Nay wa Mitego alivyofukuzwa nyumbani na kuwa Kinyozi. (Part One)
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- OnAIR with Millard Ayo ni kipisi kingine kutoka kwenye channel ya Millard Ayo hapa YouTUBE ambacho kitakua kinakukutanisha na mastaa wanaohojiwa na Millard Ayo.
Historia yako imenikumbusha dady wangu James kimbawala hongera kwa kuishi nae
Nimependa san stori hii. Hongera sana Nay. Wewe ni mafano mzuri sana kwa vijana. Ningependelea Vijana wapokee yale ya kujifunza ili waweze kujitegemea kama wewe bro. Mungu akubari bwashee. Na kinainjoi sana mziki wako.
dah haya maisha balaaa bt salute sana ney coz ndo mishe nami napitia saiz alfu nataka kua rapper na watu hawaamini ila najua wataelewa tu ck moja mungu nisaidie
Kaka Millad Ayooo... Inakuaje Kaka, I say Nazipata Sana Neno kwa ukurasa... Habari motooo
5 years down the line and here I am for my guy Mr. Nay
Nakukubalisana ney kwanyimbozako na ujumbe wako
a m her today 28 April 2023
@@sifatiiman umeandika nn mzee?
@@rich.kizza10 😁😁😁😁😆3023😂
Kaka nimependa interview yako umenikumbusha mengi Sana ndomaana napenda kazi zako yaaap my brother
hate him your self but cc wengine we love him and we aprishieti this guy ..ney keep it up never give up kutokupendwa na mtu mmoja ktk kundi haiwez kuzui mafanikio yako ,she or he is not god.
ag
Hook kill loop
kwer mkaka umepitia maisha magumu muuombe mungu akuzidishie sana
4realy nay l love you be blessed my beloved bro
Ney namkubali Sana
Hongera sana kwa mapambano hayo Mzee, Kila Mgumu lina Mlango wa kutokea naami now days Bi Mkuu alishaelewa kulingana na kazi🎉🎉🎉🎉
Sanaa babayaga
kiukweli nay una historia ya maisha kama yangu japo mimi si mwanamziki all about kupata wanawake wenye pesa big up bro da
Ney nakubali
Nataka namba Nay plus mimi ni mu congomani
Hongera sana bro ney wamitego
Nay me nakukubali 🙏🙏🙏🙏💪💪💪
Napenda unampo mtaja mungu na kuamin kun vitu yeye ndiye aliye kuvusha bt Nashangaa Kuna interview et umesem huamin kuhus uislam Wala ukristo kaa..tafakar unayo zungumza..bro haijalishi tunafany zambi kiasi gani haiwez kuw sabb ya kuw mbali na mungu.
Kumbe ney kaanza utukutu zaman sana kwaiyo hawezi acha jasiri aachi asili❤❤❤
mhee Ney wa mitego umepitia Mazingira magumu xana na hata ukila good time ni HAKI yako kabixa
big up nay a man should stand for himself
Pamoja mzeee
hee umepitia mtihani mgimu sana nay wa mitego lakini mshukuru mungu maali umefika na akuzidishie
Ney ,tisha sana.
Iko poa san brother millard ayo
hiiii Kali kaka nay. ila kazaaa
Kaka me mshabiki wako sanaaaanakukubali kinoma
Japo Kaka Niko na Ngoma nimerecod japo sasa Kaka kushut video ndo shida kakanguuu nakulilia unitoe my brother's
uko vyedi sana ney, afu millard Ayo unatisha sana
XT tectonic over ctone hundred thctousand words of for of
Kaza boy kufa mara Moja simama kwenye haki
Pambana boy watanzania maskin vijana wanaishi maisha magumu aw
Salute nay✊
Nakubal.. @KAMANDA..#FREE NATION
nice true boy
moved
Noma sana
ayo sometime anamaswali ya kejer he ask forze washing" it pain MTU mzma unaulizw kuoga
Neema zikupate ndugu Nay nipo Kenya tunakusapot my brother
big up ma bro 1lov
Ooooo mungu akubaliki
Pole Ney
Omar, it's like you are forcing those dimples while they are already there. Hata zinaonekana kama holes now, man!
New store brother nay
nay napenda unavoongea smart
munguu akujaliee kipajichako chamiladi ayo iendelee
mbona kama sjaelewa kitu?amesema alopomaliza la saba alifukuzwa home jee hiyo 4m 1 aliendaje?maana 2001 aleenda 4m 1
pole my mungu akubark
Gud
Nc one ney wa mitengo
Dah aya maisha
nice one
upo vizuri neyy 🙏🙏
Jamani Nay duh
Nay namkubali xana
Nakupenda Sana mziki wko
safi sana
2000 niko lakwanza
ni rafiki wa shetani uyoooo
Nakukubali sana nay
Nyce
Umeninyoa xana kaka mkubwa
Emmanuel Mlumbe oii
nakubali ney 🇨🇩♥️
Cool bro
Millard Ayo. thanks ,but mbona akuisha kaka? I love you. I'm from UK
Nc broth
Nimemuelewa sana
nakubali sn
naomba namba ya Ney millard Ayo
Elizabeth Mligo 0717205406
Aisese umepitia makubwa sana ila mungu yupo
eti ulikua unaoga wapi??
millard bhana ma swali yako
nice
kiukwl mi namkubal Roma kumbuka Roma mkali kuliko msaanii wowote bongo amino kwamba akuna msaani kama Roma OK p nawambia watu kwamba Roma ndo msaani mkumba
huyo mwanamke wako wa kwanza anaitwa nan?
Nay
Hatarii
Iko poa sana
Duh
Kazi zake
thin line between love and hate
Pp
P
P
P
P
P
P
Pppp
Pp
Ppp
P
vizuri sana
kaka ney unajua sana kujielezea upon vizuli mno.
OK my friend
Au CIO kaka
magufuli
kubal sana nay
mie sina degree ya Radio presenta ila mbona Milliard anaangalia pembeni 24:21 mara kadhaa ka vile anaharaka au hana interest ya kumhoji ....?
nampongeza uyu msanii anamoyo kudoji class kushiriki kwenye mashindano ya mziki alipokua pre-form 1!
silly so-saharan BG up sana maisha no kitendawili songesha by bd gensta mbeya rungwe
Sisi tuliozaliwa mwezi wasita tunapambanaga Sana ila nyota hii Ina mahadui wengi
nay noma mimi j,mwalim
nzur xana interview
Unatisha nay
Yok
Dah nakubali
bro nakukubal ile mbaya
Daaaah😢
Nmeipenda sana story hii
Ongera sana kwa kuvumilia
nakubari iwabi
Yo
Roma ziiii
Mr ema tuko nawewe pambana kaka tutetee
Nakubali
mim napenda kicheko chake
🙌
Sikomi tv
mm hatali
Daaa kaka kweriwatu tunatokambari yani umeongea ukwerisana nimekupenda bure kaka
Yuko vzr mno
ney unafurahisha kaka.
nyimbo za nandi
Nay nakubali xana kazi zako pga kazi changamoto zá life piá inabid tô solve
Flora nampenda ney sana coz anabusara sana anautu anajua nini yamaisha anaga kiki km wasani wengine
Hivi ney alikuwa na ukaribu na marehemu John mjema