Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Bora wangempa P'funk au Adam Juma
Steve Nyerere apawe taarabu tu maana anapenda sana mipasho!.Ila mumwambie aache kula pesa za rambirambi...💪
Wote haki saw nimependa hyo bongo fleva hawajipya
MWANA FA NA KALAPINA WANA AKILI SANA ....NMEWAPENDA MNO
Kweli
huyo NI msemaji maisha yako msanii NI juhudi zako mwana fa jielewe
mwanadansi nimuelewa Sana xf Sana
Mwana FA yupo sahihi na hapo wanaotetea na bongo fleva ni hao wasanii wa taarabu na na hao wengine ila sasa bado hawajitambui
STEVE ATAISAIDIA XANAAA
STEVE ANA FAAA XN HAO WANAMZIKI WASIOJIELEWA ACHANAO
Kifupi they are proviking them kuonyesha ubabe,wanatakiwa wawape chance ya maamuzi mazuri kwenye industry ya music in general sio kuwatisha kila wakieeleza upande wao its sad.. wanaumia sana.
Tatizo la stivu anaongea sn sifa zimemzidi, wanao mkubali stivu niwale miongoni mwawale wasio jielewa stivu masifa Sana
Achilia mbali sifa, vigezo vya msemaji hana kulingana na katika yao
jamani msilazimishe stive out
NA HATA WEWE KUWA MBUNGE NI KZ KM KZ YA STEVE ACHA UNAFKI DOGO
Hyo steve ni mme wa hyo dada
Steve kakosea nn km sio kujipandisha juu ya hili
Riziki ya mwengine usiilalie mlango wazi,wacha kumdharau Stive Nyerere.
Nyinyi munataja mziki wa wa taarab na Gosp tu mziki wa Madrasa vipi?
gnako hajielewi kabisa
Bora npoteze mb kwa putin
Mtu anaweza kuwa Hana shule lakini akawa anauzoefu na Mambo mengi acheni ubaguzi,
Shirikisho ni chama katiba inasemaje?
Steve hafai Hana busara muhuni tu
Kimeumana ,
Hauna Cha kuongea wewe ulianza kuongea japo mm sikujui hata kidogo
Acheni utengano huwo wivu tu, watu wamepewa ubunge, we bonge nyanya unatuongelea kingereza kaongee na familiya yako,
Achen wivu
Wasanii nyie ni Viazi eeeh..?
Mwana f a human lolote, ubunge wenyewe umepewa acha kuhangaika acha wivu
mwampasha xf xn
#wakazi "muda ambao ni very critical"7:508:188:309:1511:2923:51
Bora wangempa P'funk au Adam Juma
Steve Nyerere apawe taarabu tu maana anapenda sana mipasho!.Ila mumwambie aache kula pesa za rambirambi...💪
Wote haki saw nimependa hyo bongo fleva hawajipya
MWANA FA NA KALAPINA WANA AKILI SANA ....NMEWAPENDA MNO
Kweli
huyo NI msemaji maisha yako msanii NI juhudi zako mwana fa jielewe
mwanadansi nimuelewa Sana xf Sana
Mwana FA yupo sahihi na hapo wanaotetea na bongo fleva ni hao wasanii wa taarabu na na hao wengine ila sasa bado hawajitambui
STEVE ATAISAIDIA XANAAA
STEVE ANA FAAA XN HAO WANAMZIKI WASIOJIELEWA ACHANAO
Kifupi they are proviking them kuonyesha ubabe,wanatakiwa wawape chance ya maamuzi mazuri kwenye industry ya music in general sio kuwatisha kila wakieeleza upande wao its sad.. wanaumia sana.
Tatizo la stivu anaongea sn sifa zimemzidi, wanao mkubali stivu niwale miongoni mwawale wasio jielewa stivu masifa Sana
Achilia mbali sifa, vigezo vya msemaji hana kulingana na katika yao
jamani msilazimishe stive out
NA HATA WEWE KUWA MBUNGE NI KZ KM KZ YA STEVE ACHA UNAFKI DOGO
Hyo steve ni mme wa hyo dada
Steve kakosea nn km sio kujipandisha juu ya hili
Riziki ya mwengine usiilalie mlango wazi,wacha kumdharau Stive Nyerere.
Nyinyi munataja mziki wa wa taarab na Gosp tu mziki wa Madrasa vipi?
gnako hajielewi kabisa
Bora npoteze mb kwa putin
Mtu anaweza kuwa Hana shule lakini akawa anauzoefu na Mambo mengi acheni ubaguzi,
Shirikisho ni chama katiba inasemaje?
Steve hafai Hana busara muhuni tu
Kimeumana ,
Hauna Cha kuongea wewe ulianza kuongea japo mm sikujui hata kidogo
Acheni utengano huwo wivu tu, watu wamepewa ubunge, we bonge nyanya unatuongelea kingereza kaongee na familiya yako,
Achen wivu
Wasanii nyie ni Viazi eeeh..?
Mwana f a human lolote, ubunge wenyewe umepewa acha kuhangaika acha wivu
mwampasha xf xn
#wakazi "muda ambao ni very critical"
7:50
8:18
8:30
9:15
11:29
23:51