BAHATI BUGALAMA - BHUSUNGU (PRD BY MBASHA STUDIO)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 52

  • @teacherkaligodottonjige
    @teacherkaligodottonjige 8 днів тому +5

    Nyimbo hii inaendana na Riwaya Moja kutoka Nigeria iliyoandikwa na Buchi Emecheta JOYS OF MOTHERHOOD... Mhusika Nnu Ego anakuwa na mawazo mengi na shida nyingi, wanae wameenda kusoma Marekani na ulaya hawakurudi nyumbani mpaka anakufa mama Yao ...... Na kukuta kaburi la mama Yao...... Nnu Ego alilaumu kuzaa kumbe hauna faida.... Hajasaidiwa na watoto wake....... Kazi nzuri sana Bahati ugalama kwa kuelimisha Misha jamii kuhusu swala la uzazi kwa vijana na kina mama ..... Wazazi wanatakiwa wawambie watoto wao kuhusu msaada kwa wazazi.......

  • @ShabanMnyamwez
    @ShabanMnyamwez 4 дні тому +1

    Kaz nzur hogera 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Bahati_bugarama
    @Bahati_bugarama 19 годин тому +1

    Vizur sana 🙏

  • @VictorMahumbi
    @VictorMahumbi 6 днів тому

    Hongera Kwa kazi nzuri ya kuelimisha jamii mungu akuzidishie maarifa

  • @JohnCharles-fp2qz
    @JohnCharles-fp2qz 7 днів тому

    Asante sana malenga kazi nzuri ya kuelimisha jamii

  • @EliusDeus-n3d
    @EliusDeus-n3d 8 днів тому +1

    Mwamba huwa anatoa nyimbo mbilitu kwa mwaka ila zko pure kabisa 🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MwigulushinalaEmanueli-st6nh
    @MwigulushinalaEmanueli-st6nh 9 днів тому +2

    🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤nzugu mpanda ya kayenze

  • @Yusudav
    @Yusudav 9 днів тому +1

    Nyimbo zingine nzuri sana mpaka zinalizaaaa kwa sisi wazazi 🤦‍♂️🤦‍♂️kazi nzuri mnoooo

  • @MALONGWE-DIRECTOR
    @MALONGWE-DIRECTOR 8 днів тому +2

    Good work my brother,🎉🎉❤am love this song.

  • @ShabaniShabaniTv-dp5xq
    @ShabaniShabaniTv-dp5xq 9 днів тому +2

    ❤❤❤❤ Wimbo mzuri sana

  • @ChelehaniKamoga
    @ChelehaniKamoga 5 днів тому

    Hongera bro Imeni touch sana

  • @mgemaJuma
    @mgemaJuma 6 днів тому

    Boge la melod😂😂 karibu sana tena kwetu mwamnage 🎉 ubele ya kaliuaa

  • @babasodatv2096
    @babasodatv2096 9 днів тому +1

    Kazi nzuri Mr bahati hongera pia kijana mdogo t touch kwa kuendelea kuwa bora every day

  • @MpembaJohn-t2k
    @MpembaJohn-t2k 8 днів тому +1

    Mungu akuongoze katika kazi yako kaka ... Hakika unatoa ujumbe mzuri sana katika jamii

  • @VedastusConstatine
    @VedastusConstatine 8 днів тому

    kazi nzuri bahati hakika naijoi nyimbo zako,

  • @Cosmasbongo
    @Cosmasbongo 7 днів тому

    Mm mshabiki wako sana piga ngoma uko vizuri sion mwigine by mkono mzito lwamugasa

  • @MaryJumanneJonh
    @MaryJumanneJonh 7 днів тому

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉Shikamoo 🙏🙏hapo umepiga ubora ni ule ule💯✍️

  • @FaidaNyanda
    @FaidaNyanda 9 днів тому +1

    tulikusubir sana hongela malenga wa kanda ya ziwa mungu akubarik

  • @PhilipoSengasenga
    @PhilipoSengasenga 8 днів тому

    Mwamba kapiga pale pale hajawahi kufeli #kubali sana

  • @SimonNdoshi
    @SimonNdoshi 9 днів тому +1

    KAZI nzuri 🎉🎉

  • @NaomiMahela-b5e
    @NaomiMahela-b5e 7 днів тому

    Napenda sana nyimbo zako

  • @JumanneMazoya-f6b
    @JumanneMazoya-f6b 8 днів тому

    Kwa tofa au mbasha huna nakubali sana pale mnapofanya kazi na bugalama unabeet nzito za maana dah wewe hatari umejuaje kama tulisubili kwa hamu sana pongezi kwenu bro

  • @kwetushunustudio3106
    @kwetushunustudio3106 9 днів тому +2

    Huyu ndo tulimsubilia p1 cana ubora kwetu daima

  • @fredrickbundala406
    @fredrickbundala406 8 днів тому

    Safi sana, kazi nzuri inayoelimisha jamii.

  • @MathayoDaudi-g4n
    @MathayoDaudi-g4n 8 днів тому +1

    Hakika Dunia inakutazama unajua baba endeleea kuifundisha jamii

  • @jumamarco-mh1hg
    @jumamarco-mh1hg 8 днів тому

    Hogera sana kaka pambana tuko pamoja sana sisi Wana
    J M Classc

  • @willsontigiti8363
    @willsontigiti8363 8 днів тому

    Shikamoo bahati ningekua na uwezo ningekupa tuzo ikhuluye

  • @AdamSaleh-we3vj
    @AdamSaleh-we3vj 9 днів тому +1

    Kazi nzur kaka

  • @piuspaul4693
    @piuspaul4693 5 днів тому

    ❤❤❤❤ bhagosha giki

  • @SarahKitita
    @SarahKitita 7 днів тому

    Shida anakaa sana mda 😅😅😅😅

  • @MathayoJoseph-q9j
    @MathayoJoseph-q9j 3 дні тому

    Ni zuri

  • @GerardElias-rc2dc
    @GerardElias-rc2dc 8 днів тому +1

    Bahati bhugalama nilikumic sana kaka

  • @SahaniKihongwe
    @SahaniKihongwe 8 днів тому

    Kazi nzuri bahati

  • @ArafaAbdala-f5x
    @ArafaAbdala-f5x 8 днів тому +1

    Safi sana bahati bhugalama

  • @massanja221
    @massanja221 9 днів тому +1

    Kazi imetulia sana hii ni 2025

  • @MalumulaMayala
    @MalumulaMayala 7 днів тому

    Saf sana

  • @Yonabangilidaniel
    @Yonabangilidaniel 8 днів тому

    daaah bahati kongole kwako umo kwenye barabara la kutetea wajinga wajitambue katika jamii hongera

  • @makoyezacharia903
    @makoyezacharia903 8 днів тому

    Hujawahi kukosea malenga

  • @sidashindaitv9844
    @sidashindaitv9844 9 днів тому

    Wa kwanza leo

  • @peterjosephnzegatvnzegaasi5681
    @peterjosephnzegatvnzegaasi5681 9 днів тому +1

    🔥🔥🔥

  • @KasaiBoyTv
    @KasaiBoyTv 9 днів тому

    🔥🔥🔥🔥

  • @HamisiMasesa-sb9vi
    @HamisiMasesa-sb9vi 8 днів тому

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MathiasBubani
    @MathiasBubani 9 днів тому

    Pure🎉

  • @BernadoMayala
    @BernadoMayala 8 днів тому

    🎉🎉❤❤

  • @EliusDeus-n3d
    @EliusDeus-n3d 8 днів тому

    Nmeikubal hiyo

  • @LutubijaMakashi-n2b
    @LutubijaMakashi-n2b 9 днів тому

    Makini

  • @JohnNyamhawa
    @JohnNyamhawa 8 днів тому

    sijamsikia FISI DUME yupo wap?

  • @kingboytzphonesolutionking7622
    @kingboytzphonesolutionking7622 8 днів тому

    😊

  • @amosmacompyuta1015
    @amosmacompyuta1015 9 днів тому

    🎉🎉🎉

  • @MaduhuSabato-qr9nu
    @MaduhuSabato-qr9nu 9 днів тому

    Gud

  • @NyandaNkingwa-z6f
    @NyandaNkingwa-z6f 9 днів тому

    Hatali

  • @MALONGWE-DIRECTOR
    @MALONGWE-DIRECTOR 8 днів тому +1

    Good work my brother,🎉🎉❤am love this song.