Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Yaaan kaka Mungu akubariki sana wallah. Na akuhifadh upate kutusaidia . Nmeipenda iyo kdgo nakutafuta sana ckupati
Kaka hilo shims lachoo mpaka li akamilika linagalimu kiasigani chapeau ujekwangu mbezi nahitaji shimokama hilo
unafanya kazi mzuri sana kaka hongereni sana hila jitahidi uje unajibu comment hata kwa uchache hili watu wapate huelewa zaidi sio mpaka wapige simu ahsante 🙏🙏🙏🙏.
Vp huu mfumo kwa yale maeneo yenye maji mengi chini(chemchem) unaweza kuondoa changamoto ya maji kujaa hasa nyakati za mvua?
Acheni kudanganya watu kwamba hiyo choo haijai sio kweli labda ukisema inachukuwa muda kujaa
Ni sawa unatushauri vizuri hujibu sms za watu hata kama uko bize ni vema ukamjibu mtu
Much luv sir with your team 🎉🎉🎉❤❤
So mnajifanyia advertising ya kazi zenu,,,but tatizo maongezi kwenye show hii ni mengi bri,,anywats congratulations kwa technology hiyo
Mbona bomba iko juu sana
Mr house choo hicho nampenda kujua gharama Yake tafadhali
Kazi safi sana
Bei mhmm kaka tafadhali
well good job solute
Gharama yake ni sh.ngapi
Kaka namimi nahitaji kuongea nawewe tafadhali
Nakukubali kinoma
Tafadhali hicho Naomba nijuegharamayake
Unaelimisha vizuri Lakin una bei ambazo zinamkatisha mtu kujenga
Sh ngapi
Naomba kujua beiyake
Kilichoendelea kwenye hii picha ni nini? Hatukuona finishing yake sasa. Ilo shimo ilikuaje hamjaeleweka vzr.
Gharama Yake kiasi gani?
Wala apo hamna jipya kwamaana hiyo choo haina tofauti ya mashimo ya septic na soak way pit
Kaka kamahutojali niambie hikichoo beiyake kukiandaa mpaka kinaisha namie nakihitajia kwangu nikuite
Namimi nahitaji pia atujibu 😢
Gharma yake ikoje na mm nimekipenda
Kaka ss tunae taka kujenga mikoan inakuaje
Kwann ucwekwe tee ap kama emergence faza ikitokea imeziba
Samahani usi zalau mesejiyangu
Hapo akipanda mboga zitasitawi kweli
Yes sir
Mpaka kinaisha bei gani
Mbona mashimo mafupi inakuaje yasijae
👍👍👍
Kaka zingatia mambo ya copyright usipende Sana kutumia nyimbo
How much does it cost
Nimekipenda aisee
Unapenda chooo
Sasa wa mikoan wanapataje hiyo dizain
Yumkini unashauri na kufanya kazi nzuri..lakini hii video kiufundi hauelezei namna choo hicho kinafanya kazi ni kwa vipi hakijai??
Izo choo ni bei gani?
Nime penda
Yaaan kaka Mungu akubariki sana wallah. Na akuhifadh upate kutusaidia . Nmeipenda iyo kdgo nakutafuta sana ckupati
Kaka hilo shims lachoo mpaka li akamilika linagalimu kiasigani chapeau ujekwangu mbezi nahitaji shimokama hilo
unafanya kazi mzuri sana kaka hongereni sana hila jitahidi uje unajibu comment hata kwa uchache hili watu wapate huelewa zaidi sio mpaka wapige simu ahsante 🙏🙏🙏🙏.
Vp huu mfumo kwa yale maeneo yenye maji mengi chini(chemchem) unaweza kuondoa changamoto ya maji kujaa hasa nyakati za mvua?
Acheni kudanganya watu kwamba hiyo choo haijai sio kweli labda ukisema inachukuwa muda kujaa
Ni sawa unatushauri vizuri hujibu sms za watu hata kama uko bize ni vema ukamjibu mtu
Much luv sir with your team 🎉🎉🎉❤❤
So mnajifanyia advertising ya kazi zenu,,,but tatizo maongezi kwenye show hii ni mengi bri,,anywats congratulations kwa technology hiyo
Mbona bomba iko juu sana
Mr house choo hicho nampenda kujua gharama Yake tafadhali
Kazi safi sana
Bei mhmm kaka tafadhali
well good job solute
Gharama yake ni sh.ngapi
Kaka namimi nahitaji kuongea nawewe tafadhali
Nakukubali kinoma
Tafadhali hicho Naomba nijuegharamayake
Unaelimisha vizuri Lakin una bei ambazo zinamkatisha mtu kujenga
Sh ngapi
Naomba kujua beiyake
Kilichoendelea kwenye hii picha ni nini? Hatukuona finishing yake sasa. Ilo shimo ilikuaje hamjaeleweka vzr.
Gharama Yake kiasi gani?
Wala apo hamna jipya kwamaana hiyo choo haina tofauti ya mashimo ya septic na soak way pit
Kaka kamahutojali niambie hikichoo beiyake kukiandaa mpaka kinaisha namie nakihitajia kwangu nikuite
Namimi nahitaji pia atujibu 😢
Gharma yake ikoje na mm nimekipenda
Kaka ss tunae taka kujenga mikoan inakuaje
Kwann ucwekwe tee ap kama emergence faza ikitokea imeziba
Samahani usi zalau mesejiyangu
Hapo akipanda mboga zitasitawi kweli
Yes sir
Mpaka kinaisha bei gani
Mbona mashimo mafupi inakuaje yasijae
👍👍👍
Kaka zingatia mambo ya copyright usipende Sana kutumia nyimbo
How much does it cost
Nimekipenda aisee
Unapenda chooo
Sasa wa mikoan wanapataje hiyo dizain
Yumkini unashauri na kufanya kazi nzuri..lakini hii video kiufundi hauelezei namna choo hicho kinafanya kazi ni kwa vipi hakijai??
Izo choo ni bei gani?
Nime penda
Hapo akipanda mboga zitasitawi kweli