Ccm hata hizo sheria hawazijui wao kazi yao ni kuvaa mitambara ya kijan kama jenenza. Ccm kila sehemu wanajifanya wao ni wababe,masheha wengi wana viburi kwa baadhi ya raia wake,hasa wa upinzan
Wewe ndie usiejielewa,Ile katiba kwani ilikuwa ni ya siasa au ni ya Tanzania? Na kama ulitaka aonyeshe usiasa wake unajua aliemteua alikuwa ni nani? Nijibu tuendelee kama hujui Kaa kimya
Kumbe hujui kipindi hiko alikuwa ana cheo gani na aliteuliwa na nani? Aliteuliwa na Shein kuwa Mwanasheria mkuu wa ZANZIBAR na aliingia ktk bunge la katiba kama Mwanasheria mkuu wa ZANZIBAR ambae anaitetea Zanzibar. Je hapo aliingia kisiasa?
@@SaidHassan-ot3un wajibu gani kama kweli alitaka kutimiza wajibu alikuwa aikatae nafasi alo nayo aje benchi huku asote pamoja nasi halafu aonyeshe mapambano yake,serikali ya wizi,ushenzi ,wauwaji ,hawafanyi maendeleo,kumbe yeye analishwa anavishwa analindwa na anapata maslahi yake kwenye serikali iyoiyo ilokuwa haifai,kwa watu waliofika angalau darasa la saba wakaweza kufikiri kidogo basi watajua kuwa omo kumbe nae ...............
Nikiambiwa wee mwanasheria hasa napata wasi wasi watumishi wote wana vyama vya siasa na kwa mujibu wa katiba ili uweze kuendesha serikali lazima uwe na chama cha siasa kwaiyo kama wewe makamo unawakilisha chama chako cha siasa unavaa matambara ya mzimu yale na unatukana majukwaani ashindwe sheha kusema kama yeye nae wa kijani,😂 acha ufinyu wa akili
Duu, kumbe kuna watu ufahamu ni mdogo sana. Tatizo hujuwi kama hujuwi. Iko hivi Kwenye nchi kuna vyama na huongoza na huomba ridhaa kwa wananchi. Hao wanaweza kuninadi na kunadi sera, na mafanikio, kuvaa nguo na kujinasibisha na siasa openly. Wakishachaguliwa wanabaki kuwa wanasiaa na watumishi wa serikali. Wanatakiwa kutumikia vyama na Serikali. Kwa maana hio kutumikia serikali ni kutumikia wananchi wote, aliekuchaguwa au niseme wavyama vyote, Equal. Sasa Ukiacha wanasiasa kuna wstumishi waserikali. Walimu, madaktari, majaji, masheha, wakuu wa mikoa,na wilaya. N pia majeshi na mapolisi. Hawa hata kama wanavyama au wamechaguliwa kwa misingi na itikadi ya chama anachokishabikia hapaswi kujishughulsha na Siasa. Ndio sheria ilivyo. Kuona Mkuu wa mkoa, wilaya, police au sheha kwenye majukwaa ya kisiasa ni uhuni na uvunjifu wa sheria za nchi. Inatakiwa mtumishi mfano mwalimu wa school asitumie nafasi ya uwalimu hata kama ni ccm, kupiga kampeni au kutumia nafasi kisiasa. Wako wafanyakazi miaka ya Tisini, walifukuzwa kazi kwa kile kilichoitwa kujihusisha na siasa. Hao walikuwa Cuf wakati huo. Tatizo lako na nisema ndio Tatizo la nchi Nzima. Watu hawajuwi haki zao, lakini pia kazi zao, na ccm imewadumaza. Mtumishi wa watu anadhani ni wachama.
Lakini yeye Omo ni kiongozi wa kisiasa pamoja na muheshimiwa mwinyi na wakilishi wote wana haki ya kusema wao wako mrengo gani kisiasa Masheha hawachaguliwi kisiasa kama ilivyo bara hawatakiwi kuegemea mrengo wowote Wewe ndio mfinyu wa Elimu sio Omo
@husseindiaby5097 kuna suala la utumishi na suala la siasa wanapotekeleza wajibu wao wa utumishi hawatakiwi kutekeleza kisiasa na ndo maana sheha hachagui mtu wa kumhudumia yeyote anampa huduma lakini si vibaya kusema kama yeye ni act au ccm au chadema,
Hata kama sheha anateuliwa wee jiulize anateuliwa na nani na uyo anae mteua yupo upande gani kisiasa,viongozi wengi wa serikali ambao ni watumishi wa umma ambao ni mawaziri wakurugenz na wengineo wote wana vyama vyao vya siasa na vinajulikana mpaka rais ni kiongoz wa umma na ana chama chake haiwezekani sheha awe hana cha ma,hata ao wabunge wapo wamechaguliwa kwenye vyama vyao lakini wanawakilisha wananchi wote na wapo wengine wameteuliwa lakini wote wametoka kwenye vyama,hebu kuweni na akili ya kufikiri sheha yee katokea mbinguni hata awe hana chama
Hii inafanywa kwa makusudi kwa Serikali kutuchagulia vibwengo wasio na elimu,haya na hata maadili!kama huyu sheha!mwendawazimu,mjinga asiyejielewa!
Tatizo hatuwachaguwi wananchi
Kutojielewa nishida jamani wafundisheni majukumu yao.
Viongozi baadhi ni mambumbumbu
Wasomeshe hawo mheshimiwa hawo
Ccm hata hizo sheria hawazijui wao kazi yao ni kuvaa mitambara ya kijan kama jenenza.
Ccm kila sehemu wanajifanya wao ni wababe,masheha wengi wana viburi kwa baadhi ya raia wake,hasa wa upinzan
Hi
Heeeee! Iyo apo shida, Hebu sameheaneni kwanza ili muwe ki2 kimoja nyote. Mtakuja uwana mukiwa nyote 1 family Zanzibar.
Waambie sababu hata vipengele vya katiba vyakujuwa wajibu wao hawavielewi shida tupu
I think education is fondation
Matusi hayo yamehalalishwa
Mm naona ww Omo hujielewi ww mbn ulionesha usiasa wako kweny bunge la katiba
@@himidomy4077 mpumbavu sana omo ila wapumbavu zaidi wanaokaa na kumsikiliza bila kupima anacho kisema na anacho kitenda nina wasi wasi na usomi wake
Wewe ndie usiejielewa,Ile katiba kwani ilikuwa ni ya siasa au ni ya Tanzania?
Na kama ulitaka aonyeshe usiasa wake unajua aliemteua alikuwa ni nani?
Nijibu tuendelee kama hujui Kaa kimya
@NassorRashid-g9y aliuteuliwa na nani nambie sijui
Ila kiufupi kuna kuonyesha usiasa na kuwajibika elewa ivo vitu
Kumbe hujui kipindi hiko alikuwa ana cheo gani na aliteuliwa na nani?
Aliteuliwa na Shein kuwa Mwanasheria mkuu wa ZANZIBAR na aliingia ktk bunge la katiba kama Mwanasheria mkuu wa ZANZIBAR ambae anaitetea Zanzibar. Je hapo aliingia kisiasa?
Hayo maneno yako kwa ccm naona kama unapepea mwiku 😂
Lkn emeshatimiza wajibu wake
@@SaidHassan-ot3un wajibu gani kama kweli alitaka kutimiza wajibu alikuwa aikatae nafasi alo nayo aje benchi huku asote pamoja nasi halafu aonyeshe mapambano yake,serikali ya wizi,ushenzi ,wauwaji ,hawafanyi maendeleo,kumbe yeye analishwa anavishwa analindwa na anapata maslahi yake kwenye serikali iyoiyo ilokuwa haifai,kwa watu waliofika angalau darasa la saba wakaweza kufikiri kidogo basi watajua kuwa omo kumbe nae ...............
Nikiambiwa wee mwanasheria hasa napata wasi wasi watumishi wote wana vyama vya siasa na kwa mujibu wa katiba ili uweze kuendesha serikali lazima uwe na chama cha siasa kwaiyo kama wewe makamo unawakilisha chama chako cha siasa unavaa matambara ya mzimu yale na unatukana majukwaani ashindwe sheha kusema kama yeye nae wa kijani,😂 acha ufinyu wa akili
Duu, kumbe kuna watu ufahamu ni mdogo sana. Tatizo hujuwi kama hujuwi.
Iko hivi Kwenye nchi kuna vyama na huongoza na huomba ridhaa kwa wananchi. Hao wanaweza kuninadi na kunadi sera, na mafanikio, kuvaa nguo na kujinasibisha na siasa openly.
Wakishachaguliwa wanabaki kuwa wanasiaa na watumishi wa serikali. Wanatakiwa kutumikia vyama na Serikali. Kwa maana hio kutumikia serikali ni kutumikia wananchi wote, aliekuchaguwa au niseme wavyama vyote, Equal.
Sasa Ukiacha wanasiasa kuna wstumishi waserikali. Walimu, madaktari, majaji, masheha, wakuu wa mikoa,na wilaya. N pia majeshi na mapolisi.
Hawa hata kama wanavyama au wamechaguliwa kwa misingi na itikadi ya chama anachokishabikia hapaswi kujishughulsha na Siasa. Ndio sheria ilivyo. Kuona Mkuu wa mkoa, wilaya, police au sheha kwenye majukwaa ya kisiasa ni uhuni na uvunjifu wa sheria za nchi.
Inatakiwa mtumishi mfano mwalimu wa school asitumie nafasi ya uwalimu hata kama ni ccm, kupiga kampeni au kutumia nafasi kisiasa. Wako wafanyakazi miaka ya Tisini, walifukuzwa kazi kwa kile kilichoitwa kujihusisha na siasa. Hao walikuwa Cuf wakati huo.
Tatizo lako na nisema ndio Tatizo la nchi Nzima. Watu hawajuwi haki zao, lakini pia kazi zao, na ccm imewadumaza. Mtumishi wa watu anadhani ni wachama.
Chizi huwa hajijuu kuwa yeye ni chizi ,Yaan apo unajiona umeongea point vile😂
@@AliAli-u7t4p 🫡
😂😂😂😂@@YalkinAlkindy-nt2hf
Omo acha umbumbumbu kwani makamo wa rais sio mtumishi wa serikali mbona unashabikia act haiwi rais ana cha ma chake ije iwe sheha
Lakini yeye Omo ni kiongozi wa kisiasa pamoja na muheshimiwa mwinyi na wakilishi wote wana haki ya kusema wao wako mrengo gani kisiasa Masheha hawachaguliwi kisiasa kama ilivyo bara hawatakiwi kuegemea mrengo wowote
Wewe ndio mfinyu wa Elimu sio Omo
@husseindiaby5097 kuna suala la utumishi na suala la siasa wanapotekeleza wajibu wao wa utumishi hawatakiwi kutekeleza kisiasa na ndo maana sheha hachagui mtu wa kumhudumia yeyote anampa huduma lakini si vibaya kusema kama yeye ni act au ccm au chadema,
Hata kama sheha anateuliwa wee jiulize anateuliwa na nani na uyo anae mteua yupo upande gani kisiasa,viongozi wengi wa serikali ambao ni watumishi wa umma ambao ni mawaziri wakurugenz na wengineo wote wana vyama vyao vya siasa na vinajulikana mpaka rais ni kiongoz wa umma na ana chama chake haiwezekani sheha awe hana cha ma,hata ao wabunge wapo wamechaguliwa kwenye vyama vyao lakini wanawakilisha wananchi wote na wapo wengine wameteuliwa lakini wote wametoka kwenye vyama,hebu kuweni na akili ya kufikiri sheha yee katokea mbinguni hata awe hana chama
Na mwinyi je mbona anashabikia ccm mwambie aache umwehu
Wewe upelekwe tena darasani tena akuli ya dole