Nice content brother. Pia hongera sana kwa kutuandikia kitabu cha "TIMIZA MALENGO YAKO" Juzi ilikua siku ya kitabu duniani, Clouds TV walinipa interview kuhusu vitabu na kitabu chako ni moja ya vitabu nilishauri watu wasome. Interview yote nimeiweka kwangu waweza itazama. Hongera sana kaka TIMIZA MALENGO ni project ya maisha.💪💪
Mungu akubariki sana niliponunua kitabu chako cha timiza malengo yako hakika ulinifungua sana yani nilikuwa kama nimefungwa ufahamu ila ulinitoa sehem nimejitambua sasa na nimezinduka kiukwel kama mtu hajui afanye nini katika maisha yake or hajui anzie wap akasome hicho kitabu cha timiza malengo yako. Utakuja kutoa ushuhuda hapa .sasa nasoma kinachoitwa tabia ya kughairisha mambo yani......................!mpka nimalize vyote
Kaka Joel..kama kungekua na neno zaidi ya neno asante basi ningekitamkia hilo..umenifanya nmepiga hatua kubwa sana kiimani,kimatendo na kiakili pia..wakati mwingine huwa tunakosea pasipo kujua hali kadhalika kuwa sahihi pasipo kujua..kikubwa nafurahia sana uwepo wako naomba Mwenyez Mungu akuchague kati ya wale atakaowatunuku maisha yenye furaha,mafanikio na afya tele..Mungu akusimamie kaka
Hakika tabia ya kusubiri kuonewa huruma katika anguko lako linasababisha kupoteza muda mwingi ,unapogundua umeshindwa sehemu simama Fanya tathimini ya kwanini umeshindwa na uchukue hatua nyingine ya kuiendea Ndoto yako! Ahsante sana kaka Nanauka.
*Akataaye kushindwa si mshindani* kubali umeshindwa ili upate nafasi mpya yakuendeleza maisha yako Maelezo haya yote ni ya thamani, Asante kwa yote kaka
Naam huo ndo ukweli... Hata ibada pia kuna kitu kinakwambia wacha utafanya kesho lkn unatakiwa ufanye kama unajitambua... Feel the fear and do it anyway... Ahsante sana nimeipenda hiyo
Thanks Mr Life Coach, your Real coach. Nataka kununua kitabu cha Timiza Malengo, but you don't receive ma phone. Jambo LA kwanza (kutaka kuonewa huruma) na la mwisho yalikuwa ni shida sana kwangu ila sasa nimebadilika angalau baada madarasa yako mengi. Be blessed my bro.
Shukran sana kaka, umenijenga sana kifikra. Kwa hapa mi naona self doubt and the fear of uncertainty inanikwamisha sana sijui utanishauri vipi kaka. Pamoja from +254.
Yaan we kka acha last week nme angalia clip zako uka sema usi subr m2 akupe fursa ita fute mwenyewe fursa niko Muscat nina miez kama mi 3 ckua na kazi ulivyo sema huu Ndio mda wako toka katafute kaz au chochote unacho kiitajia wallah nlitoka cku ile Alhamdulillah nka pata kaz asante sana na baadae ya kupata kaz fursa ya kaz nyng zime jutokeza lakn mwanzo nlikaa2 kusubr wa2 really i respect u lov u uja waig kukosea
Pole sana,Mimi pia nilikua hivyo,ila tangu niamue kuwa responsible na maisha yangu hali hiyo haipo tena, you can do the same and Confidence is guaranteed.
Kaka Mimi nimetoka kwenye biashara kubwa ya ujenzi nimeambiwa nimefeli nimeachishwa nasasa nimefungua banda langu La genge nifanyeje ili nitimize ndoto zangu za kuwa mfanyabiashara mkubwa sana lakini ata ivyo najiusisha na ufugaji mdogomdogo na ulimaji mboga kipi nifanye navyote naitaji
Hello brother! !, How you doing, !?hope you fine,,that's great and perfect ten video,for real it so cool, ! I appreciate a lot about that because you entire something in my mind,
Mm nataka niwe fundi mkubwa wa rangi za gari nanina garage niloachiwa na mze wangu lakini kila ninachofanya iliniboreshe biashara yangu kunavipinga mizi vingi sana nafikiya niiyache lakini nikiangaliya ndiondoto yangu tokanikiwa mdogo na naipenda sana kazi yakupiga gar rangi
Nice content brother. Pia hongera sana kwa kutuandikia kitabu cha "TIMIZA MALENGO YAKO" Juzi ilikua siku ya kitabu duniani, Clouds TV walinipa interview kuhusu vitabu na kitabu chako ni moja ya vitabu nilishauri watu wasome. Interview yote nimeiweka kwangu waweza itazama. Hongera sana kaka TIMIZA MALENGO ni project ya maisha.💪💪
uko vizuri broo
Nami nakihitaji hichokitabu naombaniambie jinsi yakukipata
Ameeeen,,Sifa na utukufu tunamrudishia Mungu wetu aliye hai.Ahsante sana kaka Joel Mungu akubariki 🙏🙏
Sujui unanishauri vp kaka Joel nanauka nakukubali sana mawazo yako jinsi unavotushauri ahsante
Mungu akubariki sana niliponunua kitabu chako cha timiza malengo yako hakika ulinifungua sana yani nilikuwa kama nimefungwa ufahamu ila ulinitoa sehem nimejitambua sasa na nimezinduka kiukwel kama mtu hajui afanye nini katika maisha yake or hajui anzie wap akasome hicho kitabu cha timiza malengo yako. Utakuja kutoa ushuhuda hapa .sasa nasoma kinachoitwa tabia ya kughairisha mambo yani......................!mpka nimalize vyote
Naomba namba yako ndugu
Kataa kukata tamaa I like that bro thank alot.
Kaka Joel..kama kungekua na neno zaidi ya neno asante basi ningekitamkia hilo..umenifanya nmepiga hatua kubwa sana kiimani,kimatendo na kiakili pia..wakati mwingine huwa tunakosea pasipo kujua hali kadhalika kuwa sahihi pasipo kujua..kikubwa nafurahia sana uwepo wako naomba Mwenyez Mungu akuchague kati ya wale atakaowatunuku maisha yenye furaha,mafanikio na afya tele..Mungu akusimamie kaka
Hakika tabia ya kusubiri kuonewa huruma katika anguko lako linasababisha kupoteza muda mwingi ,unapogundua umeshindwa sehemu simama Fanya tathimini ya kwanini umeshindwa na uchukue hatua nyingine ya kuiendea Ndoto yako! Ahsante sana kaka Nanauka.
Tnx broo Joel mung azid kubariki kazi yko kwan unatuma mioyo na kutokata tamaa katika maisha ubarikiwe
kaka yote unayosema ni kweli, Mungu akubariki Teacher Joel
Umenitoa matopeni umeniweka kwenye mwanga wa nuru. Nakukubali sana Joel
Thank u very much for your teachings umenitoa bali sana kwa mafunzo yako ya kila siku
Asante sana kwa elimu nzuri sana
Mimi nina malengo yangu lakini tunapingana mwenzangu naomba ushauri nifanyeje
Kwenye maisha yangu nimekataa kabisa kukata taamaa shukraan Kaka Joel MUNGU azidi kukuongoza kaka angu🙏
Mimi nilipenda sana kuonewa huruma, pia nilipofeli sikutaka kuwa wazi kukili kwamba nimefeli, lakini pia hata majuto yalinikumba sana, Asante sana.
Ahsante brother somo makini sana yaani hiyo kukata tamaa nimekataa kabisa katika maisha yangu so naamini cku moja nitakua juu kama Qeen💕💕🌹🌹
wewe ni Queen tayari.Belief makes things possible.
@@kelvinprincepius445 Ahsante nafurahi kusikia hivyo ndugu yangu 👏👏
*Akataaye kushindwa si mshindani* kubali umeshindwa ili upate nafasi mpya yakuendeleza maisha yako
Maelezo haya yote ni ya thamani, Asante kwa yote kaka
Naam huo ndo ukweli... Hata ibada pia kuna kitu kinakwambia wacha utafanya kesho lkn unatakiwa ufanye kama unajitambua... Feel the fear and do it anyway... Ahsante sana nimeipenda hiyo
Shukrani kaka kwa elimu ya darasa huru,, see you at the top
Safi sana
Thanks Mr Life Coach, your Real coach. Nataka kununua kitabu cha Timiza Malengo, but you don't receive ma phone. Jambo LA kwanza (kutaka kuonewa huruma) na la mwisho yalikuwa ni shida sana kwangu ila sasa nimebadilika angalau baada madarasa yako mengi. Be blessed my bro.
Thank bro Nanauka
Shukran sana kaka, umenijenga sana kifikra. Kwa hapa mi naona self doubt and the fear of uncertainty inanikwamisha sana sijui utanishauri vipi kaka. Pamoja from +254.
Ahsante sana kaka.
Changamoto nnayopitia sasa hivi ni hali ya kua na majuto katika maisha yangu.
mungu akubarki sana kk
Asante kwa kutuonesha njia kaka joel. Mimi nataka unisaidie kubadili mindset yangu ambayo ndio inayonifanya niwe na inaction behavior.
Spirit voice
asante sana kk joel
Thanks a lot,,it's very kind of you,.!
Asante sana unanitia moyo
Shukran bro, ongera kabsa
May God bless you abundantly
You are doing a very great job bro Joel... Really inspired.
No time for regrets, thank .
Mkuu nakuku bali sana
nahitaji kujiamini zaidi bro
Ahsante kaka
Thanks kk, ongea tupone!
Yaan we kka acha last week nme angalia clip zako uka sema usi subr m2 akupe fursa ita fute mwenyewe fursa niko Muscat nina miez kama mi 3 ckua na kazi ulivyo sema huu Ndio mda wako toka katafute kaz au chochote unacho kiitajia wallah nlitoka cku ile Alhamdulillah nka pata kaz asante sana na baadae ya kupata kaz fursa ya kaz nyng zime jutokeza lakn mwanzo nlikaa2 kusubr wa2 really i respect u lov u uja waig kukosea
Salma Oman wow Salma hii ni habari kubwa sana kwangu,Nafurahi na naamini utafanikiwa zaidi
Nitafute in box
Naitaji.kitabu
Good brother Joel
Asante sana bro 💪
Awesome broo thanks 4 ur sweet words
My life menter nakuelewa sana be blessed
Naitwa Alphonce namshukuru Mungu kwa kuniunganisha na wewe kweli umekuwa mtu wa msaada kwangu sana kweli Mungu wa mbinguni akuinue zaidi na zaidi
Kutokujiamini kunanisumbua mara nyingi, naweza sema naogopeshwa na watu wakaribu yangu najikuta nafanya vitu bila kujiamini
Pole sana,Mimi pia nilikua hivyo,ila tangu niamue kuwa responsible na maisha yangu hali hiyo haipo tena, you can do the same and Confidence is guaranteed.
Umenibadalisha sana kka hasa kutoka fixed mind set kwenda kwenye growth mind set
Kusubiri kuhurumiwa nikikwazo sana kwangu bro
Nakukubali sana motivations zako kaka
Thank you bro
Mimi ni Jambo la 3 na la 4 ,asante kwa somo nzuri
No caption Mr Nanauka,,god bless you guy,🙏🙏
Inaction behaviour and failure denial : hizi ni hali ambzo zinanikwaza sana katika malengo yangu
Kitu pekee nachojutia na ambacho sitaki tena kuona kikitokea ni kupoteza muda. Nimewahi kupoteza sn muda. ciitaji tena kuona nachezea muda
Somo zuli Sana mungu akubaliki mtumishi wa mungu
Barikiwa mkuu.
Npo darasani! tayari kujifunza
kila video yako inavumbua kitu flani mungu akupe afya na marifa zaidi
Kitimbacho sipendagi nikuonewa huruma mungu akubariki kaka
True bro
Moja kujiamini kwangu ni tatizo, pili kukumbuka zisizo na maana yeyote
Big up sana brother.
Mm ninataka kubadili tabia kwanza nahisi ni kikwazo kikubwa kinachozuia mafanikio yangu na ndoto zangu kwa ujumla.
Brother joe you really inspire me,,,thanks alot & god bless you
me samu nakupenda uko vzr
Shukran kaka… mimi nahitajipia kupata vitabuvyako vinavyohusu darasahizi unazotupatia, je nitavipataje? Na kwagharama ya kiasigani?
doubting I'm self siwez nkawa na mashaka tena kwenye maisha angu
Kaka Mimi nimetoka kwenye biashara kubwa ya ujenzi nimeambiwa nimefeli nimeachishwa nasasa nimefungua banda langu La genge nifanyeje ili nitimize ndoto zangu za kuwa mfanyabiashara mkubwa sana lakini ata ivyo najiusisha na ufugaji mdogomdogo na ulimaji mboga kipi nifanye navyote naitaji
Mbona sauti hamna
Maranyingi nashindwa kujihurumia
Doubting yourself
(Douting themselves)mashaka
Kawaida nini kaka mbona salaam huwa huipi nafasi
AU sio nzuri
Kaka yoteunayo semanikweri mungu akubalik
Mm shida yangu nashika hela lkn najikuta alifanya kile nilcholenga naomba ushauri
Hello brother! !, How you doing, !?hope you fine,,that's great and perfect ten video,for real it so cool, ! I appreciate a lot about that because you entire something in my mind,
Mm nataka niwe fundi mkubwa wa rangi za gari nanina garage niloachiwa na mze wangu lakini kila ninachofanya iliniboreshe biashara yangu kunavipinga mizi vingi sana nafikiya niiyache lakini nikiangaliya ndiondoto yangu tokanikiwa mdogo na naipenda sana kazi yakupiga gar rangi
Kuna biashara nataka kufungua but kila Mara najaribu ila nashindwa
Namba 5 kwangu ni tatizo kubwa
Tupe somoo
Motives
ebwana keenye doubt ndio shida ya ngu
Ujumbe umetulia sana hasa hapo pakuwazia Mambo au hasara uliyo ipata mwanzo kweli ukiwazia sana huwezi songa kwani kilakitu utakiona kibaya
Me kwakweli nina tatzo ra kutojiamin ira nashukuru nataka nianze naro
Ukosawa
natamani kujenga nyumba lakn nikiangalia Hera niliyonayo nahisi mtaji utaisha je nifanye nn nianzishe ujenzi wa nyumba pleas nishauli Kwa hilo
inaction behavior ndio jambo lakwanza kwangu,huwa nashughulika nalo
Nawezaje kupata kitabu Cha timiza malengo yako?
Kutojiamini
Joel mm naitaji kitabu chako ntakipaje Niko kahama
Inaction behavior, hii ntaifanyia kazi
🤝
Mbona nilikuwa na hii sasa
Failure denial,,,regrets,,,😓😓😓
regrets in life
sympathy behaviour hii ni tatizo kwa ss wanawake tunapenda sana huruma ziwe juu yetu. am still learning bro see me at the top
hellow brother joel,morning! naitwa chris naomba mawasiliano yako brother
Yote ni changamoto kwangu ko nianze na lipi ili niweze kutimiza malengo yangu
Inaction behavior
Do bro km unaniona ,
Mimi naomba unisaidie mimi huwa nina hofu ya kuanza jambo jipya
Kujiamini naanza nalo
Duu! Mi kama yote
Nifany nn ili nitimiz ndot yangu
LAZIMA TUSEME UKWELI ELIMU YA DARASANI IMEKUSAIDIA KUFANYA HII KAZI KWA UFANISI