NYIMBO ZA BIKIRA MARIA | Valeriana Mayagaya

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 сер 2024
  • TUSALI KWA BIDII

КОМЕНТАРІ • 65

  • @CalvinJames-k1s
    @CalvinJames-k1s 10 днів тому

    Muujiza Leo baada ya kusikiliza hii nyimbo Mungu ahsante sana Mama maria❤❤

  • @CalvinJames-k1s
    @CalvinJames-k1s 10 днів тому +1

    Jaman nipo ofisin nasikiliza hii nyinbo nasikia furaha moyoni mwangu baada ya kutamkiwa na mchumba wangu kuwa ameniacha lakin Leo baada kuanza kusikiliza hii nyimbo amenipigia Tena ananiuliza mama mkwe hajambo nasikia kulia jaman Mama maria anatenda miujiza❤😭😭😭

  • @rozkiwale912
    @rozkiwale912 4 місяці тому +5

    Hongera Sana dada hakuna kitu utaomba kwa Mama Bikira Maria ukose

  • @annahgodblessyouandprayfor6515

    Good songs God bless you 🙏🏽 thank you am blessed

  • @FlorenceMutindi-mz4nv
    @FlorenceMutindi-mz4nv 15 днів тому +1

    Nyimbo nzuri,twambarikiwa kabisa

  • @user-zd2mv6hy4i
    @user-zd2mv6hy4i 6 місяців тому +5

    Hongera wote kwa uimbaji wenu 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @samwelashayo7511
    @samwelashayo7511 2 місяці тому +2

    Asante sana Mama Bikira Maria kwa maombezi yako ya daima. Yananipa faraja mimi pamoja na familia yangu na rafiki zangu. Asane mama yangu kipenzi sana!!!!!

  • @baderhajeanbaptiste9963
    @baderhajeanbaptiste9963 2 місяці тому +2

    Merci kwako kwa nyimbo izi nzuri🙏 mama azidi tuombea uponyaji kwa mwana wake yesu kristu👌🏼💪🙏

  • @annambokaanatoli9700
    @annambokaanatoli9700 4 місяці тому +4

    Wow asanteni sana yaani Niko CHINI ya mti nikisikiliza na kuwaza nitaweza kumbembeleza Mama Maria KUPITIA nyimbo hizi ....be blessed

  • @sakinakamagi5452
    @sakinakamagi5452 Місяць тому +2

    Mama Maria mama mbombezi kwa wenye shida mbali mbali usiniache mwanao bondeni huku nina shida inayoitaji huruma yako usiniache mama mama muombee kea mwanao Yesu Kristo

    • @Jackline-x6j
      @Jackline-x6j Місяць тому +1

      😊Eee3e33e3eee33333eé😊e

  • @user-pp6nu4js1i
    @user-pp6nu4js1i 2 місяці тому +2

    Asante sana mama Maria nikumbuke na familia yangu

  • @user-bf6fk2xj6n
    @user-bf6fk2xj6n 5 місяців тому +3

    Tusali Rosario tupate Amani duniani côté.🎉🎉🎉

  • @kasindimawazondiba8083
    @kasindimawazondiba8083 3 місяці тому +2

    Asante sana kwa Ku muimbiya maman yetu anatu ombeyaka Sisi wa toto wake Siku zote

  • @lucylyuki4852
    @lucylyuki4852 Місяць тому +1

    Mwenyezi Mungu kwa njia ya mwanao Yesu kristo Asante kwa maombezi Yako mama yatu Bikira maria uniombee katika makaribu haya naamini kuvuka katika yote na pia kuheshimu jina lakeama aniombee kwa Yesu anitie utaji na utisho kwa maombi na uovu wote nisiguswe na uovu na u hadi wa Dunia hii Yesu kristo unikonge na uovu wowote na mabaya yote kuanzia sasa niwe na Amani na uhuru kamili kiroho na.mwili kati ya mabaya na maonevu na madharau yasiyo lazima. Amina mama Maria uniombee

  • @HappyMushi-h7k
    @HappyMushi-h7k 17 днів тому +1

    Nyimbo za mama zina nbarik sana❤❤❤❤

  • @lucylyuki4852
    @lucylyuki4852 Місяць тому

    Naomba mama nisaidie kuniombea Roho ya nsMaha na Amani kwanza kwangu Binafsi Mimi ndugu zangu wote niwasamehe kwa yote Martha Simon Michael Marry Anjelina na Daud.
    Mwenye Enzi Mungu kwa maombezi ya mama Bikira Maria nijaliweoyo wa msamaha na Hawa ndugu zangu wajakiwe wote Roho ya msamaha
    amina

  • @vincentmboti
    @vincentmboti Місяць тому +2

    Great and wonderful songs

  • @marymasungwa
    @marymasungwa 3 місяці тому +2

    Tumuombe Mama Bikira Maria atusaidie

  • @catherinembaluto6709
    @catherinembaluto6709 3 місяці тому +2

    Amen. Tusali Rosali daima

  • @user-li3kc6tf3o
    @user-li3kc6tf3o 7 місяців тому +4

    Jameni tusali rosali milele

  • @Maria-ic5kp
    @Maria-ic5kp Місяць тому +1

    Lesson for the Day for me in T- WA US

  • @catherinembaluto6709
    @catherinembaluto6709 3 місяці тому +2

    Tumsifu Mama yetu Bikira Maria kupitia nyimbo zake tamu sana. Mama tuombee katika familia zetu na watoto wetu tushinde nguvu za shetani.

  • @lucylyuki4852
    @lucylyuki4852 Місяць тому +1

    Mama Maria kwa maombezi Yako niombee Mimi ninayexhumiwa na ndugu Angu baadhi wao ni kuniona tu m Aya ,wewe na mwanao Yesu kristu mwajua yote kabisaa kuhusu Mimi Mungu Roho Mtakatifu nitakase naitJadike hasa mbele za watu wangu na wote wanaknizunguka

  • @PatrickWambua-o8v
    @PatrickWambua-o8v Місяць тому +1

    Wimbo tamu

  • @KahindoDéborah-t7t
    @KahindoDéborah-t7t 2 місяці тому

    Asante sana mama,nikumbe mimi na familia yangu,na ma rafiki zangu ❤

  • @DAUDMARCO-um2nz
    @DAUDMARCO-um2nz 6 днів тому

    Mama mwenye huruma utuhurumie na utuombee kwa mwanao mpendwa sana

  • @MawazoMamy-eu9bl
    @MawazoMamy-eu9bl День тому

    Amina

  • @annahgodblessyouandprayfor6515
    @annahgodblessyouandprayfor6515 7 місяців тому +2

    Nyimbo hizo zapendesa sana na zinambariki sana God bless you 🙏

    • @Valerie365
      @Valerie365  7 місяців тому

      Amen. Tubarikiwe sote!

  • @MariselinaMasao
    @MariselinaMasao 2 місяці тому

    Nimebarikiwa na hizi nyimbo za mama maria napenda ukatoliki wangu

  • @PhilipoBajut
    @PhilipoBajut Місяць тому +1

    Nyimbo za bikira maria zinanibariki sana

  • @WalburgaMushi
    @WalburgaMushi Місяць тому +1

    Mama utuombee wanao

  • @enatanonga3048
    @enatanonga3048 Місяць тому +1

  • @annechebichiy2263
    @annechebichiy2263 7 місяців тому +2

    Kila ninapotaka kusali Rosali uwanina amu ya kuskiza nyimbo za Mama yetu Bikira Maria
    Mungu akubariki sana mama Valerian Simon🙏😘

  • @cresensiankembo8658
    @cresensiankembo8658 10 місяців тому +3

    Mzidi kubarikiwa

  • @johnmalimi14
    @johnmalimi14 9 місяців тому +1

    Hongera nabarikiwa na nyimbo za mama

  • @israeldanda7789
    @israeldanda7789 10 місяців тому +2

    Kazi nzuri ya uimbaji, imetulia na inabariki vyema. Hongera sana Valeriana, Mungu kwa maombezi ya Mama Maria akuimarishe na kuendelea kukubariki namna ambavyo ninabarikiwa hadi nasitisha ratiba nyingine nikisikilizia uimbaji uliotulia. 🙏

    • @Valerie365
      @Valerie365  10 місяців тому

      Amina na amina!

    • @israeldanda7789
      @israeldanda7789 10 місяців тому

      Ninamsikiliza mpiga kinanda wako, naomba uniunganishe naye nimpe maua yake na bahasha ya khaki aiseee

    • @Valerie365
      @Valerie365  9 місяців тому

      ​@@israeldanda7789
      Wimbo wa kwanza kinanda amepiga PETER PERFECT.

  • @dushimimanaalex4110
    @dushimimanaalex4110 7 місяців тому +2

    Nyimbo zenu ni sawa kbsa nawapenda Sana

  • @user-cr1je5ut2j
    @user-cr1je5ut2j 10 місяців тому +1

    Nyimbo nzuri za kubariki.Pongezi sana.

  • @jacksonakwenda7838
    @jacksonakwenda7838 9 місяців тому +1

    Nyimbo tamu sana zenye kuvutia.

  • @stephanombwana4017
    @stephanombwana4017 10 місяців тому +1

    Hongera kwa kazi nzuri dada angu....

  • @dativamtaresi1973
    @dativamtaresi1973 7 місяців тому +1

    Kazi nzuri mamy&Team.❤Am really proud and inspired by you..❤

  • @kellengift5214
    @kellengift5214 4 місяці тому

    Mubarikiye sana kwa nyimbo

  • @mbalamwezilinda3369
    @mbalamwezilinda3369 2 місяці тому

    Hallow my dear Vareliana TYK Mimi ndugu yako nakutafuta

    • @Valerie365
      @Valerie365  2 місяці тому

      Karibu Linda. Tafadhali Nikumbushe zaidi.

  • @nancyjepchumbakebenei8367
    @nancyjepchumbakebenei8367 4 місяці тому +1

    Moyo wa Maria utuombee

  • @frankkadege-ev9wg
    @frankkadege-ev9wg 9 місяців тому +1

    Hongereni sana 😂😂

  • @user-dh8sk8ej1d
    @user-dh8sk8ej1d 10 місяців тому +1

    Hongera sana🎉🎉🎉

  • @deulegervas1303
    @deulegervas1303 10 місяців тому +1

    🔥🔥🔥

  • @philipojoseph-tr2xo
    @philipojoseph-tr2xo 8 місяців тому +1

    Asant

  • @sammynjoroge5595
    @sammynjoroge5595 3 місяці тому

    Nyimbo tamu 🔥 🔥

  • @TalishaSalmashally
    @TalishaSalmashally Місяць тому

    Daktari ako wapi lamo coz uenda joy naye amenda kwa daktari wake avuruhe

  • @VailetMbina
    @VailetMbina 4 місяці тому +1

    Dada unatisha sana huwa nabarikiwabsana na nyimbo zako,naikumbuka pia ile tuwaombee wagonjwa mashairi yalijitosheleza mungu akutunze dada

  • @AnatolyMkude
    @AnatolyMkude 9 місяців тому +1

    😢mama MAMA NIMAMA YETU UTUOMBEE

  • @kochulemdelvine1285
    @kochulemdelvine1285 4 місяці тому

    Blessings 💞💞💞💞💞💞🙏🙏🙏🙏

  • @stephanombwana4017
    @stephanombwana4017 10 місяців тому +2

    Wanaovimba kama mimi hapa tujuane... dada itabidi tukae vizuri nishiriki kwenye wimbo hata mmoja hapo baadae

  • @CalvinJames-k1s
    @CalvinJames-k1s 10 днів тому

    Muujiza Leo baada ya kusikiliza hii nyimbo Mungu ahsante sana Mama maria❤❤