Kp kwanza nawapa 🎉 yenu kwa kazi nzuri munaoendelea kuzifanya, niombacho mm pale ninapotaka kupata ujumbe mzuri ili nijifunze/tujifunze nyinyi Sini mnaikatia sauti.....
Team bora wakiwa Mme na mke kp wa akwino pamoja na zeebu hongereni sana munanifanya niwafate kwaajili ya maigizo yenu ila sikumoja tutakuwa pamoja mungu akipenda
eee!!!! asante sana miss shey kwa kutuwakilisha wanyaturu mungu akubadiriki daima. pia group kp & na zebuu lidumu daima kutufurahishaa!!! like zangu tafadhali!!!
Zebuu umetupiga na kitu kizito ulipovaa gauni jeusi mnaondok na kp ulivaa na viatu vyeusi vita nyuzi ila karibia mnafik umevaa ndala duh ulijihasahau kdg ila big up ❤❤
After last card tunataka ingine kama Ile ya binti nyoka na wamangush❤❤ much love from Kenya
Movie zao tamu lakn Sasa hawamalizi vyema Yani mtu haelewi what happened next
Kweli kabisa last card ilikwa nzuri sana pamoja na benzema
Kweli zebuu umewafundisha sana wapate heshima kwenye mapenzi mapenzi sio utani bwana Tanzania namba Moja Kwa kuigiza Kwanza zebuu nawapenda sana❤❤❤❤❤
Kp kwanza nawapa 🎉 yenu kwa kazi nzuri munaoendelea kuzifanya, niombacho mm pale ninapotaka kupata ujumbe mzuri ili nijifunze/tujifunze nyinyi Sini mnaikatia sauti.....
Wakwanza❤❤❤ from sajir kingdom of Saudi Arabia
😂😂😂😂 nimeipenda hiyo ,mnajua Kunifurahisha nawapenda ❤️❤️❤️❤️
Team bora wakiwa Mme na mke kp wa akwino pamoja na zeebu hongereni sana munanifanya niwafate kwaajili ya maigizo yenu ila sikumoja tutakuwa pamoja mungu akipenda
eee!!!! asante sana miss shey kwa kutuwakilisha wanyaturu mungu akubadiriki daima.
pia group kp & na zebuu lidumu daima kutufurahishaa!!!
like zangu tafadhali!!!
Hi ❤
M🎉9jxzzSirfgs7hf cj87fr 6:33 6:34 so I
Sujffv
Sheila ukijifunga mtandio wapendez MashaAllah utadhan n msomal ❤❤
ishalah 2muombe mungu
E unamusifu
Zebuu bana umewafunza funzo kweli😂😂😂😂 much love from kenya
Saa
🎉
Nawapenda team kp& zebuuuu 💝💝💝🎉🎉🎉
🤣😂😅😅😅😆😁😘😄😄😃😀😀😄😃😃😃😃😃😃 wanaume Malaya kura chuma icho ❤❤❤❤❤❤❤ na wapenda sana kp na zebuu bira kumsahau cheichei
😂😂😂😂akih zebuu umewaweza much love from kenya
Much love from Kenya ❤❤❤❤❤❤ leo nimecheka sana kp nakupenda bure😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Dada kaongea kinyaturu safi sanaaaaaaaaaaa❤❤❤❤
Kp na zebuu my 3 years only boy anawapenda sana❤❤❤
Hehehehee mapenz nyokoo😂😂😂😂
🎉 4:17
Much love from Burundi 🇧🇮 ❤
Hii muvi ni Bomba sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Yani zébu umenifrahisha xana WE mjanja xana miss you❤
Wooooooow kp amekula chips na kuku akizani cha dezo, hhahà❤❤❤
Kenya 🇰🇪 we love you so much ❤️❤️❤️❤️🇰🇪
nawapenda Sana nyinyi much love from. Kenya ❤❤❤❤❤
Big up kp na zebu na Tim yako from karatu tz ❤❤❤
Nimeipenda sana hiii🎉🎉
Igizo zuri🔥🔥🔥 Sema mshaurini shayrah abadili style ya nywele zake🤣🤣🤣
Usiangalie nywele angalia kazi
Ni dread jaman kuwen waelew anawez kukaa nazo hata miaka mia akitaka😁🙄
Zebuu umetupiga na kitu kizito ulipovaa gauni jeusi mnaondok na kp ulivaa na viatu vyeusi vita nyuzi ila karibia mnafik umevaa ndala duh ulijihasahau kdg ila big up ❤❤
Kp&Zebuu Nimecheka sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jaman kumbe uyu dada n mnyaturu, asante kutuwakilisha mwaya, kazi nzuri
Big up kp na zebuu Ila zebuu abadilishe muonekamo wa nywele zake
Na muonekano wa kucheka na kulia pia
Zebuu jameni😂😂😂😂😂😂much love from kenya
Sheila kaongea luhga ya mama 😂😂😂😂
I like it❤❤❤ from🇰🇪keep it lit
😂😂😂 nimependa iyo Zebuu jaman umemlisha Kp chipic kwa mshakiki baadae wamchochea mwenzio kwa Kisai uku naki Shei shei adili na Suraji nimependa sana iyo ❤❤❤
Waooh sheila kumbe ni mnyaturu mwenzangu wo khaya kabisa❤🎉
Nahisi ni wote wanyaturuu sio sheila tuu nimeskia raha sana kusikia kinyaturuu
tunakukubari kp na zebuu munaedana 😂😜👌🖐👌😮😅
Weee zebuu umepigaje Apo, 😂😂😂😂😂😂😂, umejua kunifuraisha dadaa nakupenda❤❤❤❤❤❤❤❤
Wote Nawapenda team Kp&Zebuu ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Jamani sheira kanifraisha
Maajabu😂😂
Love you from USA South Dakota ❤
❤
KP aventurier. Félicitations Zebuu 😂😂😂
Zebuu nakupend san
Jmn mnyaturu wawatu kadanganywa😅😅😅😊
Safi sana zebuu 😂😂😂😂😂😂nice 👌 cheka sana zebuu. Ndio mana ukaambiwa malipo niapa Dunia.😅😅😅😅❤❤asante zebuu 👍
Much love from Kenya I love you guys ❤❤❤
❤❤❤❤aye nyaboke
😂😂😂😂😂
Much love this guy
Kazi nzuri sana ❤
Zebuu una saut nzuri sana
KP una kidot kizur kweny paj la uso
Big up Kaz nzur 🎉
Nawapenda saana jmn kazi nzuriiiiii
Hii kali sana kp na zebu wakw ❤❤❤❤
Wow navutiwa saaana na zebuu. She is more than beautiful.
love ❤ from Australia 🇦🇺 😍 😂😂♥️
❤❤❤hata muingie kwenye shimo mimi na nyinyi nalo nalo,much love from Kenya 🇰🇪, 😂😂😂perfect revenge
😂😂😂😂
Sheila mpaka kaongea kilugha si mchezo ila Zebuu duuu umejua kumfanyizia nwenzako
Like kwa kp na zetu🥰🥰🥰
Yes Zebuu kweli wanaume tungelijifunza kupitia kwako yaani unamlipizia KP bila kutumia fimbo wala kutukana kweli Uko juuu
Zubuu 😂😂😂 umefanyia ex wako kp ile kitu wee moto sana
I appreciate your works,from Burundi❤
😂😂😂😂😂😂😂Sheila njooo mnyaturu mwenzangu
Kazinzurisana❤❤❤❤❤😅😅😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤ wow I love this is so nice movie wow
A😊😊😊😊 daah umenifurahisha zebuu lkn wote🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Sheila kumbe mnyaturu ❤nakupenda sana ndio maana ni mrembo
Sheilaahh 😂😂😂😂much love from Kenya
❤❤❤❤❤ nice one KP
Ongereni saana nimepeda kazi zenu
Zeb na kepu 😮😮😮 nawapenda bure😊😅😅😅
🤣🤣🤣👍SAFI SANA ZEBUU
Nawapenda Sana much love from Kenya ❤❤❤❤❤❤
Keep it up
Sheyshey nakupenda ❤❤😂😂😂
Very sweet video,,but nmecheka sana
Ila zebuu huendi mbingin😅😅😅😅
I always loves ur videos everyday ❤❤❤❤ from 254
Sheilah surraj hajui kinyaturu😂😂😂.
Ahsanteee dada zebuu umenifungua,,,😂😂😂😂😂
Ex wangu lazima atii😅😅😅😅thnks zebu kwa point😅😅😅💔🙌
Zebuu unaweza dada angu ❤❤❤
❤❤❤❤nawapenda sana kp na zebu mmenibamba
Najikuta nacheka hata sijamaliza move 😂😂😂😂😂
Love from Chadia Official to🇧🇮
Much love from Burundi ❤❤
😂😂😂😂😂yani leo nimepata kitu nitaenda kumfanyi ivi mbwa yule
😂😂😂😂😂😂😂hatari
❤
Hahahhaaahaaa nmefurahi Sheila kumbe we ni mnyaturuu
Mko vizur sema saundi yenu ni moja kila movies zenu
Kwenye raha na rahaaa
Sheila nimeipenda hiyooooo kinyaturu oyeeeeeee❤❤❤
Leo jo mimeanza😂😂😂😂😂😂 nacheka mpaka niliye😂😂😂
Much love❤❤🎉🎉 from kenya
Sheila hapo kilugha umenikosha wakwetu kumbe mghosi atiketi hela 😂😂😂
Much love from Kenya 🇰🇪
❤❤❤
Umeweza ❤❤❤ vizuri sana
😂😂😂😂zebuu ni mmoja tu😂😂😂
Wakwanza Leo Ni Mimi izo like please
❤
Much love from kenya♥️♥️♥️
😂😂😂😂😂mnanifurahisha Sanaa daaaa🎉🎉🎉🎉
Nawapends ❤❤❤ kp na zebuu
I really. This so much I am from Kenya 🇰🇪 😭😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nani mwengine anacheka na zebuu😅😅
Kp Eti wakaribia wapi mbona niko Burundi sijakuona 😂😂😂❤🇧🇮
😂😂😂😂wallah zebuu wewee ndio maana nakupenda
Kwanzia lini mke karibia mke mwenza 😂😂😂😂
Uyo dem ananifurahishaga sana cheichei
Mko🎉🎉vizuri nyote