Daaaah huyu fundi jamaa kama kamfanyia makisudi yani kamtia hasara kubwa sana sasa uwe na pesa kama nimwenzangu namie pesa yetu ni yakuunga unga unatamani uende ukamchabange mapanga
Uko vizuri sana kwenye suala la ujenzi. Utafika mbali sana kijana. Ila Hilo neno linatamkwa hiden sioo haiden. Ingawa neno lake la msingi linaandikwa hide na kutamkwa haid. Kwa kifupi. Hide tamka haid. Hiden tamka hiden. Mungu akubariki kusanua mabosi na kuelimisha mafundi pia.
Jamani wewe niache tu nimepata hasara mimi uwiiii. Nililetewa fundi anajidai mjuzi wa jpsum. Acha baada ya muda zilianguka zote rumu 3. Tails zime umuka. Naumia mimi jmn maana sinauwexo tena.
HONGERA SANA... Upo vizuri na kazi zako zinajieleza na tunakukubali sana..BIG UP
Hongera sanaa unajua KAZI yako tiles ni muhimu hazipitishi maji. Na unyevunyevu na hauwezi ona maji yakipenya KAZI nzuri.
Good job 👍🏾
Dogo uko vizuri saana, nayaona mafanikio yako ya baadae.
Mashallah kazi nzuri
ubarikiwe sana ntakutafuta
Nikweli kaka❤❤❤❤
May god bless you
Watu hawataki kutafuta watalaam , wengi wanapenda akina Fundi Michael . Good job
Mimi kama Mkenya napenda Kiswahili cha Bongo. Mwalimu umefanya kazi nzuri.
Umetisha mkuu yamenikuta ayoo
Good job i have same problem
Yes sir
Upo safi sn, heri yako kuwa mwalim mwema
Upo vizuri
Safi sana mdogo wangu
Safi sana bro
Nimekuelewa sana kwenye hii video. Hongera sana
Kwer kabisa upo sahihi nikijenga nitawaitaji🎉🎉❤
Hongera unajuwa
Safi sana nekuelewa
Ahsantee
Woooiiiiii mi niliona ctaki shida nikawaambia nipaulieni imwage maji upande mmoja,,sikutaka izo mambo za utaalam kabisa
Kwakweli
Nitumie picha dear nione ulivyofanya
Nakuelewa sana kaka. Mungu akubariki sana kwa kuendelea kutusanua.
Nakukubali fundi
Elimu zuri🎉🎉🎉 chukua mau yako
Umetis bro
Nimependa sana hiii.... umeonyesha mambo mengi ambayo watu wanakosea.
Yaan mi nakuelewa sana
Majiran zake wamepiga roof za kunyanyua very simple ila huyu mwenye nyumba kajifanya mzungu ili wamsifie kumbe kawekewa bwawa juu ya bati
Kila mtu anaamua nyumba yake aipaue kwa style gani sio lazima wafanane,shida nihuyo fundi ndio kamtia hasara.
Yes sir. Kumbe wenye shida hii tupo wengi. Mafundi wanatutia hasara jamani.kama hawajui kupauwa dizain hii si waseme ukweli tu.
😂
Usimuhumu mtu bila kujua anaamua yeye na ela yake
Mkali
Kwa hali hii unaweza kutafuta mtu na panga😎
Haswaaaa mana wañaona watu pesa wanaokota
Sema gata bwana sio dude
Kweli
😢😢😢Yani hiiii mijengo jengeni tu wala sina hamu nao
Hata mi sjatoneaga kuzipenda aina hizi mimi za kufunika kawaida ndio simple
Yes sir😂💪
Nimekuelewa kk
Sababu ya kupenda rahisi sasa itamgharimu
Mimi sio fundi Ila nimekuelewa sana
Usimlaumu sana fundi inawezekana mwenye nyumba ndio chanzo kupenda kuraisisha
Muda ukifika mm ntakuita Tunduma brother
Hasara kubwa sana
Nimekusoma mr,hause
Asante sana kwa kutupa ufahamu, exallent bro
Duh
Kamera man wako kazingua hajui kitu kabisa
Yani uwe unafundisha sio kujifanya unajua yote na kujikuta unajua zaidi
Hongera sana...waeza fika Kenya?
Daaaah huyu fundi jamaa kama kamfanyia makisudi yani kamtia hasara kubwa sana sasa uwe na pesa kama nimwenzangu namie pesa yetu ni yakuunga unga unatamani uende ukamchabange mapanga
Hao mafundi ni wa kuweka ndani
sooo sad yaumiza kwa kweli
Hasaraa jamanii
Nyumba za Jenga uza izo, ndivo zilivo
Huyo fundi nae alizidi fundi wake msamehe
Kaka nime kuku bar
Shida watu wanapenda vitu vya rahisi kwani bati tsh ngapi
Acha ujinga ww
😢
Hizi nyumba zakuficha paa ni balaa ata kurekebisha iko costly sana
😂ila usiwe una tumia neno wadogo wangu. Video zako wengi wanao angalie ni watu wazima
Amesema wadau wangu,,
Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi
Amesema wadau wangu,,
Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂
Amesema wadau wangu,,
Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂
Amesema wadau wangu,,
Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂
Amesema wadau wangu,,
Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂
Uko vizuri sana kwenye suala la ujenzi. Utafika mbali sana kijana.
Ila Hilo neno linatamkwa hiden sioo haiden.
Ingawa neno lake la msingi linaandikwa
hide na kutamkwa haid.
Kwa kifupi.
Hide tamka haid.
Hiden tamka hiden.
Mungu akubariki kusanua mabosi na kuelimisha mafundi pia.
Fuala wewe unajifagilia kizembe
Sema fundi ujenzi sio fundi matope fuala wewe
mm nimeweka gatta ndogo but aivuji mwaka wa 8
Engineer swala langu hii contemporary roofing ni bri rahisi ku weka?
Nawakuchukiye lkn utuokowe
Niko Kenya nimejaribu kupiga no zako nyote hajigii
Na nikitaja unifanyie ww
jamani mafdi wanachukua pesa zabure
Uzuri nina.namba yako ww ndo utakae nipaulia nyumba
Jamani wewe niache tu nimepata hasara mimi uwiiii. Nililetewa fundi anajidai mjuzi wa jpsum. Acha baada ya muda zilianguka zote rumu 3. Tails zime umuka. Naumia mimi jmn maana sinauwexo tena.
Umenitisha uuwi😢😢😢
Pole
Ni kweli kabisa, Harmonise, Diamond ni upuuzi tu
Sasa uogopi huko juu ukipolomoka wakati imeshiba maji
Kaka mbona hupokei cm? Sasa wateja tunakupataje?
Ujenzi huu niliukataa kabisa na unikome. Napauwa kisusu tu
Nikweri kabisa bola kupaua na borit tu
Shida hawana akili ata mimi si fundi naona tu hapo kunamakosa aisee inasikitisha sana
Yaah hapo hata kama sio fundi unaona kabisa wamebugi..
Daaah umenifungua akili mr house hilo ndio tatizo nililonalo hapa kwangu kariakoo. Unaweza kuja kuniangalizia tatizo lililopo hapa kwangu?
🎉
Onaongea sawa ila umezingua kusema mafundi tope
Acha ushamba
Yes sir
Duh