Ni elimu nzuri sana unayotoa Basilisa. ila ingependeza zaidi ukivaa uhusika zaidi na kuwa na mwonekano wa mtu aliye site. Mavazi yako yaendane na mahali, ikiwa pamoja na kuhamasisha kuvaa kofia na viatu vya usalama wakati wa ujenzi. nadhani itaongeza kitu kidogo katika mwonekano wa kipindi. pia napendekeza kuwe na muda zaidi wa kuzunguka ndani ya jengo, kufanya kama "ukaguzi" wa jengo na huo ndio wakati mzuri zaidi wa kutoa maelezo kutoka kwa fundi. kusimama muda wote kama unauliza maoni tu, sidhani kama ni wazo zuri. ni mtazamo wangu tu, yote ni katika kuboresha kipindi hiki kizuri.
Ni elimu nzuri sana unayotoa Basilisa. ila ingependeza zaidi ukivaa uhusika zaidi na kuwa na mwonekano wa mtu aliye site. Mavazi yako yaendane na mahali, ikiwa pamoja na kuhamasisha kuvaa kofia na viatu vya usalama wakati wa ujenzi. nadhani itaongeza kitu kidogo katika mwonekano wa kipindi.
pia napendekeza kuwe na muda zaidi wa kuzunguka ndani ya jengo, kufanya kama "ukaguzi" wa jengo na huo ndio wakati mzuri zaidi wa kutoa maelezo kutoka kwa fundi. kusimama muda wote kama unauliza maoni tu, sidhani kama ni wazo zuri. ni mtazamo wangu tu, yote ni katika kuboresha kipindi hiki kizuri.
Masha allah
Ni nzuri sana hata vijijini mkiitwa mnakuja.
Hongera sana nitakutafuta
Lakin mbao nyingi sanaaa muna tumia NA izo mbao ghali sanaaaaaa
Nimevutiwa na kazi yenu, natamani siku 1 niwape kazi.
Nyumba ina mita 12kwa 10 mbao ngapi bati ngapi
Kuta za ukutani haha