Watanzania tulowengi vichwa ni vigumu mno kuelewa, ninafikili Amna haja ya kudai katiba mpya tunapaswa kuishinikiza serikali iludishe Kodi ya kichwa tutakapokuwa tunakimbizwa na mgambo huenda tutaona uhusiano uliopo kati ya Kodi na huduma tunazpewa kama vina uwiano ,pia adha tutakazopata pindi tunakamatwa huenda tutapat akili ya kuwatoa ccm
Kazaneni.kusema.safari.,ziara.za.raisi.samia.zikome.kams.atakwenda.basi.atajikosesha.kura.magoti.yake.amesahau alikuwa.!anawagejeli.au Hizo.hela.ndizo Anajigamba.watu.n Bora
Watanzania tulowengi vichwa ni vigumu mno kuelewa, ninafikili Amna haja ya kudai katiba mpya tunapaswa kuishinikiza serikali iludishe Kodi ya kichwa tutakapokuwa tunakimbizwa na mgambo huenda tutaona uhusiano uliopo kati ya Kodi na huduma tunazpewa kama vina uwiano ,pia adha tutakazopata pindi tunakamatwa huenda tutapat akili ya kuwatoa ccm
CHADEMA ni moto mwingne ✌️✌️✌️
Jaman John mnyika yuko wapi????
Dah hawa ni viongozi bora
Chama Cha Maana Hawa Ndugu Chadema Ndiyo Waokozi Pekee Wa Hili Taifa Vinginevyo Hali Ingekua Mbovu Sana.
Leo sauti inasikika. Pia nyomi tunaona. Hongera Sana lema. Lkn katika safu yenu. Mnyika. Mnyika. Uko wapi.!?
Huku Jimbo letu hatuna mbunge misseny aliopo ni kama pazia tungepata kamanda WA nguvu ingependeza sanaaa
Duu lema hayo maneno yenye mboiea yote haya hayafanikiwi sababu ya uongozi
Lema,wape ukweli, mwezi NOVEMBA watafute mlango wa kutokea
Hawa watu Mh, Lema huwa hawataki kabisa wananchi wao kuwa na uchumi ili wao ndiyo wawe na Uchumi hakika ni viongozi wa ajabu katika Dunia hii
Mungu atamilinda
Leo mpiga picha amejitahidi kutuonyesha watu kuna yule mwingine anatuonyesha jukwaa kuanzia mwanzo mpaka mwisho hajui kuchukua picha
Asiye chukua picha ni kibaraka au chawa wa ccm hatakiwatu waone jinsi watu wanavyo jaa.
Jamani nyongeza ya kodi 50./
Makamanda tunawaelewa
Mbowe MUNGU awe nawe ck zote
Kazaneni.kusema.safari.,ziara.za.raisi.samia.zikome.kams.atakwenda.basi.atajikosesha.kura.magoti.yake.amesahau alikuwa.!anawagejeli.au
Hizo.hela.ndizo
Anajigamba.watu.n
Bora
Hatusikii inakatikakatika
👇🏿
#katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿