Ujumbe mzuri sana kunawatu wanaweza wakasema vibaya sababu umewazidi cheo au umewazidi pesa au kiwango flani. Mwingine anweza sema vibaya sababu tu umemkopesha pesa anachelewa kulipa nawe unaitaka hivyo anaanza kupakaza mbovu. Mwingine labda alikua rafiki lakini ukamtenga sababu anapenda Starehe wewe unapenda kuwekeza hivyo lazima aseme mbovu. Ahasante kwa Ujumbe Bro.
Post kama hizi zinahitaji kuwa na views kuanzia Billion na kuendelea,lakin tatizo watanzania wengi tunaishi na tabia kama hizi cz tunahisi kama tuna disiwa kumbe tuna pewa Elimu....Kaka unaweza sana #WorkHard #I_got_α_chαnges 4ur words.
Brother ni kioo cha jamii nizaidi ya mwalimu ww ni zaidi ya mshauri unayoyasema yoteee ndio tulionayo kwenye jamii na ndio changa moto zetu hakika Allah akubarik daima uwe na maisha marefu mia 900
Nakusikiaga Sana kaka ila sijawahi pata muda wa kukufuatilia hakika kuanzia leo maneno yako ni chakula changu Cha kila siku Kama iliyokuwa kwa mitimingi!.
Brother mm nina shida kubwa sana màana anae nisema vibaya ni mume wangu na kila akisema ukimuuliza anasema nimeteleza nisamehe anarudia kila mara najikuta naumia sana lakini hajali
Hapa kazini kwangu nimeshakutana nayo kwa maboss na wafanya kazi wenzangu lkn nilijitahidi na kazi sikukata tamaa mwisho nilifanikiwa Asante kaka unanielimisha sanaaaaaa
Waooooo!!!!! Nmejifunza. Nmekutana na kundi la 3 but pia la 4 hadi nmeamua kumake decision Ya kuhama kituo cha kazi licha ya kwamba maeneo yale nilkua Tayar nmeanzisha biashara yangu Nzuri. Nilikua depressed Kwa kipindi kirefu. Nashukuru Mungu now baada ya kuhama nmetulia na inabidi kuanza MAISHA/KUJIPANGA vizuri.
Kwakwel brother unafundisha vzur sana aisee na nmekuelewa sana na ninakuombea maisha marefu yenye baraka na mafanikio makubwa sana katka maisha yako yote 🙏🙏
Thanks kaka nimependa somo lako kwani napitia hizi hatua zote lakini umenifungua mawazo kwa sababu haya yote nilikuwa nafanya na kumbe nilikuwa sahihi kabisa ahsante kwa kuniongezea nguvu na hatua mia mbele.Barikiwa
Nimekua nikisemwa vibaya tena pale tu ninapoongea Ukweli ktk kufikisha ujumbe sehemu tofauti ndugu marafiki. Lakn leo umenifungua ufahamu wangu kaka Joel nanauka Mungu akubariki sana
Asante sana.napitia hayo kazini nafanya kila jukumu langu vizuritu.lakini mtu mmoja aliepewa mamlaka uniripoti vibaya.emefikia nakosa Raha oficini. kila ninachofanya yeye nikibayatu.
Aisee asante sana kwa maneno yako mazur nimezidi kujifunza vitu vingi hata watu watu wakijaribu kunisema vibaya na puuza na songa mbele mungu akubarik sana joel nanauka
Asante kwa sharing. Ikumbukwe mtu wenye matunda yaliyokomaa na kuiva ndio hurushiwa mawe. Wanatusha mawe ili nawe uwarushie matunda yako. Nini cha kufanya. Kusanya mawe jenga jukwaa kubwa endelea kung'aa watakuzoea.
Asante kwa ushauri wako nitaendelea kuufanyia kazi. Mimi nimekutanana na makundi hayo yote na yameniumiza sana na kujisikia kukata tamaa sana lkn huwanaachilia baadae ili maisha mengine yaendelee japo huwa kunakipindi nasikia sana kuumia tena.
Blaza Joel Nanauka. Nakubali kazi yako lakin Naomba ujaribu kuweka vitabu vyako katika online viwe katika e-book Kwan utaweza kujipatia kipato lakin kubwa zaid utatusaidia sisi WA mikoan kupata kwa wepesi
Asante rafiki yangu wa dhati nimeguswa ni watu wa karibu kama ulivyofundisha walitaka kunishusha thamani,sasa ntakabiliana nao sitakubali wafanikiwe nasonga mbele,thanks very much.
Ahsante sana ,mm wakati nipo chuo Uganda nilikutana na point ya 4 kwa watanzania wenzangu lakin nilifocus kwenye masomo yangu at end I got award. best student
Asantee sanaa mm nipo kwenye ndoa ila mume wang ali weza kuwa na mwanamke mwingine naa aka mpa namba yang nakuaza kunitumia sms zakejeli na kunambia maneno yakuumiza sanaa' sasa hii Hali Bado inanitesa sanaa zile sms bado zinaishi kwenye kichwani kwangu nimeshidwa kuzisahau
Mm watu kunisema vibaya hainiogopeshi sana lakini mtu ambaye tunaheshimiana na anayenifahamu vzuri kwa muda mlefu akinisema vbaya lazma nikae chini kujitafakari.
Asante Sana Joel,yaan mm n mkenya bt mafunzo yako yamenifanya niiujue ulimwengu,najiona hata mtu akinifinyilia namna gani tyr huwa nmepata jawabu lake,maisha s rahisi Ila n rahisi ukijikubali na kujitoa vilivyo,barikiwa kaka
Asante Sana kaka daa elimu yako nzuri sana haya mambo yako Sana kwenye jamii zetu. hata ndugu kwa ndugu tuliozaliwa pamoja ipo somo la nne ilo saana Mungu akubaliki Sana..
kiukwel bro makundi yote nimekutana nayo maeneo ya kazi. kundi la watu wanaotaka kukutoa kwenye focus ni changamoto kubwa. Nashkuru kwa kunielimisha am still doing great
Kaka nashukur sana nimejifunza kitu allah akubariki sana. Ila mimi hayo yote yananikabili kwa sasa,nilichokifanya ni kuwapuuzia na sina habari nao kbsa,na nahisi imenissidia kiasi fulani hv cha kuumia
Asante sana kaka kwa ushauri wako watu wa Ivo Nami ninao ninapoishi lkn baada ya kuwagundua tabia zao niliamua kukaa kimya ila bado wanaongea ila mi Niko kimya
@@joelnanauka kaka na je kama sitaki kabisa kuzungumza nae yaani kila siku group ya whatsap mambo ya kazi ananisema vibaya yaani ana na kagroup ka wenzie ka wa5 nilishamcomfront face to face ila kwa sasa sihitaji kuongea nae tena, je nikimkalia kimya?bado ataniona mnyonge?
Asante saana kwa kweli masomo yako yanatujenga saana Mungu azidi kukupa afya njema kbsa. Mimi kundi la pili na la nne lakini sana sana kundi la pili la kutaka kushusha thamani yangu muendelee kutupa ushauri. Asante barikiwa zaidi.
Asante kaka kwa somo lako nzuri mm nakutana naye kwenye familia tena naishi nayo, nimepata wakati mgumu sana hadi nimejikuta yule alinisema vibaya nimemchukia na siongei naye zaidi ya salamu kwakweli napata tabu sana kuishi naye kwasababu sikutegemea kama yy angeweza kunisema hiyvo
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️Ningekupenda zaidi ukiwa unaongeya tu kiswahili bila kucanganya vingereza maana tunawatu wasosikia kingereza arafu kiramara tunaombwa eti tuwaelezee umemaanisha nini sisi tunaomba uwe unaonge kiswahili mwanzo mwisho❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Jamani kaka , hivi vitabu vya darasazako km hivi vinapatikanawapi ? Mfano hilisomo laleo je umetoa nakitabuchake ? Naomba unielekeze jinsi yakukipata please kaka Joel
Very nice presentation,but I still have qns, utawatambuaje aina hzi za watu kutokana na magroup yao???I mean,kma MTU hyu yupo ktk kundi LA kwanza,pili,tatu au NNE???
Nimekipenda sana hichi pikindi yaani Nimeweza kukambiliana na kundi No 1,2,3 kwa sasa nimesimamia 4....Many thanks to God since I make my circle too small my life have changed 🙏👌
Asante sana kwa mafundisho kaka .je mm nasemwa vibaya muno n a dada mdogo na dugu wa kubwa hata wameninyaganya mashamba zangu tatu .na huyu dadang mudogo hana kitu lakini anagombea kuwika kuniliko na hana kitu mm ndo mwenye mali nyingi kumliko .nifanyeke Brooo
Hello mr Joel, Mimi natamani niamzishe channel ya UA-cam content za persona experience Lkn sijajua sheria ya TCRA kuhusu youtube kama inatakiwa kulipa? Pia sina subscribers wengi pia unatakiwa kulipa?
ASANTE Kaka Kwa Elimu nzur MUNGU Akujalie Maisha Marefu Uzi kuelimisha Wtu Zaid.. Kikuwe makundi yote nimekutana nayo jamni, Ila Nime elimika sasa .. MUNGU Akubark Kaka🙏
Ni kweli kabisa Mr Joel ,kwan hata walio dislike mawazo yako hawako tofaut na hao wanaoweza kukusema vibaya ,kwan mambo ya msingi unatuelimisha bado mtu mwingine anakuwa against na ww.
kundi la nne la kwanza nimenigusa mno ahsantenimejifunza binadam wana sura mbili mbili ,umenenakaka ,mm nyonge sipendaji kujibu ila huwa wanavijembe kila nkitabasamu kumbe sitakiwi niwe mnyonge.mafanikio yangu yanawauma sana watu ,ahsante mungu akueke miaka 10000.
Shukraan Kaka Joel Kwa mafunzo mazuri unayotufundisha , hiyo number mmoja inanikabili Sana Kwa sasa , nikiwa nao wananichekea nikiwapa mgongo wananisema vby hua nashindwa nifanye nn nabk kuwaangalia tu nawala siwaonyeshi Sura ya kuchukia .
Ujumbe mzuri sana kunawatu wanaweza wakasema vibaya sababu umewazidi cheo au umewazidi pesa au kiwango flani. Mwingine anweza sema vibaya sababu tu umemkopesha pesa anachelewa kulipa nawe unaitaka hivyo anaanza kupakaza mbovu. Mwingine labda alikua rafiki lakini ukamtenga sababu anapenda Starehe wewe unapenda kuwekeza hivyo lazima aseme mbovu. Ahasante kwa Ujumbe Bro.
Maneno Lugendo Ni Kweli kabisa
Post kama hizi zinahitaji kuwa na views kuanzia Billion na kuendelea,lakin tatizo watanzania wengi tunaishi na tabia kama hizi cz tunahisi kama tuna disiwa kumbe tuna pewa Elimu....Kaka unaweza sana #WorkHard #I_got_α_chαnges 4ur words.
Brother ni kioo cha jamii nizaidi ya mwalimu ww ni zaidi ya mshauri unayoyasema yoteee ndio tulionayo kwenye jamii na ndio changa moto zetu hakika Allah akubarik daima uwe na maisha marefu mia 900
Nakusikiaga Sana kaka ila sijawahi pata muda wa kukufuatilia hakika kuanzia leo maneno yako ni chakula changu Cha kila siku Kama iliyokuwa kwa mitimingi!.
Brother thanks
Brother mm nina shida kubwa sana màana anae nisema vibaya ni mume wangu na kila akisema ukimuuliza anasema nimeteleza nisamehe anarudia kila mara najikuta naumia sana lakini hajali
Naomba msaada
Hapa kazini kwangu nimeshakutana nayo kwa maboss na wafanya kazi wenzangu lkn nilijitahidi na kazi sikukata tamaa mwisho nilifanikiwa Asante kaka unanielimisha sanaaaaaa
I like this guy Nanauka ananimotivate sana my God blessed u more
This is one among your best speech.Hongera sana Teacher
Mungu akubariki xana kaka huwa naelewa sana Masomo yako na yananifundisha sana
Asante kaka nimejifunza ilikuwa na kerwa Sana na binadamu km hawa lkn Sai nitawapotezea niangalie mambo yangu ya maana
Umeongea ukweli kabisaa 🙏.Mimi hapa kazi ninachangamoto mengi sana😢😢kusemwa,kudharauliwa na kukosa furaha😢
Pole sana 😢
Kiukweli sio wewe tu,Kuna watu ni mashetani hasa makazini
Asante Yesu, nimepata majibu maana nimepitia changamoto hizi kazini kwangu. Barikiwa bro uishi milele
shukrani sana. endelea kubaki na sisi kuna video nyingi zinakuja
Big up bro mungu akupe long life na ukuongezee uwezo zaidi ya juu ulinao @
Jamani Mimi nimekutana na yote. KWA sasa napambana na kundi no nne. Asante kwa kunipa njia ya kuishi nao. Wooowooooo. Keep on what you doing. 💪💪💪💪💪💪
Waooooo!!!!!
Nmejifunza.
Nmekutana na kundi la 3 but pia la 4 hadi nmeamua kumake decision Ya kuhama kituo cha kazi licha ya kwamba maeneo yale nilkua Tayar nmeanzisha biashara yangu Nzuri.
Nilikua depressed Kwa kipindi kirefu. Nashukuru Mungu now baada ya kuhama nmetulia na inabidi kuanza MAISHA/KUJIPANGA vizuri.
Samwel Alex pole kwa changamoto na hongera kwa kuchukua hatua haraka kabla mambo hayajaharibika
Pole sana,Mungu mwema utafika utakapo tu
Asante umeniponya kidonda kikubwa mno mungu akubariki Sana 🙏🙏
Thanks brother for the powerful speech, your helping me on my way of life.
Kwakwel brother unafundisha vzur sana aisee na nmekuelewa sana na ninakuombea maisha marefu yenye baraka na mafanikio makubwa sana katka maisha yako yote 🙏🙏
Thanks kaka nimependa somo lako kwani napitia hizi hatua zote lakini umenifungua mawazo kwa sababu haya yote nilikuwa nafanya na kumbe nilikuwa sahihi kabisa ahsante kwa kuniongezea nguvu na hatua mia mbele.Barikiwa
Thankyou bratherwew ni mshauri sana kwenye jamiii muda mwingine huwa tunakatamaaa kupitia watu wanaotuzunguka
Nimekua nikisemwa vibaya tena pale tu ninapoongea Ukweli ktk kufikisha ujumbe sehemu tofauti ndugu marafiki.
Lakn leo umenifungua ufahamu wangu kaka Joel nanauka Mungu akubariki sana
Asante sana.napitia hayo kazini nafanya kila jukumu langu vizuritu.lakini mtu mmoja aliepewa mamlaka uniripoti vibaya.emefikia nakosa Raha oficini. kila ninachofanya yeye nikibayatu.
Aisee asante sana kwa maneno yako mazur nimezidi kujifunza vitu vingi hata watu watu wakijaribu kunisema vibaya na puuza na songa mbele mungu akubarik sana joel nanauka
Asante kwa sharing. Ikumbukwe mtu wenye matunda yaliyokomaa na kuiva ndio hurushiwa mawe. Wanatusha mawe ili nawe uwarushie matunda yako. Nini cha kufanya. Kusanya mawe jenga jukwaa kubwa endelea kung'aa watakuzoea.
Asante kwa somo nzuri. Mimi karibia nimekutana na makundi hayo lkn ni wale ambao hawana cha kufanya na oppressors
Asante kwa ushauri wako nitaendelea kuufanyia kazi. Mimi nimekutanana na makundi hayo yote na yameniumiza sana na kujisikia kukata tamaa sana lkn huwanaachilia baadae ili maisha mengine yaendelee japo huwa kunakipindi nasikia sana kuumia tena.
Nimefurah mno nilichukia ila kwa kukusikiliza wewe nimepona....God bless you my brother
Blaza Joel Nanauka. Nakubali kazi yako lakin Naomba ujaribu kuweka vitabu vyako katika online viwe katika e-book Kwan utaweza kujipatia kipato lakin kubwa zaid utatusaidia sisi WA mikoan kupata kwa wepesi
Una mafundisho manzuri na shati lako linzuri sana wewe ni mwalimu ? Unaongea ukweli mno unanifurahisha ndiyo shida ya sisi wanadamu
Ha!ha!ha,shirt zuri au siyoo!
Asante rafiki yangu wa dhati nimeguswa ni watu wa karibu kama ulivyofundisha walitaka kunishusha thamani,sasa ntakabiliana nao sitakubali wafanikiwe nasonga mbele,thanks very much.
Asante sana kaka elimu yako ni pana mno malipo sina ila mungu atakulipa
Exactly brother, may Allah bless your hand work
Barikiwa Sana kaka J Umenigusa kwa sasa hapo kwenye kusemwa kuna ambao wanakusema kwa watu wengine hawa tunawakabili vipi
Kaka Asante kwa ushauri makundi yote manne nimekutana nayo.
Asante sana kwa elimu yako nzuri nimejifunza kitu kwa somo lako mungu akubari sana mwalimu
Mungu akubaliki sana akufanyie wepesi katika mambo yako
Ahsante sana ,mm wakati nipo chuo Uganda nilikutana na point ya 4 kwa watanzania wenzangu lakin nilifocus kwenye masomo yangu at end I got award. best student
Asantee sanaa mm nipo kwenye ndoa ila mume wang ali weza kuwa na mwanamke mwingine naa aka mpa namba yang nakuaza kunitumia sms zakejeli na kunambia maneno yakuumiza sanaa' sasa hii Hali Bado inanitesa sanaa zile sms bado zinaishi kwenye kichwani kwangu nimeshidwa kuzisahau
Barikiwa sana Mimi niwafanya kazi wenzangu huwa kila siku wanaenda kinisema vibaya kwa boss alafu wakiwa na Mimi wanajifanya marafiki
Wanataka kunitoa kweny focus.... huyu mm kabisa watu wanataka kunitoa...I'm keeping doing the right thing , Asante sn kaka
Seif Zongo kabisa Zongo
Tuko pamoja
Thank you God bres you
Barikiwa sanaa mimi karibia Anna zote nimekutana nazo sema nashukuru nimepata mbinu yakukabiliana nao🙏🙏🙏
Thanks for your hospitality
May God bless you! You are the one whom I appreciate
Asante sana
Nakushkuru mwalimu Joel nimezungukwa na vitu hivo nimepata majibu leo asant sanaa
Asante mwalimu, mimi kusemwa vibaya kwangu ni rutuba , ninapo semwa vibaya ndipo naendelea tena zaidi
Mm watu kunisema vibaya hainiogopeshi sana lakini mtu ambaye tunaheshimiana na anayenifahamu vzuri kwa muda mlefu akinisema vbaya lazma nikae chini kujitafakari.
Kaka asante kwa mafundisho mazur ubarikiwe
Ndio wale namba mbili umeshauriwa usikae kimya tetea haki yako dhidi yao
Ahsante Sana kaka Joel umenirudisha now ,daah nilikuwa nataman kuacha Kaz eti. Nimekuwa jasili
Asante Joel umenibadisha kweli.
Asante kwa elimu yako
Asante Sana Joel,yaan mm n mkenya bt mafunzo yako yamenifanya niiujue ulimwengu,najiona hata mtu akinifinyilia namna gani tyr huwa nmepata jawabu lake,maisha s rahisi Ila n rahisi ukijikubali na kujitoa vilivyo,barikiwa kaka
Ahsante brother. Joel
Asante sana Mr .Noel mimi nimepitia hayo umesema mahali nahishi na mmoja anajinya rafiki yangu
Ukweli kundi namba 1na 2 nimekuta a nao kazini japo kuna wakati namba 2 niliwahi kumjibu akapunguza kuongea asantee Sana kaka
Nice presentation...binafsi nishakutana na makundi yote 4
Asante Sana kaka daa elimu yako nzuri sana haya mambo yako Sana kwenye jamii zetu. hata ndugu kwa ndugu tuliozaliwa pamoja ipo somo la nne ilo saana Mungu akubaliki Sana..
Asante baba
Thanx brother umenifundisha mambo mengi Sana'a
kiukwel bro makundi yote nimekutana nayo maeneo ya kazi. kundi la watu wanaotaka kukutoa kwenye focus ni changamoto kubwa. Nashkuru kwa kunielimisha am still doing great
Kaka Joel yesu akubariki sana
Asante sana nikweli nimejifuza Sana.
Kaka nashukur sana nimejifunza kitu allah akubariki sana.
Ila mimi hayo yote yananikabili kwa sasa,nilichokifanya ni kuwapuuzia na sina habari nao kbsa,na nahisi imenissidia kiasi fulani hv cha kuumia
Asante sana pastor nimejifunza kitu 🙏
Kiongozi me nakuelewaga sana motivation zako na napenda sana kukusikiliza #God_bless_you👏👏👏
Asante sana kaka kwa ushauri wako watu wa Ivo Nami ninao ninapoishi lkn baada ya kuwagundua tabia zao niliamua kukaa kimya ila bado wanaongea ila mi Niko kimya
Thank you so much teacher joel for the power full speech I Lean something god bless you so much
Lauchungu Lau Ameen thanks so much Lauchungu
god bless you my brother
@@joelnanauka kaka na je kama sitaki kabisa kuzungumza nae yaani kila siku group ya whatsap mambo ya kazi ananisema vibaya yaani ana na kagroup ka wenzie ka wa5 nilishamcomfront face to face ila kwa sasa sihitaji kuongea nae tena, je nikimkalia kimya?bado ataniona mnyonge?
Absolutely true talk .
Asante saana kwa kweli masomo yako yanatujenga saana Mungu azidi kukupa afya njema kbsa. Mimi kundi la pili na la nne lakini sana sana kundi la pili la kutaka kushusha thamani yangu muendelee kutupa ushauri. Asante barikiwa zaidi.
Me ni miongozi wa watu ninaesemwa vibaya Sana sana nikiwa naenda kazini na nikimaliza mda wa kazi naenda Kusoma masomo ya kawaida
Salute unabadili maisha yangu kila kuitwapo leo your words they empower than I can imagine
David Nh‘aranga thanks so much nashukuru sanaa
Asante kaka kwa somo lako nzuri mm nakutana naye kwenye familia tena naishi nayo, nimepata wakati mgumu sana hadi nimejikuta yule alinisema vibaya nimemchukia na siongei naye zaidi ya salamu kwakweli napata tabu sana kuishi naye kwasababu sikutegemea kama yy angeweza kunisema hiyvo
Kundi namba moja niko nalo so, Nipe mbinu za kuwapuuzia
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️Ningekupenda zaidi ukiwa unaongeya tu kiswahili bila kucanganya vingereza maana tunawatu wasosikia kingereza arafu kiramara tunaombwa eti tuwaelezee umemaanisha nini sisi tunaomba uwe unaonge kiswahili mwanzo mwisho❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Jamani kaka , hivi vitabu vya darasazako km hivi vinapatikanawapi ? Mfano hilisomo laleo je umetoa nakitabuchake ? Naomba unielekeze jinsi yakukipata please kaka Joel
Amina Juma karibu sana Amina wasiliana na 0756-094875
@@joelnanauka sawa kaka shukran sana… Hatuna chakukulipa zaidi tunakuombea kwa MUNGU akubariki kila lenyekheri.
Nakuelewa sana kaka masomo Yako yananiondoa sehem moja kwenda nyingine
Asante sana kaka mimi ninakutana na kundi namba nne ambao wanataka nitoke kwenye kufocus ndoto zangu ila nimejifunza kuendelea kua na msimamo
Dah hii nzuri sana
Asante sana duh rafiki hao wote nimekubana nao nashkur kwakunikumbusha
Asante kaka
Powerful words mwalimu....
Very nice presentation,but I still have qns, utawatambuaje aina hzi za watu kutokana na magroup yao???I mean,kma MTU hyu yupo ktk kundi LA kwanza,pili,tatu au NNE???
Nimekipenda sana hichi pikindi yaani Nimeweza kukambiliana na kundi No 1,2,3 kwa sasa nimesimamia 4....Many thanks to God since I make my circle too small my life have changed 🙏👌
Ahsante kaka nimejifunza
Thanks dear brother
Asante sana kwa mafundisho kaka .je mm nasemwa vibaya muno n a dada mdogo na dugu wa kubwa hata wameninyaganya mashamba zangu tatu .na huyu dadang mudogo hana kitu lakini anagombea kuwika kuniliko na hana kitu mm ndo mwenye mali nyingi kumliko .nifanyeke Brooo
Shukraan bro maneno yko ni kweli na yashatufika lkn nimepuuza na nitazidi kujifunza ktka kwako .from oman
thanks bro
Hello mr Joel, Mimi natamani niamzishe channel ya UA-cam content za persona experience Lkn sijajua sheria ya TCRA kuhusu youtube kama inatakiwa kulipa? Pia sina subscribers wengi pia unatakiwa kulipa?
Nikweli kaka barikiwa sana
yote. manne, tena niwatuwasomi .Mungu akubariki,Nahadi wamemteka mpenz wangu Maiko Simon,,Mungu amrudishe.
ASANTE Kaka Kwa Elimu nzur MUNGU Akujalie Maisha Marefu Uzi kuelimisha Wtu Zaid..
Kikuwe makundi yote nimekutana nayo jamni, Ila Nime elimika sasa .. MUNGU Akubark Kaka🙏
Sehem yoyote ya kipato sana hii changamoto changamoto ila, Ahsante kwa ushauri bruh tupo pamoja🇰🇪
Ni kweli kabisa Mr Joel ,kwan hata walio dislike mawazo yako hawako tofaut na hao wanaoweza kukusema vibaya ,kwan mambo ya msingi unatuelimisha bado mtu mwingine anakuwa against na ww.
Ni kweli kaka
Thank you for sharing your experience
Asante kaka Mimi namba nne wanataka kunitoa katika muereleo wangu Ila nakomaa. Nao 😬😬
Mungu akubariki my Son( Joel is my first born) ujumbe umenifunua. Hahaaaaa HATA KWETU WAPO.
Mungu azidi kusimama nawe Joel nimejifuza kitu kwenye hii mada nitajifuza kunyamaza yaan umenigusa sana
Asante
Ahsante sana nikweli kabisa
Very true na hao namba Moja drama wapo wengi sanaaa
kundi la nne la kwanza nimenigusa mno ahsantenimejifunza binadam wana sura mbili mbili ,umenenakaka ,mm nyonge sipendaji kujibu ila huwa wanavijembe kila nkitabasamu kumbe sitakiwi niwe mnyonge.mafanikio yangu yanawauma sana watu ,ahsante mungu akueke miaka 10000.
Respect
Shukraan Kaka Joel Kwa mafunzo mazuri unayotufundisha , hiyo number mmoja inanikabili Sana Kwa sasa , nikiwa nao wananichekea nikiwapa mgongo wananisema vby hua nashindwa nifanye nn nabk kuwaangalia tu nawala siwaonyeshi Sura ya kuchukia .
Amina bro
Kundi naomba 2 na no 4 wananitesa kazini kaka.Nimejifunza shukrani
Safi sana brother