Ikawe heri kwa wachezaji wote na benchi la ufundi, kwa neema ya Mungu tujaliwe kuwa na msimu bora zaidi wenye mafanikio makubwa, kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.
Modern Club in Tanzania 🇹🇿 Dar Young Africa Chama la Kibabe 💪 💪 💪 Lenye Malengo Makubwa Mnoo. Mamelodi Sun Down Wajiandae Maana Moto Huu Ukianza Kuwaka Hakuna wa Kuuzima. Tanaenda Hadi Nusu Fainal na ikiwezekana tunafika Fainal. Hata Motsepe Anajua....🎉🎉🎉🎉🎉❤❤😂❤😂😂❤😂🎉🎉🎉
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Ikawe heri kwa wachezaji wote na benchi la ufundi, kwa neema ya Mungu tujaliwe kuwa na msimu bora zaidi wenye mafanikio makubwa, kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.
i like 👊👊👊
Amen
Ameen
Inshallah
Amen❤❤
Safi sana wanajeshi wetu 🎉🎉🎉 pambaneni tuko nanyi kwa maombi
Safi sana viongozi wetu na wachezaji kujali kazi yenu kwa kuwahi kuriport kazini
Kila la kheri timu yangu pendwa mungu awatangulie katika maandalizi ya msimu ujao, YOUNG AFRICANS💚💚💛🙏🙏
Mko vizuri sana God bless you all management of yanga Africans club
Ss wanachama na mashabiki wa yanga African tupo nyuma yenu na nyuma ya timu yetu, kwa kumuomba mwenyezi mungu awake afraid njema. Amina
Safi sana chama langu,mungu awe nanyi kwa msimu huu ligi ulianza,tuko pamoja sana wananchi
Waooo safi sana wananchi. Mungu wa mbinguni awasimamie
comment ya kwanza piga like
Ume comment nini sasa
Like za jeshi apa 🤙
MUNGU Akawatangulie Na Kuwafanikisha Kwa Kila Jambo Ukawe Ni Msimu Wenye Mafanikio Makubwa 🔰💚💛
Mungu ijalie timu yangu iwe bora zaidi ya msimu ulioisha tuepushie majeruhi❤❤❤❤
Hongerni sana Mungu awaoe nguvu zaidi
Mwenyezimungu awalinde ktk mwaka 24..25 ktk kazi zenu dua kwenu nimuhimu kwetu In sha A llah Allah kariim🎉🎉
Modern Club in Tanzania 🇹🇿 Dar Young Africa Chama la Kibabe 💪 💪 💪 Lenye Malengo Makubwa Mnoo. Mamelodi Sun Down Wajiandae Maana Moto Huu Ukianza Kuwaka Hakuna wa Kuuzima. Tanaenda Hadi Nusu Fainal na ikiwezekana tunafika Fainal. Hata Motsepe Anajua....🎉🎉🎉🎉🎉❤❤😂❤😂😂❤😂🎉🎉🎉
Nakubali chama langu💚💛💚💛
Mungu awaongoze yanga yetu
Nguvu moja maisha marefu mwenyezi mungu awatangulie majembe yetu inshaallah
Mungu ibariki tmi yawananchi kazi iendelee 2anzie 2lipoishia inshaalah 2po pamoja
💛💛💚💚daima mbele nyuma mwiko
Namuomba M/Mungu awajaalie nusra na ulinzi timu yote kwa ujumla Inshaallah
Mungu abariki kikoso chetu cha wananchi by daudi mkondya nikiwa hapa bukoba
Hamnaga show mbovu 🎉 milele love young Afc
Eebwana weeeh ! Waaooh ! Daima mbele , kila la kher chama langu
Safi.tunamatumaini makubwa na timu yetu
Kwa kweli nimemuona mwanangu Danis Nkane anapasha saf sana
Yanga yangu na wapenda sana nyoteee mwaaaaaa yanga
Hongera sana viongozi wetu ikawe kheri kwa msimu ujao
Mchezaji wangu max nzengeli yule pale
Ikawe her kwa timu yetu safar hii Africa ikasimame na kushuhudia ubingwa ukija tanzania
Daima mbele nyuma mwiko
Hakika msimu huu tutafika nusu fainal.Caf💚💚💚👉💪
Meneja wetu huyo🎉🎉🎉
Kwani vp kuhusu Aziz k mbona hamsemi chochote 🥺🙄
Kila la kheri Vijana🤲🤲💛💚
Allah awasimamie mwanzo haad mwisho wa msimu
kuna watu hawataleta team
Kila la kher wananchiiiiiiiiiiiiiiiiii
Naitakia Mafanikiho mema time yangu Ya yanga piya nawaombea muwe na Afya njema
Yanga Bingwa💛💚
Team Iko Iko tayari poa sana nasisi mashabiki tuko tayari 💚💚💚💚
Ikawe kheri ishaalla
Kila lakheri wananchiiiiiii tupo pamoja inshaallah
Tim kubwa daima mbele kwa mbele❤❤❤❤
Mambo fresh sana
All da best wananchi.
Ongera mungu awabariki
Tunawaombea sana kwa Mungu.
Mungu ibariki safari yetu ya club Bingwa
Mungu akabarik
Allalh ataweka wepesi insha allalh
Kila la her wananchi mungu akawatanguli kila hatua mtakayopiga🙏🙏
nawakubali san wanajesh wa vita
Saf sna tim yangu pendwa
Allaah Akbar
Msimu ndio tunauanza namna hii!!! Kila la heri kwetu ukawe msimu bora na wenye mafanikio tele
💚💚💚
Kuna watu wameenda kuzulula
Maulid kitenge kaharibu hali ya hewa kuhusu @ Aziz ki kwamba hajasaini kuwa Rais kathibitisha hilo leo akiwa South Afrika
Nawapenda sana wananchi ❤
kila la kheri wananch once again
Mungu pamoj nasi
Nakubali sana
Munguu n mwema
Adi raha
👍
Vamos wananchi
M/mungu awatangulie
Allah walinde wachezaji wetu na watu wenye chuki na sisi
Wakina mama Debora wameenda misri ngoja wakapake rangi kucha wakirudi watakuwa wamependeza tar 8 tukawachumbie
Vizr sana naimani tutafika kwenye mafanikio
❤❤
yanga bingwa
Nice
Jaman azz yuko wp mbona naskia moyo unashtuka
Maneno makubwa ni malengo makubwa big young Africa Sports club
❤❤❤
Hakika tutazidi kunawili
💛💚
Yanga Sc Bingwa 🔰
💪
Mashaallah
Nimemuona roho yangu jezi imempendeza kawa mwepe aiiiii🙈
Yanga bingwa 😅
🎉🎉🎉🎉
🙏🙏
Acha wakazungushe sketi zao huko wakirudi hapa wanaanza oooh GSM kadhamini timu nyingi
Viongozi hamna baya timu ipo 3:56
🤲🤲🤲
Wananch mmetisha
💚💛
Nimefurahi kuwepo Msonda
KAZI KAZI... HAINA KUPOA!!
Daima mbele Nyuma mwiko
Hongeleni tunateĝmea mazuli kwenu jaman
Nimemiss sana kikosi changu hata tv siangali sipati boll lakutupa furaha
Moooto wananchiii wa moooto
Daima mbele nyuma mwiko tunaimani na nyinyi jeshi letu
Chama awahi hapa siyo kwa makolo
Daimambele