Nini Chakufanya Unaposemwa Vibaya Na Watu?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 573

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 5 років тому +7

    Ujumbe mzuri sana kunawatu wanaweza wakasema vibaya sababu umewazidi cheo au umewazidi pesa au kiwango flani. Mwingine anweza sema vibaya sababu tu umemkopesha pesa anachelewa kulipa nawe unaitaka hivyo anaanza kupakaza mbovu. Mwingine labda alikua rafiki lakini ukamtenga sababu anapenda Starehe wewe unapenda kuwekeza hivyo lazima aseme mbovu. Ahasante kwa Ujumbe Bro.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 років тому +2

      Maneno Lugendo Ni Kweli kabisa

  • @oseahkaswaga4212
    @oseahkaswaga4212 5 років тому +13

    Post kama hizi zinahitaji kuwa na views kuanzia Billion na kuendelea,lakin tatizo watanzania wengi tunaishi na tabia kama hizi cz tunahisi kama tuna disiwa kumbe tuna pewa Elimu....Kaka unaweza sana #WorkHard #I_got_α_chαnges 4ur words.

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 5 років тому +65

    Brother ni kioo cha jamii nizaidi ya mwalimu ww ni zaidi ya mshauri unayoyasema yoteee ndio tulionayo kwenye jamii na ndio changa moto zetu hakika Allah akubarik daima uwe na maisha marefu mia 900

    • @innocentkyungai1138
      @innocentkyungai1138 4 роки тому +1

      Nakusikiaga Sana kaka ila sijawahi pata muda wa kukufuatilia hakika kuanzia leo maneno yako ni chakula changu Cha kila siku Kama iliyokuwa kwa mitimingi!.

    • @tumaingideon5237
      @tumaingideon5237 2 роки тому +1

      Brother thanks

    • @lesionlukumay5195
      @lesionlukumay5195 Рік тому

      Brother mm nina shida kubwa sana màana anae nisema vibaya ni mume wangu na kila akisema ukimuuliza anasema nimeteleza nisamehe anarudia kila mara najikuta naumia sana lakini hajali

    • @lesionlukumay5195
      @lesionlukumay5195 Рік тому

      Naomba msaada

  • @saumuyahaya8959
    @saumuyahaya8959 Рік тому +4

    Hapa kazini kwangu nimeshakutana nayo kwa maboss na wafanya kazi wenzangu lkn nilijitahidi na kazi sikukata tamaa mwisho nilifanikiwa Asante kaka unanielimisha sanaaaaaa

  • @queennossy921
    @queennossy921 3 роки тому +5

    I like this guy Nanauka ananimotivate sana my God blessed u more

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally4430 4 роки тому +5

    This is one among your best speech.Hongera sana Teacher

  • @AbelIshaninga-dy2sf
    @AbelIshaninga-dy2sf 2 місяці тому +1

    Mungu akubariki xana kaka huwa naelewa sana Masomo yako na yananifundisha sana

  • @salamahamadisudi1912
    @salamahamadisudi1912 4 роки тому +7

    Asante kaka nimejifunza ilikuwa na kerwa Sana na binadamu km hawa lkn Sai nitawapotezea niangalie mambo yangu ya maana

  • @GetaryAyera
    @GetaryAyera Рік тому +5

    Umeongea ukweli kabisaa 🙏.Mimi hapa kazi ninachangamoto mengi sana😢😢kusemwa,kudharauliwa na kukosa furaha😢

  • @happinessbitababaje2970
    @happinessbitababaje2970 5 років тому +4

    Asante Yesu, nimepata majibu maana nimepitia changamoto hizi kazini kwangu. Barikiwa bro uishi milele

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 років тому

      shukrani sana. endelea kubaki na sisi kuna video nyingi zinakuja

    • @festonmwampashe5767
      @festonmwampashe5767 5 років тому

      Big up bro mungu akupe long life na ukuongezee uwezo zaidi ya juu ulinao @

  • @amariaelieneza1854
    @amariaelieneza1854 3 роки тому +2

    Jamani Mimi nimekutana na yote. KWA sasa napambana na kundi no nne. Asante kwa kunipa njia ya kuishi nao. Wooowooooo. Keep on what you doing. 💪💪💪💪💪💪

  • @samwelalex8417
    @samwelalex8417 5 років тому +5

    Waooooo!!!!!
    Nmejifunza.
    Nmekutana na kundi la 3 but pia la 4 hadi nmeamua kumake decision Ya kuhama kituo cha kazi licha ya kwamba maeneo yale nilkua Tayar nmeanzisha biashara yangu Nzuri.
    Nilikua depressed Kwa kipindi kirefu. Nashukuru Mungu now baada ya kuhama nmetulia na inabidi kuanza MAISHA/KUJIPANGA vizuri.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 років тому +1

      Samwel Alex pole kwa changamoto na hongera kwa kuchukua hatua haraka kabla mambo hayajaharibika

    • @meshackngadango6855
      @meshackngadango6855 5 років тому

      Pole sana,Mungu mwema utafika utakapo tu

  • @HappyDuck-cd2cx
    @HappyDuck-cd2cx 3 місяці тому +1

    Asante umeniponya kidonda kikubwa mno mungu akubariki Sana 🙏🙏

  • @elisantemrerimmwiri3158
    @elisantemrerimmwiri3158 5 років тому +8

    Thanks brother for the powerful speech, your helping me on my way of life.

  • @LinuskalokolaNicolaus
    @LinuskalokolaNicolaus 3 місяці тому

    Kwakwel brother unafundisha vzur sana aisee na nmekuelewa sana na ninakuombea maisha marefu yenye baraka na mafanikio makubwa sana katka maisha yako yote 🙏🙏

  • @4gtradingimpex201
    @4gtradingimpex201 Рік тому

    Thanks kaka nimependa somo lako kwani napitia hizi hatua zote lakini umenifungua mawazo kwa sababu haya yote nilikuwa nafanya na kumbe nilikuwa sahihi kabisa ahsante kwa kuniongezea nguvu na hatua mia mbele.Barikiwa

  • @glorymushi5425
    @glorymushi5425 2 роки тому

    Thankyou bratherwew ni mshauri sana kwenye jamiii muda mwingine huwa tunakatamaaa kupitia watu wanaotuzunguka

  • @gracedamas5883
    @gracedamas5883 3 роки тому +1

    Nimekua nikisemwa vibaya tena pale tu ninapoongea Ukweli ktk kufikisha ujumbe sehemu tofauti ndugu marafiki.
    Lakn leo umenifungua ufahamu wangu kaka Joel nanauka Mungu akubariki sana

  • @johnkapalamula4351
    @johnkapalamula4351 Рік тому

    Asante sana.napitia hayo kazini nafanya kila jukumu langu vizuritu.lakini mtu mmoja aliepewa mamlaka uniripoti vibaya.emefikia nakosa Raha oficini. kila ninachofanya yeye nikibayatu.

  • @freshman9913
    @freshman9913 2 роки тому

    Aisee asante sana kwa maneno yako mazur nimezidi kujifunza vitu vingi hata watu watu wakijaribu kunisema vibaya na puuza na songa mbele mungu akubarik sana joel nanauka

  • @bahatiinnocent4375
    @bahatiinnocent4375 3 роки тому

    Asante kwa sharing. Ikumbukwe mtu wenye matunda yaliyokomaa na kuiva ndio hurushiwa mawe. Wanatusha mawe ili nawe uwarushie matunda yako. Nini cha kufanya. Kusanya mawe jenga jukwaa kubwa endelea kung'aa watakuzoea.

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 3 роки тому

    Asante kwa somo nzuri. Mimi karibia nimekutana na makundi hayo lkn ni wale ambao hawana cha kufanya na oppressors

  • @marthahaule8337
    @marthahaule8337 3 роки тому +1

    Asante kwa ushauri wako nitaendelea kuufanyia kazi. Mimi nimekutanana na makundi hayo yote na yameniumiza sana na kujisikia kukata tamaa sana lkn huwanaachilia baadae ili maisha mengine yaendelee japo huwa kunakipindi nasikia sana kuumia tena.

  • @irenedaudi638
    @irenedaudi638 Рік тому +1

    Nimefurah mno nilichukia ila kwa kukusikiliza wewe nimepona....God bless you my brother

  • @alfredsebastian9131
    @alfredsebastian9131 5 років тому +7

    Blaza Joel Nanauka. Nakubali kazi yako lakin Naomba ujaribu kuweka vitabu vyako katika online viwe katika e-book Kwan utaweza kujipatia kipato lakin kubwa zaid utatusaidia sisi WA mikoan kupata kwa wepesi

    • @asteriambwei95
      @asteriambwei95 5 років тому +1

      Una mafundisho manzuri na shati lako linzuri sana wewe ni mwalimu ? Unaongea ukweli mno unanifurahisha ndiyo shida ya sisi wanadamu

    • @meshackngadango6855
      @meshackngadango6855 5 років тому

      Ha!ha!ha,shirt zuri au siyoo!

  • @nathanmateow9455
    @nathanmateow9455 5 років тому

    Asante rafiki yangu wa dhati nimeguswa ni watu wa karibu kama ulivyofundisha walitaka kunishusha thamani,sasa ntakabiliana nao sitakubali wafanikiwe nasonga mbele,thanks very much.

  • @جزجزشكطا
    @جزجزشكطا 5 років тому +4

    Asante sana kaka elimu yako ni pana mno malipo sina ila mungu atakulipa

  • @fahadabdulrazaq670
    @fahadabdulrazaq670 4 роки тому +3

    Exactly brother, may Allah bless your hand work

  • @sugarkheri4680
    @sugarkheri4680 2 роки тому

    Barikiwa Sana kaka J Umenigusa kwa sasa hapo kwenye kusemwa kuna ambao wanakusema kwa watu wengine hawa tunawakabili vipi

  • @yolandasebastian685
    @yolandasebastian685 Рік тому +2

    Kaka Asante kwa ushauri makundi yote manne nimekutana nayo.

  • @maseiafricano1250
    @maseiafricano1250 2 роки тому

    Asante sana kwa elimu yako nzuri nimejifunza kitu kwa somo lako mungu akubari sana mwalimu

  • @mikalucas255
    @mikalucas255 27 днів тому

    Mungu akubaliki sana akufanyie wepesi katika mambo yako

  • @alihassanhaiba6937
    @alihassanhaiba6937 5 років тому +15

    Ahsante sana ,mm wakati nipo chuo Uganda nilikutana na point ya 4 kwa watanzania wenzangu lakin nilifocus kwenye masomo yangu at end I got award. best student

    • @zahrazukher4337
      @zahrazukher4337 3 роки тому +1

      Asantee sanaa mm nipo kwenye ndoa ila mume wang ali weza kuwa na mwanamke mwingine naa aka mpa namba yang nakuaza kunitumia sms zakejeli na kunambia maneno yakuumiza sanaa' sasa hii Hali Bado inanitesa sanaa zile sms bado zinaishi kwenye kichwani kwangu nimeshidwa kuzisahau

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 2 роки тому

    Barikiwa sana Mimi niwafanya kazi wenzangu huwa kila siku wanaenda kinisema vibaya kwa boss alafu wakiwa na Mimi wanajifanya marafiki

  • @seifzongo320
    @seifzongo320 5 років тому +5

    Wanataka kunitoa kweny focus.... huyu mm kabisa watu wanataka kunitoa...I'm keeping doing the right thing , Asante sn kaka

  • @anasanga922
    @anasanga922 2 роки тому +1

    Thank you God bres you

  • @reginamkuti7615
    @reginamkuti7615 2 роки тому

    Barikiwa sanaa mimi karibia Anna zote nimekutana nazo sema nashukuru nimepata mbinu yakukabiliana nao🙏🙏🙏

  • @ibrahimkassim4505
    @ibrahimkassim4505 Рік тому

    Thanks for your hospitality

  • @EuniaRyaga-zd3zx
    @EuniaRyaga-zd3zx 9 місяців тому

    May God bless you! You are the one whom I appreciate

  • @veronicamwautenga7394
    @veronicamwautenga7394 5 місяців тому

    Asante sana

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 5 років тому +2

    Nakushkuru mwalimu Joel nimezungukwa na vitu hivo nimepata majibu leo asant sanaa

  • @DiazPilipili
    @DiazPilipili 6 місяців тому

    Asante mwalimu, mimi kusemwa vibaya kwangu ni rutuba , ninapo semwa vibaya ndipo naendelea tena zaidi

  • @charlzzesonconsciousness6685
    @charlzzesonconsciousness6685 5 років тому +16

    Mm watu kunisema vibaya hainiogopeshi sana lakini mtu ambaye tunaheshimiana na anayenifahamu vzuri kwa muda mlefu akinisema vbaya lazma nikae chini kujitafakari.

    • @saficharles216
      @saficharles216 5 років тому

      Kaka asante kwa mafundisho mazur ubarikiwe

    • @mumanyimulyowa8361
      @mumanyimulyowa8361 3 роки тому

      Ndio wale namba mbili umeshauriwa usikae kimya tetea haki yako dhidi yao

  • @lydiaedwin3998
    @lydiaedwin3998 3 роки тому

    Ahsante Sana kaka Joel umenirudisha now ,daah nilikuwa nataman kuacha Kaz eti. Nimekuwa jasili

  • @sallymaritim9595
    @sallymaritim9595 3 роки тому

    Asante Joel umenibadisha kweli.

  • @Elizabeth-i9z
    @Elizabeth-i9z 4 місяці тому

    Asante kwa elimu yako

  • @furahairene1829
    @furahairene1829 3 роки тому

    Asante Sana Joel,yaan mm n mkenya bt mafunzo yako yamenifanya niiujue ulimwengu,najiona hata mtu akinifinyilia namna gani tyr huwa nmepata jawabu lake,maisha s rahisi Ila n rahisi ukijikubali na kujitoa vilivyo,barikiwa kaka

  • @joannafula9496
    @joannafula9496 3 роки тому

    Ahsante brother. Joel

  • @catemutindi1535
    @catemutindi1535 2 роки тому

    Asante sana Mr .Noel mimi nimepitia hayo umesema mahali nahishi na mmoja anajinya rafiki yangu

    • @achiamwenda8788
      @achiamwenda8788 2 роки тому

      Ukweli kundi namba 1na 2 nimekuta a nao kazini japo kuna wakati namba 2 niliwahi kumjibu akapunguza kuongea asantee Sana kaka

  • @michaeltimoth366
    @michaeltimoth366 3 роки тому

    Nice presentation...binafsi nishakutana na makundi yote 4

  • @josephmwanyika8300
    @josephmwanyika8300 5 років тому

    Asante Sana kaka daa elimu yako nzuri sana haya mambo yako Sana kwenye jamii zetu. hata ndugu kwa ndugu tuliozaliwa pamoja ipo somo la nne ilo saana Mungu akubaliki Sana..

  • @gideonkipruto3987
    @gideonkipruto3987 5 років тому

    Asante baba

  • @jacksonmoshi1152
    @jacksonmoshi1152 4 роки тому

    Thanx brother umenifundisha mambo mengi Sana'a

  • @zuhuraabdillah6941
    @zuhuraabdillah6941 5 років тому +5

    kiukwel bro makundi yote nimekutana nayo maeneo ya kazi. kundi la watu wanaotaka kukutoa kwenye focus ni changamoto kubwa. Nashkuru kwa kunielimisha am still doing great

  • @samweliponera1100
    @samweliponera1100 3 роки тому +3

    Kaka Joel yesu akubariki sana

  • @mariammwambungu3174
    @mariammwambungu3174 4 роки тому

    Asante sana nikweli nimejifuza Sana.

  • @aminahahlubayt7399
    @aminahahlubayt7399 2 роки тому

    Kaka nashukur sana nimejifunza kitu allah akubariki sana.
    Ila mimi hayo yote yananikabili kwa sasa,nilichokifanya ni kuwapuuzia na sina habari nao kbsa,na nahisi imenissidia kiasi fulani hv cha kuumia

  • @victoriabulambo2029
    @victoriabulambo2029 3 роки тому

    Asante sana pastor nimejifunza kitu 🙏

  • @kitegwelucas1562
    @kitegwelucas1562 5 років тому +3

    Kiongozi me nakuelewaga sana motivation zako na napenda sana kukusikiliza #God_bless_you👏👏👏

  • @proscovialongino
    @proscovialongino 8 місяців тому

    Asante sana kaka kwa ushauri wako watu wa Ivo Nami ninao ninapoishi lkn baada ya kuwagundua tabia zao niliamua kukaa kimya ila bado wanaongea ila mi Niko kimya

  • @lauchungulau9255
    @lauchungulau9255 5 років тому +3

    Thank you so much teacher joel for the power full speech I Lean something god bless you so much

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 років тому +1

      Lauchungu Lau Ameen thanks so much Lauchungu

    • @eliasevelin869
      @eliasevelin869 4 роки тому

      god bless you my brother

    • @jackypaul8846
      @jackypaul8846 2 роки тому

      @@joelnanauka kaka na je kama sitaki kabisa kuzungumza nae yaani kila siku group ya whatsap mambo ya kazi ananisema vibaya yaani ana na kagroup ka wenzie ka wa5 nilishamcomfront face to face ila kwa sasa sihitaji kuongea nae tena, je nikimkalia kimya?bado ataniona mnyonge?

  • @rahmahussein4019
    @rahmahussein4019 5 років тому +3

    Absolutely true talk .

  • @mugishafrank3183
    @mugishafrank3183 5 років тому

    Asante saana kwa kweli masomo yako yanatujenga saana Mungu azidi kukupa afya njema kbsa. Mimi kundi la pili na la nne lakini sana sana kundi la pili la kutaka kushusha thamani yangu muendelee kutupa ushauri. Asante barikiwa zaidi.

  • @suleimanmakwega9233
    @suleimanmakwega9233 3 роки тому

    Me ni miongozi wa watu ninaesemwa vibaya Sana sana nikiwa naenda kazini na nikimaliza mda wa kazi naenda Kusoma masomo ya kawaida

  • @Usawa_phonetech
    @Usawa_phonetech 5 років тому +1

    Salute unabadili maisha yangu kila kuitwapo leo your words they empower than I can imagine

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 років тому +1

      David Nh‘aranga thanks so much nashukuru sanaa

    • @neemaelisha814
      @neemaelisha814 5 років тому

      Asante kaka kwa somo lako nzuri mm nakutana naye kwenye familia tena naishi nayo, nimepata wakati mgumu sana hadi nimejikuta yule alinisema vibaya nimemchukia na siongei naye zaidi ya salamu kwakweli napata tabu sana kuishi naye kwasababu sikutegemea kama yy angeweza kunisema hiyvo

  • @pambachannel8835
    @pambachannel8835 8 місяців тому +1

    Kundi namba moja niko nalo so, Nipe mbinu za kuwapuuzia

  • @akhousesolutionsltd9433
    @akhousesolutionsltd9433 2 роки тому

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️Ningekupenda zaidi ukiwa unaongeya tu kiswahili bila kucanganya vingereza maana tunawatu wasosikia kingereza arafu kiramara tunaombwa eti tuwaelezee umemaanisha nini sisi tunaomba uwe unaonge kiswahili mwanzo mwisho❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @aminajuma1435
    @aminajuma1435 5 років тому +4

    Jamani kaka , hivi vitabu vya darasazako km hivi vinapatikanawapi ? Mfano hilisomo laleo je umetoa nakitabuchake ? Naomba unielekeze jinsi yakukipata please kaka Joel

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 років тому

      Amina Juma karibu sana Amina wasiliana na 0756-094875

    • @aminajuma1435
      @aminajuma1435 5 років тому

      @@joelnanauka sawa kaka shukran sana… Hatuna chakukulipa zaidi tunakuombea kwa MUNGU akubariki kila lenyekheri.

  • @gchancedon
    @gchancedon 2 роки тому

    Nakuelewa sana kaka masomo Yako yananiondoa sehem moja kwenda nyingine

  • @ramadhanalmashamza3458
    @ramadhanalmashamza3458 2 роки тому

    Asante sana kaka mimi ninakutana na kundi namba nne ambao wanataka nitoke kwenye kufocus ndoto zangu ila nimejifunza kuendelea kua na msimamo

  • @emanuelavaleriani8646
    @emanuelavaleriani8646 8 місяців тому

    Dah hii nzuri sana

  • @nyangenyange5717
    @nyangenyange5717 3 роки тому

    Asante sana duh rafiki hao wote nimekubana nao nashkur kwakunikumbusha

  • @shukranjs4307
    @shukranjs4307 4 роки тому

    Asante kaka

  • @maggiepeter8936
    @maggiepeter8936 4 роки тому +1

    Powerful words mwalimu....

  • @hamzahassan6883
    @hamzahassan6883 5 років тому

    Very nice presentation,but I still have qns, utawatambuaje aina hzi za watu kutokana na magroup yao???I mean,kma MTU hyu yupo ktk kundi LA kwanza,pili,tatu au NNE???

  • @roseirungo1950
    @roseirungo1950 5 років тому +1

    Nimekipenda sana hichi pikindi yaani Nimeweza kukambiliana na kundi No 1,2,3 kwa sasa nimesimamia 4....Many thanks to God since I make my circle too small my life have changed 🙏👌

  • @SantielKarama
    @SantielKarama 7 місяців тому

    Ahsante kaka nimejifunza

  • @mwangazajoyce2287
    @mwangazajoyce2287 4 роки тому

    Thanks dear brother

  • @margritkraeuchi8723
    @margritkraeuchi8723 5 років тому

    Asante sana kwa mafundisho kaka .je mm nasemwa vibaya muno n a dada mdogo na dugu wa kubwa hata wameninyaganya mashamba zangu tatu .na huyu dadang mudogo hana kitu lakini anagombea kuwika kuniliko na hana kitu mm ndo mwenye mali nyingi kumliko .nifanyeke Brooo

  • @barwani890
    @barwani890 3 роки тому

    Shukraan bro maneno yko ni kweli na yashatufika lkn nimepuuza na nitazidi kujifunza ktka kwako .from oman

  • @abubakarihamissi4178
    @abubakarihamissi4178 2 роки тому

    thanks bro

  • @letsgrowwithm4620
    @letsgrowwithm4620 2 роки тому

    Hello mr Joel, Mimi natamani niamzishe channel ya UA-cam content za persona experience Lkn sijajua sheria ya TCRA kuhusu youtube kama inatakiwa kulipa? Pia sina subscribers wengi pia unatakiwa kulipa?

  • @neemasebastian566
    @neemasebastian566 3 роки тому

    Nikweli kaka barikiwa sana

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 5 років тому +1

    yote. manne, tena niwatuwasomi .Mungu akubariki,Nahadi wamemteka mpenz wangu Maiko Simon,,Mungu amrudishe.

  • @glorymmbando922
    @glorymmbando922 3 роки тому +1

    ASANTE Kaka Kwa Elimu nzur MUNGU Akujalie Maisha Marefu Uzi kuelimisha Wtu Zaid..
    Kikuwe makundi yote nimekutana nayo jamni, Ila Nime elimika sasa .. MUNGU Akubark Kaka🙏

  • @88bello5
    @88bello5 Рік тому

    Sehem yoyote ya kipato sana hii changamoto changamoto ila, Ahsante kwa ushauri bruh tupo pamoja🇰🇪

  • @josephtinginya3860
    @josephtinginya3860 5 років тому

    Ni kweli kabisa Mr Joel ,kwan hata walio dislike mawazo yako hawako tofaut na hao wanaoweza kukusema vibaya ,kwan mambo ya msingi unatuelimisha bado mtu mwingine anakuwa against na ww.

  • @guadenciamapunda6593
    @guadenciamapunda6593 2 роки тому +1

    Thank you for sharing your experience

  • @mwajumamwishehe3423
    @mwajumamwishehe3423 5 років тому +7

    Asante kaka Mimi namba nne wanataka kunitoa katika muereleo wangu Ila nakomaa. Nao 😬😬

  • @amariaelieneza1854
    @amariaelieneza1854 3 роки тому +1

    Mungu akubariki my Son( Joel is my first born) ujumbe umenifunua. Hahaaaaa HATA KWETU WAPO.

  • @theresiachigali9482
    @theresiachigali9482 2 роки тому

    Mungu azidi kusimama nawe Joel nimejifuza kitu kwenye hii mada nitajifuza kunyamaza yaan umenigusa sana

  • @shayopoul1612
    @shayopoul1612 3 роки тому

    Asante

  • @stellakins3770
    @stellakins3770 3 роки тому

    Ahsante sana nikweli kabisa

  • @salehabood7140
    @salehabood7140 Рік тому

    Very true na hao namba Moja drama wapo wengi sanaaa

  • @mwanaharusialifakifaki8716
    @mwanaharusialifakifaki8716 5 років тому +2

    kundi la nne la kwanza nimenigusa mno ahsantenimejifunza binadam wana sura mbili mbili ,umenenakaka ,mm nyonge sipendaji kujibu ila huwa wanavijembe kila nkitabasamu kumbe sitakiwi niwe mnyonge.mafanikio yangu yanawauma sana watu ,ahsante mungu akueke miaka 10000.

  • @omarimshamu2572
    @omarimshamu2572 Рік тому +1

    Respect

  • @rahemahrahemah2719
    @rahemahrahemah2719 5 років тому

    Shukraan Kaka Joel Kwa mafunzo mazuri unayotufundisha , hiyo number mmoja inanikabili Sana Kwa sasa , nikiwa nao wananichekea nikiwapa mgongo wananisema vby hua nashindwa nifanye nn nabk kuwaangalia tu nawala siwaonyeshi Sura ya kuchukia .

  • @mwazanimbogo5996
    @mwazanimbogo5996 3 роки тому

    Amina bro

  • @neemamroso6864
    @neemamroso6864 5 років тому

    Kundi naomba 2 na no 4 wananitesa kazini kaka.Nimejifunza shukrani

  • @specialistmkombozi2353
    @specialistmkombozi2353 2 роки тому

    Safi sana brother