STORY HII YA MTOTO WA MZEE YUSSUF ITAKUTOA MACHOZI /BABA ALINIKATAA KWA KUHOFIA WAKE ZAKE BAMILOO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 62

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 2 роки тому +6

    Sishabiki mziki nabsisemi km baba yake lakin dogo talent ya kuzungumza dogo mashaa Allahh Allah amuhifazi

  • @martinaseleli2385
    @martinaseleli2385 3 роки тому +6

    Una hekima sana kijana,Mungu akupe haja ya moyo wako!

  • @mwajabukeah7636
    @mwajabukeah7636 Рік тому +2

    Mtegemee mungu

  • @SaotmAlohtm
    @SaotmAlohtm 8 місяців тому

    Imeniuma sana dogo huyo Mungu amufunguliye jua zuli na mimi pia nimekutana namukasahuo

  • @MehmetMtonga-b5i
    @MehmetMtonga-b5i Рік тому

    Mzee yusuph ayupo sawa amecyangantikiwa

  • @ibramsola2682
    @ibramsola2682 3 роки тому +4

    duh! kimtindo wanafanana but labda atafutwe mzee yusuph afafanue kuhusu hili swala

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 Рік тому +3

    Mmefanana sanaa inauma Mimi nimekataliwa na babs najua msumivu yake

  • @fatmaamisi7011
    @fatmaamisi7011 2 роки тому +2

    Safi dogo

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 3 роки тому +5

    Huyu kafanana mzee Yusuf

  • @HassaniMpangi
    @HassaniMpangi 9 місяців тому

    Jamaani hata kama hatujui kusoma napicha Kweli!!!

  • @kelvinsauveur6264
    @kelvinsauveur6264 Рік тому +1

    Mama njo anajuwa baba mutoto

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 Рік тому +1

    Huyu dogo kweli nimeamini maneno aliyoongea Mzee yaani alivyoongea nyuma na alivyoongea ya mwezi huu Wasafi dhahiri kabisa wamepanga kumchafua Mzee na Dida ndy aliyeyapanga kweli loh kweli kucheka na watu wanafki ni mbaya sana

  • @farhannahkulishwaburekunam5360

    Sura tupu s8ku zote mtoto wa nje hakwepeki sura mpaka kuzungumza wamefanana sana atunge Wimborne ( nimekataliwa) na mzazi

  • @duncankinoti9933
    @duncankinoti9933 Рік тому +1

    Kule wasafi kijana mama kaaga apa mama yupo .

  • @atomicexposior6012
    @atomicexposior6012 Рік тому

    Wanawake wabayaa sana mzee usufu kafanyiwa ubaya sana na mama yake uyo dogo ndiyo mana adi Leo ana machungu sana

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 Рік тому

      Mwenyewe Mzee anakataa hamjui huyo mwanamke sasa ubaya kamfanyia vp?

  • @MehmetMtonga-b5i
    @MehmetMtonga-b5i Рік тому +1

    Dogo kama amekukataa achana naeee

  • @rajabuhondo4973
    @rajabuhondo4973 3 роки тому +1

    Daa kaza kijana utaa tusuwa Tena uta wakanyaga kaza sanaaaaaaa

  • @ReginaUshaky
    @ReginaUshaky 9 місяців тому

    Kuna kusingiziwa lakini si hivyo jamani.wayamalize tu kwanza kijana ameshajitambua

  • @nivancewali8192
    @nivancewali8192 3 роки тому +2

    Copy yake jamani tena mtoto ana talent huyo mashallah tusikatae watoto watatufaa uzeeni

  • @cattydaniel5016
    @cattydaniel5016 3 роки тому +6

    Hakuna haja ya DNA ni mwanae bwana

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Рік тому

    Kwani Mma Yake Kafufuka Au Maana Alisema Mmayake Kafaa Au

  • @JoachimMponji
    @JoachimMponji 7 місяців тому

    Damu nzito kuliko maji mna fanan

  • @MehmetMtonga-b5i
    @MehmetMtonga-b5i Рік тому

    Kilichomponza baba diamondi kitakutokeawewe

  • @hassaniibrahim300
    @hassaniibrahim300 Рік тому

    Duh

  • @aishaabdullah837
    @aishaabdullah837 Рік тому

    Sasa sasaivi unafafanua kama ww baba yako yupo morogoro 😅😅😅

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Рік тому

    Aki Na Mtto WA Nje Ya Ndoa Uwa Ako Na Aibu Kweli Maana Uwa Anafanana Na Bbake Kweli

  • @MehmetMtonga-b5i
    @MehmetMtonga-b5i Рік тому

    Ndiyo mahana umelaniwa na mzaziwako

  • @aishaabdullah837
    @aishaabdullah837 Рік тому

    Kwaiyo kwa Sasa mama yako kafufu Tena 😄😄😄😄⛹️

  • @asilasaidsalim6138
    @asilasaidsalim6138 9 місяців тому

    Dogo dege dege ili muathir akili hana kumbu kumbu mana mama kafa akiwa hajaanza shule mara alikua shule leo mama anasema yupo au kukusudia mama mdogo

  • @MehmetMtonga-b5i
    @MehmetMtonga-b5i Рік тому

    Mtoto wako unamkataa uwoni ahi bu unawanawake wangapi acha zalau wewe yusuph

  • @DeusiMwalyego
    @DeusiMwalyego Рік тому

    Huyo ni Baba yake ,copy haijifichi.

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Рік тому

    Mbona unasema kafariki

  • @sophiayBakali
    @sophiayBakali Рік тому +1

    Kiukweli ww ni mtt wa mzee yusufu lakini mbona ulisema wasafi kama mama yako amefariki

  • @ruqiyanasir7141
    @ruqiyanasir7141 Рік тому

    Wemtoto muongo ulisema mama ako kashafariki leo unasema unaka namama ako sasa tukuwelewe vipi

    • @omarymkandinde3860
      @omarymkandinde3860 Рік тому

      Mmhh ilaaa hii post ni ya mwaka mmoja uliopitia dadaa angaliaa vzr

  • @mwajabukeah7636
    @mwajabukeah7636 Рік тому

    Ukitakakujua niwako nyusi lazimazifanane

  • @uwizeyimanatakiya
    @uwizeyimanatakiya Рік тому

    D'ami zito

  • @aishaabdullah837
    @aishaabdullah837 Рік тому +1

    Apa unasema mama yupo kule ulisema mama yako kafa

    • @sikudhanimohammad7692
      @sikudhanimohammad7692 Рік тому

      Hii ni ya mwaka jana

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 Рік тому

      ​@@sikudhanimohammad7692Muongo huyu mama yake atakuwa yupo maana kule alisema kakulia Mafia kaja huku alivyomaliza shule na mama yake kafa miaka mingi ht picha yake hana huoni hii ni ya mwaka jana na anaishi hapo na mama yake kweli inaingia akilini hapo aah wamepanga kweli wamchafue

  • @zuberikamote2078
    @zuberikamote2078 3 роки тому

    Mtt wke huyu roho inamuuma

  • @kizasaidl5248
    @kizasaidl5248 3 роки тому

    Kopi

    • @mwajabukeah7636
      @mwajabukeah7636 Рік тому

      Ukitakakujua nimtoto wake angalia nyusi utajua

  • @hijahsaidy1562
    @hijahsaidy1562 3 роки тому +1

    Wake. Zake wawili ashaoa tena kumbe

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 2 роки тому

    Dogo kanigusa aliposema hafat urisi sawasawa

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Рік тому

    Naww mtoto munafiki