Mlefi namuona Mungu katika mafundisho haya,ila baba mchungaji hofu yangu ni kwamba wakristo wengi hatüna elimu hii,tunafikiri tunaokolewa kwa kushika amri bila Yesu..mmmh Mungu akupe mafunuo zaidi maana unatusaidiå ili tuokolewe.
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu,Dorcah Bonareri Kenyan from Saudi Arabia you are always blessing unto me unainua imani yangu kila ujao jameni, May God’s grace be upon you
Ni kweli ata mmi hapa naunga uyo mtoto mkono yani saitan akachomwe yeye mwenyewe, kuliko kusabishia watu wengine moto 🤣🤣🤣🤣 ila nimebarikiwa sana na ninaendelea kujifunza mengi kupitia mahubiri TV is the best 👌 my choice barikiwe sana mchungaji 🙏🙏🙏
Kazi ya zaka hii hapa Hesabu 18:24 Kwa kuwa zaka ya wana wa Israeli, waisongezayo kuwa sadaka ya kuinuliwa kwa BWANA, nimewapa Walawi kuwa urithi wao; kwa hiyo nimewaambia, ya kwamba, katika wana wa Israeli hawatakuwa na urithi uwao wote. Msaada kwa maskini huu hapa Kumbukumbu la Torati 15:11 Kwa maana maskini hawatakoma katika nchi milele; ndipo ninakuamuru na kukuambia, Mfumbulie kwa kweli mkono wako nduguyo, mhitaji wako, maskini wako, katika nchi yako. ZAKA UTOE NA MASKINI PIA UWASAIDIE
Ujumbe wa mwisho utaupata kwa Mjumbe wa agano pekee, wengine wote ni waongo na watendakazi wa shetani agalia you tube MJUMBE AGANO upate semina ya ukamilifu wa kristo.
@@IsackSamson-yo5wg Malaki 3 1-2. 4:1-6. Isaya 42:-9. Mathayo 17:11. Marko 9:12. Ufunuo wa Yohana 19:11-16. Daniel 2:44-45. Huyo ndiye mwalimu pekee wa mataifa yote, mfano kama Musa alivyopewa agano la mwilini. Huyu amepewa la rohoni. Kub Tor 18-19. Katika siku ya Bwana kuwa katika roho, ufunuo wa Yohana 1:10-20.
Mm ni mlokole lkn huyu mchungaji nampenda sana. Anafundisha vzr kabisa.
Jameni Pastor Mbaga..
Mafundisho yako hua unaieka vizuri sana hadi mtu anaelewa
Asante kwa kunikuza kila mara kiimani....Barikiwa sana
Kweli hatuokolewi kwa kutii amri.amen tukiokolewa tunatii.aamen
ILA WALIOKOLEWA WATAPEWA NEEMA YA KUTII
May God bless you David for making me to grow spiritual
Pastor unaniconvice coz you're so really I wish to worship in your church
Amina
Mungu akubariki sana pr David Mmbaga na Watumishe wote Muhubiri tv
Namtukuza Mungu anavokupa mafunuo ya kutupa mifaño inayoêndana namaisha yetu ya sasa nakuelewa Sana.
Kwa kweli Mungu akubariki sana.
Barikiwa sna mtumishi na mungu azidi kukutumia kma chombo na azidi kukufinyanga
Mlefi namuona Mungu katika mafundisho haya,ila baba mchungaji hofu yangu ni kwamba wakristo wengi hatüna elimu hii,tunafikiri tunaokolewa kwa kushika amri bila Yesu..mmmh Mungu akupe mafunuo zaidi maana unatusaidiå ili tuokolewe.
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu,Dorcah Bonareri Kenyan from Saudi Arabia you are always blessing unto me unainua imani yangu kila ujao jameni, May God’s grace be upon you
Amen, be blessed pastor
Aminaa barikiwa sana pastor Mmbaga
Glory be to GOD ALMIGHTY for this awesome teaching. GOD bless you pastor for the good work done.
Asante sana Mchungaji wangu Mungu awe nasi daima.
Asante sana mtumishi kwa maarifa hayo mungu akubariki
Amen be blessed soo much pastor because since i started following you, you have make me near to God be blessed soo much pastor
Amen
Nimebarikiwa sana na hili somo mtu wa Mngu..
Kaka mm nakuelewa Sana mungu akubariki sana
Amina mchungaji
Amina
Ni kweli ata mmi hapa naunga uyo mtoto mkono yani saitan akachomwe yeye mwenyewe, kuliko kusabishia watu wengine moto 🤣🤣🤣🤣 ila nimebarikiwa sana na ninaendelea kujifunza mengi kupitia mahubiri TV is the best 👌 my choice barikiwe sana mchungaji 🙏🙏🙏
Amen 🙏
Aminaaa
Kwa nini hatuna Malika weusi 🤔🤔🤔🤔🤔🤔 kama Hanna mweuzi I don't want to go to that heaven 🤔🤔
We have been lied to let the truth be told
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
GOD bless you pastor
😂😂😂 mchungaji ni psychologist nmekukibali "kwamba back ground yetu ni malaika watatu"
AMINA
Mchungaji nauliza swali hilo tu Daniel kauliza. Ikiwa ile sehemu ya sadaka yangu nimeamua kuwapa wasiojiweza, bado inahesabiwa ikiwa sadaka?
Kazi ya zaka hii hapa
Hesabu 18:24 Kwa kuwa zaka ya wana wa Israeli, waisongezayo kuwa sadaka ya kuinuliwa kwa BWANA, nimewapa Walawi kuwa urithi wao; kwa hiyo nimewaambia, ya kwamba, katika wana wa Israeli hawatakuwa na urithi uwao wote.
Msaada kwa maskini huu hapa
Kumbukumbu la Torati 15:11 Kwa maana maskini hawatakoma katika nchi milele; ndipo ninakuamuru na kukuambia, Mfumbulie kwa kweli mkono wako nduguyo, mhitaji wako, maskini wako, katika nchi yako.
ZAKA UTOE NA MASKINI PIA UWASAIDIE
Ujumbe wa mwisho utaupata kwa Mjumbe wa agano pekee, wengine wote ni waongo na watendakazi wa shetani agalia you tube MJUMBE AGANO upate semina ya ukamilifu wa kristo.
Mjumbe wa agano ndy mtu gan huyo
@@IsackSamson-yo5wg Malaki 3 1-2. 4:1-6. Isaya 42:-9. Mathayo 17:11. Marko 9:12. Ufunuo wa Yohana 19:11-16. Daniel 2:44-45. Huyo ndiye mwalimu pekee wa mataifa yote, mfano kama Musa alivyopewa agano la mwilini. Huyu amepewa la rohoni. Kub Tor 18-19. Katika siku ya Bwana kuwa katika roho, ufunuo wa Yohana 1:10-20.
Amen
Amen