RATIBA YA KIKOSI CHA YANGA IKO HIVI/ MENEJA WALTER AFUNGUKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лип 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 153

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 13 днів тому +12

    MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @user-ql6hg7fy9p
    @user-ql6hg7fy9p 13 днів тому +27

    Ikawe heri kwa wachezaji wote na benchi la ufundi, kwa neema ya Mungu tujaliwe kuwa na msimu bora zaidi wenye mafanikio makubwa, kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 13 днів тому +10

    Safi sana wanajeshi wetu 🎉🎉🎉 pambaneni tuko nanyi kwa maombi

  • @user-fw2jk3mx7g
    @user-fw2jk3mx7g 13 днів тому +10

    Safi sana viongozi wetu na wachezaji kujali kazi yenu kwa kuwahi kuriport kazini

  • @saumbakar7643
    @saumbakar7643 13 днів тому +3

    Kila la kheri timu yangu pendwa mungu awatangulie katika maandalizi ya msimu ujao, YOUNG AFRICANS💚💚💛🙏🙏

  • @NeemaValentina
    @NeemaValentina 11 днів тому

    Mko vizuri sana God bless you all management of yanga Africans club

  • @user-zv3rm3st3b
    @user-zv3rm3st3b 13 днів тому +2

    Ss wanachama na mashabiki wa yanga African tupo nyuma yenu na nyuma ya timu yetu, kwa kumuomba mwenyezi mungu awake afraid njema. Amina

  • @amaniandrew534
    @amaniandrew534 13 днів тому +1

    Safi sana chama langu,mungu awe nanyi kwa msimu huu ligi ulianza,tuko pamoja sana wananchi

  • @magrethmakauki235
    @magrethmakauki235 13 днів тому +2

    Waooo safi sana wananchi. Mungu wa mbinguni awasimamie

  • @AdyanMbuyu
    @AdyanMbuyu 13 днів тому +13

    comment ya kwanza piga like

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u 13 днів тому +8

    Like za jeshi apa 🤙

  • @apostleisaacnyika4669
    @apostleisaacnyika4669 13 днів тому +2

    MUNGU Akawatangulie Na Kuwafanikisha Kwa Kila Jambo Ukawe Ni Msimu Wenye Mafanikio Makubwa 🔰💚💛

  • @josephatkibona2814
    @josephatkibona2814 12 днів тому

    Mungu ijalie timu yangu iwe bora zaidi ya msimu ulioisha tuepushie majeruhi❤❤❤❤

  • @AnnaChami-ew4cy
    @AnnaChami-ew4cy 12 днів тому

    Hongerni sana Mungu awaoe nguvu zaidi

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman3885 13 днів тому

    Mwenyezimungu awalinde ktk mwaka 24..25 ktk kazi zenu dua kwenu nimuhimu kwetu In sha A llah Allah kariim🎉🎉

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 12 днів тому

    Modern Club in Tanzania 🇹🇿 Dar Young Africa Chama la Kibabe 💪 💪 💪 Lenye Malengo Makubwa Mnoo. Mamelodi Sun Down Wajiandae Maana Moto Huu Ukianza Kuwaka Hakuna wa Kuuzima. Tanaenda Hadi Nusu Fainal na ikiwezekana tunafika Fainal. Hata Motsepe Anajua....🎉🎉🎉🎉🎉❤❤😂❤😂😂❤😂🎉🎉🎉

  • @alfasilasi5286
    @alfasilasi5286 12 днів тому

    Nakubali chama langu💚💛💚💛

  • @user-sp5hl7ub9z
    @user-sp5hl7ub9z 12 днів тому +1

    Mungu awaongoze yanga yetu

  • @ziadamuhunzi6210
    @ziadamuhunzi6210 13 днів тому +3

    Nguvu moja maisha marefu mwenyezi mungu awatangulie majembe yetu inshaallah

  • @BectMaridadi
    @BectMaridadi 12 днів тому

    Mungu ibariki tmi yawananchi kazi iendelee 2anzie 2lipoishia inshaalah 2po pamoja

  • @nyagoonline7986
    @nyagoonline7986 13 днів тому +3

    💛💛💚💚daima mbele nyuma mwiko

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 13 днів тому

    Namuomba M/Mungu awajaalie nusra na ulinzi timu yote kwa ujumla Inshaallah

  • @DAUDIMNKONDYA-w6r
    @DAUDIMNKONDYA-w6r 13 днів тому

    Mungu abariki kikoso chetu cha wananchi by daudi mkondya nikiwa hapa bukoba

  • @mackford4698
    @mackford4698 12 днів тому

    Hamnaga show mbovu 🎉 milele love young Afc

  • @user-zx1vk9pr1w
    @user-zx1vk9pr1w 13 днів тому +1

    Eebwana weeeh ! Waaooh ! Daima mbele , kila la kher chama langu

  • @FaustinaMkama
    @FaustinaMkama 13 днів тому +3

    Safi.tunamatumaini makubwa na timu yetu

  • @JuliusMnkondo-fk9kv
    @JuliusMnkondo-fk9kv 13 днів тому

    Kwa kweli nimemuona mwanangu Danis Nkane anapasha saf sana

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 12 днів тому

    Yanga yangu na wapenda sana nyoteee mwaaaaaa yanga

  • @malick_jrzramadhan7298
    @malick_jrzramadhan7298 13 днів тому

    Hongera sana viongozi wetu ikawe kheri kwa msimu ujao

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 13 днів тому +4

    Mchezaji wangu max nzengeli yule pale

  • @user-kx2lw1fc3w
    @user-kx2lw1fc3w 11 днів тому

    Ikawe her kwa timu yetu safar hii Africa ikasimame na kushuhudia ubingwa ukija tanzania

  • @feruzifeisaly-nh6ou
    @feruzifeisaly-nh6ou 13 днів тому +4

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @reginardmrl5283
    @reginardmrl5283 13 днів тому

    Hakika msimu huu tutafika nusu fainal.Caf💚💚💚👉💪

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 12 днів тому

    Meneja wetu huyo🎉🎉🎉

  • @user-gg3rl2ru8u
    @user-gg3rl2ru8u 13 днів тому +1

    Kwani vp kuhusu Aziz k mbona hamsemi chochote 🥺🙄

  • @aminangano3635
    @aminangano3635 12 днів тому

    Kila la kheri Vijana🤲🤲💛💚

  • @B.M-ix4rz
    @B.M-ix4rz 13 днів тому +1

    Allah awasimamie mwanzo haad mwisho wa msimu

  • @ibrahimomary1386
    @ibrahimomary1386 13 днів тому +4

    kuna watu hawataleta team

  • @MossiSaadat
    @MossiSaadat 13 днів тому +4

    Kila la kher wananchiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @habibumavulla
    @habibumavulla 13 днів тому

    Naitakia Mafanikiho mema time yangu Ya yanga piya nawaombea muwe na Afya njema
    Yanga Bingwa💛💚

  • @mussakefa2439
    @mussakefa2439 13 днів тому

    Team Iko Iko tayari poa sana nasisi mashabiki tuko tayari 💚💚💚💚

  • @ArafatAlly-b3n
    @ArafatAlly-b3n 13 днів тому +1

    Ikawe kheri ishaalla

  • @aminakhamis2276
    @aminakhamis2276 13 днів тому +1

    Kila lakheri wananchiiiiiii tupo pamoja inshaallah

  • @abubakaliyahaya2968
    @abubakaliyahaya2968 13 днів тому

    Tim kubwa daima mbele kwa mbele❤❤❤❤

  • @patrickndizeye2190
    @patrickndizeye2190 13 днів тому +2

    Mambo fresh sana

  • @MAJALIWAMASSANGA
    @MAJALIWAMASSANGA 13 днів тому +1

    All da best wananchi.

  • @sarangajohn9338
    @sarangajohn9338 13 днів тому +1

    Ongera mungu awabariki

  • @joelkamanda1013
    @joelkamanda1013 13 днів тому

    Tunawaombea sana kwa Mungu.

  • @shomarisangari-rt6le
    @shomarisangari-rt6le 13 днів тому

    Mungu ibariki safari yetu ya club Bingwa

  • @PatrickMalema-f9s
    @PatrickMalema-f9s 11 днів тому

    Mungu akabarik

  • @HawaAlznezbar
    @HawaAlznezbar 12 днів тому

    Allalh ataweka wepesi insha allalh

  • @dominamushi7171
    @dominamushi7171 13 днів тому

    Kila la her wananchi mungu akawatanguli kila hatua mtakayopiga🙏🙏

  • @AlexIsubila
    @AlexIsubila 12 днів тому

    nawakubali san wanajesh wa vita

  • @allyforodha2303
    @allyforodha2303 13 днів тому +1

    Saf sna tim yangu pendwa

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 13 днів тому +1

    Allaah Akbar

  • @maestrokiss7245
    @maestrokiss7245 13 днів тому +1

    Msimu ndio tunauanza namna hii!!! Kila la heri kwetu ukawe msimu bora na wenye mafanikio tele

  • @yosayocomedytz
    @yosayocomedytz 13 днів тому +3

    💚💚💚

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u 13 днів тому +3

    Kuna watu wameenda kuzulula

  • @michaeljames403
    @michaeljames403 13 днів тому

    Maulid kitenge kaharibu hali ya hewa kuhusu @ Aziz ki kwamba hajasaini kuwa Rais kathibitisha hilo leo akiwa South Afrika

  • @LeonardRuteangwa
    @LeonardRuteangwa 13 днів тому

    Nawapenda sana wananchi ❤

  • @JumaMngumba-123
    @JumaMngumba-123 11 днів тому

    kila la kheri wananch once again

  • @Alexismadimo
    @Alexismadimo 13 днів тому

    Mungu pamoj nasi

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela3751 12 днів тому

    Nakubali sana

  • @GregoriRafael-je1sd
    @GregoriRafael-je1sd 13 днів тому

    Munguu n mwema

  • @simonwenceslaus3745
    @simonwenceslaus3745 13 днів тому +1

    Adi raha

  • @ReeMsafi
    @ReeMsafi 13 днів тому

    👍

  • @HajiTarimo
    @HajiTarimo 13 днів тому

    Vamos wananchi

  • @thuwaibamkana9691
    @thuwaibamkana9691 13 днів тому

    M/mungu awatangulie

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 13 днів тому

    Allah walinde wachezaji wetu na watu wenye chuki na sisi

  • @EliaMkumbo-wn7bm
    @EliaMkumbo-wn7bm 13 днів тому

    Wakina mama Debora wameenda misri ngoja wakapake rangi kucha wakirudi watakuwa wamependeza tar 8 tukawachumbie

  • @Gabriel-q7x1f
    @Gabriel-q7x1f 13 днів тому

    Vizr sana naimani tutafika kwenye mafanikio

  • @LukindoMchome-qv3vo
    @LukindoMchome-qv3vo 13 днів тому

    ❤❤

  • @mailulaamani
    @mailulaamani 13 днів тому +1

    yanga bingwa

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini 13 днів тому

    Nice

  • @user-hb2nn6ud2d
    @user-hb2nn6ud2d 13 днів тому

    Jaman azz yuko wp mbona naskia moyo unashtuka

  • @gerardyoung1707
    @gerardyoung1707 13 днів тому

    Maneno makubwa ni malengo makubwa big young Africa Sports club

  • @asiahamisi-lo5lw
    @asiahamisi-lo5lw 12 днів тому

    ❤❤❤

  • @NTIYABALIWEBUTEME
    @NTIYABALIWEBUTEME 13 днів тому +2

    Hakika tutazidi kunawili

  • @user-xy8kl9wd2i
    @user-xy8kl9wd2i 13 днів тому

    💛💚

  • @MoajGraphics
    @MoajGraphics 13 днів тому

    Yanga Sc Bingwa 🔰

  • @hamisiyangakozwe147
    @hamisiyangakozwe147 13 днів тому

    💪

  • @athumanishabani1143
    @athumanishabani1143 13 днів тому

    Mashaallah

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 13 днів тому

    Nimemuona roho yangu jezi imempendeza kawa mwepe aiiiii🙈

  • @salemarahbi9171
    @salemarahbi9171 12 днів тому

    Yanga bingwa 😅

  • @lilamaganga2690
    @lilamaganga2690 13 днів тому

    🎉🎉🎉🎉

  • @user-cb4mt3fb7p
    @user-cb4mt3fb7p 13 днів тому

    🙏🙏

  • @EliaMkumbo-wn7bm
    @EliaMkumbo-wn7bm 13 днів тому

    Acha wakazungushe sketi zao huko wakirudi hapa wanaanza oooh GSM kadhamini timu nyingi

  • @dicksonngasapa7007
    @dicksonngasapa7007 13 днів тому

    Viongozi hamna baya timu ipo 3:56

  • @AbbyBakari-ix4hi
    @AbbyBakari-ix4hi 13 днів тому

    🤲🤲🤲

  • @ShimaKaheto
    @ShimaKaheto 13 днів тому +1

    Wananch mmetisha

  • @jackobchavala3384
    @jackobchavala3384 13 днів тому

    💚💛

  • @user-eu6gl4vs1o
    @user-eu6gl4vs1o 13 днів тому

    Nimefurahi kuwepo Msonda

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 13 днів тому

    KAZI KAZI... HAINA KUPOA!!

  • @DicksonNasibu-tv7vr
    @DicksonNasibu-tv7vr 13 днів тому

    Daima mbele Nyuma mwiko

  • @AinessAmani
    @AinessAmani 13 днів тому

    Hongeleni tunateĝmea mazuli kwenu jaman

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman3885 13 днів тому

    Nimemiss sana kikosi changu hata tv siangali sipati boll lakutupa furaha

  • @OmariGidion
    @OmariGidion 13 днів тому +1

    Moooto wananchiii wa moooto

  • @shaabanabdallahkhamisi4089
    @shaabanabdallahkhamisi4089 13 днів тому

    Daima mbele nyuma mwiko tunaimani na nyinyi jeshi letu

  • @nasibmussa2014
    @nasibmussa2014 13 днів тому

    Chama awahi hapa siyo kwa makolo

  • @Hajj-ou4ux
    @Hajj-ou4ux 13 днів тому

    Daimambele