EXCLUSIVE : CHID BENZ AMJIBU HAJI MANARA KUHUSU MADAWA YA KULEVYA / SITAKI MSAADA WAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 жов 2024
  • MWANAMUZIKI CHID BENZ AMEMJIBU HAJI MANARA KUHUSU KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA / SITAKI MSAADA WAKE / NITAZINGUANA NA MTU TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA
    #manaratv #chidbenz #hajimanara #diamondplatnumz #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 119

  • @EvansTerimbere-o1g
    @EvansTerimbere-o1g 10 місяців тому +3

    kwa mutazamo wangu,Chid ameshuka kidogo tu kimaisha.Ila kihakili,kiafia chid yuko sawa kinoma.big up sana chid❤

  • @mimosapudica1894
    @mimosapudica1894 10 місяців тому +10

    Huyu Chid wa leo yupo pure Sober!!! Huyu ndio Chid wetu, Huyu ni Rashid Makwiro 🙌

  • @firdaussheikh4817
    @firdaussheikh4817 10 місяців тому +5

    Chidi benz ni shuja kweli, wange kua wengine wangekua kichaa. Huyu kaka anaimani , mungu amemsaidia ku protect akili yake kwa utu alio toa❤❤❤❤❤❤❤❤ You're always legend❤❤❤❤🇬🇧

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 10 місяців тому +6

    chid wangu nakupenda sana unaakili naushauru ijapokuwa watu wanakushukuliya poa

  • @georgenathanael
    @georgenathanael 9 місяців тому

    Ah! Chid si chiz bana,,, anajitambua vizur tu,,, wamwache na maisha yake tu

  • @HammyLone-jy2ho
    @HammyLone-jy2ho 10 місяців тому

    Dogo unajua sana kutangaza ila punguza kujiamini hii ni interview yangu bora hongera chid unaakili sana Mungu akulinde chid

  • @am_matis
    @am_matis 10 місяців тому +31

    Kwamajonzi makubwa na mchanganyiko wa furaha kubwa niliyo nayo ni kwamba chid ni yule yule Leo Jan na hata milele nimwambie tu nilikuwa karibu na marahemu nisher since 2021 na tulimuongelea sana chid na tulimuwa tu asikiliza mziki wake na interview zake pia nisher alikuwa anamkubali sana chid ya nikama tulikutana mwenye tabia Moja wote wawili tulikuwa tunamkubali chid nadhani marehemu amekufa akiwa namaswali yakumuuliza chid na alikuwa na mambo yakumsaidia chid ila me nasemaje one day yes nitatimiza vya marehemu na Mimi nitamzika nisher then nitavichanganya vya marehemu na Mimi naomba Mungu anisaidie lkn ndugu yangu rafiki yangu FAMILIA nisher apumzike kwaamani. Ila one day I will do something I promise🙏🙏🙏

    • @princekiwia2216
      @princekiwia2216 10 місяців тому

      One love brother ✔️🙏

    • @pitbullfamily4499
      @pitbullfamily4499 10 місяців тому

      Wallahi Real talk kaka mkuu mimi nta kutafuta tu fanya kituu 💯💯💯🙏🏾

  • @sallynakey_tz
    @sallynakey_tz 10 місяців тому +7

    Yani mimi binafsi mkisema Chidi benz chizi, mvuta bangi, mlevi, mwehu, ila huwaga namuelewaga sana uyu mwamba😅😅😅

  • @gelardsimwela1957
    @gelardsimwela1957 10 місяців тому +12

    Huyu mwamba anaakili sana

  • @RestitutaPeter-o7u
    @RestitutaPeter-o7u 9 місяців тому

    Respect benz

  • @Mtangazaji
    @Mtangazaji 10 місяців тому +2

    Chid Benz akili kubwa sana.MUNGU aendelee kumtunza

  • @moseshandsam1865
    @moseshandsam1865 10 місяців тому +2

    Chid chid king kong keep shinning Broo nasubiria video yako wewe na Diamond 💎 Platnumz kwa ile ngoma yenu .....tunaaishi nao alafu page yako ya UA-cam naona watu wengi wanatumia jina lako sana

  • @josephpatrick3366
    @josephpatrick3366 10 місяців тому +3

    Uyo ndio chid mtu makin sana

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 10 місяців тому +1

    Chid hua anaongea fact...ina mchukua mtu mwenye ufahamu mkubwa kumuelewa asemacho....wengi huishia kusema anapiga kelele...lakn hawajataka kumuelewa...waeza kua Una sikiza na huelewi....big up bro nkkubali xna...toka day one...king Kong la familia...

  • @DicksonMasaga
    @DicksonMasaga 10 місяців тому +1

    Akili nyingi San huyu ndo Rashid ❤

  • @dottomsuya6597
    @dottomsuya6597 10 місяців тому

    Thats is Rashid Mungu yu mwema ma brother yuko poah sanaaaaaa

  • @allyomary2271
    @allyomary2271 10 місяців тому +7

    Chid noma sana akiacha matumizi ya vyote vinavyohusiana na ulevi ni mtu smart sana kichwani akiongea nawe ukawekeza sikio na ubongo ni msanii mwenye uwezo mkubwa sana kichwani

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 10 місяців тому

      Tatizo yeye mwenyewe anajiona anajua kuliko wengine. Ni sawa mtu kuwa anajua lakini ukiwa na watu wengine kwenye maisha na kazi lazima kujaribu kuishi kwa kusikiliza na makubaliano. Lakini ikiwa kila kitu mtu anajiona anajua zaidi mjuaji mno ni ngumu kufanya kazi na wengine hata kuishi nao.Kuna mtu ata ukimpa ushauri kesho atasema ni yeye kafanya yaani wanataka wajikwaze hiyo ni mbaya sana. Ndio maana unaona kila anaejaribu kumsapoti anashindwa kwa sababu haambiliki anajua sana.Anasahau yeye anashida anaona anaemsaidia ndio mwenye shida. Huyu na Qchief na TID hawa ni Too much know sana

    • @kennedymushi7110
      @kennedymushi7110 10 місяців тому +1

      ​@@leokamil6284😂😅😅

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq 10 місяців тому

    Huyu ndio Chidy ninayemfahamu.. big up brother❤

  • @Generali.-yp9rk
    @Generali.-yp9rk 10 місяців тому

    Kumbe chidi muhuni amekua actor mtaani 😂😂😂😂 nakubali LEGEND

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 10 місяців тому +10

    Jamaa ana IQ kubwa sana

  • @khamisbk8569
    @khamisbk8569 10 місяців тому

    Akili mingi❤❤❤

  • @deogratiusrichard7276
    @deogratiusrichard7276 10 місяців тому +1

    Huyu jamaa yuko real kinoma

  • @DRISMAIL_DENTAL_SURGEON
    @DRISMAIL_DENTAL_SURGEON 10 місяців тому +1

    Genius

  • @mpambanajitz7026
    @mpambanajitz7026 10 місяців тому +2

    NAMPENDA sana huyu MWAMBA
    Naamini MUNGU atamwamsha Tena kisanaa
    Chid Benz lafamilia forever

  • @RockSostenes-jy7xq
    @RockSostenes-jy7xq 10 місяців тому +1

    Chidi reo yuko tofauti sana na anaongea Kwa hisia sana aisee😢

  • @jasperyassin1708
    @jasperyassin1708 10 місяців тому +1

    Kuna mda upo vzr san broo chid

  • @jemimabakari
    @jemimabakari 10 місяців тому +8

    Kumsaidia mtu sio mpaka mumtangaze,msaidieni kimya kimya

  • @bikoally39
    @bikoally39 10 місяців тому

    Big up chid anaongea fact

  • @TumainielKitundu-m2p
    @TumainielKitundu-m2p 10 місяців тому +4

    One love brother chid!

  • @Lulualshagri
    @Lulualshagri 10 місяців тому +1

    Daaah huyu bado sana

  • @issasaad3403
    @issasaad3403 10 місяців тому +2

    Akili kubwa kila siku nasema chid n genius

  • @mussamapesa8863
    @mussamapesa8863 10 місяців тому +2

    Ukitingwa sema

  • @Daniel_ivan.
    @Daniel_ivan. 10 місяців тому

    Mwana akiwa sober anakua fresh sana

  • @richardsalim1042
    @richardsalim1042 9 місяців тому +1

    Tatizo ni nchi yetu haitambui thamani ya wasanii.msanii ni gazeti la taifa,wasanii hawa hawa ndio wajaza uwanja kipindi cha kampeni why taifa au serikali inashindwa kutenga kiinua mgongo kwa wasanii,hata kuwapa japo bima ya afya tu.msanii wa taifa ni bora hata kuliko mchezaji wa timu ya taifa lakini angalia kidogo mchezaji anaonekana kuliko msanii,wasanii ni kioo cha jamii wanaelimisha ,wanasisimua,wanaonya,na wanaburudisha jamii.anoint mwimbaji wa injili aliimba kudai haki za wasanii akauliza why hakuna hata sanamu la msanii hata mmoja au hata jina la barabara kama ilivyo kawawa road au nyerere road lakini hamna kiongozi anayegusika,kuna msanii anatembelewa lakini sio kwa sababu ya usanii wake bali ni kutokana na kuwahi kuwa sehemu ya serikali(ubunge).Sina hata dalili ya usanii lakini naiona thamani ya msanii,binafsi nilijua muonekana na hatari ya ugonjwa wa ukimwi baada ya ferooz na prof.jay kutunga wimbo wa ukimwi.seasons ya siri za familia ililenga mfumo mzima wa maisha ya binadamu ndani ya ndoa na nje ya ndoa.hizo ni sample tu zipo nyingi lakini wasanii wanachukuliwa powa.Serikali ifanye jambo kuhusu wasanii.

  • @gooleserviceyoutubescandar3450
    @gooleserviceyoutubescandar3450 10 місяців тому +2

    MTU Mmoja Aliyeamuwa Kurudi Kwenye Maisha Halisi.

  • @DRISMAIL_DENTAL_SURGEON
    @DRISMAIL_DENTAL_SURGEON 10 місяців тому +1

    Jamaaa Ana akili sana huyu

  • @kavisheonline2418
    @kavisheonline2418 10 місяців тому +1

    Wana talk talk kwa kuongea mabaya wanazungumza kwa kusema mabaya

  • @habari254
    @habari254 10 місяців тому +4

    NIMEPENDA SANA INTERVIEW HII, UMEMPA TAIMU YA KUJIELEZA

  • @PaulineWaithera-j6o
    @PaulineWaithera-j6o 9 місяців тому

    Nakumbuka siku ya kwanza unakuja burundi kufanya show aise wanaokudharau saizi waache na uzidi kuwapa nafasi ya kukudharau. Kama huyo baba levo akija burundi hawezi pata hata mtu mmoja ila wew ulijaza show na ulirudi bingo bado tunatamani vibes zako. Nakumbuka nyumbani tuliibiwa siku hio baba mama na familia yote tulikua tumekuja show yako na kulipa VIP .

  • @PastorEsngorowil
    @PastorEsngorowil 10 місяців тому +6

    Huyu jamaa nafikiri huwa anachomoa betri mwenyewe,mbona hapa yupo nenga tu i mean yupo fiti😮😮

  • @sefunduwayo7388
    @sefunduwayo7388 10 місяців тому

    Acha unga wewe chid Benz acha kuteteya feeling zako wakati watu wote tuliona muonekano wako bila kujipanga its was suprise

  • @Saripa234-u7g
    @Saripa234-u7g 10 місяців тому

    Nakupenda cn chidi benzi popote ulipo Amini mimi nakupenda cn ❤❤❤❤❤❤ wewe Achana nao watu waseme wajinga cn hao watu ebu waache kukusema

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 10 місяців тому +10

    denial as a first stage of grief
    the pain is real

    • @sabathmkama
      @sabathmkama 10 місяців тому

      watu wakisoma sana wanachanganyikiwa mkuu..

    • @rummy2345
      @rummy2345 10 місяців тому

      @@sabathmkama😂😂

  • @ayubuzayumba
    @ayubuzayumba 10 місяців тому +2

    Anaakili sana

  • @flinchclassic1531
    @flinchclassic1531 10 місяців тому

    Leo chid Yuko vizur Yuko sobber Leo hajalewa Wala hajavuta kitu

  • @jumamohamedi4280
    @jumamohamedi4280 10 місяців тому

    Ww ni mtu wa kipekee sna ninja una IQ kubwa mno mwamba tunaimn nawe ipo sk mungu atakusmamia na ss tunakuombea ninja one day 🤙🏿

  • @Dr.zaidi4
    @Dr.zaidi4 10 місяців тому

    Hiyo sound on the background.
    Too much

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse1842 10 місяців тому +5

    Ila chid na lebo za nguo mpya 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @nurubakary9519
    @nurubakary9519 10 місяців тому

    Hum

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 10 місяців тому +3

    Huyu presenter mngemtaftiaga mahojiano yake na wasanii wake wa kisasa ndio anawaweza ila Hawa kina chid, Fido, Nick Mbishi , Blue , Tid huyu Dogo hawezi hoji Hawa watu anazinguaga tu"

  • @MuhammadMaulana-p2l
    @MuhammadMaulana-p2l 10 місяців тому +3

    Uyujamaa ayukotayari kuacha Unga kwaiyo ningumu sana kusaidia watuwakotari kumsaidia ila yeye mnamfos

    • @danielmwita2136
      @danielmwita2136 10 місяців тому +1

      Haujui lolote, jamaa anaoambana sana. Angekuwa ame relapse huo mwili usingekuwepo.
      Chid Benz anatumia methadone. Watu kama nyie ndio mnamfanya aonekane kama hivyo.

  • @mrambadiana9678
    @mrambadiana9678 10 місяців тому

    Namimi nliwaza clouds wamem hoji then wamemsaidia nin Chid is right💯

  • @JamalJames-jg9sf
    @JamalJames-jg9sf 10 місяців тому +3

    Chid Benz kinko 😂

  • @abdulrahimomar8554
    @abdulrahimomar8554 10 місяців тому

    Nice

  • @realswahilicultural8140
    @realswahilicultural8140 10 місяців тому +2

    Waandishi wengine..eti nilikuwa simjui King Kong 😢 upunfu wa awareness

    • @zanzibarbroadcastingcorpor1360
      @zanzibarbroadcastingcorpor1360 10 місяців тому

      sio kila anayehoji ni mwandishi kaka, hao wengine ni wamiliki tu wa camera na mic na kwamba sio mabubu

    • @Michoarbah
      @Michoarbah 10 місяців тому

      Hahaha mnavituko nyie

  • @dvjmiloow2955
    @dvjmiloow2955 10 місяців тому

    Kigeu geu.

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 10 місяців тому +2

    Robo3 nzima ya interview anaongea chidy😂

    • @tabomusic3625
      @tabomusic3625 10 місяців тому

      For the stupid ones who dont care about the contents of the message but who has talked a lot or how the speaker’s appearance was

  • @allynungu2574
    @allynungu2574 10 місяців тому

    Jamaa akampa cm ashike 😂😂😂

  • @mwasa_tv
    @mwasa_tv 10 місяців тому

    Kadata ila anaongea point

  • @ayubuzayumba
    @ayubuzayumba 10 місяців тому

    Chid ni piece upendo Yani ndio pia kilichomfelisha

  • @Whoisthismantalking
    @Whoisthismantalking 10 місяців тому

    Yani watangazaji wa manara tv wameweza kumpata manara ila manara hawezi kumpata chidi ili amsaidie 😏😏😏
    Nyokooo!

  • @MudyAlly-q7d
    @MudyAlly-q7d 10 місяців тому

    😅😅😅 nilirudi kusikiliza nyimbo yako na mwasiti

  • @godfreyathumani9912
    @godfreyathumani9912 10 місяців тому

    😂Kwenye interview mmempata Ila kumfikishiaa ujumbe hamjampata😂 haipatikani

  • @kiketerodoublek1899
    @kiketerodoublek1899 10 місяців тому

    NGUVU YA MUNGU 🫶🙏

  • @afisamipango005
    @afisamipango005 10 місяців тому

    😂😂😂Chid bwana eti uzi umeinbana

  • @BarakaKanyamibwa-lo4gc
    @BarakaKanyamibwa-lo4gc 10 місяців тому

    Mbone uyu djamaa anaakili sana???????

  • @fundijumakimbaru7622
    @fundijumakimbaru7622 10 місяців тому +1

    Atoerebo wakati nguo ya dukani kakodi akimariza kuojiwa inarudi dukani kwa wewe ujui wasaniiwengi wanakodi wewe muereze afiche rebo kabra ujamuoji au urikuwa ujamuona mapema basi ungeuchuna tu

  • @Ibakibrian
    @Ibakibrian 9 місяців тому

    Chid Benz is the pro version of Kanye West people think is stupid

  • @controlTheoryChamps
    @controlTheoryChamps 10 місяців тому

    Addiction, dah

  • @ommy2525
    @ommy2525 10 місяців тому

    Ndio mumvalishe nguo zenye lable ili baada ya interview mzirudishe dukani ama nini ????? 🤣😂😂😂😂

  • @feisalkhalid1210
    @feisalkhalid1210 10 місяців тому +1

    move on with ur IQ today ur sober bro🔥🔥🔥🙏

  • @fadhirisalumu1045
    @fadhirisalumu1045 10 місяців тому

    Tatizo anaogopa maswali anaongea yeye hampi nafasi mwandishi kumuuliza

  • @MsafiriGathuraku
    @MsafiriGathuraku 10 місяців тому

    He looks like lil ommy

  • @abdilehussen2123
    @abdilehussen2123 10 місяців тому

    Kwa hiii ni video inaonesha chidi ni teja

  • @Eudiampanda
    @Eudiampanda 10 місяців тому +1

    Jamani chid , madaya ya kulevya hanaharibu watu . Tunamis ngoma zako ndo basi tena

  • @mnalagamnalaga7471
    @mnalagamnalaga7471 10 місяців тому

    Pamoja na yote anayoyapitia jamaa ni kichwa vibaya,

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 10 місяців тому +1

    Ninamwombea arudi

  • @SaidSaid-ef8md
    @SaidSaid-ef8md 10 місяців тому +1

    Me sioni madawa hapa ila chidi unaleta unyamwezi mwingi bila kuelewa situation yako. Watu wanaelewa umuhimu wako kwenye game but wanashindwa kukusaidia kwamana hawakuelewi. Hebu tafuta interview ueleze usaidiwe nini ili watu wakuelewe, utasaidiwa ila kua serious hata kidogo.. Usilete ubangi bangi wako. Ukishakufanikiwa na kujieka sawa then ndo utajua kuishi maisha unayotaka ili kitakachokufika usilaumu watu.

  • @florianscarion5085
    @florianscarion5085 10 місяців тому

    Tatizo la chidi leo anaongea hivi kesho anaongea vile

  • @abdallahmchange1370
    @abdallahmchange1370 10 місяців тому

    TEJA

  • @mpinaclassic4073
    @mpinaclassic4073 10 місяців тому

    Chumaaaaaaa

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 10 місяців тому +4

    Hili jamaa lina akili sana daah ukilisikiliza utaki amalize,.. kauliza swali apo ile video iliyotrend kakimbia na chanji, ingekuwa ni kipande cha clip ya wimbo wake ungejaribu kusema jamaa madawa ayo katumia?🤗🤔
    SEMA NN,TUNAKUELEWA NA AYO AYO MADAWA YAKO MWAMBAA 😂😂

  • @rehanijuma1421
    @rehanijuma1421 10 місяців тому

    Oya tumsaidie tuu ndugu yetu

  • @omarmahewa928
    @omarmahewa928 10 місяців тому

    Tatizo sio kumvalisha Chidy no tatizo muwe mnatoa hizo lebo za nguo

  • @mohamedmanga8391
    @mohamedmanga8391 10 місяців тому

    Mgonjwa huyu, msaidieni kimya kimya, acheni wale watu wa taxi wanaomdhalilisha.

  • @oyay2821
    @oyay2821 10 місяців тому

    Hio karatasi ya t-shirt itoe basi

  • @bakarisaid6544
    @bakarisaid6544 10 місяців тому

    Kashapona huyu

  • @acalyyannick2874
    @acalyyannick2874 10 місяців тому

    😂😂😂😂

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 10 місяців тому +1

    Mkaushieni huyu dogo, hamna anachokifanya , kahangaikeni na watu ambao wana URAHIBU na wako tayari kuacha, huyu anazingua tu

    • @mrambadiana9678
      @mrambadiana9678 10 місяців тому

      We nae kuacha ni process sio kama kunya muache

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 10 місяців тому +1

      @@mrambadiana9678 .....Kwa hiyo process zote alizopitia mbona hajaacha..?... process ya kwanza ni ww mwenyewe kuamua Kwa moyo wako 'NAACHA NGADA' , bila hivyo hakuna process itakayokusaidia,...!...miaka mia utasaidiwa lkn utarudia,..!..huyo mtoto BOYA anaupenda UNGA

    • @zawadichalale4047
      @zawadichalale4047 10 місяців тому +1

      Ni kweli watu wanaosaidiwaga ni wale waliotayar kuacha yaani wanaotaka kuacha

    • @danielkenedy4357
      @danielkenedy4357 10 місяців тому

      Udhani rahis, vile ulivyoshindwa kuacha masterbation ndo inavokuw

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 10 місяців тому

      @@danielkenedy4357 ....we ndo Akili huna...mfano nyanya huo..🤣🤣🤣

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 10 місяців тому +1

    Chid wewe ni takataka mama yako asingekuzaa angekuwa kichaa peleka ujinga huko pokea unachopewa upone nyang'au kibuyu

    • @Anuaryomary-su9cd
      @Anuaryomary-su9cd 10 місяців тому +1

      Ungemuelewa usingesema ivo it means fata life yko

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 10 місяців тому +1

      Angalau umeongea, huyo UNGA anaupenda, watu washamsaidia sana Ili aache, lkn wapi, ....kiufupi hakuna haja ya kuhangaika na mtujinga, wakawatafute wengine ambao wako tayari kuacha

    • @allymnyenye8109
      @allymnyenye8109 10 місяців тому +4

      Hivi mnafikiri Unga ni sigara kwamba mtu akiamua kuacha anaacha ? Unga una athari kubwa mno kwenye addicted ya Ubongo na mwili mzima

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 10 місяців тому

      @@allymnyenye8109 ....Kwa maana hakuna wanaoacha ama..?.....Kwa jinsi alivyohangaikiwa huyo boya haikutosha kuacha..?
      Sikiliza, kitu cha kwanza ukitaka kuacha UNGA ni lazma uamue mwenyewe, matibabu yanafuata, Wapo watu walikua ma Addicted kweli na waliacha bila kwenda Rehab...kama hukuamua mwenyewe kuacha hata upewe tiba Gani utarudia tu'..!..huyu UNGA anaupenda na hajawa tayari kuuacha..!

    • @mrambadiana9678
      @mrambadiana9678 10 місяців тому

      @@allymnyenye8109yaan yanaropoka tu hayajui madawa kuacha ni long process