A wonderful and amazing man-made music from Marijani Rajab. For sure, this man was real talented and skillful.I can hear his hearty feelings in his compositions!.It's a lesson to young musicians who depend on computer made musics!.
Mbazigwa Hassan na Mtaalam wa Music Masoud Masoud, ambao mimi ninaona ndio wanaoishikilia roho ya TBC. Vijana ndani ya TBC naomba mjifunze kwa Papaa Mbazigwa Hassan na Mtaalam bingwa wa Muziki Masoud Masoud katika mambo ya miziki na mipangilio yake.
Dah! Nikisikiliza nyimbo hizi, naboreka mno na Bongo flava, maana hizi ndo nyimbo za mapenzi kweli! Siku hizi ni matusi tu manzoni mwisho!
Nikisikia wimbo huu nywele husimama, nakumbuka mbali miaka ya 1975, dah!
Alikuja pale Railways Club Gerezani mwaka huo.....nikiishi mtaa nyuma ya ile club
😢😢
Wacha ndugu yangu; enzi hizo tulikuwa tuanapa muziki waw kweli ambao haukuwa na producer wa kutumia computer
A wonderful and amazing man-made music from Marijani Rajab. For sure, this man was real talented and skillful.I can hear his hearty feelings in his compositions!.It's a lesson to young musicians who depend on computer made musics!.
Mbazigwa Hassan na Mtaalam wa Music Masoud Masoud, ambao mimi ninaona ndio wanaoishikilia roho ya TBC. Vijana ndani ya TBC naomba mjifunze kwa Papaa Mbazigwa Hassan na Mtaalam bingwa wa Muziki Masoud Masoud katika mambo ya miziki na mipangilio yake.
Dah !
Salama alijua kumuumiza Marijan
Dadadek,si kwa kulia huku.
Hadi inasisimua
Daah R.I.P. Jabari la Muziki Marijani Rajabu.😢
Dah! Hiyo sauti amakweli ardhi inameza watu na haishibi
Hatari sana brother hizi nyimbo zinakumbusha mbali sana wenzetu wametangulia ni dunia yenye maumivu makali sana ukikumbuka tulikotokea
Salama mtoto wa Safari trippers
Wimbo huu Marehemu Kassimu Mponda amepiga solo gitaa (scale) ya kiwango cha juu!
prof Della Shansi Kassim Mponda at his best
De La Chance @@mbarakadau7345
Redio yetu ya Taifa RTD,wanaita siku hizi TBC. Halafu wanatupigia miziki ya ajabu. Je nayo wameshaiuza?
😂😂 nakuambia we acha tu
Hii ni Kali sana
Alpha & Omega
Primary School at Chang’ombe
Jabali la muziki old is gold
JABALI ANAJUA KUBEMBELEZA SIO MCHEZO