TAZAMA VIDEO HII MWANZO MWISHO UNIONEE CHOO CHA KISASA KINAVYO KUWA AKIJAI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 43

  • @dorahmatitu2554
    @dorahmatitu2554 8 місяців тому

    Yaaan kaka Mungu akubariki sana wallah. Na akuhifadh upate kutusaidia . Nmeipenda iyo kdgo nakutafuta sana ckupati

  • @tatuathmani883
    @tatuathmani883 8 місяців тому

    Kaka hilo shims lachoo mpaka li akamilika linagalimu kiasigani chapeau ujekwangu mbezi nahitaji shimokama hilo

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics 8 місяців тому

    unafanya kazi mzuri sana kaka hongereni sana hila jitahidi uje unajibu comment hata kwa uchache hili watu wapate huelewa zaidi sio mpaka wapige simu ahsante 🙏🙏🙏🙏.

  • @kaperijohn7537
    @kaperijohn7537 8 місяців тому +1

    Vp huu mfumo kwa yale maeneo yenye maji mengi chini(chemchem) unaweza kuondoa changamoto ya maji kujaa hasa nyakati za mvua?

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 8 місяців тому +1

    Acheni kudanganya watu kwamba hiyo choo haijai sio kweli labda ukisema inachukuwa muda kujaa

  • @PpPp-nv7gf
    @PpPp-nv7gf Місяць тому

    Ni sawa unatushauri vizuri hujibu sms za watu hata kama uko bize ni vema ukamjibu mtu

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 8 місяців тому

    Much luv sir with your team 🎉🎉🎉❤❤

  • @cleophaxgeremy2148
    @cleophaxgeremy2148 8 місяців тому

    So mnajifanyia advertising ya kazi zenu,,,but tatizo maongezi kwenye show hii ni mengi bri,,anywats congratulations kwa technology hiyo

  • @mussamaulid4113
    @mussamaulid4113 7 місяців тому

    Mbona bomba iko juu sana

  • @stellamoses4496
    @stellamoses4496 8 місяців тому

    Mr house choo hicho nampenda kujua gharama Yake tafadhali

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 5 місяців тому

    Kazi safi sana

  • @dorahmatitu2554
    @dorahmatitu2554 8 місяців тому

    Bei mhmm kaka tafadhali

  • @fanni-ck6do
    @fanni-ck6do 8 місяців тому +1

    well good job solute

  • @vailetharoyce659
    @vailetharoyce659 3 місяці тому

    Gharama yake ni sh.ngapi

  • @aishajuma5079
    @aishajuma5079 3 місяці тому

    Kaka namimi nahitaji kuongea nawewe tafadhali

  • @salhamlanz9806
    @salhamlanz9806 8 місяців тому

    Nakukubali kinoma

  • @stellamoses4496
    @stellamoses4496 8 місяців тому

    Tafadhali hicho Naomba nijuegharamayake

  • @RehemaSaidi-z6f
    @RehemaSaidi-z6f 8 місяців тому

    Unaelimisha vizuri Lakin una bei ambazo zinamkatisha mtu kujenga

  • @SafinaSelemani-p6x
    @SafinaSelemani-p6x 8 місяців тому

    Sh ngapi

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 8 місяців тому

    Naomba kujua beiyake

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 8 місяців тому

    Kilichoendelea kwenye hii picha ni nini? Hatukuona finishing yake sasa. Ilo shimo ilikuaje hamjaeleweka vzr.

  • @stellamoses4496
    @stellamoses4496 8 місяців тому

    Gharama Yake kiasi gani?

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 8 місяців тому

    Wala apo hamna jipya kwamaana hiyo choo haina tofauti ya mashimo ya septic na soak way pit

  • @tatuathmani883
    @tatuathmani883 7 місяців тому

    Kaka kamahutojali niambie hikichoo beiyake kukiandaa mpaka kinaisha namie nakihitajia kwangu nikuite

    • @aishajuma5079
      @aishajuma5079 3 місяці тому

      Namimi nahitaji pia atujibu 😢

  • @LeluumakameMussa-ln5rc
    @LeluumakameMussa-ln5rc 8 місяців тому

    Gharma yake ikoje na mm nimekipenda

  • @ZaituniOmary-g8o
    @ZaituniOmary-g8o 8 місяців тому

    Kaka ss tunae taka kujenga mikoan inakuaje

  • @daudilushinge-bm4fm
    @daudilushinge-bm4fm 8 місяців тому

    Kwann ucwekwe tee ap kama emergence faza ikitokea imeziba

  • @tatuathmani883
    @tatuathmani883 8 місяців тому

    Samahani usi zalau mesejiyangu

  • @salama1113
    @salama1113 8 місяців тому

    Hapo akipanda mboga zitasitawi kweli

  • @hamzamwaya463
    @hamzamwaya463 8 місяців тому

    Yes sir

  • @AhmedYousuf-m6d
    @AhmedYousuf-m6d 8 місяців тому

    Mpaka kinaisha bei gani

  • @revocatussebastian2427
    @revocatussebastian2427 5 місяців тому

    Mbona mashimo mafupi inakuaje yasijae

  • @magunomaguno59
    @magunomaguno59 8 місяців тому

    👍👍👍

  • @RashidAmos-n2r
    @RashidAmos-n2r 8 місяців тому

    Kaka zingatia mambo ya copyright usipende Sana kutumia nyimbo

  • @stellamoses4496
    @stellamoses4496 8 місяців тому

    How much does it cost

  • @aisha5775
    @aisha5775 8 місяців тому

    Nimekipenda aisee

    • @moudys
      @moudys 8 місяців тому

      Unapenda chooo

  • @AminaKida-ik8fc
    @AminaKida-ik8fc 8 місяців тому

    Sasa wa mikoan wanapataje hiyo dizain

  • @rockygappi1018
    @rockygappi1018 8 місяців тому

    Yumkini unashauri na kufanya kazi nzuri..lakini hii video kiufundi hauelezei namna choo hicho kinafanya kazi ni kwa vipi hakijai??

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 8 місяців тому

    Izo choo ni bei gani?

  • @ZuwenaSoni
    @ZuwenaSoni 8 місяців тому

    Nime penda

  • @salama1113
    @salama1113 8 місяців тому

    Hapo akipanda mboga zitasitawi kweli