Wallaahi sheikh wangu Allah akulipe kheyr umeshafikisha ujumbe huna dimma mbele ya Allah watu wa serikali wanajulikana wanauogopa mfumo Kristo ulioshika hatamu Tanzania nzima mimi naamini kama Rais atatoa tamko la kuzuia uchafu huu kwa nafasi yake hakuna atakaethubutu lakini ni mtihani tuwaachie mizigo yao
Mashallah ❤❤❤❤❤❤ Shukran Mh Rais Dr Hussein mwinyi umejibu vizuri sanaaa safiiii kabisaaaaa sahihiiiiiiiiiiiii.media mitandao etc zote na wazee na kila mtu ktk jamiiiii wanawajibu wa kuongozana na kuelewesha jamiiiii ❤❤❤❤ sio serikali peke yake .
Subhanallah , hakuna anaepinga hilo kwamba kila mmoja anao wajibu wa kukumbusha, lakini mtume SAW amesema kuna njia tatu za kuzuwia uovu isitendeke , Njia ya kwanza kuzuwia kwa mkono wako, Njia ya pili kukemea kama uwezo wa kuzuwia huna kama mzee wangu alivyofanya hapo . Na njia ya tatu ni ys kuchukia ingawa huko kuchukia ni udhaifu wa imani. Hivyo rais kama kiongozi mkuu wa nchi hana njia ya kukwepa sababu yeye leo akitamka tu kuanzia leo marufuku muziki Zanzibar akimaliza kutamka tu tayari Zanzibar itaanza kupiga hatua maana amri itakuaimetoka kinachofata ni utekelezaji , ukituletea mziki ni kichapo tu kila mmoja atakaa kwa heshima na adabu,
Usiogope sema haki halafu hata wanamziki wasikaribishwe ikulu inakuaje wanamziki wanakwenda ikulu namuomba rais wanamziki niwatu wabaya wstaiharibu jsmii
Ikiwa mnaweka sharia ktk nchi lazima Raia awe na kitambulisho ataweza kupata huduma za serika halafu raia ananyimwa kwa makusudi hamumpi. Halafu mnategemea hao wataweza kusimamia maadili ya Zanzibar? Wakati vitambulisho vya Mzanzibari wanapewa machangudoa wanaokuja kujiuza .
@@TunauzaSimu-fn2ff ndio nikasema hawezi kusimamia km alivosema brodher hapo juu mana vitu simple tuu ni kurudisha yale ya zamani na mrejeshaji ni serikali na msimamiaji ni serikali sheikh na jamii kazi yao kutoa taarifa tuu laa sio hivo basi tutakauka mate kwa kusema na hawezi kusimamia hilo chezea Muungano ww
Serikali inakwepa jukumu lake,wao ndio waliokula kiapo kuilinda katiba ya Znz,tumuulize Mh.Rais kwa mujibu wa katiba ya Znz hapo Unguja bar zilitakiwa zisidi ngap?jee! Sasa hivi zipo ngapi?,jee! Mwinyi huyajui yanayoendelea CCM mkoa pale Amani?,kuna kila aina ya uchafu unaofanyika pale,jee sio wewe mwenye mamlaka ya Zanzibar kwa sasa?nani wa kuyazuia hayo kama sio wewe!!,leo unashindwa hata kuitetea katiba ulioiapia!!
Anachokizungumza mzee ni sahihi utamskia rais anawaagiza masheikh suala la kukemea maadili wakati anajua kwamba yeye anayo nguvu kubwa ya kuondosha uovu kwa mikono yake na kwa mdomo wke.
Sanaa hiyo unayosema ndiyo viongozi wanategemea wasanii ili kuwashawishi wananchi kukusanyika kwenye mikutano yao, " vigumu sana kwao sasa" kuwakataza! 😂
Kweli hilo lishughulikiwe kiingozi asimame imara kwakweli wanaume zama hizi ndio wanajistiri mno ila wanawake wao ndio matangazi yakila kitu ipigwe marfuk tusiwasikilize wazungu wasemavyo ety haki za binaadam hizo ni njama zao tu za kupotosha watu
Nilisema na mimi km serikali haingilii kati mashekhe mate yataganda na serikali hii ya mapinduzi hakuna litakalokua 😅 naona majibu ya Rais yy kishajitoa anakwambia tiktok hawezi kuchukua khatua mambo yataendelea km kawa
DR MWINYI NDIE WA KWANZA KULAUMIWA, NA NDIE ANAYEIFANYA ZANZIBAR KUA DANGURO. MIJITU YA KILA NCHI LIMEJAA ZANZIBAR NA AMEIRUHUSU KUFANYA KILA BAYA, HALAFU ANAWAITA WAWEKEZAJI!
Shekhe usitafune maneno wambie ukweli hao viongozi katika uislamu hakuna sanaa ya muziki, ni kharamu na viongozi wanatakiwakujua kwamba kuna maisha baada ya kufa huko hakuna Rais ,makamo wala waziri kila mmoja ni mchunga na atakwenda kuulizwa juu ya alichokichunga , lakini jibu lao hao litakua rakhisi wao wamejitahidi muziki kuuundia wizara ili utambulike uwe halali, kiufupi hao mabwana wakubwa wamehalisha kile ambacho Allah amekikharamisha.
Pia kuna kipindi hata hizi madrasa ziliamrishwa wasize madufu kwa kukatika mauno ila haya yameishia wapi ?mbona muendelezo haupo wa maadili ya dini yetu pia tuaona aibu huku mitaani wasi ha na wakina mama wanavyoadhirika huku mitaani maduf haya yano hezwa hivi maadili yetu yanaharibika mno
Mimi niko UK mwaka wa 22 lakini naungana nae huyu Sheikh hawa waumbaji wasije kuimba Zanzibar sisi tuna mila zetu za kiislam sawa,thanks
Wallaahi sheikh wangu Allah akulipe kheyr umeshafikisha ujumbe huna dimma mbele ya Allah watu wa serikali wanajulikana wanauogopa mfumo Kristo ulioshika hatamu Tanzania nzima mimi naamini kama Rais atatoa tamko la kuzuia uchafu huu kwa nafasi yake hakuna atakaethubutu lakini ni mtihani tuwaachie mizigo yao
Well said may Allah bless you and Grant highest level of jannah
Allah akubariki, Allah ailinde zanzibar yetu ,
Sheikh huna hoja mbele ya Allah umefikisha na Sisi mashuhuda na tunakuunga mkono Kwa Hilo hawakutekeleza watakwenda jibu shukran sheikh
ameen
Allah akuzidishie mzee wangu , umefikisha na Allah ni shahid!!
Asante Sheikh. Zanzibar imeharibika.
mashallwah allwah atakulipa kila khiri
Mashaalah muungu akulipe kwa ujasiri wako
Mashallah ❤❤❤❤❤❤ Shukran Mh Rais Dr Hussein mwinyi umejibu vizuri sanaaa safiiii kabisaaaaa sahihiiiiiiiiiiiii.media mitandao etc zote na wazee na kila mtu ktk jamiiiii wanawajibu wa kuongozana na kuelewesha jamiiiii ❤❤❤❤ sio serikali peke yake .
Subhanallah , hakuna anaepinga hilo kwamba kila mmoja anao wajibu wa kukumbusha, lakini mtume SAW amesema kuna njia tatu za kuzuwia uovu isitendeke ,
Njia ya kwanza kuzuwia kwa mkono wako,
Njia ya pili kukemea kama uwezo wa kuzuwia huna kama mzee wangu alivyofanya hapo .
Na njia ya tatu ni ys kuchukia ingawa huko kuchukia ni udhaifu wa imani.
Hivyo rais kama kiongozi mkuu wa nchi hana njia ya kukwepa sababu yeye leo akitamka tu kuanzia leo marufuku muziki Zanzibar akimaliza kutamka tu tayari Zanzibar itaanza kupiga hatua maana amri itakuaimetoka kinachofata ni utekelezaji , ukituletea mziki ni kichapo tu kila mmoja atakaa kwa heshima na adabu,
Lakini je ana ubavu huo,? mfumo utamuacha salama?
Ulwa hautaki tena?
Allah akulipe shekhe wetu na wanaovaa uchi pia nao waambiwe
Hongera sana shekhe umeongea ukweli mtupu
Diamond asije zanzibar
Ungeanza na Mauzinde kumkataza aache usenge ungefanya Jambo jema sana
Mashallah Zanzibar waislam cc mambo hayo kharam kwetu tusaidien viongoz kuondoa uchaf huu
Umesema kweli shekhe wangu
Naam huu ndio ukweli Mzee wetu Allah akulipe
Upo sawa kabisa sheikh wetu ..hongera kwa ukweli uliowapa hao waheshimiwa .mmaana nao wanjitoa fahamu kabisa
Well said❤mashaallah
Ndugu yangu katika upo sahihi allah akuifadhi
Asanteni hii mada nimeipenda kwakweli
Usiogope sema haki halafu hata wanamziki wasikaribishwe ikulu inakuaje wanamziki wanakwenda ikulu namuomba rais wanamziki niwatu wabaya wstaiharibu jsmii
Shukrn sheikh Allah akulipe khery mkono kwa mkono hadi peponi
Na wanaovaa uchu ni wale watalii wa kiafrika kutoka Nigeria. ghana.kenya. Na south africa.na wabongo pia
Allah akipe afya njema mzee wng❤❤
Ikiwa mnaweka sharia ktk nchi lazima Raia awe na kitambulisho ataweza kupata huduma za serika halafu raia ananyimwa kwa makusudi hamumpi. Halafu mnategemea hao wataweza kusimamia maadili ya Zanzibar? Wakati vitambulisho vya Mzanzibari wanapewa machangudoa wanaokuja kujiuza .
Ndio hapo
@@nailamohd-wn6sb Nisawa wakati wa Rais Karume Airport ya znz kulikuwa na vitenge maalum akishuka ndege 2 mtalii anapewa kitenge maalum ajistiri!
umeongea haki
@@TunauzaSimu-fn2ff ndio nikasema hawezi kusimamia km alivosema brodher hapo juu mana vitu simple tuu ni kurudisha yale ya zamani na mrejeshaji ni serikali na msimamiaji ni serikali sheikh na jamii kazi yao kutoa taarifa tuu laa sio hivo basi tutakauka mate kwa kusema na hawezi kusimamia hilo chezea Muungano ww
Serikali inakwepa jukumu lake,wao ndio waliokula kiapo kuilinda katiba ya Znz,tumuulize Mh.Rais kwa mujibu wa katiba ya Znz hapo Unguja bar zilitakiwa zisidi ngap?jee! Sasa hivi zipo ngapi?,jee! Mwinyi huyajui yanayoendelea CCM mkoa pale Amani?,kuna kila aina ya uchafu unaofanyika pale,jee sio wewe mwenye mamlaka ya Zanzibar kwa sasa?nani wa kuyazuia hayo kama sio wewe!!,leo unashindwa hata kuitetea katiba ulioiapia!!
Kiufupi wasiingie ikulu wasikaribishwe wanamziki hata kuwenda kutoa pole wanapofiwa msiwaruhusu
Sheikhe Allah akulipe ujumbe ushafika serkali ya Zanzibar inalakijibu mbele ya Allah
Mzee ujumbe umefikisha
Mashaa Allah shehe wetu ushafikisha Allah akulipe heri zako
Asalama aleykum warhamatu Allah wabarakatu. Bora kukatika viuno wanawake hata ktk ngoma za vikosi ni marufuku. Kidini bora Allah kuliko Sanaa.
Jazaka Allah khair
Anachokizungumza mzee ni sahihi utamskia rais anawaagiza masheikh suala la kukemea maadili wakati anajua kwamba yeye anayo nguvu kubwa ya kuondosha uovu kwa mikono yake na kwa mdomo wke.
Safi kabisa sheikh wetu Mheshimiwa amekuelewa vema
Ujumbe ushawafika fungu lako lisha malizia sasa kwazi kwao
Nawizara ya elimu inachangia kuharibika kwa kiswahili cha zanziba imepitosha maadili
Serikali
Zanzibar kichaka na kigenge cha wahun tu.Maana mtu anacheza uchi wa mnyama na inapigwa television ya taifa.
Sanaa hiyo unayosema ndiyo viongozi wanategemea wasanii ili kuwashawishi wananchi kukusanyika kwenye mikutano yao, " vigumu sana kwao sasa" kuwakataza! 😂
ilo baraza la sanaa lihamiye baraa sisi waislamu zanzibar uchafuu uwoo hatutaki
Kweli hilo lishughulikiwe kiingozi asimame imara kwakweli wanaume zama hizi ndio wanajistiri mno ila wanawake wao ndio matangazi yakila kitu ipigwe marfuk tusiwasikilize wazungu wasemavyo ety haki za binaadam hizo ni njama zao tu za kupotosha watu
Hekoo Barakaallah
Nyinyi mashekhe mauzinde ana Dukani katika mitandao yule ndio anavunja maadili
Hussen umelichomowa sheria za znz mnazikataa mnasingizia jamiii
Nilisema na mimi km serikali haingilii kati mashekhe mate yataganda na serikali hii ya mapinduzi hakuna litakalokua 😅 naona majibu ya Rais yy kishajitoa anakwambia tiktok hawezi kuchukua khatua mambo yataendelea km kawa
Sheikhe Allah akulipe jumble ushafika
Wamesema serekali haimadini ila mambo ya sanaa ni ya dunia
😄 Atakae aje ndio hayo. Na wakati tumeungana na Watanganyika kamwe hayoondoka. Sababu hayo mambo yapo kiserikali.
Mim mwenyewe kwangu sina tv kwa sababu ya hayo hayo
Huwo Niukweli Yule Zuchu Kaja Kaimba Hapo Rais Wa Tanzania Alikuwepo Na Hakufanya Chochote
Mashallah serekal inachangia sana
DR MWINYI NDIE WA KWANZA KULAUMIWA, NA NDIE ANAYEIFANYA ZANZIBAR KUA DANGURO. MIJITU YA KILA NCHI LIMEJAA ZANZIBAR NA AMEIRUHUSU KUFANYA KILA BAYA, HALAFU ANAWAITA WAWEKEZAJI!
Mzee usimumunyemaneno zuchu MTT mzazibar nimiongoni mwao
safi shekh
Umeongeo kaka
Huyu sio mzee,hata 50 hajafika
Shekhe usitafune maneno wambie ukweli hao viongozi katika uislamu hakuna sanaa ya muziki, ni kharamu na viongozi wanatakiwakujua kwamba kuna maisha baada ya kufa huko hakuna Rais ,makamo wala waziri kila mmoja ni mchunga na atakwenda kuulizwa juu ya alichokichunga , lakini jibu lao hao litakua rakhisi wao wamejitahidi muziki kuuundia wizara ili utambulike uwe halali, kiufupi hao mabwana wakubwa wamehalisha kile ambacho Allah amekikharamisha.
Maneno thabit haya Zanzibar maadili yameporomoka sana sana na SMZ haichukui hatua zozote kudhibiti uchafu unaozidi kila kukicha...
Hakuna kitakocho kua kama serekali haijakataza.hilo beni ndio balaa mtihani mkubwa sana.usiombe kukutana na beni ukiwa na Mzee wako
Good
Yemen mwenyewe mwinyi anavunja sheria ya dini kafanya harusi ya mwanae mbali na maadili ya dini
nikweli znz imeisha watu watembea uchi mashoga wengi wasakaji wengi sana ww huna jukumu lolote lile
Wao wanafuata maokoto tu halafu eti ni waislam
Nikweli wapigwe marufuku wapiga mziki wote wasije Znbr ndio wanatuchafualia Znbr inaonekana chafu pia wasenge wanalindwa sana na Hawa wataliiii nao
Na wanaovaa viguo vya nusu uchi waache, hawawezi kujistiri warudi walikotoka
Wasenge wengi na mnawajua hakuna kinacho endelea
Viongozi wa Zanzibar wanahimiza maadili kwaajili ya kubaki madarakani na ccm yao tu
Huo ndio ukweel
Mashallah
sahihi maneno yako
Naam shkhe
Sasa ilo ndiyo jibu au
Waloskia wamesikia
Ilo haliwezekan
Shekhe yupo sahihi ikiwezekana ata iyo tiktok ifungiwe kabisa
Kma huku kwetu
Pia kuna kipindi hata hizi madrasa ziliamrishwa wasize madufu kwa kukatika mauno ila haya yameishia wapi ?mbona muendelezo haupo wa maadili ya dini yetu pia tuaona aibu huku mitaani wasi ha na wakina mama wanavyoadhirika huku mitaani maduf haya yano hezwa hivi maadili yetu yanaharibika mno
Kataeni bara bakin zanzbar
Wachabeee