Nani km Mungu, hakika akitaka kupa akuletei barua,, nimefurahi sanaa kumuona mtawala na Malik niliwamiss sanaa muda sijawaona.. thanks bro hemed chande kutuletea wao
MashaAlla ina mafunzo ila swali langu ni, je aisha angekua na uwezo wa kupata mtoto angemruhusu mwenzie kuolewa na mumewe? Sio kweli, kikubwa amekubali mume kuoa kwa sababu ya faida yake pia, mwisho wa siku angeachika tu ila amefanya ili kuinusuru ndoa yake pia sio ati mwenzie apate stara, sio mbaya lakini, lakini sasa ameivuruga ndoa yake mwenyewe zaidi, angezidi kumuomba sana Allah kwa yakin ampe mtoto. Ikishindikana angemwachia mume mwenyewe atafte mke na wakae mbali mbali, isitoshe ulisahau kumshauri Allah kwa jambo lako, ulitakiwa kuswali sana kuhusu ili jambo... Hakuna na hakutowai kua na uke wenza mzuri 💯. Basi kama sio uchawi basi wivu. Sema afadhali wivu zaidi ya uchawi....
Imenifunza hii inapaswa kuqngalia kwa umakin jamn mm ni mkrist lkn kun kit kikubwa nimejifunza aise hemed chand na tim nzima mungu awape maarifa zaid na zqid ❤❤❤
Mashaallah Mashaallah mabrook Alf mabrook nmeipenda Mashaallah hemed igiza movie hizi nzur mafunzo Alhamdulilah ina stara waeza angalia na watoto mashaallah shukran kwa ukumbusho
Maasha Allah Baraka Ya Allah Mloshiriki Bonge La Move Mungu Awazidishie Maendeleo Yenu Muweze Kufunza Watu Siko Zote Uwambiwa Aduhi Ya Mwanamke Ni Mwanamke Mwenziwe Leo Nimeamini
Mashallah move nzur na unamafundisho mea ya dini ya kiislam.Allah ataline wanawake wote wa kiislam tuwe na moyo mzur mwema kama bi Aysha ameen.kazi nzur sana sana
Mbona hio kahawa kwenye kikombe kikubwa mno.. Sijamalizia kuangalia lakini uyu aisha maskini hajui akishaolewa mwenzie lazima uwivu utamu ingia tu, Acha nifatilie nione mwisho wake.... Wamjua sabra kwa mambo mengine ila sio kwa kushare mume.. Kheir insha'Allah Acha nitizame mpaka mwisho
Wallai Aisha hongera mamaa umeweza mashaallah but ingelikua kwel usingekubali mm mwenyewe siwez hata kidogo much love your movies Hemeby chande big up broo kama wakubali movie zake nipe likes baxi jamn 😢😅😅😅😅
Dada Aisha Hongera kwa Huruma Yako Allah wadada wakiolewa wa pilii Ndio zao kutia Dawa,, kwa chakula wapendwe wao wakasahau Wema Wako Ulio ufanya kabla
Hemed chande namkubali sana ila Leo nimkosoe kidogo t kwenye kivazi alicho vaaa kanzu ukivaa uvae suruali yake la km hauna suruali basi uvaae nguo ambayo haitaonekana chini siwe ndefu
Mashaa Allah tabaraka Allah nmelia kwa fyraha somo yangu amepitia wakati mgumu ila.allah kareem kaleta rehma zake 😢❤jamani wanawake tuacheni shirki ukimkuta mwenzio kaolewa wa kwanza mpende mpe heshma zake😢 aisha nakupnda sna❤💖😍😘🌹 Allah azidi kukulinda huko ulio somo yangu 🙏hongera hemed n malik mumejuwa kuigiza filamu nzuri sana ina madili mema❤🎉🎉🎉🎉
Hii move imenifunza sana na bado sijaingia kwenye ndoa ila nimejifuza vitu vitatu ❤ naipenda sana hemed mung akuongeze akili nying kazi yako nzur mung akuepushe na hasda za kila aina saluti kwako
Mashaallah kuna cha kujifunza hapa sio 2naangalia 2 huu ni ujumbe adhim kwa wana ndoa wote m/ mungu awafanyie wepesi ktk kazi zenu m2juze haya na mengine inshaallah 🙏🙏
Nili fikiria sana mlipo angalia hii filamu kwani so kila mtu ni wa kumuamini tu ktk ushauri si kwa wanawake wala wanaume kwani unae mzania sie kumbe ndie mwenye muelekeo kwako na unae mzania ndie ndie anae waza kuku didimiza cha umuhimu ni kuwa‼️🇹🇿..
Nani km Mungu, hakika akitaka kupa akuletei barua,, nimefurahi sanaa kumuona mtawala na Malik niliwamiss sanaa muda sijawaona.. thanks bro hemed chande kutuletea wao
MashaAlla ina mafunzo ila swali langu ni, je aisha angekua na uwezo wa kupata mtoto angemruhusu mwenzie kuolewa na mumewe? Sio kweli, kikubwa amekubali mume kuoa kwa sababu ya faida yake pia, mwisho wa siku angeachika tu ila amefanya ili kuinusuru ndoa yake pia sio ati mwenzie apate stara, sio mbaya lakini, lakini sasa ameivuruga ndoa yake mwenyewe zaidi, angezidi kumuomba sana Allah kwa yakin ampe mtoto. Ikishindikana angemwachia mume mwenyewe atafte mke na wakae mbali mbali, isitoshe ulisahau kumshauri Allah kwa jambo lako, ulitakiwa kuswali sana kuhusu ili jambo... Hakuna na hakutowai kua na uke wenza mzuri 💯. Basi kama sio uchawi basi wivu. Sema afadhali wivu zaidi ya uchawi....
Ulikuwa kwnye mawazo yngu
Imenifunza hii inapaswa kuqngalia kwa umakin jamn mm ni mkrist lkn kun kit kikubwa nimejifunza aise hemed chand na tim nzima mungu awape maarifa zaid na zqid ❤❤❤
Mashaallah Mashaallah mabrook Alf mabrook nmeipenda Mashaallah hemed igiza movie hizi nzur mafunzo Alhamdulilah ina stara waeza angalia na watoto mashaallah shukran kwa ukumbusho
Maasha Allah Baraka Ya Allah Mloshiriki Bonge La Move Mungu Awazidishie Maendeleo Yenu Muweze Kufunza Watu Siko Zote Uwambiwa Aduhi Ya Mwanamke Ni Mwanamke Mwenziwe Leo Nimeamini
Wapili jamani naombeni like 5 tu,,,,napenda kaz za hemed chande
Muhtari mov zako nafatiria unaigiza vizur san
1122221😅❤@@Shekhkisofa😅
Mashallah what a wonderful filam 👌 guys you're so special to us ❤ Big love
Mashallah tabarkallahu fii ❤❤❤Ina mafunz mazuri n pia iko vzuri🎉❤❤much ❤from Kenya 🇰🇪
Manshallah yani mr.hemed kiukweli hua nakukubali yani hii movei natamani iwe ma muendelezo wallah tena haah yani inafundisha jaman nimeipenda sana ❤❤❤
Masha Allah movie nzuri sana I wish ingekuwa na part two tukaona maisha yangekuwaje baada ya misuko suko hii,, baada ya kujifungua,,
Mashaallah mungu awazidishie vipaji nyote❤❤😊😊nimeipenda iyo movie🎉🎉hemed chande congratulations 🎊 👏 💐 🥳 tupo pamoja
Ameen
Mashalla move imeweza xn mungu awazidishie maisha marefu tuzidi kupata nyengine zaidi
Leo nimekomenti, umeua yaani mmeonyesha maadiri ya hali ya juuu❤❤❤❤
Mashaallah kazi nzuri sana hemedi mungu akuzidishie Imani na kipaji
Mashallah iyi movie mmeicheza vzr pia umetumiy ubunifu mkubwa big up brother umeupiga mwingi ❤❤❤❤❤
Mashaallah movie nzuri Sana Na yenye mafunzo.hakika mwenyezi mungu hatupo mja wake.
MashaAllah Tabarakallah mafunzo mema kabisa ila shida ya ukewenza naiyogopa sana wampokeya mwenzio vizuri baadaye yakurudia mwenyewe
Mashaallah Hemedy Jazanda 😂 Allah akuzidishie umaarufu wampangilio wa filamu zako zaburudisha nakuelimisha pia,marafiki tuchangue jamani mabanati
Wallah mwenyez mungu ajaallie iwe nisehemu ya mema yenu mmewekeza katika kher kizaz na kizaz kitajifunza
Nimejifunza ki2 Mungu awape uwezo muendelee kutuilimisha wema inaponza ila tufanye malipo ni kwake Allah
Fupi tamu.
Asanteni wake wenza.
Asante shekhe
Chande amecheka sana mwisho mashaallh mungu awaongoze team chandw🎉🎉❤❤
Mimi namkubali sana nikiwa kenya mombasa bamburi mbona mimi nafatilia movie zake sana Mungu akuzidishie broo🔥🔥🔥
Mashallah move nzur na unamafundisho mea ya dini ya kiislam.Allah ataline wanawake wote wa kiislam tuwe na moyo mzur mwema kama bi Aysha ameen.kazi nzur sana sana
Yani mie namkubali sana hemedy namwenzake uyo daa wamependeza bala nyoote moivo icheza hii kislam kabisa namavazi yame wapendeza hatari
Masha allah hizi ndio movie zamafunzo tunazopenda❤❤🎉
Nikweli sana❤🎉
Mashaallah ❤❤❤❤❤❤
Kweli❤❤
Mashallah medi umewaza nn kutoa movies nzuri sna yani
Aisha nakupenda sana. Uko mwana Mke muzli sana. Hemed. Unaceza vizuli sana narafiki yako. Angecoka kwa maneno unge mwambia alakini hawezi kukuaca
Mbona hio kahawa kwenye kikombe kikubwa mno.. Sijamalizia kuangalia lakini uyu aisha maskini hajui akishaolewa mwenzie lazima uwivu utamu ingia tu, Acha nifatilie nione mwisho wake.... Wamjua sabra kwa mambo mengine ila sio kwa kushare mume.. Kheir insha'Allah Acha nitizame mpaka mwisho
Maa shaa Allah yaan nmefurahi mwanzo mwisho kazi maridadi kabisa
Wallai Aisha hongera mamaa umeweza mashaallah but ingelikua kwel usingekubali mm mwenyewe siwez hata kidogo much love your movies Hemeby chande big up broo kama wakubali movie zake nipe likes baxi jamn 😢😅😅😅😅
Kweli mwanamke mpuuzi huvunja ndoa yake kwa mikono yake na marafikri tu ❤❤❤😊
Mashaallah mungu akuzidishie movies zko.
Mashallah film nzuri ya maadili mazuri,hizi ndo Zina mafunzo mazuri zinazofaa
HEMED unafundisha meng San 💯💯💯💯 so weka mwendelezo wa series ya jesca
Maaashalaa kazi nzuri san
Mashaallh ❤🎉🎉 hongera sana kaka kwa kazi nzuri
Masha Allah hongereni sana kwa kazini nzuri 🎉🎉😊😊
Namuona Shekh juma wa Islaah Allah Ampe umri mrefu
Masha Allah tabarakallah huu ndio uislam 🎉🎉🎉❤❤❤
Dada Aisha Hongera kwa Huruma Yako Allah wadada wakiolewa wa pilii Ndio zao kutia Dawa,, kwa chakula wapendwe wao wakasahau Wema Wako Ulio ufanya kabla
Wakwe wakubwa mara nying sana ndo wanakua wakorofi, itokezee kweli kweli wake wadogo kua wakorofi sio sana yaani.
Nyie uyu jamaa Yuko sawa kweli🙏weekeni likes zenu hapa kama mnakubali hemed
Hemed chande namkubali sana ila Leo nimkosoe kidogo t kwenye kivazi alicho vaaa kanzu ukivaa uvae suruali yake la km hauna suruali basi uvaae nguo ambayo haitaonekana chini siwe ndefu
Hongereni sana aseee mnajua sana hadi mnakera
Nime kubali kazi lkn pongez kwa b Aysha love u❤❤
Huyu Mdada w hapa kw Muktar MBONA amevaa Rozal thn anasema anaswal Kivip inashndkana kuwa na uhalisiaaa
I like your video uko mzuri kaka hemed❤
M2 Masha Allah umenenepa mpaka umebadilika sura
Huyu Aisha amenikosha sana asee Mashaallah ❤❤❤❤
Marshall ah...napenda video zako...keep it up
Michezo yote nangaliya ila hii nimependa mar x 100000000000 inamafunzo haswa❤
Malik Mbna ujaoa 😂😂, oa na ww nije harusi , Mbna ww uowi waambia wenzako tu 😂😂😂😂, we pia ushakua baba tafuta jiko n ww ❤❤❤😂😂😂🎉🎉🎉
wanaokubali mv za hemed zote gonga like hapo tujuane jmn
❤🎉jamani ndugu zangu mnafanya kazi zenu vizuli naomba kujiunga nanyie
Mashaa Allah tabaraka Allah nmelia kwa fyraha somo yangu amepitia wakati mgumu ila.allah kareem kaleta rehma zake 😢❤jamani wanawake tuacheni shirki ukimkuta mwenzio kaolewa wa kwanza mpende mpe heshma zake😢 aisha nakupnda sna❤💖😍😘🌹 Allah azidi kukulinda huko ulio somo yangu 🙏hongera hemed n malik mumejuwa kuigiza filamu nzuri sana ina madili mema❤🎉🎉🎉🎉
Sema waigizaji wahiii movie wote wameiva❤❤
MASHAALLAH movie nzuri yenye mafunzo,from KENYA Haki Team Hemed mko Vzr❤
Hii move imenifunza sana na bado sijaingia kwenye ndoa ila nimejifuza vitu vitatu ❤ naipenda sana hemed mung akuongeze akili nying kazi yako nzur mung akuepushe na hasda za kila aina saluti kwako
Kama unamkuba hemed chande gonga like
Assalama alekom
Tuletee movie mpya sai bna
Wakwanz mm namkubali Sana chande
Jee uhalisia anaweza kutokezea mwanamke kama Asha
Gh@@NfalumeRachide
nimekawa ila wapendwa wa bongo movies naombebi like
Chande hiz move za kiislamu zinakupendeza Sana mashallah
Tanzania wote wange igiza ivi wakiwa kwenye sitar raha san mungu angetujalia kila kit
one love nakubar sana movie zako sema unaachelewa sana kuwekaa kazi
Mashaallah mungu awazidishie
Hongera kaka piga KAZI Allah akusimami🎉🎉🎉
Mashaallah kuna cha kujifunza hapa sio 2naangalia 2 huu ni ujumbe adhim kwa wana ndoa wote m/ mungu awafanyie wepesi ktk kazi zenu m2juze haya na mengine inshaallah 🙏🙏
Mashallah movie zako nazipenda sana
Jmn maashallah tuwe na subra atimaye Aisha mungu kamuona nayy ma'am wema wak ukitaka kumponza pongez kwa dada wak naye kafanya jambo kias chake
Wow mashallah mashallah Allah awajalie kla la kher inshallah ❤❤❤❤
Kwakwelii mov zako nazikubali 🥰😘👍
production 100% Quality and director yuko powa sana
Mashallah Allah azid kukupa akili hii hii nduguu yaangu❤❤
MashaAllah movie nzuri sana ❤❤🎉🎉🎉
Mashahalla hii movie i say n nzr San na inatufunza mengi asant team muktary❤❤❤❤❤
Assante kwa kunifunza mengi hapa nimekubari , Allahubariqi ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🤝🙏
Nimeipenda ina mafunzo bt hapo pakuishi nyumba moja wakewenza mm hapana bora kila mmoja hawe na kwake😂😂😂
Me nitaua 😂😂😂
💯💯💯💯
Himv imetoka clear beautiful
MashaAllah ❤🎉 hongerani sana
Mashaallah bi aisha yuko vizur❤
Mashaa AllAh nmependa hiyo Aisha
Masha Allah! Movie yko nzuri sana
Mashallah ❤❤❤ i like this movie
Mashaallah movie nzur sana na ina mafunzo
Mashallah movie nzur❤❤❤
Siwezi kukuacha hemed Chande ulio nipo✌️✌️
MashaAllah mke mkubwa yuko vzur san ndo wanawake wa kiislamu wanapaswa kuwa
Maashaa allah kazi nzur 🤲🤲
mashaalh mashaaalh movoe nzur sana nampenda sana ahmed😊😊
Much love❤❤ movie keep it up
Somo zuri hongera❤️❤️
Yaa Allah nimecherewa Walla ❤❤I was missing you
Nampendaa sanaa na kazi zakee❤❤❤
Masha allah mnanifurahisha sana
جزاكم الله خير
Hemedy nakupenda sana kazi yako mzuri sana EP 3❤❤❤
Adi rahaa manshaallah nzuri sanaa❤❤❤🎉🎉
Mashaallah Kama Bado kunawanawake kamahawa mungu akawalelipe kwakwelo
To much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤🎉🎉🎉
Nili fikiria sana mlipo angalia hii filamu kwani so kila mtu ni wa kumuamini tu ktk ushauri si kwa wanawake wala wanaume kwani unae mzania sie kumbe ndie mwenye muelekeo kwako na unae mzania ndie ndie anae waza kuku didimiza cha umuhimu ni kuwa‼️🇹🇿..
Mashaalah. nami Allah anijaalie mke mwema ❤
inshaallah utampata 2
yeah natumaini hivyo
In'Shaa'Allah hiyo duaa kwetu sote.
Nipo hapa
@@FatmaSalim-dl7fe sawa
Kwa kweli ongera sana ! Mimi nime wafatilia toka congo! Asanteni sana tume jifunja mengi
Mashallah vzuri allah awazidishie mzidi kutufunza uliambia adaui ya mwanamke ni mwanamke mwenzie kweli next pleases