MR HOUSE ALIZWA NA ILI TUKIO AKIWA SITE TAZAMA UJIONEE HII HASARA ILIOJITOKEZA NDANI YA MJENGO HUU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 січ 2024
  • #contemporary #nyumbayakufichabati #hiddenroof

КОМЕНТАРІ • 135

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss9687 6 місяців тому +4

    HONGERA SANA... Upo vizuri na kazi zako zinajieleza na tunakukubali sana..BIG UP

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 5 місяців тому +1

    Hongera sanaa unajua KAZI yako tiles ni muhimu hazipitishi maji. Na unyevunyevu na hauwezi ona maji yakipenya KAZI nzuri.

  • @user-tn3gw5qv9e
    @user-tn3gw5qv9e 3 місяці тому +1

    Good job 👍🏾

  • @mmake30
    @mmake30 6 місяців тому +2

    Dogo uko vizuri saana, nayaona mafanikio yako ya baadae.

  • @Halimamchafu1174
    @Halimamchafu1174 3 місяці тому

    Mashallah kazi nzuri

  • @user-lx8qc4uh4c
    @user-lx8qc4uh4c Місяць тому +1

    ubarikiwe sana ntakutafuta

  • @user-bo7rb9ls6y
    @user-bo7rb9ls6y 21 день тому

    Nikweli kaka❤❤❤❤

  • @kelvinkencho401
    @kelvinkencho401 6 місяців тому +1

    May god bless you

  • @deniskimenyi899
    @deniskimenyi899 6 місяців тому

    Watu hawataki kutafuta watalaam , wengi wanapenda akina Fundi Michael . Good job

  • @ericoguri8368
    @ericoguri8368 4 місяці тому

    Mimi kama Mkenya napenda Kiswahili cha Bongo. Mwalimu umefanya kazi nzuri.

  • @innocentthobias924
    @innocentthobias924 2 місяці тому

    Umetisha mkuu yamenikuta ayoo

  • @ItsNasto
    @ItsNasto 3 місяці тому

    Good job i have same problem

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 6 місяців тому +1

    Yes sir

  • @masumbukosiyougomvi7900
    @masumbukosiyougomvi7900 6 місяців тому +1

    Upo safi sn, heri yako kuwa mwalim mwema

  • @salimabdul4424
    @salimabdul4424 5 місяців тому

    Upo vizuri

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 6 місяців тому

    Safi sana mdogo wangu

  • @eddyeddy1337
    @eddyeddy1337 6 місяців тому

    Safi sana bro

  • @GodfreySylvester
    @GodfreySylvester 5 місяців тому

    Nimekuelewa sana kwenye hii video. Hongera sana

  • @user-ef1zl5gi1k
    @user-ef1zl5gi1k 4 місяці тому

    Kwer kabisa upo sahihi nikijenga nitawaitaji🎉🎉❤

  • @koperawasona9551
    @koperawasona9551 4 місяці тому

    Hongera unajuwa

  • @williamjonasmangurama9852
    @williamjonasmangurama9852 6 місяців тому

    Safi sana nekuelewa

  • @AudaxAdrian
    @AudaxAdrian Місяць тому

    Ahsantee

  • @joyceassey2347
    @joyceassey2347 6 місяців тому +4

    Woooiiiiii mi niliona ctaki shida nikawaambia nipaulieni imwage maji upande mmoja,,sikutaka izo mambo za utaalam kabisa

  • @user-fq5mb6fv2r
    @user-fq5mb6fv2r 6 місяців тому +3

    Nakuelewa sana kaka. Mungu akubariki sana kwa kuendelea kutusanua.

  • @galantsoldier9258
    @galantsoldier9258 6 місяців тому

    Nakukubali fundi

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai7006 6 місяців тому +1

    Elimu zuri🎉🎉🎉 chukua mau yako

  • @user-lr2ff5mp5t
    @user-lr2ff5mp5t 6 місяців тому

    Umetis bro

  • @ahadibuge5246
    @ahadibuge5246 4 місяці тому

    Nimependa sana hiii.... umeonyesha mambo mengi ambayo watu wanakosea.

  • @hamzamwaya463
    @hamzamwaya463 6 місяців тому

    Yaan mi nakuelewa sana

  • @magretangel5242
    @magretangel5242 6 місяців тому +4

    Majiran zake wamepiga roof za kunyanyua very simple ila huyu mwenye nyumba kajifanya mzungu ili wamsifie kumbe kawekewa bwawa juu ya bati

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 6 місяців тому +3

      Kila mtu anaamua nyumba yake aipaue kwa style gani sio lazima wafanane,shida nihuyo fundi ndio kamtia hasara.

    • @azzaalhabsi1505
      @azzaalhabsi1505 6 місяців тому +1

      Yes sir. Kumbe wenye shida hii tupo wengi. Mafundi wanatutia hasara jamani.kama hawajui kupauwa dizain hii si waseme ukweli tu.

    • @fadhilimsangi875
      @fadhilimsangi875 6 місяців тому

      😂

    • @SalomeNkwera-wr1jg
      @SalomeNkwera-wr1jg 3 місяці тому

      Usimuhumu mtu bila kujua anaamua yeye na ela yake

  • @bandaally369
    @bandaally369 26 днів тому

    Mkali

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 6 місяців тому +3

    Kwa hali hii unaweza kutafuta mtu na panga😎

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o 6 місяців тому

      Haswaaaa mana wañaona watu pesa wanaokota

  • @user-np4cn5zy9p
    @user-np4cn5zy9p 6 місяців тому

    Sema gata bwana sio dude

  • @user-bg2yc4kw9k
    @user-bg2yc4kw9k 6 місяців тому

    Kweli

  • @isamony58
    @isamony58 6 місяців тому +3

    😢😢😢Yani hiiii mijengo jengeni tu wala sina hamu nao

    • @magretangel5242
      @magretangel5242 6 місяців тому

      Hata mi sjatoneaga kuzipenda aina hizi mimi za kufunika kawaida ndio simple

  • @emmanueltuppa5459
    @emmanueltuppa5459 3 місяці тому

    Yes sir😂💪

  • @saraikayo4694
    @saraikayo4694 6 місяців тому

    Nimekuelewa kk

  • @tumsifushoo3544
    @tumsifushoo3544 6 місяців тому +2

    Sababu ya kupenda rahisi sasa itamgharimu

  • @mburuumbe5659
    @mburuumbe5659 6 місяців тому +1

    Mimi sio fundi Ila nimekuelewa sana

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali6548 6 місяців тому +1

    Usimlaumu sana fundi inawezekana mwenye nyumba ndio chanzo kupenda kuraisisha

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 6 місяців тому +1

    Muda ukifika mm ntakuita Tunduma brother

  • @salimmachila5736
    @salimmachila5736 6 місяців тому

    Hasara kubwa sana

  • @ayubustefano
    @ayubustefano 2 місяці тому

    Nimekusoma mr,hause

  • @geofreymalekana8000
    @geofreymalekana8000 6 місяців тому

    Asante sana kwa kutupa ufahamu, exallent bro

  • @user-qf9dw9ki1g
    @user-qf9dw9ki1g 6 місяців тому

    Duh

  • @jafarinauma6798
    @jafarinauma6798 17 днів тому

    Kamera man wako kazingua hajui kitu kabisa

  • @JamesMsigwa-q6l
    @JamesMsigwa-q6l 27 днів тому

    Yani uwe unafundisha sio kujifanya unajua yote na kujikuta unajua zaidi

  • @kelvinmugambi8642
    @kelvinmugambi8642 5 місяців тому

    Hongera sana...waeza fika Kenya?

  • @handenitakuru6696
    @handenitakuru6696 Місяць тому

    Daaaah huyu fundi jamaa kama kamfanyia makisudi yani kamtia hasara kubwa sana sasa uwe na pesa kama nimwenzangu namie pesa yetu ni yakuunga unga unatamani uende ukamchabange mapanga

  • @hurumajosephat6333
    @hurumajosephat6333 6 місяців тому

    Hao mafundi ni wa kuweka ndani

  • @fanni-ck6do
    @fanni-ck6do 6 місяців тому

    sooo sad yaumiza kwa kweli

  • @fatimakhatibu8256
    @fatimakhatibu8256 6 місяців тому

    Hasaraa jamanii

  • @iddymfinanga9424
    @iddymfinanga9424 6 місяців тому

    Nyumba za Jenga uza izo, ndivo zilivo

  • @JumaMario-px8tt
    @JumaMario-px8tt 6 місяців тому +1

    Huyo fundi nae alizidi fundi wake msamehe

  • @jumafumao1519
    @jumafumao1519 4 місяці тому

    Kaka nime kuku bar

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 3 місяці тому

    Shida watu wanapenda vitu vya rahisi kwani bati tsh ngapi

  • @user-pr8tz8tc8s
    @user-pr8tz8tc8s 5 місяців тому

    Acha ujinga ww

  • @user-fi9ye7ek5y
    @user-fi9ye7ek5y 6 місяців тому

    😢

  • @swaggadiv
    @swaggadiv 4 місяці тому

    Hizi nyumba zakuficha paa ni balaa ata kurekebisha iko costly sana

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv5233 6 місяців тому +15

    😂ila usiwe una tumia neno wadogo wangu. Video zako wengi wanao angalie ni watu wazima

    • @ngoshasaluminium4062
      @ngoshasaluminium4062 6 місяців тому

      Amesema wadau wangu,,
      Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi

    • @ngoshasaluminium4062
      @ngoshasaluminium4062 6 місяців тому

      Amesema wadau wangu,,
      Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂

    • @ngoshasaluminium4062
      @ngoshasaluminium4062 6 місяців тому

      Amesema wadau wangu,,
      Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂

    • @ngoshasaluminium4062
      @ngoshasaluminium4062 6 місяців тому

      Amesema wadau wangu,,
      Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂

    • @ngoshasaluminium4062
      @ngoshasaluminium4062 6 місяців тому

      Amesema wadau wangu,,
      Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂

  • @methodiuskikoti5870
    @methodiuskikoti5870 6 місяців тому

    Uko vizuri sana kwenye suala la ujenzi. Utafika mbali sana kijana.
    Ila Hilo neno linatamkwa hiden sioo haiden.
    Ingawa neno lake la msingi linaandikwa
    hide na kutamkwa haid.
    Kwa kifupi.
    Hide tamka haid.
    Hiden tamka hiden.
    Mungu akubariki kusanua mabosi na kuelimisha mafundi pia.

  • @EDDOSTEVEN
    @EDDOSTEVEN 6 місяців тому

    mm nimeweka gatta ndogo but aivuji mwaka wa 8

  • @yassinbachu4819
    @yassinbachu4819 4 місяці тому

    Engineer swala langu hii contemporary roofing ni bri rahisi ku weka?

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 6 місяців тому

    Nawakuchukiye lkn utuokowe

  • @martinmunene9040
    @martinmunene9040 5 місяців тому

    Niko Kenya nimejaribu kupiga no zako nyote hajigii

  • @user-hm1vg9vr6b
    @user-hm1vg9vr6b 6 місяців тому

    Na nikitaja unifanyie ww

  • @avelinaandrea5031
    @avelinaandrea5031 6 місяців тому

    jamani mafdi wanachukua pesa zabure

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 6 місяців тому +1

    Uzuri nina.namba yako ww ndo utakae nipaulia nyumba

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 6 місяців тому +1

    Jamani wewe niache tu nimepata hasara mimi uwiiii. Nililetewa fundi anajidai mjuzi wa jpsum. Acha baada ya muda zilianguka zote rumu 3. Tails zime umuka. Naumia mimi jmn maana sinauwexo tena.

  • @hamzamwaya463
    @hamzamwaya463 6 місяців тому +1

    Ni kweli kabisa, Harmonise, Diamond ni upuuzi tu

  • @salama1113
    @salama1113 5 місяців тому

    Sasa uogopi huko juu ukipolomoka wakati imeshiba maji

  • @ElizabethMakwaia
    @ElizabethMakwaia 3 місяці тому

    Kaka mbona hupokei cm? Sasa wateja tunakupataje?

  • @user-vy2bc6xg3i
    @user-vy2bc6xg3i 6 місяців тому

    Ujenzi huu niliukataa kabisa na unikome. Napauwa kisusu tu

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o 6 місяців тому

      Nikweri kabisa bola kupaua na borit tu

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 6 місяців тому

    Shida hawana akili ata mimi si fundi naona tu hapo kunamakosa aisee inasikitisha sana

    • @mwabuselectors
      @mwabuselectors 6 місяців тому

      Yaah hapo hata kama sio fundi unaona kabisa wamebugi..

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 6 місяців тому

    Daaah umenifungua akili mr house hilo ndio tatizo nililonalo hapa kwangu kariakoo. Unaweza kuja kuniangalizia tatizo lililopo hapa kwangu?

  • @user-lr8kg8yu7s
    @user-lr8kg8yu7s 6 місяців тому

    🎉

  • @AdamuDamasi-qq9uv
    @AdamuDamasi-qq9uv 6 місяців тому

    Onaongea sawa ila umezingua kusema mafundi tope

  • @user-oo3xt3yf6y
    @user-oo3xt3yf6y 6 місяців тому

    Acha ushamba

  • @user-vv5pd7qq5w
    @user-vv5pd7qq5w 4 місяці тому

    Yes sir

  • @user-qf9dw9ki1g
    @user-qf9dw9ki1g 6 місяців тому

    Duh