki wake na interview zake pia nisher alikuwa anamkubali sana chid ya nikama tulikutana mwenye tabia Moja wote wawili tulikuwa tunamkubali chid nadhani marehemu amekufa akiwa namaswali yakumuuliza chid na alikuwa na mambo yakumsaidia chid ila me nasemaje one day yes nitatimiza vya marehemu na Mimi nitamzika nisher then nitavichanganya vya marehemu na Mimi naomba Mungu anisaidie lkn ndugu yangu rafiki yangu FAMILIA nisher apumzike kwaamani. Ila one day I will do something I promise🙏🙏🙏
One love brother ✔️🙏
Wallahi Real talk kaka mkuu mimi nta kutafuta tu fanya kituu 💯💯💯🙏🏾
Yani mimi binafsi mkisema Chidi benz chizi, mvuta bangi, mlevi, mwehu, ila huwaga namuelewaga sana uyu mwamba😅😅😅
Huyu mwamba anaakili sana
Respect benz
Chid Benz akili kubwa sana.MUNGU aendelee kumtunza
Chid chid king kong keep shinning Broo nasubiria video yako wewe na Diamond 💎 Platnumz kwa ile ngoma yenu .....tunaaishi nao alafu page yako ya UA-cam naona watu wengi wanatumia jina lako sana
Uyo ndio chid mtu makin sana
Chid hua anaongea fact...ina mchukua mtu mwenye ufahamu mkubwa kumuelewa asemacho....wengi huishia kusema anapiga kelele...lakn hawajataka kumuelewa...waeza kua Una sikiza na huelewi....big up bro nkkubali xna...toka day one...king Kong la familia...
Akili nyingi San huyu ndo Rashid ❤
Thats is Rashid Mungu yu mwema ma brother yuko poah sanaaaaaa
Chid noma sana akiacha matumizi ya vyote vinavyohusiana na ulevi ni mtu smart sana kichwani akiongea nawe ukawekeza sikio na ubongo ni msanii mwenye uwezo mkubwa sana kichwani
Tatizo yeye mwenyewe anajiona anajua kuliko wengine. Ni sawa mtu kuwa anajua lakini ukiwa na watu wengine kwenye maisha na kazi lazima kujaribu kuishi kwa kusikiliza na makubaliano. Lakini ikiwa kila kitu mtu anajiona anajua zaidi mjuaji mno ni ngumu kufanya kazi na wengine hata kuishi nao.Kuna mtu ata ukimpa ushauri kesho atasema ni yeye kafanya yaani wanataka wajikwaze hiyo ni mbaya sana. Ndio maana unaona kila anaejaribu kumsapoti anashindwa kwa sababu haambiliki anajua sana.Anasahau yeye anashida anaona anaemsaidia ndio mwenye shida. Huyu na Qchief na TID hawa ni Too much know sana
@@leokamil6284😂😅😅
Huyu ndio Chidy ninayemfahamu.. big up brother❤
Kumbe chidi muhuni amekua actor mtaani 😂😂😂😂 nakubali LEGEND
Jamaa ana IQ kubwa sana
Akili mingi❤❤❤
Huyu jamaa yuko real kinoma
Genius
NAMPENDA sana huyu MWAMBA
Naamini MUNGU atamwamsha Tena kisanaa
Chid Benz lafamilia forever
Chidi reo yuko tofauti sana na anaongea Kwa hisia sana aisee😢
Kuna mda upo vzr san broo chid
Kumsaidia mtu sio mpaka mumtangaze,msaidieni kimya kimya
Big up chid anaongea fact
One love brother chid!
Daaah huyu bado sana
Akili kubwa kila siku nasema chid n genius
Ukitingwa sema
Mwana akiwa sober anakua fresh sana
Tatizo ni nchi yetu haitambui thamani ya wasanii.msanii ni gazeti la taifa,wasanii hawa hawa ndio wajaza uwanja kipindi cha kampeni why taifa au serikali inashindwa kutenga kiinua mgongo kwa wasanii,hata kuwapa japo bima ya afya tu.msanii wa taifa ni bora hata kuliko mchezaji wa timu ya taifa lakini angalia kidogo mchezaji anaonekana kuliko msanii,wasanii ni kioo cha jamii wanaelimisha ,wanasisimua,wanaonya,na wanaburudisha jamii.anoint mwimbaji wa injili aliimba kudai haki za wasanii akauliza why hakuna hata sanamu la msanii hata mmoja au hata jina la barabara kama ilivyo kawawa road au nyerere road lakini hamna kiongozi anayegusika,kuna msanii anatembelewa lakini sio kwa sababu ya usanii wake bali ni kutokana na kuwahi kuwa sehemu ya serikali(ubunge).Sina hata dalili ya usanii lakini naiona thamani ya msanii,binafsi nilijua muonekana na hatari ya ugonjwa wa ukimwi baada ya ferooz na prof.jay kutunga wimbo wa ukimwi.seasons ya siri za familia ililenga mfumo mzima wa maisha ya binadamu ndani ya ndoa na nje ya ndoa.hizo ni sample tu zipo nyingi lakini wasanii wanachukuliwa powa.Serikali ifanye jambo kuhusu wasanii.
MTU Mmoja Aliyeamuwa Kurudi Kwenye Maisha Halisi.
Jamaaa Ana akili sana huyu
Wana talk talk kwa kuongea mabaya wanazungumza kwa kusema mabaya
NIMEPENDA SANA INTERVIEW HII, UMEMPA TAIMU YA KUJIELEZA
Nakumbuka siku ya kwanza unakuja burundi kufanya show aise wanaokudharau saizi waache na uzidi kuwapa nafasi ya kukudharau. Kama huyo baba levo akija burundi hawezi pata hata mtu mmoja ila wew ulijaza show na ulirudi bingo bado tunatamani vibes zako. Nakumbuka nyumbani tuliibiwa siku hio baba mama na familia yote tulikua tumekuja show yako na kulipa VIP .
Huyu jamaa nafikiri huwa anachomoa betri mwenyewe,mbona hapa yupo nenga tu i mean yupo fiti😮😮
Ndiyo alivyo ni mtu anayeweza kucheza na akili za watu
Jama la ku switch 😅
@@mvungigamingexactly
Acha unga wewe chid Benz acha kuteteya feeling zako wakati watu wote tuliona muonekano wako bila kujipanga its was suprise
Acha. Ujuajı acha nyege
Nakupenda cn chidi benzi popote ulipo Amini mimi nakupenda cn ❤❤❤❤❤❤ wewe Achana nao watu waseme wajinga cn hao watu ebu waache kukusema
denial as a first stage of grief
the pain is real
watu wakisoma sana wanachanganyikiwa mkuu..
@@sabathmkama😂😂
Anaakili sana
Leo chid Yuko vizur Yuko sobber Leo hajalewa Wala hajavuta kitu
Ww ni mtu wa kipekee sna ninja una IQ kubwa mno mwamba tunaimn nawe ipo sk mungu atakusmamia na ss tunakuombea ninja one day 🤙🏿
Hiyo sound on the background.
Too much
Ila chid na lebo za nguo mpya 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Umemshtukia pia ww 😅😅
Hum
Huyu presenter mngemtaftiaga mahojiano yake na wasanii wake wa kisasa ndio anawaweza ila Hawa kina chid, Fido, Nick Mbishi , Blue , Tid huyu Dogo hawezi hoji Hawa watu anazinguaga tu"
Uyujamaa ayukotayari kuacha Unga kwaiyo ningumu sana kusaidia watuwakotari kumsaidia ila yeye mnamfos
Haujui lolote, jamaa anaoambana sana. Angekuwa ame relapse huo mwili usingekuwepo.
Chid Benz anatumia methadone. Watu kama nyie ndio mnamfanya aonekane kama hivyo.
Namimi nliwaza clouds wamem hoji then wamemsaidia nin Chid is right💯
Chid Benz kinko 😂
Nice
Waandishi wengine..eti nilikuwa simjui King Kong 😢 upunfu wa awareness
sio kila anayehoji ni mwandishi kaka, hao wengine ni wamiliki tu wa camera na mic na kwamba sio mabubu
Hahaha mnavituko nyie
Kigeu geu.
Robo3 nzima ya interview anaongea chidy😂
For the stupid ones who dont care about the contents of the message but who has talked a lot or how the speaker’s appearance was
Jamaa akampa cm ashike 😂😂😂
Kadata ila anaongea point
Chid ni piece upendo Yani ndio pia kilichomfelisha
Yani watangazaji wa manara tv wameweza kumpata manara ila manara hawezi kumpata chidi ili amsaidie 😏😏😏
Nyokooo!
😅😅😅 nilirudi kusikiliza nyimbo yako na mwasiti
😂Kwenye interview mmempata Ila kumfikishiaa ujumbe hamjampata😂 haipatikani
NGUVU YA MUNGU 🫶🙏
😂😂😂Chid bwana eti uzi umeinbana
Mbone uyu djamaa anaakili sana???????
Atoerebo wakati nguo ya dukani kakodi akimariza kuojiwa inarudi dukani kwa wewe ujui wasaniiwengi wanakodi wewe muereze afiche rebo kabra ujamuoji au urikuwa ujamuona mapema basi ungeuchuna tu
Chid Benz is the pro version of Kanye West people think is stupid
Addiction, dah
Ndio mumvalishe nguo zenye lable ili baada ya interview mzirudishe dukani ama nini ????? 🤣😂😂😂😂
move on with ur IQ today ur sober bro🔥🔥🔥🙏
Tatizo anaogopa maswali anaongea yeye hampi nafasi mwandishi kumuuliza
He looks like lil ommy
Kwa hiii ni video inaonesha chidi ni teja
Jamani chid , madaya ya kulevya hanaharibu watu . Tunamis ngoma zako ndo basi tena
Pamoja na yote anayoyapitia jamaa ni kichwa vibaya,
Ninamwombea arudi
Me sioni madawa hapa ila chidi unaleta unyamwezi mwingi bila kuelewa situation yako. Watu wanaelewa umuhimu wako kwenye game but wanashindwa kukusaidia kwamana hawakuelewi. Hebu tafuta interview ueleze usaidiwe nini ili watu wakuelewe, utasaidiwa ila kua serious hata kidogo.. Usilete ubangi bangi wako. Ukishakufanikiwa na kujieka sawa then ndo utajua kuishi maisha unayotaka ili kitakachokufika usilaumu watu.
Tatizo la chidi leo anaongea hivi kesho anaongea vile
TEJA
Chumaaaaaaa
Hili jamaa lina akili sana daah ukilisikiliza utaki amalize,.. kauliza swali apo ile video iliyotrend kakimbia na chanji, ingekuwa ni kipande cha clip ya wimbo wake ungejaribu kusema jamaa madawa ayo katumia?🤗🤔
SEMA NN,TUNAKUELEWA NA AYO AYO MADAWA YAKO MWAMBAA 😂😂
Kwahyo aendelee tu kukandamiza😂😂
Oya tumsaidie tuu ndugu yetu
Tatizo sio kumvalisha Chidy no tatizo muwe mnatoa hizo lebo za nguo
Mgonjwa huyu, msaidieni kimya kimya, acheni wale watu wa taxi wanaomdhalilisha.
Hio karatasi ya t-shirt itoe basi
New style yake iyo amekuja nayo 😅😅
😂😂😂 nilikua sijaona
Alafu Dukani atarudishaje? Ameikodi hiyo
Kashapona huyu
😂😂😂😂
Mkaushieni huyu dogo, hamna anachokifanya , kahangaikeni na watu ambao wana URAHIBU na wako tayari kuacha, huyu anazingua tu
We nae kuacha ni process sio kama kunya muache
@@mrambadiana9678 .....Kwa hiyo process zote alizopitia mbona hajaacha..?... process ya kwanza ni ww mwenyewe kuamua Kwa moyo wako 'NAACHA NGADA' , bila hivyo hakuna process itakayokusaidia,...!...miaka mia utasaidiwa lkn utarudia,..!..huyo mtoto BOYA anaupenda UNGA
Ni kweli watu wanaosaidiwaga ni wale waliotayar kuacha yaani wanaotaka kuacha
Udhani rahis, vile ulivyoshindwa kuacha masterbation ndo inavokuw
@@danielkenedy4357 ....we ndo Akili huna...mfano nyanya huo..🤣🤣🤣
Chid wewe ni takataka mama yako asingekuzaa angekuwa kichaa peleka ujinga huko pokea unachopewa upone nyang'au kibuyu
Ungemuelewa usingesema ivo it means fata life yko
Angalau umeongea, huyo UNGA anaupenda, watu washamsaidia sana Ili aache, lkn wapi, ....kiufupi hakuna haja ya kuhangaika na mtujinga, wakawatafute wengine ambao wako tayari kuacha
Hivi mnafikiri Unga ni sigara kwamba mtu akiamua kuacha anaacha ? Unga una athari kubwa mno kwenye addicted ya Ubongo na mwili mzima
@@allymnyenye8109 ....Kwa maana hakuna wanaoacha ama..?.....Kwa jinsi alivyohangaikiwa huyo boya haikutosha kuacha..?
Sikiliza, kitu cha kwanza ukitaka kuacha UNGA ni lazma uamue mwenyewe, matibabu yanafuata, Wapo watu walikua ma Addicted kweli na waliacha bila kwenda Rehab...kama hukuamua mwenyewe kuacha hata upewe tiba Gani utarudia tu'..!..huyu UNGA anaupenda na hajawa tayari kuuacha..!
@@allymnyenye8109yaan yanaropoka tu hayajui madawa kuacha ni long process