Uko sawa mzee magoma ipo siku wataelewa kuwa yanga inajiendesha kwahera zake haiwezekani mzamini asimamie rasilimali zote kwakweri hapa inasumbua erim tu
Nilifikiri tatizo ni kubwa kumbe shida ni mawasiliano. Mahali ukiona kuna magomvi au tofauti ujue hakuna mawasiliano. Mzee anasema mali bila daktari hupotea bila taarifa Sasa kwa nini Mzee anaitwa mchawi wakati anasema itumike technologia ya zoom meeting Kwa kifupi kuna upigaji lazima Mzee atapingwa Anataka kumnyang'anya paka kitoweo
Sisi wananchi wa nje Dar (mikoani) tunahitaji furaha tu..yanga washindeeee.. tuuze vinywaji,betting tupige hela,tunauza merchandise za yanga balaa.. mzee acha roho mbaya,ukalee wajukuu
Yanga wamekwenda Shule wewe na magoma ndiyo hanjaeda Shule mnacholilia ni vurugu tunakwenda na Uwakilishi kama Bunge siyo wanachama wote twende mkutànoni. Je walioko Nje ya Dar. Acha ubinafsi
Sie tukisema mzee Cletus Chama kastaafu kama mkurugenzi wa bodi ya korosho na ameenda Nsssf kuchukua mafao yake mnabisha,,sasa mzee Magoma kawachana sasa😅😅😅
Alooh mwingine aliwahi kuibuka Kama mchungaji wa Taifa eti anaitabiria Yanga Far Beans Kuna kazi, ukikaribia uchaguzi,au usajili Mambo yanaanza mnamchafua Hadi Bibi wa Taifa
Waandishi hebu fuateni maagizo ya waziri mgogoro huu upelekwe wapi uongelewe vipi hamna ubunifu angalieni jinsi ya kuendesha media zenu na jinsi mnvyokusanya habari zenu kutaka kupaisha kazi kwa kushabikia fitina na kutia moto migogoro
Mzee magoma yuko makini sana 👏👏👏
Nampenda sana uyu mzee jibuni hoja
Ww😊😊
Mzee magoma kama Mandonga😀😀😀😀😀😀
Ila,magoma,kutikisa,unaweza,ich,nzima,magoma,,unawanyosha,baba
Mtangazaji ni mjinga sna mchochezi hakili ana kbs
We ndo fara yaani unakuwa kama nyumbu
😂😂huyo mtangazaji ni mwehu kweli eti ubaya ubwela mi mzee magoma
Chama mzee kumbee
😂😂😂
Wewe mzee acha zako hata kumlipa mchezaji mmja hauwezi Njaaa ni mbaya sana
UBAYA UBWELA, Nyuma Mwiko kumenoga 😂😂😂😂😂
Uko sawa mzee magoma ipo siku wataelewa kuwa yanga inajiendesha kwahera zake haiwezekani mzamini asimamie rasilimali zote kwakweri hapa inasumbua erim tu
Mtangazaji mbona uwezi kuhoji mtu hapa mjini wwe mgeni unajidai unamjua sana manara gari gari ulikuepo kipindi hicho acha ujinga
Nilifikiri tatizo ni kubwa kumbe shida ni mawasiliano. Mahali ukiona kuna magomvi au tofauti ujue hakuna mawasiliano. Mzee anasema mali bila daktari hupotea bila taarifa
Sasa kwa nini Mzee anaitwa mchawi wakati anasema itumike technologia ya zoom meeting
Kwa kifupi kuna upigaji lazima Mzee atapingwa
Anataka kumnyang'anya paka kitoweo
Sisi wananchi wa nje Dar (mikoani) tunahitaji furaha tu..yanga washindeeee.. tuuze vinywaji,betting tupige hela,tunauza merchandise za yanga balaa.. mzee acha roho mbaya,ukalee wajukuu
Hawa ndo wanafanya online TV tuzione za kikuma,ukiwa na uwezo wa kununua tecno na mic unajikuta mwandishi
huyo njaaaaa inamsumbua sasa mpeni hiyo katiba yake na familiya yake afu GSM NA KHERIS WACHUKUE YANGA YAO AFU MZEE MANGOMA ASAJILI
Ww ulikuwepo wapi kipindi cha yanga ya bakuli.. mbona hukutafuta watu Wenye pesa kujakuzamini yanga na ww ulikuwa mwachama ..
Kumbe mzungu poriiiii analewa mpaka anabinuka hahahaaaaaaaaa nimefurahi sanaaaaa
Gay kuku alikuwa number kotoplo
Magoma uko sahihi sana mie nimekuelewa kiundan kabisa tatizo wana yanga wengi shule amna
We mwenyenayo upo wap ?? Mbumbu wewe hujitambui nyambafu
Mkundu wako wewe
Yanga wamekwenda Shule wewe na magoma ndiyo hanjaeda Shule mnacholilia ni vurugu tunakwenda na Uwakilishi kama Bunge siyo wanachama wote twende mkutànoni. Je walioko Nje ya Dar. Acha ubinafsi
Matako yk bibi yk ndiyo anaelimu
Wewe ni simba
mhhhhh....HAPA KUNA HARUFU YA USALITI HAPA(UBAYA UBWELA)
Sie tukisema mzee Cletus Chama kastaafu kama mkurugenzi wa bodi ya korosho na ameenda Nsssf kuchukua mafao yake mnabisha,,sasa mzee Magoma kawachana sasa😅😅😅
Kiboko ya manara Mzee Yuko sawa unahakili sana mzee
Kama Manara na Ali ni simba, afu wakaja Yanga basi ni kheri, wamerudi nyumbani.
Mzee busara yake ndivyo inavyomuongoza kwa hayo anayoyasema
Magomaaaaa mnyooshe uyo mzungu poriiiii asiejielewa kumbe alikuwa tapeli
Mwandishi au mhuni2 hatumwelewi mbona?
Yaani mzee mswahili sna ni kuponda tuu utadhani anachangia ata 100 mzee ana roho mbaya sna
Sisi tupo na point zake na hoja anazo
Kwanza hapo unamhoji akiwa wapi , mbona kama nyumba yetu ya kijijini wewe ndio unautaka uraisi wa yanga ,
Mzee anatetea masrai ya club ila mashabiki wanataka furaha mapato na matumiz awajui
Huyu mzee inaonekana kama mkorofi sana kwa nini anafosi watu hawakutaki kwenye timu yao ila unaleta vurugu 😂😂😂😂😂😂
Mtangazaji na yeye Chawa wa Magoma😂😂
😂😂😂😂😂😂
mtangazaji ka shoga
Kwani huyu mtangazaji wa hiki k TV anashida gani na manara ? Au mpambe wa dulla makabila simuelewi??😢😢
Manara mlevi wa 'spirit of the nation'.. team manara mmeumbuka.
Mtangazaji umesahau wajibu wako,mbona kama umeende kupiga umbea.
Kumbe alikuwa kuku mzoefu gay , design na style ya kusingizia pombe kalewa, anaanguka, wahuni wa mwembe chai wanampa, gay na awezi kuacha, aibu.
Mzee magoma😂😂😂😂
Akaa kanahabari naona ndio kabasha ka Saleh Jembe naona kana mfira sana.
Hakuna mchawi anaependa maendelo, wachawi wengi ni maskin, na ndo maana huwezi ona tajili anafiatilia watu tofauti na kuwaza ataongeza vip kipato
Tv zingine njaa sana
Mikia juu et tunamsapoti magoma kweli watani mmevulugwa na yanga dua la kuku
Yanga mjibu hoja za mzee Magoma msipayukepayuke
Hiki unachokifanga mtangazaji kitakutokea puani ww unatumw na boso wako sarehe jembe na ku.fatisha huyo Alie pungukiwa fikra
Kwa hoja zake nimemuelewa.
mzeeh unaongea facts sana sema watu awawezi elewa kwasasa
Magoma unaruka ruka tu
Alooh mwingine aliwahi kuibuka Kama mchungaji wa Taifa eti anaitabiria Yanga Far Beans Kuna kazi, ukikaribia uchaguzi,au usajili Mambo yanaanza mnamchafua Hadi Bibi wa Taifa
Mzee anaipenda Yanga
Mambo yanakwenda yakijiongeza😅
😂😂😂Magoma ni shida hoja anazo
Magoma big up
Huyu mzee noma
Tunajua upo upande wapili umekengeuka na utuwezi na hao kina moza dej yanga daima mbele nyuma mwiko
Uyo mwandishi rofaa sana
Salehe hapo huna kijana anahoji mtu inaonyesha Hana Elim ya kazi hii ukitaka kujua angalia hayo mahojiano kati yake na Mzee Magoma utajua
Kazi ya huyu mtangazaji ni nini mtangazaji wa ovyo namna hii afai kbs au kapewa pesa
Mwanako mwenyewe hana adabu. Kakukana tabia zako
Mtangazaji kuma sana
Nwashaurini wanayanga huyu mzee ana mkono wa tembo hapo chini hrbu zipunguzeni kidogo apate size ya boxer
Waandishi hebu fuateni maagizo ya waziri mgogoro huu upelekwe wapi uongelewe vipi hamna ubunifu angalieni jinsi ya kuendesha media zenu na jinsi mnvyokusanya habari zenu kutaka kupaisha kazi kwa kushabikia fitina na kutia moto migogoro
Magoma yuko vzr ila mtangazaji pumbavu sana
Uyu mzee anatoa wapi hela ya wakili
Salehe jembe unaposti Mambo ya uchochozi upande w ya Kuma kweli ww
Sasahv anaye leta mgomo or kileta matatizo ni Saimoni na Ali kamwe? Duh?
Bugatti iiii😂😂😂
Hivi Kuna weledi wa uandishi hapo kweli ? Jembe midia itazama bahari kavu
We mzee mpumbavu una mambo ya kitahila unaonekana wazi uko upande wa pili kabisaa umetumwa
Mzee yupo poa mbona mnakuwa na wasiwasi wana jangwani
Yanga hawajibu hoja wanatukana na kudhihaki tu
Manar huyu mzee umuwezi
Aaaa kumbe ni Ali simba ni kweli na Baba yake ni simba sasa yeye awe Nani hasa
Wanasiasa wahangaike na mwehu?
MAKOLO MMEPATA PA KUJIFICHIA, FANYENI MAAANDALIZI MAZURI, HUYU MNYWA GONGO TUNAENDA KUMFUNGA TU...MFOJI SAHINI...
Njaa zitakuumiza wewe Mzee
MAGOMA vs MZUNGU PORI..acha tuone Mwisho wake..DADEKI 😅😅
Magoma TV ni noma inaenda kwa kasi
Sasa tunakuhakikishia usenge wako kawambie waliokutuma tutawaonyesheni
Eti albino
mahaba na mahabati
Wwmtangazaji pia nimnafikitu
Magoma kama Magoma
Mzee ni chizi ukapimwe akili kuendesha timu siyo maneno
Uyu mtangazaji shoga kumbe
Mzee hoja yake ina mashiko Uto hawajibu hoja watoa mitusi
Ulishapida muda wako toa upumbavu wako ktk club yetu pendwa kafuatane na hao wenzio wenda wazimu
Sasa kwani huyu kweli mwandishi kweli au choko
Manara ujanja wote analewa anaangusha gari.
Kuku, number gay wa kuanguka kusingizia pombe kumbe ni bwiga.
Mwandishi wewe ni mpumbavu hufanyi kazi yako kwa weledi huyo Magoma hajui lolote ni ziro cyo lzm awe Yanga
Jibuni hoja wanayanga so kumjia juu mzee
Mzee wakati ya yanga bakuli ilikuwa wapi?
Mtangazi na wewe duu unatangulia saana mbele muache mtu aongeee study again the notes
mzee wa ubwabwa unamsumbua tu njaaa
JAMANIEEE KIYAMA CHA SIMBA KINAKUJA ACHENI KUFIKIRIA MGOGORO HUO NI MTEGO 20 ZINAKUJA!
Watoto wadogo safari hii tunalipa kipigo
Una nyumba unaishi kwa mkeo
Magoma tv
Katoe nazi hiyo mzee
Wa.jina.akili.kubwa.nipo.na.wewe.sioni.wa.kujibu.hoja.zako
Kitangazaji hiki kichochezi
MAGOMA TV
hasa hayA yanakuhusu nini
Mtangazaji vp ww unahoj au unafanya nn
Mtangazaj akil hana
Huyu mwandishi kweli
Msivihukumu vyombo vya Habari mlaumuni anayeviita ili aongee
Huyu mwandishi Sio, Pia Ali kamwe amefanya vzr sana. Alf pili uwezi kuendesha vikao huku ukiwa online Sio kila mtu anabando.
mzee 7 uto🐸0