Umeimba gospel hadi leo siku ya 3 haijafika hata 300k viewers ,ila sasa ungeweka kama ile.LEO LEO ungekuta tayar inazo 1M ,... Mungu ni wetu sote ,tumuabudu kila wakati
Nandy there's something God has put inside you. As some gospel artists have abandoned the gospel it's my prayer that God is going to raise many vessels and Nandy you're one of the vessels.
Kama binadamu wangelikua na uwezo wa kuandika maisha yako upya basi wengi wangelitamani kukuandikaa maisha ya injili,yenye furaha na baraka mingi kutoka kwa Mungu..Wapendeza sana katika kuimba nyimbo za injili.
Amina dada tunashukuru ubarikiwe sana uhendeleye kumuhimbiya mungu dada ndo unastahili mbyahulimwengu avikufanani ata kidogo dada uyo niushauri wangu tu wewe nimuimbiji gospel music
Mimi nampenda Zuchu alafu nampenda Nandy na sina team coz mi mtanzania .. Coz when they're doing good they make me proud being Tanzanian here I'm nd wherever i go.. Nd I'm very happy to see people form other countries love our music nd our musician it's a big honor for the national... 🇹🇿 keep ur head up Nandy 💯 together we can 💪🏿 i will be so happy if will hear u got a collaboration with Zuchu one day .. 🇹🇿🇰🇪🇿🇼🇿🇦🇹🇬🇸🇳🇸🇸🇳🇬🇺🇬🇨🇩 Africa unite💪🏿
First time nilipoona hii nyimbo wala sikuhangaika nayo but today mpaka nimelia nilipousikiliza hakika kimbilio letu ni kwa Bwana we have to worship Lord forever
Hapa ndipo panapokufaa kwa ushauri wangu kwako achana na nyimbo za dunia mtumikie Mungu kwani Mungu amekujalia kipaya na pia ameweka huduma kuu ndani yako ichochee karama ambayo Mungu ameiweka ndani yako. Nyakati tulizonazo nazo ni za mwisho dada! Mungu alikomboe taifa lake
Shalom, Dada kweli umeweka nadhiri. Yakumuwabudu MUNGU milele basi Fanya ivyo ushuda. Muku kwako. Iko mbele. Yako amen. Ni muchungaji bulambo nikiwa. Mombasa kenya
#Nandy!!!! Nashukuru Mungu kwa atua mpya ambayo amekupea, kwani lazima uchekwe n'a binadamu lakini ngangania sana mwito huu. Hakika Mungu atakushika mkono wake wa nguvu, ili huduma hii inonge mbele na kuzisaidia nafsi nyingi zilizo vunzika. From Congo , muzipee likes Nandi kwa huduma hii
Kusaidia ni tendo la huruma na ni baraka kubwa endapo utamsaidia mtu mwenye uwitaji utazidishiwa kila wema utendalo kwa mtu hata kama so leo basi kesho tukumbuke wema ubalipa😍😘#nandy
Wema ni akiba, nyimbo yako ina maadili na inatufundisha kutenda wema na pia kuweka tumaini kwa mungu bila ya kukata tamaa. Barikiwa sana The African princess
Come-on Nandy,, just be a gospel artist aki,, you'll do better than the way you're doing the bongo style. Take that decision siz and you won't regret it. Rep Kenya Nice song.. wanibariki
Nady okoka tu sijui huko ulifataaa nin 😂😂 mpka nimeupenda huu wimb 💖💖 okoka 2 Mungu anakupenda dada ye2 . Kwel bongo huku hakufaii kwel suree hapa nakubali
Tenda wema na wew ulipewe mema 😍 Tuishi kwa wema jaman huwez kujua nan n msaada wako wa baadae just imagine wasinge msaidia chakula huyooo dog hiyooo siku hospital ingekuwaje duuh Mungu tufunze ktenda wema
Nandy tatizo unajua sana jaman.....Na history ya hio nyimbo inafundisha utabaki kuwa juuuu NANDY wakimambele ww sio watanzania tyuu....Me nakupenda sana ubarikiwe dada anguuu
Nyimbo za kawaida siyo dhambi hata biblia imewatambua waliokuwa wakiburudisha enzi za biblia na haijasema walitenda dhambi. Acheni kuwakarisha tamaa watu na vipaji vyao. Keep singing what is in your heart Nandy.
One thing that I know, Nandy is a great gospel singer and she's going to bring many to Christ. Just watch and see...I'll witness this great transition!!!
Why is it that,, when a secular artist sings a gospel song, in most cases it's more professionally composed than one from a Gospel Artist,, I love the song,, Mungu hatuachi kamwe
Hakika nimebarikiwa kwa mana hadi muda huu "MUNGU WANGU" umenipa kibari bado naimiliki pumzi 🙏🙏🙏🙏.Tusha sana Nandy ujumbe mzuri sana , idea ndo umeuwa balaaa🔥🔥🔥🔥🔥
Unae soma comments huku una watch najua hatujuani ila naomba mwenyezi mungu akuzidishie maishani 🙏🙏🙏❤️
Pia Nawe
@@rahabwaseykarim1507 Shukran 🙏🙏
Haki ubarikiwe
Pia nawe bro
Pia nawe bro
Nandy qkiiingia katika gospel anaeza fanya vizuri sana kama unamkubali gonga like
Exactly
Nimejifunza kufanya mazuri kwa kila mtu Asante yesu kwa fundisho lako kupitia mtumishi wako
Umeimba gospel hadi leo siku ya 3 haijafika hata 300k viewers ,ila sasa ungeweka kama ile.LEO LEO ungekuta tayar inazo 1M ,... Mungu ni wetu sote ,tumuabudu kila wakati
Kizazi hiki ni cha nyoka ndo maana hizo za dunia zina likes nyingi ndani ya masaa na hii ya Mungu haina.
my thoughts too,may God guide her
Kaxi ya shetani ni ya haraka na haina ufahamu but ya mungu ni pole pole and original dada umenigusa
Mm nimefungua kwakua nimeona ni Gospel
Yaani wakenya tuko kila mahali imagine.....like
Daah hii nyimbo imenifanya nifurahi yaaan hiii nyimbo kali sana aiseee kama unampenda nandy na unampenda Yesu aliyefufuka kwa ajili yako gonga like☺☺☺
ua-cam.com/video/Vnso1zH4F5Q/v-deo.html
Walai she fits in gospel
Nice
All people from Tanzania show some love here💜💜💜💜
Nandi my dear mgeukie mungu umuimbie saut nzur amekupa umuiimbie yey sio kuiimbia dunia plz
Ukiimba nyimbo za gospel unanibariki san na unapendezea sana kumtumikia Mungu kwa hicho kipaji,,,tunalioona hili kama mm tukutane kwenye coment
That's true ,no doubts
That's true ,no doubts
ua-cam.com/video/An3TTcRB-9w/v-deo.html
Amini kwamba
Very true
Tunaopenda nandy awe mwimbaji wa gosple
Wimbo n mzuri ubarikiwe nandy
hakik
Dada angu nandy rudi nyumban kumenogaaa,,,Yesu anakuhitaji umtumikie yeye,,, kwa wimbo huu bwana atafanya ktu ,god bless you
Nandy there's something God has put inside you. As some gospel artists have abandoned the gospel it's my prayer that God is going to raise many vessels and Nandy you're one of the vessels.
Mungu akuzidishie siku na baraka,Katka maisha yako yote ,naomba like zako nandy
Mimi si nmesema na nina sema tena Hakuna kama Nandy... African Princess gonga like kama unamkubali
Yupooo. Pouwa Sana
Wani bariki wanilinda stokuacha milele Bwana yesu🙏🙏🙏🙏🙏
Jamani Nandy okoka tu uingie kwenye gospel Una kitu cha MUNGU ndani yako hii nyimbo imenibariki hongera na asante
Nandi Leo sijachelewa ..kazi nzuri Kama wewe wa 🇰🇪 nipe likes za Nandy
Waooooh 😘
Waooooh 😘
Hiii
ua-cam.com/video/AafVSFV13lwv/v-deo.htmlb
ua-cam.com/video/Vnso1zH4F5Q/v-deo.html
Kama binadamu wangelikua na uwezo wa kuandika maisha yako upya basi wengi wangelitamani kukuandikaa maisha ya injili,yenye furaha na baraka mingi kutoka kwa Mungu..Wapendeza sana katika kuimba nyimbo za injili.
Very true, she is magnificent in gospel, #Nandy you should consider sing gospel frequently
#Radiokanjo ,,,,Nakubali yuko vizuri sana kwa nyimbo za injili
Kweli kabisa kaka...100000000M support kutoka 254 KENYA
Team nandy gonga like hapa kwa kazi nzuriii
Ukiwa umepitia matatz au unayapitia matatz ukickiliza huu wimbo unapata Imani mbele za Mungu
Wa kusoma comment as we watch pigeni like❤😍
ua-cam.com/video/AafVSFV13lwv/v-deo.htmlb
ua-cam.com/video/Vnso1zH4F5Q/v-deo.html
ua-cam.com/video/8bs_9VGV_0k/v-deo.html
Woyooo
Daaaàah ur the first nandy
Bongo falava unaweza na gospel unaweza. Official Andy upo juu saana. Wanaomkubali Mandy gonga like hapa
Huko uliko wamekuiba huku ndiko kwako Rudi nyumbani,Yesu anakupenda
Mungu akubariki kwa huu uwimbaji mzuri dada mimi napita tu wimbo zako ila nlijaribu nisikize huu wimbo kweli Unakaa poa ukiimba gospel
Finally the video is out,I know one day this girl will sing for God fully
@gadson35287am from ke,in regards to what u have said,i have noticed she has this attachment to God ni vile anaifichanga kiplan.ama aje stesh
My prayer too such angelic voice👌👌👌❤❤❤
@@shickysshicky1745 t'will be my happiest day manze.
Mwanzon kabla ya mziki alikuaga nimwana praise kanisan
Yeah, in some interview she mentioned that she was brought up as a christian. Atarudi nyumbani where she belongs
Wimbo huu umenifunza usikose kumsaidia mtu ili siku moja Mungu atakulipa panapo majaliwa
Ubarikiwe Dada ila Rudi kwenye injili itapendeza zaidi
Amina dada tunashukuru ubarikiwe sana uhendeleye kumuhimbiya mungu dada ndo unastahili mbyahulimwengu avikufanani ata kidogo dada uyo niushauri wangu tu wewe nimuimbiji gospel music
Hii ni nyimbo inanibarki SaaAAAN 🙏🙏ooh MUNGU nilinde mm na kizazi changu mlinde baba yangu huko alipo hakika wewe ndie mwenye kujua kesho yetu
Mimi nampenda Zuchu alafu nampenda Nandy na sina team coz mi mtanzania .. Coz when they're doing good they make me proud being Tanzanian here I'm nd wherever i go.. Nd I'm very happy to see people form other countries love our music nd our musician it's a big honor for the national... 🇹🇿 keep ur head up Nandy 💯 together we can 💪🏿 i will be so happy if will hear u got a collaboration with Zuchu one day .. 🇹🇿🇰🇪🇿🇼🇿🇦🇹🇬🇸🇳🇸🇸🇳🇬🇺🇬🇨🇩 Africa unite💪🏿
Baada ya kusikiliza huu wimbo wako nimeamua kuokoka,,Asante Yesu kwa mtumishi wako HUYU🙌🙌
Hongera mpendwa kwa kumpa Yesu maisha yako
😂😂😂🙏🙏👏👏
Aminaaa
I hope sio jokes
😂 huwa nafurahi sana moyoni nikoliona watu wanamrudia MUNGU
Uwe unaimba nyimbo za injili unapendeza sana kwa injili sikufichu Mungu wetu ni pendo💕💞💞💟💟💯💯💯
Huku ndiko nyumbani kwako Mamaa Njoo Mapema Ukiimba hizi tunabarikiwa Saana MUNGU Kulinde na kukutunza Kipenz Chetu
Wanibariki🙌🏽...sitokuacha milele , wanilinda Mie sitakuacha milele ...umenivisha baraka ✨.Nilipo mie na wewe upo 🤗.
ua-cam.com/video/Vnso1zH4F5Q/v-deo.html
Anyone supporting this talented girl from Kenya gonga like
ua-cam.com/video/AafVSFV13lwv/v-deo.htmlb
She’s Tanzanian
Since when Nandy is Kenyan?
She is from Tanzania.
ua-cam.com/video/Vnso1zH4F5Q/v-deo.html
😂 😂 😂
First time nilipoona hii nyimbo wala sikuhangaika nayo but today mpaka nimelia nilipousikiliza hakika kimbilio letu ni kwa Bwana we have to worship Lord forever
Haki ya Mungu sjawahi penda ujumbe kama huu kwako 🙌🙌🙌🙌🙌👉🔥🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Huu wimbo unagusa sanaa😤🤧. Km na we umeguswa km mm like hapo
Moto Sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪haki nipeeni likes za Nandi
Hapa ndipo panapokufaa kwa ushauri wangu kwako achana na nyimbo za dunia mtumikie Mungu kwani Mungu amekujalia kipaya na pia ameweka huduma kuu ndani yako ichochee karama ambayo Mungu ameiweka ndani yako. Nyakati tulizonazo nazo ni za mwisho dada! Mungu alikomboe taifa lake
Shalom, Dada kweli umeweka nadhiri. Yakumuwabudu MUNGU milele basi Fanya ivyo ushuda. Muku kwako. Iko mbele. Yako amen. Ni muchungaji bulambo nikiwa. Mombasa kenya
Kama mnamkubali NANDY shusha like zako na comments
👋
You are great
ua-cam.com/video/AafVSFV13lw/v-deo.html
Si mkubal ahamie gospel mazima ,maana haielewek anatuchora
ua-cam.com/video/Vnso1zH4F5Q/v-deo.html
Kama Umebarikiwa kama Nandy, tuonyeshe ❤️❤️❤️❤️
Wacha itambeee
Yaaaani mdogo wangu imba gospel kwakweli unapendeza zaidi...
Nandy tulia kwa Yesu na umtumikie kwa kipaji chako hiki cha uimbaji unapendezea hadi raha
I love your voice Nandy. Much support from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Mim ni Mwislam lakin hii song imenigus much love Nandy 🥰🥰from Burundi
Nandy umebarikiwa kipaji cha kumtumikia mungu ktk uimbaji, unatubariki na hakika ujumbe umebeba maudhui mahususi hakika nimebarikiwa saana
This flag is internationally recognized 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
ua-cam.com/video/Vnso1zH4F5Q/v-deo.html
YAANI NANDI UMENIFURAHISHA MWANANGU DAAA YAANI SAUTI YAKO NI YAKUMWIMBIA YESU MWANANGU DAAAA HONGERA SANAAAA
The song has spoken to me am from the hospital to see my dad naomba mungu amponye cku moja turejee nyumbani sote Thank you Nandy
From Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
May he get well sooner
Thank you my dear
In jesus name its well with him
Imeandikwa kwa mijeredi yake umepona, amini atapona kwa jina la Yesu
#Nandy!!!! Nashukuru Mungu kwa atua mpya ambayo amekupea, kwani lazima uchekwe n'a binadamu lakini ngangania sana mwito huu. Hakika Mungu atakushika mkono wake wa nguvu, ili huduma hii inonge mbele na kuzisaidia nafsi nyingi zilizo vunzika. From Congo , muzipee likes Nandi kwa huduma hii
For this reason you were born to glorify God with your voice.
Amen🙋🙋
🙏🙏🙏❣
Kusaidia ni tendo la huruma na ni baraka kubwa endapo utamsaidia mtu mwenye uwitaji utazidishiwa kila wema utendalo kwa mtu hata kama so leo basi kesho tukumbuke wema ubalipa😍😘#nandy
Nikweli kabisa km harmonize alivyo msaidia Angela
Wema ni akiba, nyimbo yako ina maadili na inatufundisha kutenda wema na pia kuweka tumaini kwa mungu bila ya kukata tamaa. Barikiwa sana The African princess
Nandy african princess unaimba bingo flava lakn akili iko na imani ipo juu kwa mungu
Nimaombii yangu kua kuanziaa hv Sasa uanzeee kuimbaa gospel...maana unanibalik kweli kweli
Nilipo mie naamini na wewe upo bwana🙏🙏
gonga like kama unaamini
We love you mamah....all the way from Kenya...malkia mwenyewe
MUNGU anawajua walio wake , na kamwe hataacha apotee hata mmoja, sema Ameen!!!!!
Come-on Nandy,, just be a gospel artist aki,, you'll do better than the way you're doing the bongo style. Take that decision siz and you won't regret it.
Rep Kenya
Nice song.. wanibariki
Welcome to gospel music mama,God loves you
This song reminds me nikumbushe cover.nandy kenya twakupenda sana
Couldn't help noticing Alice Kimanzi's lyric and melody "..moyo wangu wa kutamani ewe Baba nafsi yangu yakulilia.."
I do love that song of Alice wooiiih 🙏🙏🙏
Amen
Nady okoka tu sijui huko ulifataaa nin 😂😂 mpka nimeupenda huu wimb 💖💖 okoka 2 Mungu anakupenda dada ye2 . Kwel bongo huku hakufaii kwel suree hapa nakubali
Tenda wema na wew ulipewe mema 😍 Tuishi kwa wema jaman huwez kujua nan n msaada wako wa baadae just imagine wasinge msaidia chakula huyooo dog hiyooo siku hospital ingekuwaje duuh Mungu tufunze ktenda wema
Nandy tatizo unajua sana jaman.....Na history ya hio nyimbo inafundisha utabaki kuwa juuuu NANDY wakimambele ww sio watanzania tyuu....Me nakupenda sana ubarikiwe dada anguuu
Nyimbo za kawaida siyo dhambi hata biblia imewatambua waliokuwa wakiburudisha enzi za biblia na haijasema walitenda dhambi. Acheni kuwakarisha tamaa watu na vipaji vyao. Keep singing what is in your heart Nandy.
Uku njo kwenye kuna fasi yako dada acha maisha yetu ya msifu Yesu kristo kila siku.
Nandy ita kuwa vizuri Sana uki amua ku mu tumikiya Munguuuuuuu una sautiiiiii nzuri sana
Nandy professional and talented women but for this let our God never pass on you :if possible deep on Gospel Nandi may God bless you
Nilipo mie na ww upo bwana ...Andiy umefanya vema sana
Imeweza mbaya,ila usituache yatima tena, 🇰🇪🇰🇪🇰🇪tuko ndani
One thing that I know, Nandy is a great gospel singer and she's going to bring many to Christ. Just watch and see...I'll witness this great transition!!!
Amen
It is tru
Kweli wanibariki mungu Nani mwingine Kama wewe...nandy you are such a good gospel artist
Wanibariki kweli Dada hapo ndipo sehemu yako Mungu akusimamie na akushikilie hapohapo usiondoke Tena
Nandy never disappoints 🇰🇪🇰🇪
ua-cam.com/video/Vnso1zH4F5Q/v-deo.html
Why is it that,, when a secular artist sings a gospel song, in most cases it's more professionally composed than one from a Gospel Artist,, I love the song,, Mungu hatuachi kamwe
Ameen...Mungu akubari na akuinue...na umshike,, Yesu Kristo na mwokozi wa maisha yako,, Akuinue zaidi ...Kwa kumuabudu
Mungu azidi kukutunza, hakika huu ni ujumbe mzuri saaana na unagusa mmnoo!!!
New subscriber After This... nipewe likes 🇰🇪
I cant get enauf of this song
Blessing over and over
+254 to the world 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nand umenibaliki hama bongo tuungane gospel mungu anakusudi na wewe
Ubarikiwe kwa wimbo wako mzuri wenye darasa ndani yake nakutakia Kila raheri zije nyingine nyingi zenye ujumbe wa mandhari hii♥️♥️♥️♥️🕷️🕸️🕸️🕸️🕸️🙇🙇🙇🙇
I am proud of you Daughter of God...Your voice is very great when you sing for the Lord your God my sister..
Hakika nimebarikiwa kwa mana hadi muda huu "MUNGU WANGU" umenipa kibari bado naimiliki pumzi 🙏🙏🙏🙏.Tusha sana Nandy ujumbe mzuri sana , idea ndo umeuwa balaaa🔥🔥🔥🔥🔥
Unapendeza kuimba nyimbo za gospel Nandy mdogo wangu imba gospel music kipenzi
Aksante sana kwa wimbo...haahaaa waniponya mie...sitakuacha milele.Amina !
Nandy dada angu karama unayo kubwa sana unafaa umwimbie Mungu dada huu wimbo kila siku lazima ni usikilize.
Unapendeza zaidi hivi kuliko duniani
Mm pia
Kama umependa story ya huu wimbo kutoka mtaani hadi kuwa doctor. Wema ni akiba.
Daah!!! Mpaka nmeishiwa cha kusema!!! Kiufupi #Nandy huyu ndio namjua mimi
Honestly mm huwa Kila muda najikutag kumiss tu huu wimbo what a Anointing song....
YOU LOOK EVEN MORE GREAT AS A GOSPEL SINGER DAUGHTER OF GOD
Yeah....she should be doing gospel all the time .. she's good at it ...❤️
Mrembo you are such a blessing to many through this song + 254
U
Niice song
All surpport from kenya i love u my kenyan ppl 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Adi machozi yametililika asee Mungu akubariki kwa wimbo mzuri sana🙏
Ngoma hii imeniguza moyo...namsogelea mungu zaidi.
🥰🥰🥰 I am muslim but I really love you Nandy I love your songs and hauna majigambo one love I am Radhia from +254
Kwani waislamu hawaezipenda wakristu "whats that?"
I guess this is my friend biimu in dubai kama ni wewe reply dear
ua-cam.com/video/Vnso1zH4F5Q/v-deo.html
@@princerangudi4049 she said she love her n her songs....thats appreciation of the highest level....muslims n praising songs???mmmmh
ua-cam.com/video/8bs_9VGV_0k/v-deo.html
Awww that Remix of Alice Kimanzi #Moyo wangu wa kutamani inaleta raha sana😍😍😍🔥🔥🔥🥳🥳
You also felt it.... Was awesome
Story ya huu wimbo nimeipenda sana .nandy unajua cjui billnas alikudanganya Nini mtoto nzuri
Surely hii nyimbo inanipa makumbusho makali sana...nikiwa martant word na mke wangu 😲 🙏🙏 Mungu ni mwema
Huu wimbo 😘😘 princess nandy congrats💯
Enjoying kutoka 🇰🇪
Waow I can't stop watching and listening to this song, surely wanibariki, be blessed nandy
ua-cam.com/video/Vnso1zH4F5Q/v-deo.html
Nakupenda sana mungu azidi kukubariki kwenye kazi zako dada ang🙏🙏🙏🙏🙏