Taarifa ya LEMA Yasambaa DUNIA NZIMA, Nchi YATIKISIKAA!!!!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 283

  • @katunzikamara7989
    @katunzikamara7989 3 місяці тому +19

    mimi ni ccm dam lkn lema unatufaa kuwa kiongozi wajuu nchini tanzania kweli tuna viongozi wanao alibu nchi yetu.lkn ipo cku Mungu atatutetea sisi watoto watanzania Mungu mbaliki lema mrinde lema mtunze lema kwaajili ya watanzania.

    • @RaymondKilomeye
      @RaymondKilomeye 3 місяці тому

      Tatizo mafisiem nimajambaz ht akiingia watamuua km walivyo wauwa wengne jambaz ni jambaz TU

  • @johnmlangi6890
    @johnmlangi6890 3 місяці тому +18

    Nakupongeza sana Mhe. Godbless Lema, Leo umeongea mazito sana na Kusheheni Ukweli. Nategemea Wananchi Wamekuelewa

  • @AdotTanzania
    @AdotTanzania 3 місяці тому +9

    Hayati JPM aliyaona yote haya kitambo lakini alipigwa vita hadi kifo. Ni nani alituroga watanzania haya ndio yalikuwa maneno ya hayati JPM enzi za uhai wake. RIP JPM 😭😭😭

  • @obedimolel7938
    @obedimolel7938 3 місяці тому +7

    Viongozi kama hawa ndio wa kutusaidia kukomboa ngorongoro ,bandari zetu na sehemu nyingi zilizouzwa na uongozi mbovu uliopo madarakani tunakuombea sana Mungu akutie nguvu maana unasema ukweli mtupu

  • @davidrweyemamu938
    @davidrweyemamu938 3 місяці тому +5

    Darasa zito sana Lema! Watu wanashindwa kushangiria kwa sababu ya umakini wa kusikiliza hoja zako nzito! Mungu akulinde sana watanzania wanahitaji ukombozi kupitia watu kama wewe.👍👏

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 3 місяці тому +1

      Namtukuza MUNGU kwaajili yako kulijua hilo 🎉🎉🎉🎉

    • @davidrweyemamu938
      @davidrweyemamu938 3 місяці тому

      @@upendoeliya9329 Amina Amina ubarikiwe 🙏🙏

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 3 місяці тому

      @@davidrweyemamu938 👏👏👏🤝🤝🙏🙏

  • @RobertJonathan-jm5um
    @RobertJonathan-jm5um 3 місяці тому +7

    Hongeraa ukweli mtupu

  • @philimonNyabu
    @philimonNyabu 3 місяці тому +10

    Rema maneno yako yànachoma make nikweli mutupu

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 3 місяці тому +21

    Tanzania tunajifunga kamba ya utumwa wa pili chini ya mikono ya waarabu iko siku kitakuja kizazi kitakachotaka kukomboa bandari za Tanzania kukomboa mbuga za Tanzania kitashindwa ndipo ipelekea Tanzania itamwaga damu nyingi kutokana na maamuzi mabaya ya viongozi wetu walioko madaraka Ieo wasio fikilia Nchi wanafikilia matumbo yao na watoto wao
    hakika iko siku maiti zao zitafukuliwa na kuchapwa viboko hadhalani.

  • @mohammedsaqry3036
    @mohammedsaqry3036 3 місяці тому +4

    A clear message and delivery

  • @danysikira4302
    @danysikira4302 3 місяці тому +2

    vibrant speech which wrapped by truth

  • @felixngwasi9469
    @felixngwasi9469 3 місяці тому +5

    Brovo kamanda, Mungu ni mwema, hakuna lisilo na mwanzo lisilo na mwisho, hawa jamaa wameshajiaminisha kuwa wao ndio wao kuwa hawaamini kwamba kuna Mungu ambaye ndiye Mpangaji kwamba siku ikifika hata wafanyaje mabadiliko ni lazima, na mabadiliko ni sasa hakuna mwenyekuweza kuzuia Mungu akiruhusu....

  • @amaniringo5533
    @amaniringo5533 3 місяці тому +3

    Hongera sana kamanda Lema piga misumari baba❤

  • @MalifezaMajidi
    @MalifezaMajidi 3 місяці тому +12

    Pamoja nauccm wangu kwahili lema nisemeukweli ukosawa kabisa.

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 3 місяці тому +24

    Wanaosema anaongea UPUMBAVU,HAMJUI DUNIA INAVYO KWENDA!

  • @ImaniMasuwi
    @ImaniMasuwi 3 місяці тому +13

    Saluti sana Kiongozi mungu akulinde watabusha lakini ukweli umesemwa

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 3 місяці тому +6

    Umeongea ukweli mkubwa sana Tanzania yangu die

  • @AugustineLukumay
    @AugustineLukumay 3 місяці тому +1

    Dah unaupiga mwing baba mungu akujalie upate uongozi utatufikisha mbali

  • @HamzaLijana
    @HamzaLijana 3 місяці тому +2

    Nakufatilia San kiongozi wang Lena,mpina ,tundulisu ,wakili wangu mwambukusii nawaombea sana mwenyezimungu awatangulie nawaombea sana

    • @HadsonFanuel
      @HadsonFanuel 3 місяці тому

      Ambaye hawezi kumuerewa Lema hana Akili timamu MUNGU akubariki sanaa

  • @charlesmahuna
    @charlesmahuna 3 місяці тому +4

    Sidhani kama Magufuli angekuwepo angeruhusu mkataba wa bandali, japo alikuwa na mabaya yake mengi Ila kuna mambo ambayo Samia anayafanya yatai kost hii nchi vinaya mno, mambo ya CCM kujiona kuwa wanapitisha mambo Kwa sifa ili waonekane ni wababe, mnatukosea saaana CCM Kwa matendo yenu mabaya mnooo

  • @ngamugamahonzelosanga3316
    @ngamugamahonzelosanga3316 3 місяці тому

    Kwa mara ya kwanza Lema nimekuelewa umesema maneno ya kweli kabisa nimekumbuka hotuba ya mwl Nyerere kwamba mataifa makubwa na yenye nguvu yanaungana kuyakabili mataifa madogo hongera sana Lema

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 3 місяці тому +6

    Mzee mungu akujalie zaidi,

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 3 місяці тому +13

    Lema Uko vizuri

  • @MfunjoWabaBoydays
    @MfunjoWabaBoydays 3 місяці тому +1

    God bless you as your name ❤

  • @reginaldsmtui148
    @reginaldsmtui148 3 місяці тому +4

    Bravo my brother Lema.

  • @christinakomba689
    @christinakomba689 3 місяці тому +1

    Upo vizuri lema

  • @AdotTanzania
    @AdotTanzania 3 місяці тому +3

    Hayati JPM alisema wazi kuwa ni kichaa tu angeweza kukubali mkataba wa bandari uliowazi kuwa ungeenda kumuondolea mwananchi uchumi na uhuru bali mlimpinga. Hayati JPM alishatueleza wazi kuhusu hatma hii. Apumzike kwa Amani

  • @neemamollel6057
    @neemamollel6057 3 місяці тому +2

    Hatari sana inasikitisha maisha ya badae waarabu watakuja kutufanya watumwa tena 😢😢😢r.i.p.jpm

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 3 місяці тому

      Niambie muarab gani alikufanya mtumwa😢

  • @niyonzimakatama6516
    @niyonzimakatama6516 3 місяці тому

    Roho wa Mungu afanye kazi ndani yetu wananchi tujuwe Lema anachokisema ili tujipange ukweli yuko sahihi

  • @justusngonyani165
    @justusngonyani165 3 місяці тому +6

    Huo ni ukweli Lema.

  • @MkonoZacharia
    @MkonoZacharia 3 місяці тому +8

    Safi sana lema tunahitaji viongozi wenye akili timam safi lema

  • @JoshuaStanley-qu3im
    @JoshuaStanley-qu3im 3 місяці тому +2

    Safi sana Kwa elimu yako

  • @JipendeImani
    @JipendeImani 2 місяці тому

    Big up.........!
    Wape vipande......!

  • @saidiotham7508
    @saidiotham7508 3 місяці тому +1

    safi sana kk

  • @godfreykisaka8562
    @godfreykisaka8562 3 місяці тому +4

    JAMBO kubwa niDemokirasia sikiliza sera sio Matukano tu mungu hapendiAmina

  • @emmanuelburchard3153
    @emmanuelburchard3153 3 місяці тому

    Wewe ni kichwa. Hongera chuga boy.

  • @KhamisKhamis-w1q
    @KhamisKhamis-w1q 3 місяці тому +4

    Hii ndio siasa sio ubaguzi wa lissu

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 3 місяці тому +1

      Lisu anatumia lugha nyingine lakini ujumbe ni mmoja.

  • @S.SWarfa
    @S.SWarfa 3 місяці тому +1

    Piga kelele chadema hampati kura ng'o. Mama mshindi 2025 In Sha Allah.

  • @danielkanso
    @danielkanso 3 місяці тому

    Umeeleweka kiongozi nice speach

  • @kadijaa7771
    @kadijaa7771 3 місяці тому +2

    Mzee ana sema kweli musikizeni waarabu wanajua biashara iliyofundisha na mtume wetu Muhammad tuamgalie vizuri

  • @NdeshaPaul-uz9bw
    @NdeshaPaul-uz9bw 3 місяці тому +1

    kweli mh. Lema haya mambo ni magumu kwetu katika yote tunayopitia yafaa Sasa tuwe na katiba maana tumejifunza mengi

  • @Elesciahmdugo
    @Elesciahmdugo 3 місяці тому

    Uko sahihi sana msigwa

  • @roggoyacny
    @roggoyacny 3 місяці тому

    Wapinzani kuchukua NCHI HII nindoto,,unatumia muda mwingi kukosoa hamsemi ninyi mtafanya Nini endapo mtapewa NCHI hii,, CCM itawaburuza sana mpaka muache unafiki wenu ndani ya vyama vyenu 👍

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 3 місяці тому +1

    Kweli kamanda pambana hiyo hoja murua sana br

  • @johnmboya7313
    @johnmboya7313 3 місяці тому

    Lema nakupongeza Sana mungu akulinde

  • @CharlesMisungwi-f8t
    @CharlesMisungwi-f8t 3 місяці тому +1

    Hayo maneno yaLema niLulu viongoziwengi hasawakiafrika auwanafahamu au ni ubinafisitu watamaa naroho zakujitanua waobinafisi kulikowanaotawaliwa.

  • @husseinwaziri2796
    @husseinwaziri2796 3 місяці тому

    Tuacheni kung'a ng'ania chama,tuangaliye viongozi wenye uelewa na uchungu na wananchi

  • @masoudkatiba1484
    @masoudkatiba1484 3 місяці тому

    Hata Mimi siungi mkono hoja ya kuuza bandari bigup lema

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 3 місяці тому

    Bandari haijauzwa, imepewa DP Worms inaongoza bandari 80 Ulimwenguni mpaka Ulaya bandari zinaendeshwa na DP World.

  • @allenmacha4131
    @allenmacha4131 3 місяці тому +3

    Lema tunakutaka urudi bungeni

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 3 місяці тому +2

    Kumbe sio tz TU hata ulaya Kwa wajanja

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe7774 3 місяці тому

    Lema wewe ni kiongozi kiukweli. Naipenda ccm ila Ukweli utabaki kuwa ukweli

  • @josephchege-bp3cd
    @josephchege-bp3cd 3 місяці тому +2

    Sio Tanzania Hilo ni liko Dunia nzima

  • @joshuandabazaniye7642
    @joshuandabazaniye7642 3 місяці тому +1

    congratulations

  • @mwendamitheu8954
    @mwendamitheu8954 3 місяці тому +2

    Eti wamenunua viwanja vya mpira vingapi na nje vinawaufasha wasaudi wangapi?

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 3 місяці тому +1

    Umenena brother

  • @samwelrobertmwakatobe6467
    @samwelrobertmwakatobe6467 3 місяці тому +2

    Katika hili nikupongeze nchi Haina mpango kazi wa mda mfupi na mda mrefu

  • @peterjohnson167
    @peterjohnson167 3 місяці тому +1

    Kweli ujumbe umefika kwa Tundu Lissu baba wa Uzanzibar......Na Utanganyika..

  • @NAFTALIMUNDANGA
    @NAFTALIMUNDANGA 3 місяці тому +1

    Wakina Msukuma hao. Na Tulia anajiita Dr alafu anapambana kutetea huu ujinga.

  • @AnjelicaBayyone
    @AnjelicaBayyone 3 місяці тому +1

    Kuna watu wanakuangalia kwa jicho mbaya hapo ila wataona matokeo hapo baadaye watanzania wagumu kuelewa tukiacha ushabiki tutafika

  • @MmbagaMmbaga
    @MmbagaMmbaga 3 місяці тому +1

    Hoja zinapenya sna mwenyewe akili anaelewa nn maisha

  • @anwares-haq6497
    @anwares-haq6497 3 місяці тому +2

    Wanasiasa ni maadui wa maendeleo. Huyu anazungumza bila elimu, anachojali yeye ni Kiki ya Siasa tu. Watanzania wengi hatuna elimu, matokeo yake wanasiasa kama hawa wasio na elimu wanatupelekesha na njaa zao.

    • @CristinLyanga
      @CristinLyanga 3 місяці тому +1

      Lema ni msomi, mangi,hakuna mtu ambae hajaenda shule anayeweza kuzungumzia features.

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo6949 3 місяці тому

    Watu wenye uwezo wapo ila watawala wanalazimisha, mbele wanakotupeleka Kobayashi sana

  • @leothardngonya4842
    @leothardngonya4842 3 місяці тому

    Mwizi wa magari hadi SIASA.

  • @hugholinemmasi1671
    @hugholinemmasi1671 3 місяці тому

    Hoyeee God bless Lema,

  • @andersonshimbi1378
    @andersonshimbi1378 3 місяці тому +1

    Eti taarifa ya Lema chizi nchi itikisike, huu ni upuuzi mtupu

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 3 місяці тому +3

    Agenda za Chadema ni dhaifu sana,, wao wana attack mtu binafsi failure kabisa,, Huwezi Kufananisha warabu uchumi wao na Tanzania,, mwarabu anaenda sambamba na mataifa ya magharib kila nyanja,, Magu alikuwa hapendi wageni mkasema sana ogopa technologies

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 3 місяці тому

      Shidaako wewe unawaza Uchawa wa Ccm tu pole

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 3 місяці тому

      @@TegemeaFutemakatifu hili neno uchawa hata maana yake Sidhani kama unaielewa

    • @1961nungwi
      @1961nungwi 3 місяці тому

      Mwarabu ana mafuta, lakini Hana technology. Anatumia technology na wataalamu wa Magharibi kusogea mbele. Hajafikia level ya Magharibi. Amewakaribisha wa Magharibi wamsaidie katika Kila nyanja.....ndio anasogea hivyo.

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 3 місяці тому

      Ww hakuna hunalojua kabisa ety mwarabu yupo leval moja nchi za magharibi cjui hata la saba umemaliza tofauti na mafuta mwarabu anatengeneza nn duniani na Analima nini tofauti na tende

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 3 місяці тому +1

      @@ramadhanchenga4606 inaonesha jinsi gani hujui Rasilimali za warabu ni nini? Hata hujui neno kulima ni nn, usifikiri kulima ni mazao au nafatu,, warabu wanalima mafuta, warabu wana utajiri mkubwa wa dhahabu,, ndio maana mataifa ya magharib kila leo wanasumbuka na warabu,, warabu kwa sasa wana viwanda vyao kila aina, ndio maana vikwazo vya magharib haviwasumbui sana,, tofauti na nchi kama Tanzania,, huwezi kuweka sehemu moja Tanzania na nchi za kiarabu,, utakuwa unajikosea wenyewe,,

  • @Mupaji-vz8ke
    @Mupaji-vz8ke 3 місяці тому

    Lema mimi mara nyingi nakuelewa sana

  • @AloyceKaspari
    @AloyceKaspari 3 місяці тому +1

    Haujawahi kuniangusha mwamba, facts tu.

  • @abdallahmagomba4022
    @abdallahmagomba4022 3 місяці тому +2

    Hina jipyaaa

  • @ezekieldeus6022
    @ezekieldeus6022 3 місяці тому

    Kwanini tusiwatumie watz, wenye aikiu, yaani wenye akiri Kama lema ili kuiinua hari ya nchi hii, kiuchumi.

  • @ShaibuYahaya-v4b
    @ShaibuYahaya-v4b 3 місяці тому

    Sema ww maana

  • @saidjuma7878
    @saidjuma7878 3 місяці тому +1

    Na kuna watu wanamshangilia anasema risiki inapangwa na mahesabu

  • @Tone255
    @Tone255 3 місяці тому +3

    Utasubiri sana

  • @NelsonagustinoSwai
    @NelsonagustinoSwai 3 місяці тому

    Lema uko sawa kabisa MUNGU akulinde popote uendapo

  • @RESTITUTAMOLLED-mp3pp
    @RESTITUTAMOLLED-mp3pp 3 місяці тому

    ni ukweli usiopingika,nakuelewa sana,umenena baba,

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 3 місяці тому +1

    Lema hapa umeongea kijituzima sio kama Lissu anaongea comedy

  • @raymondkihaka1827
    @raymondkihaka1827 3 місяці тому

    Lena bhana Kama nakuona nice

  • @SM-fu1yv
    @SM-fu1yv 3 місяці тому +1

    Tutamkumbuka baba magufuri

  • @PropKibali-f8d
    @PropKibali-f8d 3 місяці тому

    Umesema kweli, ht Mh. Rais ameliona hilo ndiyo maana BANDIKA BANDUA kuona nani amsaidie ni endelevu!

  • @samsonogunde4508
    @samsonogunde4508 3 місяці тому +1

    Jamani Anachosema Jamaa yanamashiko Sana Tu.

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 3 місяці тому +1

    Makonda piga kazi huyu Hana jipya marudio tu haya ya miaka 10 hakuna mabadiliko saidia watu wenye kuteseka bro achana na mambo ya ulaya na waarabu hapo hawakuelewi unapoteza muda bure bro siasa kwa Sasa ni kutatua kero majukwaa hayana faida tena saidia wenye shida msile ruzuku na misaada wenyewe leta na zile Land rover tulizopewa msaada wakati wa M4C hatujawahi kuziona barabarani ulipeleka jimbo gani?

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 3 місяці тому

    ❤ bigger up

  • @jamesmsengi7483
    @jamesmsengi7483 3 місяці тому +2

    Safi sana kamanda

  • @husseinwaziri2796
    @husseinwaziri2796 3 місяці тому

    Tubadilike 2025

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 3 місяці тому +1

    Mwendawazimu alishindwa kuiendeleza Arusha unaongea utumbo😂😂😂

    • @shabanikimpinga6769
      @shabanikimpinga6769 3 місяці тому

      Kweli.arusha.ilimshinda.akakimbia.arusha.hivi.waiwezi.tena

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 3 місяці тому +2

    D P WORLD niya wa Marekani asilimia 100 hata KOREA aliko toka Rais samia juzi Baba Mungu akupe macho ya Rohoni uone USA wanafanyia kazi zao ESRAEL DUBAI KOREA FILIPINS TAIWAN NA JIBUT na kibaraka ni Kenya ukanda huu kwa sasa

  • @GeorgeMhada
    @GeorgeMhada 3 місяці тому

    Huhu jamaa anamarifa sana sanaaaaaa

  • @PantaleoBundala-tl2kd
    @PantaleoBundala-tl2kd 3 місяці тому

    ccm ni nzuri tu ila viongozi wake ndio wabaya sana

  • @neemamollel6057
    @neemamollel6057 3 місяці тому +1

    Nampenda lema kwani kuna unabii wa Mungu ndani yake. Wachache ndo wataelewa hili

  • @rashidimataka1027
    @rashidimataka1027 3 місяці тому

    rema ana jambo ule ni ubinafsishaji miaka 30/ chadema hawajapata pesa hanalopoka tu

    • @DavidKagulu
      @DavidKagulu 3 місяці тому

      Ubinafsishaji Gani Broo,kwa nn tusiwawezeshe wazawa tufanye hicho hao waarabu wanakuja kufanya

  • @ndegeofficial9928
    @ndegeofficial9928 3 місяці тому +1

    Magufuri ukimwongelea hapo na nazima na data

  • @alexkamba5264
    @alexkamba5264 3 місяці тому

    Majembe kama haya kwann yasikwe juu?Akili kubwa sana hii.

  • @Wiittole
    @Wiittole 3 місяці тому +2

    Lema sasa tayari jamaa wametuwin kwenye meza ya mazungumzo what's the way forward ?

  • @RamadhanMrimbo
    @RamadhanMrimbo 3 місяці тому +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 3 місяці тому +1

    Chura kuna ujumbe wako kutoka Kwa Mh Lema😂

  • @CanonLuhunga-oc9sx
    @CanonLuhunga-oc9sx 3 місяці тому

    Mtumishi weeee acha CDM wakutunze Sana 2025 wakuachie

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 3 місяці тому

    Lema nakuelewa sana ingawa mimi siyo Chadema, ni kweli kabisa imagine unatuma mtu kama msukuma std 4 aende kujadili mambo ya uchumi, ukweli ni matusi makubwa sana na watanzania tunazarauliwa sana, na siyo huyo tu karibu wote wameenda wapigaji.

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 3 місяці тому +1

    Mlikejeri jpm leo unaongea nini

  • @MWANAHAMISIOMARY-z3j
    @MWANAHAMISIOMARY-z3j 3 місяці тому +1

    Kichwa cha nchi

  • @georgemtewele7656
    @georgemtewele7656 3 місяці тому +1

    Sawa kama wamefanya mpaka canada sisi ni nani tuzuie fukwe tuu😅😅😅