KUFAHAMU BEI ZA KILA AINA YA BATI. BEI ZA VIWANDANI NA WAKATI GANI BEI ZINAKUWA MORE AFFORDABLE. 🏠
Вставка
- Опубліковано 5 сер 2024
- PUNGUZA GHARAMA YA UJENZI KWA KUNUNUA BIDHAA KUTOKA KIWANDANI.
TALKING FROM EXPERIENCE, NYUMBA YA 60M INAWEZA KUKAMILIKA KWA 43.7M HADI 50M. FUATILIA KWA UMAKINI VIDEO ZETU ILI UINGIE KWENYE UJENZI UKIWA INFORMED.
KARIBU SANA🤗
0:00 - intro
0:55 - Bati za kawaida G30
1:44 - Bati la kawaida G28
2:57 - Vipimo Maalum
3:10 - Bati la Chengachenga
3:37 - Versatile Bati ya Vigae
4:31 - Bati ya Mandarin
5:06 - Best time to Buy
5:55 - Outro
Anaeleweka vizur sana
Ok
Changamoto nyingine ya hizi bati ni kupauka, bati umenunua kiwandani kwa bei ya juu kisha ndani ya mwaka bati imepauka
Ukiaza kiswahili malizA na kiswahili engine shule atujaenda
Hivi ziko bati za rangi ya mafuta na rangi ya maji??
Naomba orodha ya majina ya viwanda vya mabati vya Dar es Salaam, na mahali vilipo na namba zao za simu.
Mm nashanga vizngu
Good video, informative. Mna bati transparent?
Shukran🙏 Nitumie msg whatsapp nikutumie namba za kiwandani. Mimi ni mjenzi, nilitembelea tu viwanda ili nielimishe wateja.
@@halisibuilderstznamba ya simu
Jee ww una pat8kn wp
Ushauri wangu jitahidi kutumia lugha ya kiswahili mwanzo mwisho kama ni english nayo hiwe hivyo hivyo ,,maake bila hivyo uweleweki
Hiyo gage 28 elf 36,500 ni kwa meter ama?
hii ni bei ya bati la kawaida lenye urefu wa Mita 3.3, gauge 28 dk ya 1:44
Mbona material ya changa hujataja bei ya geji 28
@rosemaryalbert1154 16,500 per Meter. Sikiliza hapa 3:29
Habari ya uzima
Namba zenu tunazipataje?
Salama, Tunashkuru Mungu. 0787 980 031.
Bro una WhatsApp ?
Ndio, 0787 980 031
Karibu
Huko wapi na nitumie WhatsApp number please
Tunapatikana Dar. 0787 980 031