Dizasta Vina - The Verteller (Official Album Intro)
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- Category - Music
Song -The Verteller(official album intro)
Artist - Dizasta Vina
Writer - Dizasta Vina
Music - Ringle Beatz
Studio - MV09
Official music audio
Mdundo - mdundo.com/son...
Audiomack - audiomack.com/...
Lyrics - genius.com/Diz...
Other Musical contents
Audiomack - audiomack.com/...
UA-cam - / dizastavina
Deezer - www.deezer.com...
Apple music - artists.apple....
Mdundo - mdundo.com/a/2263
Genius - genius.com/Diz...
Boom play - www.boomplay.c... - artists.spotif...
Connect with Dizasta Vina on social medias
Instagram - / dizastavina
Twitter - / dizastavina
Facebook - / dizastavina07
sw.wikipedia.o...
Business: Pan.authentik@yahoo.com
Website - bio.link/dizas...
Lyrics
Inafaa kunena
Inafaa kunena labda ni muhimu sijui
Labda kusimulia si karama kama wanavyosema
Ikiwa msimuliaji huingia hatarini
Labda kweli baraka ni laana njema
Wasikilizaji nasikia wana ndoto na wenyewe
Si uongo
Hadithi nzuri ndo' kilele kwa wasikilizaji
Ila ndoto ya msimuliaji
Ndoto ya msimuliaji ni kulindwa milele
Kwanini azibwe mdomo wakati ubongo unapiga kelele?
Si lazima msimuliaji apazwe la hasha!
Atandikiwe majani au aandikwe kama mwanasiasa
Lakini lengo lake awe huru msimuliaji atambe
Alindwe ili waovu waonyeswe, mashujaa watangazwe
Ona kuna wasimuliaji hukwepa pande tupu
Yani baada ya mitaji husimulia upande wa wenye nguvu
Wapo wabinafsi wanaotangaza jinsi asili ilivyowahusudu
Husimulia walivyoshinda vita wakigombea asali na wadudu
Swali ni je? , Nani atasimulia hadithi ya wadudu?
Nani atasimulia kua si mara zote mchukua asali alimsulubu mdudu?
Nani atasimulia hadithi ya shetani, baada ya kusikia upande wa Mungu?
Baada ya kusikia upande wa Mungu
Waungwana kumbukeni ya muhimu na ziada
Kumbukeni ya uchumi jamii na siasa
Lindeni ghala la chakula na maji
Lakini msisahau kumlinda msimuliaji, ni afya
Japo kuwa msimuliaji si alama ya taifa
Lakini fikiria mtu ambaye yupo tayari kulipa gharama ya maisha
Msimuliaji hukukumbusha ulipotoka ujue unapoenda
Na hiyo ndio faida
Labda ukumbuke ya mdimu na majoka
Au simulizi za mizimu ya mloka
Au tarihi ambazo ni historia za kuziheshimu
Maana asiyeijua historia, huweza kurudia makosa
Msimuliaji hachagui upande maana hapendi kupotoka
Hafungamani na misalaba au alama za mwezi na nyota
Alama za wasimuliaji walioidongosha kheri
Waliookota sifa wakati wakiidondosha kweli
Wakati wakiidondosha kweli
Enyi wa khaki kijani na manjano
Mmeona nyekundu ile pale?
Haijaja pale leo ipo tangu kale
Msiruhusu iwaguse
Si kwakua hamna hadhi
La hasha
Ila ile rangi anaifahamu msimuliaji
Ile rangi ni damu iliyomtoka au kumrukia
Na mchanganyiko wa pande zote za dunia
Anaijua leo, aliijua jana
Hajaisoma au kuisikia
Aliipata wakati akitafuta vya kusimulia
Na ni hivi anavyotaka kukusimulia leo
Nyakati za katikati kwenye eneo la ukanda wa kidachi
Zilizaliwa lugha tatu, Lugha ghafi
Na kati yao ilikuwepo lugha iliyoitwa lugha ya watu
Kwenye ukanda huu msimuliaji hakuitwa Narrator au story teller kwa kiingereza
Hakuitwa Erzahler japo kuwa ukanda huu ulikuwa karibu sana na Ujerumani
Hakuitwa Rawi kwakua huu ukanda haukuwa wa kiarabu
Msimuliaji aliitwa the Verteller
Kama Christopher Hitchens
Ama Professor Laurence Krauss
Ama Shaaban Robert
Ama Francis Scott Key Fitzgerald
Ama Chimamanda Ngozi
Ama Fred Saganda
Ama Alice Walker
Ama Octavia Burtler
Ama Lufufu Mkandala
Ama Rainfred Masako
Dizasta vina, mabibi na mabwana
Ni the Verteller
This has to be by far the best album intro in the history of Bongo Hip Hop.🙌
kichwa !
Hii ngoma duuu🤝🤝🤝team dizasta tupo wap
1.Utunzi mahiri, nilishakushauri maandishi haya yawe katika vitabu(andaa kitabu cha fasihi) unafikirisha sana. Lakini tungo zina mtiririko mzuri.
2. Jamani tunaomkubali jamaa tumuunge mkono basi katika kusambaza tungo hizi. Tununue mziki/tungo zake,sio kuishia hapa tu kumsifia jamaa tu.
3. Tuwe wa kwanza kusupport aina hii ya utunzi mabadiliko yanaanza na sisi sio media tena.
4. Tunaumizwa sababu tunaaminiana,wengi wanaotuumiza ndio tuliowaamini sana. (Wengi wao).
Mstari ninaoupenda.
Kila la kheri Dizasta Vina katika maandalizi ya album.
Umenenaaa💪💪💪🤝🤝🤝🤝
Thanks bro
Huyu jamaa anasababisha naonekana mjinga home,nasikiliza mashairi yake kwa umakini hadi nawakeraa watu kuwa nasikiliza ujinga ujinga.
Huyu jamaa ni fundi haswa namkubali na anasoma vitabu vya waandishi wakongwe kama akina sheby na mlokozi.
Nakubali
Kweli kabisa
Dah nikweli bro jamaa anajua
Natamani siku moja nikutane na dizasta vina,, the black Maradona, professor tungo, Mc wa vina
Hakika dizasta vina ww ni mkombozi uliezaliwa kwa makusudi uje uzikomboe bongo zetu, asante Mungu kwaajili ya huyu mja wako
Hivi huyu jamaa ana akili ngapi.., hakika naisi huyu jamaa bado hatujampeleka anapostahili...
Respect bro kweli wewe ni profesa Ringo🙌🙌🙌
Ktk Freestyle ya BLACK THOUGHT on Funkflex ambayo to many inachukuliwa km "BEST FREESTYLE OF ALL TIME",kuna line anasema “Catch the herald, I’m fresh chopped and beveled. Rap on a doctrine level, so F. SCOTT FITZGERALD"
Hapa pia Dizasta kamjumuisha(frank scott fitzgerald) ktk orodha yake,hii reference pekee itoshe kuonyesha kuwa kuna "MAAJABU YA KUTOSHA KTK HII Album" na itabidi kukaa na kamusi pembeni maana Hivyo vichwa vilivyotajwa hapo si vya KAWAIDA.THIS IS FOR THE HEADS not the RADIOS,cant wait for it,blessings
Dah, natamani Tanzania nzima wasikilize hii Kitu!
Kuisikiliza sio issue broo tabu inakuja kuelewa MADINI ya kwenye hii ngoma
Nani atasimulia ya shetani maada ya kusikia ya Mungu = ( Nani atasimulia ya Chadema baada ya kusikia ya CCM )
Wenye akili ya ziada ndo pekee wanaweza kukuelewa!
Dizasta Vina, Mc Mahiri Mc Katiri!!
__________________________________
The Verteller lyrics
Inafaa kunena
Inafaa kunena labda ni muhimu sijui
Labda kusimulia si karama kama wanavyosema
Ikiwa msimuliaji huingia hatarini
Labda kweli baraka ni laana njema
Wasikilizaji nasikia wana ndoto na wenyewe
Si uongo
Hadithi nzuri ndo' kilele kwa wasikilizaji
Ila ndoto ya msimuliaji
Ndoto ya msimuliaji ni kulindwa milele
Kwanini azibwe mdomo wakati ubongo unapiga kelele?
Si lazima msimuliaji apazwe la hasha!
Atandikiwe majani au aandikwe kama mwanasiasa
Lakini lengo lake awe huru msimuliaji atambe
Alindwe ili waovu waonyeswe, mashujaa watangazwe
Ona kuna wasimuliaji hukwepa pande tupu
Yani baada ya mitaji husimulia upande wa wenye nguvu
Wapo wabinafsi wanaotangaza jinsi asili ilivyowahusudu
Husimulia walivyoshinda vita wakigombea asali na wadudu
Swali ni je? , Nani atasimulia hadithi ya wadudu?
Nani atasimulia kua si mara zote mchukua asali alimsulubu mdudu?
Nani atasimulia hadithi ya shetani, baada ya kusikia upande wa Mungu?
Baada ya kusikia upande wa Mungu
Waungwana kumbukeni ya muhimu na ziada
Kumbukeni ya uchumi jamii na siasa
Lindeni ghala la chakula na maji
Lakini msisahau kumlinda msimuliaji, ni afya
Japo kuwa msimuliaji si alama ya taifa
Lakini fikiria mtu ambaye yupo tayari kulipa gharama ya maisha
Msimuliaji hukukumbusha ulipotoka ujue unapoenda
Na hiyo ndio faida
Labda ukumbuke ya mdimu na majoka
Au simulizi za mizimu ya mloka
Au tarihi ambazo ni historia za kuziheshimu
Maana asiyeijua historia, huweza kurudia makosa
Msimuliaji hachagui upande maana hapendi kupotoka
Hafungamani na misalaba au alama za mwezi na nyota
Alama za wasimuliaji walioidongosha kheri
Waliookota sifa wakati wakiidondosha kweli
Wakati wakiidondosha kweli
Enyi wa khaki kijani na manjano
Mmeona nyekundu ile pale?
Haijaja pale leo ipo tangu kale
Msiruhusu iwaguse
Si kwakua hamna hadhi
La hasha
Ila ile rangi anaifahamu msimuliaji
Ile rangi ni damu iliyomtoka au kumrukia
Na mchanganyiko wa pande zote za dunia
Anaijua leo, aliijua jana
Hajaisoma au kuisikia
Aliipata wakati akitafuta vya kusimulia
Na ni hivi anavyotaka kukusimulia leo
Nyakati za katikati kwenye eneo la ukanda wa kidachi
Zilizaliwa lugha tatu, Lugha ghafi
Na kati yao ilikuwepo lugha iliyoitwa lugha ya watu
Kwenye ukanda huu msimuliaji hakuitwa Narrator au story teller kwa kiingereza
Hakuitwa Erzahler japo kuwa ukanda huu ulikuwa karibu sana na Ujerumani
Hakuitwa Rawi kwakua huu ukanda haukuwa wa kiarabu
Msimuliaji aliitwa the Verteller
Kama Christopher Hitchens
Ama Professor Laurence Krauss
Ama Shaaban Robert
Ama Francis Scott Key Fitzgerald
Ama Chimamanda Ngozi
Ama Fred Saganda
Ama Alice Walker
Ama Octavia Burtler
Ama Lufufu Mkandala
Ama Rainfred Masako
Dizasta vina, mabibi na mabwana
Ni the Verteller,
Upande wa Hip Hop ushaumaliza 🤜🏽🤛🏽
The Verteller (Official album intro) is out
UA-cam - ua-cam.com/video/taJ2Qd9L0qY/v-deo.html
Mdundo - mdundo.com/song/1648098
Lyrics - genius.com/Dizasta-vina-the-verteller-official-album-intro-lyrics
Audiomack - audiomack.com/dizastavina/song/the-verteller-officia-album-intro
P1 mzee acha 2zame 2chote
Haina haja ya kulindwa uwepo wako unamaana japo bado wanapingana na ukwel ila kwel itasimama
Kweli KABISA msimuliaj hachagui upande Enyii kaki kijani NA manjano mmmeina nyekundu ile pale. #the verteller
Hujawahi kukosea mkuu 🙌🙌🙌
Hiv kweny industry hakun mtu mweny passion ya hiphop tukafungua media zet tuwe tunapiga ngoma hardcore maan media za bongo zishawacorupt akil waskilizaj wao kutuamnisha wakina ngwea,billnass na wakina dgo janja n wakina best rappers 😃😃inachekesha lakin pia inaudh kuon vichwa kama hamisi mistari, ghetto ambassador, incredible,shaolin seneta na wakina dizasta vinna wanachukuliwa for granted 😭😭it pains me a lot
Wazo konk sana cogrant
Yani niwachache wanaoona mbali Kama ww tumechoka mingoma yakiwaki akat kuna watu wanajua nawanachukuliwa pw
@@hamismohamed3541 thanks bro
But something has to be done
Hii industry bongo ishakuw corrupted
@@pablo-xb7ci kweli man
Media zishateka soko la music industry ndo maana asipoimba diamond kiba au harmo unaonekn sio msanii unazngua tu ila skweli ubaya umefunika uzur mpaka matus watu ndo wanaelew inauma
Nomaaa xn mzee bonge la intro cjui yaliyomo yatakuaj naixubr december kwa hamu tuombe Mungu atufikixhe
Kipaji chakipekee kwenye hii sayar mungu akupe afya kwenye nyama damu na mifupa uishi sana dizasta
Aiisee ngoma nzur dizasta vina ndo msani nae muelewa bongo nakubali kaka
Linden ghala la maji na chakula
Lkn mcsahau kumlinda msimuliaji ni afya...kaka kutunga anawez kutunga mtu yeyote ila acha niseme wewe unaghani mashairi y hip hop
My best mc of all time,earth dont deserve you
Let's go to mars bro👽
Si ya kukosa hii album..msanue na mwenzio nae amsanue mwenzake mwisho wote tuwe tumesanuka
Dah bro nakukubali sana Mungu azidi kukulinda...
Mmmmhhhh...Christopher Hitchens...Lawrence Krauss...Yani kuwataja hao tuu, unanipa haja kubwa ya kusikia yaliyomo humo...This is what we want to hear, this is what we want to buy....Tell us if we can pay prior to release. Supporting you is the best response we can give you. Be blessed.
KABISA
Facts
Dizasta Vina ni zawadi tuliopewa.
Oya tofali la kuchomaa eeeh ....wew ni cheche chaliii wnguuu
Iseeee mwamba unajua sanaaaaaa
Thanks, please share
myaka buku mzeee nakubalii
Dizasta kwa vina kweli ww ni kioo cha Jamii uandishi wako kweli una elimisha na kuhamasisha kote duniani.... pongezi tele shabiki wako toka kenya 💯💥🇰🇪
Duuuh umeamua kutufungua ubongo wetu kwel kwa kwel. Binafs nimekuelewa vizur kabisa DIZASTA VINA.
Asante, please share
Wale wenye kb28 memory vichwan mwao hawata toka na kitu hapa but ujumbe mkubwa umekaa kwenye maandish machache good Sana this is unique
Dah, Kiukweli DIZASTA VINA ni mtu mwenye kipaji cha tofauti sana na sijapata ona Utunzi kama wa huyu mwamba kwa msanii yeyote Hapa TZ, simaanishi kwamba Hip Hop Artist wengine hawafanyi vitu ila Vitu vya Dizasta ni Vya tofauti sana wengi wanafanya vitu vinavyo lingana ila Tungo na Mashahiri ya Dizasta ni yakipekee mno. SHukrani na Pongezi Kwake.
Asante, please share
Much respect.....t...u.....tungo nzito kama ngum ya mbeba vyuma.
Hongera sana,unaijua sanaa na fasihi kwelikweli.
Dizasta the king hipo hapo
This Young man is more than a rapper, He is a philosopher. Si kila mtu atamuelewa inatakiwa ubongo kubwa. Pongezi bro
umeona pia na wewe !
Daaaaah sina cha kuongea
Hii kwangu ni ngoma Bora na video bara Zaid mwaka huu...
A big shout out to you Mr Verteller. That's extraordinary from you!!
An educated mind in an uneducated society... 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Stand up for this genius 👏🏾👏🏾👏🏾
kilio chetu , asikike katika media !
Tungo zako zinaishi mkuu #dizasta vina ni habari nyingine
You need to write a book brother.,That mind of yours are worth to other generations ahead.. 👍
Daaah.... Unaandika Sana Kaka..
You always think big and more and more... Beyond. And not just ended up think.. but you tell it.
God bless you nigga.
This album should be taught in a university!!!
💣💣💣 VERTELER .. once you said "Rappers wanajua kuRap Ila vichwani ni watupu, hawana vision ......." #vina more years champ
Dah aiseh Professor tungo sina swali.....!Dizasta ni Dizasta....
....mabibi na mabwana ni the verteller🔥
Hahhhhh hujawahi kosea mkuu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 tumeipokea na tunaihitaji
D kazi zako ni hatarii aisee
hisiia kali
Disaster vina havina ukata✊💪💯
Najifunza mwalimu
Dizasta vina hakika una vina vikali I see you international soon
Bila unafiki....nachukua nafasi hii kusema kwamba hii ndo thamani ya X ambayo nyanda za juu kusini tumekuwa tukiitafuta kwa muda mrefu sana hasa kwenye mziki wa HIP HOP ....siandiki haya kuteka hisia za watu wakufatilie ila najaribu kukuonyesha unacho kifanya ni kikubwa na tunao kusikia tunajifunza na tupo pamoja na wewe
Daaah Moto huu, hadi nimeona December mbali sana, naisubiri album
King bring it on that album bro.. much love and blessings from KENYA.
Dar ujawah niangusha mzee
#Hip Hop 4 life 🎵
Verteller..Mabibi na mabwana
vichwa hivi vmebak vchache duniani tuwashikilie ndio ukombozi wetu wa kifikra kupitia wao akina dizasta vina one love bro✌🏾✌🏾✌🏾
Baba la baba nakuelewa sana achiaaa mambo tulimic hizi tungo baba kama vipi Sikh moja Fanya kikaoni2 haha
Vina konki dizasta vina tungo kaali sana broo hongera kiswahili fasaha kimetawala ndani ya nyimbo
ubongo wangu utake nini sasa, maana chakula cha ubongo kimefika na kina virutubisho vyote. ahsante dizasta vina
Disaster anajua ten anajua sn👏👏
Madini adimu congratulation bro
Nakubali broo
Daaaah we mwandishi boraaa
Mzee baba mungu akutangulie, tufundishe tujifunze, tufundishike tuelimike,
Damn!! The Swahili power is back, unaibeba fasihi yetu mgongoni mwako, ndo nimekuona leo lakini, hisia zinanionyesha safari yako ndefu ya mafanikio!! Fanya na fanya tena, tupo nyuma yako!
Asante sana, please share
Kaki nyekundu na manjano ,,, ccm , chadema na nccr mageuzi,,, nyekundu ni damu 💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
Washkaji msikilizeni sana dizasta
Jamii imeshiba sana ujinga ,that is the reason mm sio maarufu!!
Big up sana bro!!
My love for hip hop is enormous nakubali disaster
Uandishi mzuri
Nice rap
27...tunasubili itakuwa saa ngpii
This should be played on a radio... cyo zile za kababaye
i love you Dizasta vina ukweli yako inachoma
Thank you so much, the feeling is mutual...
Hip hop ndio iko huku ..
Walo okota sifa wakati wakidondosha kweli nimeelewa sn mqr
Msanii wangu wa muda wote 💥💥💥💪
Single line is like an entire verse
Best mc of all time.
Mweny kaz yak kafanya kaz.
big respect bro💪💪👏👏👏👏👏👏 n mwendo wa mashiko na hoja zenye ujazo mwng
SAFI HII ENDELEZA SAFARI HII MKUU.🔥🧠🎧✍🏿 #SHULE PANA
me mwenyewe nita iview mpaka nifkishe one milion maana wengi wetu uku ni mamluki tuu?
Asante sana,
Tunaisubiria December, cku km zimeganda vile!! Wee mwamba hauishi kbs ktk dunia tunayoishi sisi
💪💪
Great thinking bro
Duu dizasta unaweza kaka hunaga kujitapa zaidi ya kunena kweli hakika ipeleke hip hop mbele
Fanya mapema, tupate mzigo,,,
Always My best Mc& The best mc Haipingiki Disasta ni genius
Wizara ya Elimu wakae na Dizasta wajue wanafanyaje..
👏🏾 👏🏾 ☺
Oya IQ kubwa unayo umetxha future Qali
✌✌ Vina hua hakosei kamwe
Dizasta....Dizasta......Dizasta.Daaaaaaamn.The best underground mc ever.Maneno hayajitoshelezi kukuelezea ni jinsi gani ulivyo na uwezo wa kufikiri na kuchora mashairi.Maana halisi ya MC (Hip Hop).Hivi vitu natamani na wengine wajue walau kwa udogo kama sio kwa ukubwa huoooo Kama wanavyo wasikiliza watu wao.Unajua mnooooo.M/mungu akubariki sana mzee katika kipaji chako.🙏🙌👏
Watu ni wachache siku hizi,ukiwasikilizisha nyimbo hizi wanatukana.
Hawataki kuzielewa washazoe mond na kiba
Daaah wewe ni zaidi ya profesa, hizi tungo zikaekwe katika maktaba ya TAIFA, watoto na wajukuu zetu watakuja kuzitumia. MUNGU ABARIKI KAZI ZAKO.. media zingejua zingepiga nyimbo hizi yaani hata KK HAWAONI NDANI KWAKO BRAZA, MIMI shaddy nime 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Brilliant
Art of Storytelling !! Kudos chief
This is more than enough, more than rap,more than education, it's beyond revolution. Keep the spirit alive, God may be speaking through you.
Hip hopppppppp🔊🔊🔊🔊
Asiye jua hitoria huweza kuludia kosa
Salute bro
Ahsante
Bro You Got An Extraordinary Brain, Respect
Sensitive content and touched
Nakukubali Sana mwamba ww ni 🔥 Sana apana machezo
mzazi tangu kizaziii
Consciousness
Hatari sana msimuliaji🔥🔥🔥