Makamu Wa Kwanza Wa Rais Zanzibar
Makamu Wa Kwanza Wa Rais Zanzibar
  • 352
  • 538 474

Відео

Viongozi tusijisahau tutawajibishwa Mbele ya Mwenyezi Mungu -Mhe. Othman
Переглядів 1,5 тис.14 днів тому
Dua ya kuombea Viongozi Pandani Pemba.
Tuwekeze katika Malezi bora ya Watoto wetu - Mhe. Othman
Переглядів 39821 день тому
Tuwekeze katika Malezi bora ya Watoto wetu - Mhe. Othman
Mheshimiwa Othman awaombea Dua Wanazuoni na watu Mashuhuri, Makunduchi Kusini Unguja.
Переглядів 1,4 тис.21 день тому
Mheshimiwa Othman awaombea Dua Wanazuoni na watu Mashuhuri, Makunduchi Kusini Unguja.
Wakaazi wa Kiungoni Pemba wavutiwa na Uungwana wa Mhe. Othman
Переглядів 1,1 тис.21 день тому
Wakaazi wa Kiungoni Pemba wavutiwa na Uungwana wa Mhe. Othman
Mhe. Othman ashiriki kilele cha Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Переглядів 8 тис.28 днів тому
Mhe. Othman ashiriki kilele cha Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Tuifanye Misikiti kuwa pahala pa malezi ya Nafsi zetu - Mhe. Othman
Переглядів 2,5 тис.28 днів тому
Ufunguzi wa Msikiti Kijuki Pemba
Nawatakia Majukumu mema na Kuwaombea Kheri ya Mwaka Mpya wa 2025 wafanyakazi wenzangu.
Переглядів 3,2 тис.Місяць тому
Nawatakia Majukumu mema na Kuwaombea Kheri ya Mwaka Mpya wa 2025 wafanyakazi wenzangu.
Haya yanayofanyika fedha zake zilitokana na kazi yetu sisi [ACT Wazalendo].Mhe. Othman Masoud
Переглядів 1,9 тис.Місяць тому
Haya yanayofanyika fedha zake zilitokana na kazi yetu sisi [ACT Wazalendo].Mhe. Othman Masoud
Sumu ya kuiua Amani ni kukosekana Haki - Mhe. Othman Masoud
Переглядів 1,7 тис.Місяць тому
Sumu ya kuiua Amani ni kukosekana Haki - Mhe. Othman Masoud
Tendeni haki kujenga imani ya Wananchi. Mhe. Othman
Переглядів 3,1 тис.Місяць тому
Tendeni haki kujenga imani ya Wananchi. Mhe. Othman
Hakuna aliyepo juu ya sheria, lazima haki itendeke
Переглядів 4,1 тис.Місяць тому
Hakuna aliyepo juu ya sheria, lazima haki itendeke
Tunaboresha huduma za Afya kwakuwaweka madaktari karibu - Mhe. Othman
Переглядів 1,6 тис.Місяць тому
Tunaboresha huduma za Afya kwakuwaweka madaktari karibu - Mhe. Othman
Utitiri wa mifumo ya kodi, unaua Biashara - Mhe. Othman
Переглядів 1,7 тис.Місяць тому
Utitiri wa mifumo ya kodi, unaua Biashara - Mhe. Othman
Uwajibikaji , Utawala wa sheria na Uwazi ni chachu ya kujenga Demokrasia, Uchumi wa Soko huria
Переглядів 852Місяць тому
Uwajibikaji , Utawala wa sheria na Uwazi ni chachu ya kujenga Demokrasia, Uchumi wa Soko huria
Uchaguzi hausababishi Mfarakano, bali vurugu hupangwa na wenye Mamlaka - Mhe. Othman
Переглядів 564Місяць тому
Uchaguzi hausababishi Mfarakano, bali vurugu hupangwa na wenye Mamlaka - Mhe. Othman
Wajibu wangu namba Moja ni kuilinda Katiba ya Nchi hii, Hatutakubali kura ya siku mbili- Mhe. Othman
Переглядів 1,9 тис.2 місяці тому
Wajibu wangu namba Moja ni kuilinda Katiba ya Nchi hii, Hatutakubali kura ya siku mbili- Mhe. Othman
Msingi wa Mapambano yetu, ni Uzalendo wa Nchi yetu. Mhe. Othman
Переглядів 2,5 тис.2 місяці тому
Msingi wa Mapambano yetu, ni Uzalendo wa Nchi yetu. Mhe. Othman
Hatuwezi kuombea Amani tukasahau kuombea Haki, huko nikujidanganya.Mhe. Othman
Переглядів 7 тис.2 місяці тому
Hatuwezi kuombea Amani tukasahau kuombea Haki, huko nikujidanganya.Mhe. Othman
Uchaguzi wa siku mbili ni kinyume na Katiba, ni Batili Mhe. Othman
Переглядів 13 тис.2 місяці тому
Uchaguzi wa siku mbili ni kinyume na Katiba, ni Batili Mhe. Othman
Ni wajibu kwa kila mmoja wetu, kulinda Haki za Watu wenye Ulemavu.Mhe. Othman
Переглядів 2 тис.2 місяці тому
Ni wajibu kwa kila mmoja wetu, kulinda Haki za Watu wenye Ulemavu.Mhe. Othman
Nikosa kisheria Mtumishi wa Umma kujinasibisha na mrengo wa siasa - Mhe. Othman
Переглядів 5 тис.2 місяці тому
Nikosa kisheria Mtumishi wa Umma kujinasibisha na mrengo wa siasa - Mhe. Othman
Zingatia haki Tumalize UKIMWI - Mhe. Othman
Переглядів 1,7 тис.2 місяці тому
Zingatia haki Tumalize UKIMWI - Mhe. Othman
Ni wajibu wetu Viongozi kuwasaidia Wananchi wetu.Mhe. Othman
Переглядів 1,2 тис.2 місяці тому
Ni wajibu wetu Viongozi kuwasaidia Wananchi wetu.Mhe. Othman
Hitimisho la Ziara ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Nchini Hispania.
Переглядів 1,4 тис.2 місяці тому
Hitimisho la Ziara ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Nchini Hispania.
Ushiriki wa Mhe. Othman katika Mkutano wa Dunia wa huko Hispania, ni fursa muhimu kwa Nchi.
Переглядів 1,1 тис.2 місяці тому
Ushiriki wa Mhe. Othman katika Mkutano wa Dunia wa huko Hispania, ni fursa muhimu kwa Nchi.
Tupo tayar kupokea fursa kwaajili ya kukuza Utalii na Uchumi wa Zanzibar Mhe. Othman
Переглядів 1 тис.2 місяці тому
Tupo tayar kupokea fursa kwaajili ya kukuza Utalii na Uchumi wa Zanzibar Mhe. Othman
Mipango bora itaibua fursa nyingi za Kiuchumi Zanzibar
Переглядів 1,3 тис.2 місяці тому
Mipango bora itaibua fursa nyingi za Kiuchumi Zanzibar
Makamu wa Kwanza wa Rais akutana na viongozi na watu mashuhuri kutoka Mataifa mbali mbali Duniani
Переглядів 1,5 тис.2 місяці тому
Makamu wa Kwanza wa Rais akutana na viongozi na watu mashuhuri kutoka Mataifa mbali mbali Duniani
Zanzibar yetu ni Urithi, Tujifunze, Tuutunze na Tuuendeleze. Mhe. Othman
Переглядів 1,1 тис.2 місяці тому
Zanzibar yetu ni Urithi, Tujifunze, Tuutunze na Tuuendeleze. Mhe. Othman

КОМЕНТАРІ

  • @OmarSuleiman-d5o
    @OmarSuleiman-d5o 38 хвилин тому

    Chanzo cha machafuko zanzibar ni uchavuzi mara mbili

  • @نوفل-س5ر
    @نوفل-س5ر 6 годин тому

    Babu wa mkuranga kazoea dhulma.

  • @zarihaSalum
    @zarihaSalum 3 дні тому

    Mungu ndio hakimu wa yote

  • @Hamil-ud7yw
    @Hamil-ud7yw 4 дні тому

    Chama ni ccm tu ukikiona tu unashtuka lkn awa wengne chumia tumbo tu ccm oyeeeeeeeeeeeeee

  • @MWADINIHAMADI-n8d
    @MWADINIHAMADI-n8d 6 днів тому

    Ovyooooo

    • @Rukaiya-lt3hm
      @Rukaiya-lt3hm 2 дні тому

      Ovyooo wewe unaeunga mkono dhulma paka we

  • @MAPETEE
    @MAPETEE 6 днів тому

    Dah mm kila niki muona babu duni nahisi km namuona Malim Seif

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 7 днів тому

    Haha mstaafu kaambiwa akate mate tu hio haha 😄 simchezo

  • @MAPETEE
    @MAPETEE 7 днів тому

    Mansur yukowap

  • @نوفل-س5ر
    @نوفل-س5ر 7 днів тому

    Haoni haya kujiita rais.tena rais wenyewe Kwa njia za dhulma.Ama kweli Dunia hadaa

  • @mohammedbakar4142
    @mohammedbakar4142 7 днів тому

    TRUE POINT

    • @HajiJuma-k3l
      @HajiJuma-k3l 7 днів тому

      Duwa kila mwezi zisomwe. Mwezi wa Ramadhani isometric alibadiri kubwa iunganishwe na mashekhe kutoka sehemu mbalimbali kwasababu atakayekusudua kuiendea kinyume Zanzibar duwa iyo imuangamize imsababishie maradhi casino na treatments ila(Kifo).

  • @godogodogodo-b4d
    @godogodogodo-b4d 8 днів тому

    Omo usonge sn hao watitoa

  • @AllyFaki-w6b
    @AllyFaki-w6b 8 днів тому

    omo kama ulivyo fanya katika bunge bc mara hiii usikubali tuu

  • @AllyFaki-w6b
    @AllyFaki-w6b 9 днів тому

    act wazalendo sheme sote sio tumuachie mmja tuu

  • @zamhahababu
    @zamhahababu 10 днів тому

    amekaa makamo wa kwnza miaka 5 hajafanya jmbo naende uko

  • @KibaSazaf
    @KibaSazaf 10 днів тому

    Huyu mama yupo sw sana

  • @KibaSazaf
    @KibaSazaf 10 днів тому

    Ccm ndio mwisho wao

  • @MarzuokOG-l1l
    @MarzuokOG-l1l 10 днів тому

    Mutaisoma no , hatuwachien ngooo.

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 10 днів тому

    Nyimbo mbaya haichombezewi mtoto tumuombe Allah Taala aturuzuku Amani na Salama

  • @nassorsaid5718
    @nassorsaid5718 11 днів тому

    Roho kwa Roho masheha wacheni upuuzi huo .CCM wingi ni wakuja tu Zanzibar tunataka Nchi yetu .Mwaka huu tukiwaachia hawa tumekwisha Lazima tusikubali mwaka huu .

  • @Abdul-latifJuma-nr6hf
    @Abdul-latifJuma-nr6hf 11 днів тому

    Vikosi wanakuja kuandikisha huko

  • @Abdul-latifJuma-nr6hf
    @Abdul-latifJuma-nr6hf 11 днів тому

    Hii inchi inaenda kifalme

  • @rashidsaid696
    @rashidsaid696 11 днів тому

    Mkono kwa mkono hadi ikulu

  • @MaulidFadhil-qi2dh
    @MaulidFadhil-qi2dh 11 днів тому

    Omooooo safisha baba

  • @AliMasoud-q2r
    @AliMasoud-q2r 11 днів тому

    Champ dume oyee

  • @RashidAhmed-h7t
    @RashidAhmed-h7t 11 днів тому

    Mimi sio MTU wa siasa but huyu jamaa omo ukimsikiliza yaani CCM unawaona wapumbavu wa kufungwa kiguzoni.

  • @saidal-hind5338
    @saidal-hind5338 11 днів тому

    Huyu namuelewa sana wallsh

  • @AgnessJohn-d6i
    @AgnessJohn-d6i 11 днів тому

    Mungu akupe Umri mrefu na afya njema

  • @KhalidiBakar
    @KhalidiBakar 12 днів тому

    Omo❤

  • @ahmadjuma6083
    @ahmadjuma6083 12 днів тому

    Mungu atusimamiye inshaa allah

  • @KhajiMwinyi
    @KhajiMwinyi 13 днів тому

    Sahau kabisa haupati hata viti 2 si Unguja wala Pemba . Katika taka zilizokuwepo kumbuka pamoja nawewe kwamana ulikuwepo

  • @FaridaAly-r5n
    @FaridaAly-r5n 13 днів тому

    Safi Sanaa ❤❤

  • @YunussalumAbdalla
    @YunussalumAbdalla 13 днів тому

    Nakukubali muhesmiwa unaongea ukweli siku zote ukweli utabakikua ukweli t

  • @ramadhanihamisi3977
    @ramadhanihamisi3977 14 днів тому

    Tunaomba kiwanda Cha maziwa Pemba muheshimiwa makam omo

  • @SalumRwambo
    @SalumRwambo 14 днів тому

    Wanao coment humu wengi wabaguzi unaona tu maneno yao watanganyika wanahusika nini hichi si chama Maalim kaondoka na kilakitu😊

    • @AloukAlriyaamy
      @AloukAlriyaamy 14 днів тому

      Ubaguzi upo wapi Wakati mnaoneshwa njia ya kuitafute Tanganyika yenu

  • @omarkb6775
    @omarkb6775 14 днів тому

    Nimefurahi sana kurudishwa mwinyi kugombea mana tumapiga penalt zetu mapemaaa wana act than kma kuna mechi ndio tutaicheza ikulu na mh othman masoud

  • @JumaMussa-s8t
    @JumaMussa-s8t 14 днів тому

    😂😂 Pimbi unachekesha

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 14 днів тому

    iko siku. yao. mungu halali.

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 13 днів тому

      @@mozakhamis7253 mungu ni wa viumbe vyote usiongee as if hamna mabaya mnayo fanya .... Mungu huweka baraka zake kwenye nia njema......... wengine wameficha nia zao mbaya ila usoni utaona kama wana nia njema ...... Ila Allah hapendi watu wanafiki Wanasiasa wengi ni wanafiki sana ......

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 14 днів тому

    ccm ni majibwa koko. tu.

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 14 днів тому

    sasa nvombo. vahaları ni vingi. hakuna haja. yakusibiri tume. yauchanguzi hilo ni muhimu mno

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 14 днів тому

    ndungu zangu. maneno kwenye kutangazwa siku zote tunashinda. ila. hapo ndio tatizo. sasa lazima. tukishinda. tujitangaze wenyewe. tusingojee. tume. ni yanyani. lazima ampe ngendere.

    • @SuolFat
      @SuolFat 14 днів тому

      Kweli kabisa

  • @mukhtaromar-g5p
    @mukhtaromar-g5p 14 днів тому

    Wewe ndio rais unaetufaa kabisa kutuongoza kwenye mamalaka kamili ya Zanzibar❤❤❤❤ kura kwa Act wazalendo❤❤

  • @leonardmsafiri2199
    @leonardmsafiri2199 14 днів тому

    Wasiasa wetu du

  • @SaidSaid-xt1qe
    @SaidSaid-xt1qe 14 днів тому

    Juzi wakazidi kujichanganya,eti deni la taifa kwa wao ni la ndani tu la nje bara ndio wahusika,kwa io wasiambiwe wana deni kubwa,raisi makamo wa pili na waziri wao wa fedha hawaelewani wanasema nini

  • @AhmedSalim-uf5vy
    @AhmedSalim-uf5vy 14 днів тому

    Mungu atujaaliee atupee nusraa insha allah yakuichukuaa nchii hii kutokaa ktk ubeparii wa tanganyikaa

  • @SaidNassor-w6s
    @SaidNassor-w6s 14 днів тому

    Ccm hawajawh jushindwa wala hutowashinda unawalaghai vijan mwisho wake utaenda kujiunga na serekali ivo unayoikosowa haijafanya maendeleo lkn ww unakula mishahara wafuas wako unawacha mataa

    • @AhmedSalim-uf5vy
      @AhmedSalim-uf5vy 14 днів тому

      Sw kafirweeeeee

    • @salyali7807
      @salyali7807 14 днів тому

      Katika jambo walilofanikiwa CCM kwa watanzania ni kuwatia ujinga na wewe ndio one of their products

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 14 днів тому

      ​@@salyali7807😂😂😂 mbona km umekasirika

    • @AloukAlriyaamy
      @AloukAlriyaamy 14 днів тому

      Kamuulize Mh. Balozi Ali Karume kama unajitoa fahamu...

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 14 днів тому

      @@AloukAlriyaamy Muulize wewe 😅😅... Kwan kupayuka kuna VAT c unajiropokea tu na wewe jiropokee tuu km yeye

  • @SaidNassor-w6s
    @SaidNassor-w6s 14 днів тому

    Acha unafk ccm haikup nch at iweje

    • @JRN2612
      @JRN2612 14 днів тому

      Acha kupanic, unafki upi hapo ameongea? 😅

    • @FathiaHassan-g7t
      @FathiaHassan-g7t 13 днів тому

      Sawa hawatoi ila kumbuka mwenye uwezo ni Allwah pekoe yake wew panic 2

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 14 днів тому

    Wanasiasa watu wa ajabu sana, sasa wewe mbona upo humo humo, kama kweli wewe ni msimamia wa haki usingekula kiapo ukawa Miongoni mwa hio serikali kipensi. 😂😂😂 Hivyo visiwa unavitaja kuna gap kubwa kati ya walionacho na wasio nacho. Sasa kama wewe una policy hio ya kuijenga nchi kwa matabaka sawa.

    • @aksamhisham9862
      @aksamhisham9862 14 днів тому

      Kuwemo kwenye serekali kwa othman masoud kuwa makamo wa kwanza kwanza nataka ufahamu sio takwa lake ni takwa la katiba halfu pia sisi wanachama wa act wazalendo ndo tumemtaka awepo yeye kwenye hioo serekali kwahyo pilipili usoila yakuwashia nini

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 14 днів тому

      @aksamhisham9862 kujitoa au kukataa kwenye zulma hakumfanyi kuvunja katiba. Hata hivyo ni ndoto kuingia ndani ya * Bermuda Tangle "

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 14 днів тому

      ​@@aksamhisham9862😂😂😂 mbona utetezi wako ni wa kindeeeeezzzzzz sana .... Kwaiyo nyama ya nguruwe ni haramu ila mchuuzi anakunywa 😂😂😂 , hebu tumieni akili zenu vzr msiwe mazuzu kiasi chote icho 😂😂😂

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 14 днів тому

      @@aksamhisham9862 acha kujichanganya wewe .... Ni takwa la katiba au nyinyi wanachama 🤣🤣🤣.... Mwache anywe mchuuzi nyama ni haramu 🤣😂

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 14 днів тому

      @@mwanangusana mbona yule alieitwa na Muumba aligoma kuingia kwenye zulma ya mwaka 20015, na ni yeye nde aliyarithi makubadhi yake.

  • @SuleimanAli-l2h
    @SuleimanAli-l2h 14 днів тому

    Kazi nzuri sana

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 14 днів тому

    Iitwe polisi ccm

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 14 днів тому

    Wambie baba