ANGALIA MZEE BAKHRESA ALIVYOTOKA KTK SALA YA IDD KWA ULINZI MKALI MASJID MTORO NA MGARI WA KISASA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 112

  • @ZainaJuma-m1w
    @ZainaJuma-m1w 10 місяців тому +9

    Allah awalinde masheik wetu Islam kweli raha najivunia kuzalia kwenye uslam

  • @Herson-yw6cn
    @Herson-yw6cn 10 місяців тому +3

    Namshauri bakhresa awe anaswali misikiti mingine kimya kimya hatopata kuzongwa kama hivi

    • @msabahaali758
      @msabahaali758 10 місяців тому

      kwa bara tu Zanzibar ata aje nani hashobokewi ata uwe vipi

    • @mr.daisamdaisam1319
      @mr.daisamdaisam1319 10 місяців тому

      Ttz lilianzia siku ya msiba wa rais Mzee mwinyi waandish wa habar walipoacha kuripot habari ya msiba na kuanza kumripot yeye na miwani yake dunia nzima ndo ilipoanza kumjua ila yy hapendi maisha ya mitandaoni alikua anakuja kusali mara kwa mara masjid hiyo na watu walikua hawamsumbui kwakua hawamjui

    • @julianamwalongo6047
      @julianamwalongo6047 10 місяців тому

      @@msabahaali758 Zanzibar ni nchi ya watumwa, ebu taja makabila matano ya Zan zibar

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 10 місяців тому +3

    Zanzbar Respect tupeni maua yetu tujitawale wenyewe musituletee vurugu

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 10 місяців тому +8

    Dunia imegawa vipaji kwa usawa Lakini fursa hazina mgawanyo sawa

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 10 місяців тому +2

    Allah Amuhifadhi mzee wetu... Hapa ndo utaona tofauti kubwa ya Zanzibar na kwengine.... Duniani maana sio Bara tuu.. Yaani huyu mtu wanakuwa nae wanakula nae Misikitini au KWENYE maulid kisha kila mtu anashika lake... 😅

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 10 місяців тому +3

    Wanzanzibar wana hela wanaondoka na kijiji lakini wale wengine zogo tu

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 9 місяців тому

    Mtihani huo ivi hapo ataakisema asaidiye atamsaidiya nani ni vigumu kumsaidiya mtu hapo mana hapo huwezi kumpatiya mtu muhusika msaada

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 10 місяців тому +1

    Tajir wa kizanzibar anatoka hyo wale Akina Diamond wako wanopiga zogo na kujisifu mmoja ati Jesh

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 10 місяців тому +2

    Wabongo njaa tupu dah viongoz wanayaona haya au wanakula wao tu

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 10 місяців тому

      Mmmmh.mshenzi kweli wewe Zanzibar na Tanganyika wapi kuna njaa.
      Basi akili huna hata macho na masikio yako pia vimezibwa?

  • @FatumaAli-e6n
    @FatumaAli-e6n 9 місяців тому

    MashaAIIah

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 9 місяців тому

    Tujitafakar hata huko znz skukuu pale malindi kwake watu hujazana kutaka mkono wa eid sida ipo kila mahali

  • @Nabiilkhamis
    @Nabiilkhamis 10 місяців тому +17

    Akija zaziba hakuna anae mshobokea ila nyinyi wabongo washamba sana

    • @saidymbaraq
      @saidymbaraq 10 місяців тому

      Acha ushamba ww kima

    • @KS-iw7qv
      @KS-iw7qv 10 місяців тому

      Umeonaaee

    • @usamaharith
      @usamaharith 10 місяців тому +1

      Ww acha kusema hivyo mm mwenyew mznzbar lkn sijapenda maneno yak

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 10 місяців тому +2

      Zaziba ndio wapi

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 10 місяців тому +1

      Hamuwezi mshobokea mana utajiri wake ameutoa huku, huku tunamthamini Kwa kuwa Ni mlipa Kodi mzuri, mtu akiwa maarufu kumshobokea sio ushamba , Dunia nzima inafanya

  • @othmanalnabhany3208
    @othmanalnabhany3208 10 місяців тому +2

    Tatizo la wabongo hawana aibu, halaf wanapenda kuombaomba kuliko kujituma na imekuwa kama utamaduni wao ndio maana hata hapa kwetu zanzibar wapo kwa ajili hiyo kututia aibu tu halaf watuchafulie majina tuonekane wazanzibari nao wamekuwa ombaomba wabongo wengi hawajitambui

    • @AthumaniAmiri-fv5zp
      @AthumaniAmiri-fv5zp 10 місяців тому

      Mbn roho zimewauma sana daah viumbe mna roho mbaya mpaka mnashindwa kujizuia

    • @upendohalisi80
      @upendohalisi80 10 місяців тому

      Othman chuki za nini wanzazibar wakati wote ni watanzania? Mbona mnaubaguzi sana wandugu kujiona ninyi ndo wazuri kuliko wakristo hamtakaa mfanikiwe kwa ubaguzi huo

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 9 місяців тому

    ACHENI CHUKI,,,MTU KAMA BAKHRESA HAWEZ KUWA HIVYO MNAVYOTAKA,,,KWA MFANO HAPO ASINGEPATA SUPPORTER YA KUSINDIKIZWA MNADHAN KINGETOKEA NINI??

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 10 місяців тому +2

    Watu kma wako Oman 🇴🇲 na Dubai

  • @AthumaniAmiri-fv5zp
    @AthumaniAmiri-fv5zp 10 місяців тому

    Nimejifunza kitu kupitia hili tukio hawa WAZANZIBAR ni watu wenye roho mbaya sana watu wenye chuki sana wana husda Allah atunusuru nao lkn ni hatari kwa usalama wa machoni

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 10 місяців тому +3

    Sisi Zanzbar hata akija Bilgate huwa hatuna hbar nae

    • @jamalisebarua9594
      @jamalisebarua9594 9 місяців тому

      Kwani mnanini sasa wakati mjini kwenu ni daressalam

  • @cholokigomasha4557
    @cholokigomasha4557 10 місяців тому +1

    Mambo ya uzanzibar na ubara sasa hapa yanaingiaje?mbona sisi wazanzibar ni wabaguzi sana kiasi ya kuwa mtu kama huyu ni tunu kumuona wakti tajiri kama huyu akija pemba na unguja mbona hvyo ni kidogo kuzongea waunguja munakua na ulimbukeni munafanya ubaguzi afu wanaotajika kuwa wabaguzi ni wapembaa

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 10 місяців тому +1

    Hawa wabongo lkn siwachawi hawa sasa izo shida zao mpaka walie lie jmn eh ujinga huuu

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 9 місяців тому

    Athuman amir watu hawafanani usiseme wazanzibar muhukumu aliyekuudhi usichanganye.

  • @rajabushaibu1068
    @rajabushaibu1068 10 місяців тому

    Uyo mnzazibal anae leta mdomo juu ya bala ajitambui maan nchi yake imemezwa na nchi yetu sisi ndo kila kitu kwao

  • @Hbboban
    @Hbboban 9 місяців тому

    5:17

  • @BishiraMunga-ey6jx
    @BishiraMunga-ey6jx 10 місяців тому +1

    We pia mshamba kama washamba wenhine,wabara tjkimsjojokea we waumwa wapi,rohombaya hatuna,tuna mahaba nae,wamdharau kwa nini?acha aheshimiwe ni wakati wake ziba jua na ungo basi kama waweza.

    • @msabahaali758
      @msabahaali758 10 місяців тому

      sio kuheshimisha hamjakinai mnapenda kujidhalilisha kwa matajir acheni

  • @AllyJuma-xo4ki
    @AllyJuma-xo4ki 9 місяців тому

    Tafuten pesa zakwenu nnatia fujo

  • @Bistwishs
    @Bistwishs 10 місяців тому +2

    Wewe ni hasidi ndio maana huendelei allah amempa neema na anaidia watu

  • @haidarngoyogo-wi8wu
    @haidarngoyogo-wi8wu 10 місяців тому

    Hao wanzabar wana utajiri gani angalia vijumba vyao asiliamia nyingi ukiingia mpaka uiname liwaasumbie jina hakuna lolote

    • @Muhamed_mo
      @Muhamed_mo 9 місяців тому

      Nyie asili yenu vijumba vya nyasi tu , AFRIKA mashrik nzima hakuna kama znzbar kama hujui uliza usiionee leo

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 9 місяців тому

    Ivi nikisema wabongo wana roho mbaya nitakuwa sawa kweli?

  • @mwanaishawaziri1075
    @mwanaishawaziri1075 10 місяців тому

    Njaa mbaya

  • @KhalfanSaid-mo9jh
    @KhalfanSaid-mo9jh 10 місяців тому

    Hakuna mmbora mbele ya zaidi yayule anaetekeleza maamrisho yke nakuacha makatazo yke.....huyo nimfanya biashara maarufu Mzee Said Salim Bakhresa......namdhamini mkuu wa msikiti wa mtoro.....but Mali Haina THAMANI mbele ya Sala....kwani Kuna watu Leo nimatajiri but haswali........ Zanzibar nahawa wabongo msimseme Mzee Said Bakhresa

  • @MWIGAADAM-r3e
    @MWIGAADAM-r3e 10 місяців тому

    Ushamba na kuishiwa

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 10 місяців тому +1

    akija huku kwao Zanzibar haulizwi na mtu yani ila wenzetu heee

    • @shaban6644
      @shaban6644 10 місяців тому

      Kwan Kuna shida gani watu kuonesha upendo Wao Kwa Bakhresa..??,

    • @hussehussein1081
      @hussehussein1081 10 місяців тому

      si kila kitu lazima uongee, wazanzibar wengi mnatabia za walivyokua watu wa makka, walimpuuza mtume na hawakuona thamani yeke ila watu wamadina walimuhitaji na walikua na kile mnachoita(kushoboka).kuna ubaya watu wa bara kuonesha upendo kwa bakhresa na kutaka msaada?. au ndio ule msemo masikini jeuri kujifanya unacho kumbe huna. nabii hakubaliki kwao

  • @Kiva1610
    @Kiva1610 10 місяців тому

    Kama Zanzibar humunthamini sisi huku tuacheni na Bakhresa wetu.

  • @edwardleonard7402
    @edwardleonard7402 10 місяців тому

    Ww kima tu hujielewi

  • @abdalaothumani
    @abdalaothumani 10 місяців тому

    Kwan anagawa Kila hapo nyii roho kubwa naubaguz wenu wabong penda mimi

  • @AliAbdalla-lb8su
    @AliAbdalla-lb8su 10 місяців тому

    Jamani Nawaomba kwenye dini musilete mijadala isiyokua ya msingi

  • @SeleIddi-gj9fu
    @SeleIddi-gj9fu 10 місяців тому +1

    Hata hajasalimia????

  • @damasiasimba-lk5os
    @damasiasimba-lk5os 10 місяців тому

    Ina maana mzee wa kusaidiwa pekee yake au uchawa

  • @alhudhaify7810
    @alhudhaify7810 10 місяців тому

    Tuonyeshe na MO akitoka msikitini

  • @mussasaid-uc3xc
    @mussasaid-uc3xc 10 місяців тому

    😊😊p😊

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 10 місяців тому +1

    Ila sm hizi Ni fitna kubwa saaaana tena saaana

  • @BishiraMunga-ey6jx
    @BishiraMunga-ey6jx 10 місяців тому

    Nachokiona ni husda tu,kweli angefanyiwa babaako ungeongea hayo?

  • @RajabSaidi
    @RajabSaidi 10 місяців тому

    Kushokewa kwa mtu kama huyu ni kawaida ata ingekuwa wewe usingeacha kama mtu tu wakida kumbuka huyo ni tajili

  • @amirmohamed2729
    @amirmohamed2729 10 місяців тому

    Sasa mtu akitoka kuswali pia video mbona akinya mavi hamtuoneshi

    • @makamekhamis871
      @makamekhamis871 9 місяців тому

      Waambie waje wakurikodi wew ukinya mavi yako.

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr 10 місяців тому +1

    Wabongo njaa zenu mnaziendekeza mtu hana raka kufanya ibada anasali anafikiria njia ya kupita duu

  • @ayubuzomboko9502
    @ayubuzomboko9502 10 місяців тому +2

    Wewe unaesema wabongo wanamshobokea ingekua Mambo haya kafanyiwa baba yako ungesema hivi?Bas wewe ndo mshamba zaidi iii

    • @NadeemKhan-zo8dc
      @NadeemKhan-zo8dc 10 місяців тому

      Kwli kabisa huyu mzee kwanza mtu wa maana kabisa

  • @edwardleonard7402
    @edwardleonard7402 10 місяців тому

    Ww kima tu hujielewi