Tanzania - Marijani Raajab - Namsaka Mbaya Wangu

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • Namsaka Mbaya Wangu by Marijani Raajab.

КОМЕНТАРІ • 125

  • @titongholo6261
    @titongholo6261 3 місяці тому

    Hakika Marijani Rajabu amistahili kabisa kuitwa Jabali la Muziki Tanzania kutokana na tungo zake zenye mafundisho na zinazoishi mpaka sasa hivi.

  • @mrmsomali766
    @mrmsomali766 7 місяців тому +2

    Just compare this lovely poetic song from Jabali Marijani Rajab, with the bongo flavour songs!!!!
    Kweli Marijani, Mbaraka Mwinshehe and Salim Abdallah were very talented and genius.
    Legends.

  • @husnamohamed9448
    @husnamohamed9448 6 років тому +5

    Ujumbe kwenye mziki haswaaa.Wachana na hawa vijana wa sasa wanaocheza na kushika mapumbu

  • @dohabisophicateqatar1742
    @dohabisophicateqatar1742 7 років тому +1

    na mkumbuka marehemu na radio yake sanyo akiskiliza huu wimbo mungu amlaze pema peponi

  • @jumamohamedi4852
    @jumamohamedi4852 6 років тому +4

    Huo ndio ulikua muziki, Mungu amlaze pema peponi Marijani mwana wa Rajab

  • @lorrainekavedza7489
    @lorrainekavedza7489 3 місяці тому

    Miss you dad. Miss you Momma.

  • @rashidhemed8331
    @rashidhemed8331 4 роки тому +3

    Ukiishi ba watu vizuri, watafini ili mgombane , namsaka mbaya wangu anayetugombanisha

  • @abdallahjumbe9480
    @abdallahjumbe9480 10 років тому +9

    Mziki walifanya Zamani miaka hii ni mauzauza tu!

  • @lagosimon2764
    @lagosimon2764 4 роки тому +1

    Ukiusikiliza Mziki wa Zaman unavionjo vitamu sana alafu hatua kwa hatua

  • @remigiuschilumba4685
    @remigiuschilumba4685 4 роки тому +3

    Nakumbuka RTD duuuh nahisi sijielewi maana utamu wa hii nyimbo
    nahisi umepitiliza

  • @jangamagili2601
    @jangamagili2601 6 років тому +1

    jabari la muzi marijani Rajabu hatotokea wa mfano wake

  • @patricia5137
    @patricia5137 9 років тому +6

    Hizi nyimbo za zamani ni nzuri mnooo, zinanikumbusha mbali sana Enzi za utoto wangu, jamani nyimbo zilikuwa zamani yani naenjoy mnooo. Asante sana

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 3 роки тому +1

      Sana jamanii!! Tulikuwa waduchu namsikia mama akiimba! Daaah siku hizi mastress tuu aagh

  • @ngechepeter9568
    @ngechepeter9568 Рік тому +1

    Reminding me of VOK..Ali Salim Manga

  • @josevicente2365
    @josevicente2365 7 років тому +3

    Ni burudani isiyo kifani, zamani sana aisee enzi za RTD Tanzania nzima. Asante sana kwa ukura huu

  • @annepeninah4185
    @annepeninah4185 7 років тому +8

    mziki ya wezee vijana, Weee motoooo.... taratibu!!

  • @abdallahjuma9895
    @abdallahjuma9895 7 років тому +5

    Maisha hayarudishiki nyuma, tungependa jana iwe leo lkn haiwezekana. Mungu awarehemu waliotutangulia hasa waliofanya kazi hizi, inshallah!

    • @saidali9282
      @saidali9282 6 років тому

      mziki zamani sasa wanaume wanavaa uzuri wanawake wako uchi wamnyama

  • @jumannemwakalinga2586
    @jumannemwakalinga2586 2 роки тому +1

    RIP Jabali la muziki - Marijani Rajabu. Siku hizi wasanii wana copy nyimbo zake, lakini wanavyoigiza ni tofauti kabisaaa!

  • @jamilmwinge3695
    @jamilmwinge3695 5 років тому +5

    Hapo ndio utajua tofauti ya wanamziki🎼🎸🎻🎺 na wasanii🎶🎧🎤📽.

  • @malahoomary6079
    @malahoomary6079 8 років тому +3

    wapendwa jaman nautafuta wimbo siwema part 2 wa marijan Rajabu'na Mama watoto acha roho mbaya'hakika hizo nyimbo ni faraja kwangu

  • @adammwanjugilo7827
    @adammwanjugilo7827 8 років тому +10

    Ujumbe uliotuachia ni mafunzo sana kwetu..
    Mungu hailaze roho yako mahali pema peponi...😢
    KILA NAFSI ITAONJA MAUTI

  • @sufianikigoro9383
    @sufianikigoro9383 4 місяці тому

    Mhhh makubwa pole mwaya

  • @ahmednoor2617
    @ahmednoor2617 11 років тому +6

    Jabali muziki afrika mashariki nyimbo zake hazipitwi na wakati

  • @babalois7240
    @babalois7240 6 років тому +4

    I do real miss you my lovely mummy,when i listen this kind of music RIP MUMY

  • @ommyhassa
    @ommyhassa Рік тому +2

    Nakumbuka wakati huo mchana mwema zikianza kupigwa nyimbo hizi time za kwenda shule Zanzibar siku za raha zimepita

  • @abdullsadiq2378
    @abdullsadiq2378 11 років тому +3

    Inapendeza sana kwa hakika tumepoteza watu wenye uwezo mkubwa katika mambo ya music

  • @sospeter291
    @sospeter291 5 років тому

    Hakika yuyu bwana Rajab alikuwa stadi kwa utunzi na gita pamoja na uimbaji. we miss you Marijan.

  • @mussamrisho1283
    @mussamrisho1283 2 роки тому +1

    Wenye kukaanga mbuyu hawatafunii wao

  • @ommarthabiti4834
    @ommarthabiti4834 10 років тому +8

    marijan ni jabali wa muziki,namkubali sana,mungu ailaze roho yake mahali pema peponi

    • @sumatanasemkungu8165
      @sumatanasemkungu8165 7 років тому +1

      jamaa ni hatari sana.kila kigongo kikipigwa kama kimetungwa jana kila kitu kinasikika

    • @kidaumtumbwi1128
      @kidaumtumbwi1128 9 місяців тому

      Amiin Yarabil Alamiyn

  • @erickyahaya6784
    @erickyahaya6784 4 роки тому +5

    This song should be hit when i was about to die will give me peace🙏❤

    • @Zip-c3g
      @Zip-c3g 2 роки тому

      WHAT IS WRONG WITH YOU????

  • @mustaphamohamed7831
    @mustaphamohamed7831 2 роки тому +3

    Rest easy my parents 🙏 💔

  • @robertsrugimbana6086
    @robertsrugimbana6086 8 років тому +13

    wa siku hizi Sio wanamuziki, ila ni waimbaji,mtu unanitamanisha mwanamuzika huwezi puliza saxophone, trumpet, huwezi piga chombo chochote cha muziki,

  • @donaldsassa7532
    @donaldsassa7532 4 роки тому

    Muziki unaoishi , siyo huu was leo Moto wa mabua !!

  • @jumaally67
    @jumaally67 6 років тому

    Dah mungu mwenyewe awarehemu watu hawa pamoja na wazazi wangu mana kama namuona mama yangu jaman

  • @vinmaranga2360
    @vinmaranga2360 Рік тому

    Hii nayo ni moto, moto sana.

  • @anthonyriobamtete6005
    @anthonyriobamtete6005 2 роки тому

    Uko sawa hizi nyimbo za zamani zilikuwa na mafundisho sana

  • @hoseakayubu5677
    @hoseakayubu5677 6 років тому +4

    kizuri hudumu zaidi. nyimbo nzuri ujumbe mzuri.

    • @malahoomary6079
      @malahoomary6079 5 років тому

      Jaman Mungu na amlaze pema Marijan,Nilihangaika kumtafuta huyu mtu ili kumfahamu nikamfuata Arusha wakati yupo kurugenzi jazz,naingia mlangon naye anatoka kwa kuwa simjui sikumtambua naulizia ndan naambiwa umepishana naye mlangon,nikamfuata Dar nyumban kwake mtaa wa sikukuu na Somali,nimepelekwa kwake na mtu mmoja anaitwa Babu Delly,kufika kwake hayupo kaenda msikitin,kumbuka simfahamu kwa sura!Babu Delly akaniacha pale kwake akanikabidhi kwa fundi cherehani,kumbe Delly kakutana naye njian akamwambia nyumban Kuna mgeni wako anaitwa Hashim,akaja moja kwa moja ananiambia bwana Hashim habari bwana Karibu nie ndo Marijan Rajabu,ilikuwa kidogo nizimie,nilikaa naye hadi saa tano usiku toka saa kumi jion,hakika Ardhi inakula vingi jaman,tuwen na tabia ya kuwaombea dua marehemu waliotangulia mbele ya haki

  • @qalinmalgc1470
    @qalinmalgc1470 6 років тому +1

    Mmoja wa mabingwa wa muziki wale walikua hodari kwa utunzi wa mashairi

  • @elijahaywago7274
    @elijahaywago7274 5 років тому

    nimeanza kumsikiliza Mrijanu 2019. Najilaumu mbona nililala darasani hivi....nyimbo zenye mafundisho. ata ameshinda waimbaji wengi wa goispel wenye wanaimba nyimbo hazina maelekeo ziku hizi

  • @misanalwanga394
    @misanalwanga394 8 років тому +3

    Vya kale ni dhahabu.

  • @husseinmussa9683
    @husseinmussa9683 8 років тому +20

    Da jamani machozi yananitoka nimekumbuka mbali

    • @sumatanasemkungu8165
      @sumatanasemkungu8165 7 років тому +1

      hiki kilikua kichwa adimu.hamna kama yy kwa sasa

    • @samorakajiru3258
      @samorakajiru3258 5 років тому

      hata Mimi ingawa bado nilikuwa mdogo ila machozi yanatoka hasa wimbo ndoa ya mateso au mwana meka

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 3 роки тому

      Sasa @Hussein Mussa mbn unaniambukiza kutoa machozi banaa! Daaaah

  • @petermwangi7110
    @petermwangi7110 7 років тому +2

    timeless song.great musician.RIP

  • @hasacustomsclearance5849
    @hasacustomsclearance5849 11 років тому +3

    he will remain as legend alawys

  • @mahirfauz1993
    @mahirfauz1993 2 роки тому +1

    Legend never died

  • @alibomba5408
    @alibomba5408 4 роки тому

    Old is gold bhanaaaa..marijani much respect....

  • @kipchumbakemei7270
    @kipchumbakemei7270 3 роки тому

    Mziki zilizoenda shule na kuhitimu.

  • @ramadhanimwasi1647
    @ramadhanimwasi1647 2 роки тому

    Imenikumbusha mbali sana

  • @josephyegella4816
    @josephyegella4816 4 роки тому

    Muziki wako bado almasi jabali la muziki. Siku hizi mashauzi tu na ubishoo mwingi.

  • @malikishabani6207
    @malikishabani6207 5 років тому

    Hakika tutazidi kukumbuka daima jabari wa muziki

  • @evamwamafupa3512
    @evamwamafupa3512 5 років тому

    Nakumbuka mbali sana Urafiki flats.kweli Old is gold

  • @tyty1794
    @tyty1794 11 років тому +1

    Excellent Bw. Abdalla

  • @aggreychoreh9937
    @aggreychoreh9937 6 років тому +3

    Wakati wa kbc kiswahili Ali Salim Manga akiwa continuity announcer.. waaa kijana marijani Raajab akifanya mambo yake... Erude Gladys uko wapi

  • @twilamtumbi2647
    @twilamtumbi2647 11 років тому +1

    tutakukumbuka daima

  • @yusuflalu2887
    @yusuflalu2887 8 років тому +1

    Hizi ndo zenyewe, zinanitoa stress zote.

  • @mwaka308said7
    @mwaka308said7 4 роки тому

    RIP Marjani #LEGEND

  • @batiishirima2051
    @batiishirima2051 4 роки тому +1

    Jabali la muziki

  • @smarealle
    @smarealle 11 років тому +2

    The one and only.

  • @davidzacharia2373
    @davidzacharia2373 3 роки тому

    Naacha comment hapa ili mwanangu siku aje kusoma miziki nilioipenda baba yake

  • @mussamrisho1283
    @mussamrisho1283 2 роки тому

    Sikuhizi wanasema ukilikoroga utalinywa. Ukikaanga mbuyu utazitafuna mwenyewe.

  • @rahimaally9838
    @rahimaally9838 7 років тому +1

    Raha sana kusikiliza hizi nyimbo zinamafunzo fulani

  • @jamilabaraka8449
    @jamilabaraka8449 6 років тому +1

    huu ndo mziki bwana

  • @tgeofrey
    @tgeofrey 3 роки тому

    Tumebarikiwa

  • @morrissombe8539
    @morrissombe8539 7 років тому

    kwa kweli hii ndiyo burudaani ya ukweli ki ukweli.

  • @rafiiabdul6217
    @rafiiabdul6217 2 роки тому

    Jabali la MUZIKI ...

  • @arthurmuema6233
    @arthurmuema6233 4 роки тому

    Well put together

  • @omarmussa488
    @omarmussa488 10 років тому

    Enzi hairudi tena ile!!!!

  • @hamisimohamed7690
    @hamisimohamed7690 5 років тому

    jabali la mzuki

  • @kefanyarega2542
    @kefanyarega2542 6 років тому

    Super music

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 5 років тому

    Hakika haya yapo yana sumbua huku uswahilini wanamziki wa enzi

  • @raskenneth1981
    @raskenneth1981 Рік тому

    Hao ndio wenye kuukaanga Mbuyu,wacha wainama na wautafunee.

    •  9 місяців тому +1

      Waachie wenye meno watafune *

    • @raskenneth1981
      @raskenneth1981 9 місяців тому

      Asante kwa marekebisho 🙏🙏🙏

  • @bhonatesha2390
    @bhonatesha2390 7 років тому

    hizi ndio nyimbo. sasa hivi wimbo wanaita nyimbo. suruali makalioni. RlP Jabali

  • @shangaashangaa
    @shangaashangaa 11 років тому

    Asante kwa nyimbo hizi.

    • @omarali-dk5el
      @omarali-dk5el 8 років тому +2

      wanamuziki wa sasa wasikize hii miziki ili kujirekebisha

    • @runcksmatindiko1930
      @runcksmatindiko1930 7 років тому

      Daa. Kiukweri
      Sinaneno
      Kwa
      Mzee
      Mwenzangu
      Ayat
      Marijani
      Arikuwa
      Fundi
      Sana
      Wa
      Muziki

  • @sangomamourice8680
    @sangomamourice8680 4 роки тому

    Siwezi na simchoki

  • @graceshomari7727
    @graceshomari7727 2 роки тому

    Mama maria

  • @richardmarisa3888
    @richardmarisa3888 10 років тому

    Shauri za kweli

  • @RevocatusJulian
    @RevocatusJulian 6 місяців тому

    July 26/2024 tuko apa

  • @dohabisophicateqatar1742
    @dohabisophicateqatar1742 7 років тому

    ngoma bila jasho

  • @kipchumbakemei7270
    @kipchumbakemei7270 4 роки тому

    Wakati mziki ilkuwa taaluma.

  • @calvinmorgan66
    @calvinmorgan66 7 років тому

    penda hii saut ya huyu jamaa alieimba aisee

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 7 років тому +3

    Sasa hivi wanabwabwaja maneno hawaimbi

  • @ommykhatib
    @ommykhatib 7 років тому

    Hawa watu walikuwa wakiimba kwa mapenzi sio sasa hivi mipasho ubishoo mwingi kila mtu anataka kiki

  • @heesramhemed4869
    @heesramhemed4869 8 років тому +2

    mbona znapatkana tu youtube

  • @kassongokittapa7762
    @kassongokittapa7762 9 років тому

    Mr Abdallah Ally
    Nahitaji nyimbo za Marijani, SIO MIMI NI SABABU YA MAPENDO na PENDO SI KULAZIMISHANA. Nimezitafuta sana humu (ytb) sijazipata.

  • @sofiahamza1873
    @sofiahamza1873 6 років тому

    mkono wa iddi

  • @deogratiusmarandu7355
    @deogratiusmarandu7355 4 роки тому +1

    Nakumbuka enzi zangu wewe usiguse kabisa kidude

  • @asiliyakechuma4319
    @asiliyakechuma4319 5 років тому

    2020

  • @salimsultan4461
    @salimsultan4461 6 років тому

    Bambo

  • @mohamedshebe9919
    @mohamedshebe9919 9 років тому +18

    huo ndio ulikuwa mziki sasa iv wanajua kuvaa suruali chini ya makalio tuu.

    • @mohamedmdoka2762
      @mohamedmdoka2762 7 років тому +1

      Hv kuna kizazi kitafikia uku kwel jamani

    • @gracianpaul2608
      @gracianpaul2608 6 років тому +1

      mohamed shebe halafu ujumbe ni mapenzi tuuu.

    • @gracianpaul2608
      @gracianpaul2608 6 років тому

      ni hatari sana aisee!

    • @athumanisudi891
      @athumanisudi891 6 років тому

      Utasikia eti kuku kavaa raizoni kuku kapanda basker miziki ya kipuuzi sana ihi ya kizazi kipya wajifunze miziki ya zamani.

    • @ericernest845
      @ericernest845 5 років тому

      Hakuna

  • @aggreychoreh9937
    @aggreychoreh9937 11 місяців тому

    Sisemi kitu

  • @hamzahaji175
    @hamzahaji175 6 років тому

    Nikweli

  • @faridasabu8946
    @faridasabu8946 5 років тому

    Maanzese wakati huo inaitwa soweto

  • @nicksonjackson8638
    @nicksonjackson8638 9 років тому +3

    Familia yake inafaidikaje na hiki kipaji cha ndugu yao costa naomba jibu

    • @jacksonzebedee4668
      @jacksonzebedee4668 7 років тому

      Mmoja wa 'familia yake' ni mimi na wewe, je tunafaidikaje na kipaji chake!?

    • @jacksonzebedee4668
      @jacksonzebedee4668 7 років тому +1

      Nyimbo zao ni kama kusoma vitabu vya wenye hekima

  • @jacobmwamba2592
    @jacobmwamba2592 7 років тому

    kipaji hicho,siku hz hakuna tena

    • @runcksmatindiko1930
      @runcksmatindiko1930 6 років тому

      Marijani.Rajabu.a.k.a.jabari.arikuwa.fundi.wa.muziki.wa.dans

  • @oswaldchuwa2767
    @oswaldchuwa2767 9 років тому

    inn box

  • @saidibadawi469
    @saidibadawi469 8 років тому

    yaani hakunaga kama hizi za kare.

  • @pudencianamlewa6486
    @pudencianamlewa6486 4 роки тому

    Mziki unaoishi

  • @saidibadawi469
    @saidibadawi469 8 років тому +2

    yaani hakunaga kama hizi za kare.