Wasafi TV make me your correspondent in Kenya. Haya mambo hamyajui vizuri.The protests were infiltrated by goons hired by politicians trying to settle old scores,preliminary investigations show these politicians are not from the opposition.
Kwa mtazamo wangu, kauli ya kusema Mheshimiwa Rais Ruto anaangushwa na Wabunge wake, siyo sawa. Kumbuka, miswada mingi hutokea serikalini na kwenda bungeni, na wakati mwingine wabunge haohao hulazimishwa (katika mazingira yaliyofichika) kupitisha miswada hiyo. Mwache aone hasara za usaliti!
Kuharibu sana anaongezea hawa watu wake mishahara surely,,,, walimu ,madakitari na hao hao ma police wake bado, aki ningekuwa leo mimi ni police singefanya kazi
Tatizo siyo wabunge kupitisha muswada tatizo wabunge wale walipitisha kwa sababu ya wingi wao ili wamfurahishe mh raisi wao na imekuwa Desturi za mabunge mengi ya kiafrika kupitisha miswada kandamizi ili rais aweze kuisani na wamekuwa wakifanya hivyo kiukweli hayo ni mateso kwa wananchi
Hakika wabunge walikuwa wana Nafasi kubwa sana ya kuzuia holi mambo kwa sababu issue nzima imeanzia kwao sasa sijui walilambishwa asahi hawakujua Hawa Magen Z leo wanampa wakati mgumu sana Rais wao I think hizi ni hujuma za kisiasa
Tanzaniania kenya tujifunze viongozi nawana nchi kuweni makini hata kwetu yapo et kiongozi unamchagua uyouyo anakufinya mpaka unaandamana wao kwapesazet wanatembelea v8 sisi hata boda bado kila sehem wanakubana ukifungua ata duka kodizingine hatuzijui majina service lev wanachosha
Wabunge walilipwa na Ruto ili wapitishe huo mswada. Khs 2M kila mmoja wao kutoka mrengo wa chama tawala. Kwa hiyo Ruto anahusika moja kwa moja. Ruto na wabunge wake wote wanahusika.
Watangazaji wa hovyo kabisa. Fanyeni basi research kidogo ndo msiongee mambo msiyoyajua. Kwa kifupi, wabunge walipitisha mswada kama walivyoagizwa na Ruto
No you don't understand bro mps who voted yes to finance bill 2024 were bribed ksh 2 millions each by Ruto himself. So in that case we can't allow corruption.We demand every Kenyan be given ksh 2millions na watoke bungeni we want fresh elections.
That dude is actually clueless...infact I believe he doesn't know how a bill comes to be a success in Kenya endeleeni tu na kuwa mama ywaupiga mwingi lol
Kama unajua jeuri na kiburi ya tuto utaelewa hata wanaopitisha wanatishiwa ruto sio binadamu nikuombe hivi chukua ruto mwaka tu umueke tanzania awe raisi utatamani umtupe kwenye dzimbalah
....jamani acheni haya masuala ya siasa, inaonyesha uekewa wenu ni mdogo na siyo ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga. Chimbuko la hili tatizo siyo Ruto. Ni Rushwa a miaka mingi. Hili siyo tatizo la Kenya tu. Ni nchi zetu nyingi za kiafrika. Tatizo la Ruto amejaribu kulitatua tatizo kwa kufunika rushwa. Mswaada wa fedha ulikuwa ni wa Ruto na serikali yake. Yes wabunge walitakiwa kujadili kukubali au kukataa. Lakini Rushwa ikaingilia. Angekuwa muwazi kwa wananchi na kuwaambia hali ya kifedha ikoje nchini labda wangemuelewa.
Huyu Oscar Oscar anaongea non sense kbs, ebu chukulia Toka umekuwa ukaanza kufatilia siasa za hapa kwetu Tz ni lini Serikali ishawahi kupendeza au kupeleka muswada wenye ubovu wa kiwango Cha kimataifa alafu mbunge wa chama tawala akapima kura ya hapana. African politics are the same! The Head of the state is The Head of Parliament as well as Judiciary. There's no so called separation of power or Independent State Organs. You got me bro May be this is not your ground or it is but still amateur!
Na huo ndo ukweli hata kwetu hivyo hivyo Mara ngapi bunge letu lenyewe limepitisha miswada kandamizi na Rais anasaini na inakuwa Sheria Sana sana vyama tawala hupiga kura ya ndiyo kwa sababu ya wingi wao miswada kandamizi inapitishwa
im jus here listening to all this ridiculous trash... Tz y'all kno nothing bout what's going on with new govt in office.. Leave us alone.. Y'all sound goofy asf whenever y'all speaking yah minds and making suggestions lol..
He fail cz he paid the mps to pass the bill.so yeye ndie amejiangusha. He keeps on buying the members of parliament to pass every bill for his own benefits.
Huyu Oscar hajui lolote linalo endelea... Yaonesha siasa zampiga chenga waliopitisha ni wabunge wa upande wa Ruto kisha atasema vipi sio raisi ni wabunge? Na master plan ni Ruto
You guys just stick to your Yanga/Simba football shenanigans! Ya Kenya kabisa hamyafahamu. Leave us Kenyans to sort out our issues with our president/MP's. Hakuna ya ukabila huku, it's a fight against bad governance, period!
Poorly analysising ,we're after finance bill,this is new generations gen z Deal with your samia tz hawajui katiba na nights , Kenyans knew theirs rights unlike tanzanians
Oscar kuna kitu kinaitwa party caucus, wabunge pale walifanya kile rais anawaelekeza kwenye hizo party caucus, na endpo hata mmja wa chama chale angevote no, Ruto huyohuyo angedeal nae
WASAFI vilaza sana😂😂😂... Hiyo Bill ameimepeleka mwenyewe Raisi Ruto.. Sasa unategemea Wabunge Watapinga... Ruto ndo Jipu.... Ameondoa Bill yake mwenyewe 😅😅
Hahaa uchambuzi wenu unaonyesha hamjui kabisa what was behind it all kwanza huo si muswada ilikua ni bajeti, pili Kuna vitu vingi mnoo vilihusisha serikali ya Ruto yote na sycophants wake, wabunge sio target kusema wabunge wamemcost Ruto hiyo si sana ishu ni serikali yake, n Ruto alitoa ahadi nyingi mnoo ambazo katimiza less than 10% wala si wabunge subject ni Ruto .
Wabunge walipewa pesa.... Hakuna kitu unajua oscar... Geopolitics hujui.. Vitu vingine muwe mnakaa kimya tu kama sio uwanja wenu
Kuchambua ya Kenya tuu ya kwenu aaaa
Wasafi TV make me your correspondent in Kenya. Haya mambo hamyajui vizuri.The protests were infiltrated by goons hired by politicians trying to settle old scores,preliminary investigations show these politicians are not from the opposition.
Very true
Nyinyi hata hamna mnachojua...huyo ruto kanunua bunge na kanunua mahakama...
Wajua wao hawajui nn kinaendelea hapa kenya...wabunge wenye washaanunuliwa na Ruto kila anachosema wao wanapitisha tu
Basi , hiyo sasa
Ningesema tuu vitu za Kenya jiepusheni nazo hamna habari ya kile kinaendelea kwa wabunge sasa hivi.
Siasa za Kenya tofauti sana
Mbona ya kwenu uko bunge lote wapo wa chama kimoja amzungumzii
Huyu anacho kiongea hata Hana uhahika nacho😅
Kaka tuliza boli Ruto summons them to state house and bribes them each 2 million. #Ruto MUST GO
Kwa mtazamo wangu, kauli ya kusema Mheshimiwa Rais Ruto anaangushwa na Wabunge wake, siyo sawa. Kumbuka, miswada mingi hutokea serikalini na kwenda bungeni, na wakati mwingine wabunge haohao hulazimishwa (katika mazingira yaliyofichika) kupitisha miswada hiyo. Mwache aone hasara za usaliti!
Kuharibu sana anaongezea hawa watu wake mishahara surely,,,, walimu ,madakitari na hao hao ma police wake bado, aki ningekuwa leo mimi ni police singefanya kazi
shida si wabunge shida ni ruto coz yeye ndio anawaamulisha,so ruto must go
Yeye ndio amejaribu kututawala kwa ki imla, akishurutisha wabunge wapige kura ya kupitisha sheria za kutukandamiza.
Tatizo siyo wabunge kupitisha muswada tatizo wabunge wale walipitisha kwa sababu ya wingi wao ili wamfurahishe mh raisi wao na imekuwa Desturi za mabunge mengi ya kiafrika kupitisha miswada kandamizi ili rais aweze kuisani na wamekuwa wakifanya hivyo kiukweli hayo ni mateso kwa wananchi
Hakika wabunge walikuwa wana Nafasi kubwa sana ya kuzuia holi mambo kwa sababu issue nzima imeanzia kwao
sasa sijui walilambishwa asahi hawakujua Hawa Magen Z
leo wanampa wakati mgumu sana Rais wao
I think hizi ni hujuma za kisiasa
Tanzaniania kenya tujifunze viongozi nawana nchi kuweni makini hata kwetu yapo et kiongozi unamchagua uyouyo anakufinya mpaka unaandamana wao kwapesazet wanatembelea v8 sisi hata boda bado kila sehem wanakubana ukifungua ata duka kodizingine hatuzijui majina service lev wanachosha
Hawa hawajui mambo ya ruto wala michezo wanaporojatu nendeni mkale keki kule mtoni
Wakati Ali vamiya Congo ata
endeleya Ku angushwa tu.
Ilikuwa mpango wa America na yeye, aliingizwa madarakani ili atumike kuiba mali Congo.
Mnaongea mambo ya Kenya je TZ vp?:miswada yetu mnaijua au iko sawa? Kodi za kimya kimya je? Tozo?
Boss humumjui Ruto,
Mchukueni mkae nae hata siku mbili peke kama mtamweza. Mpate mmeporwa kila kitu. Hatupigi nduru bure.
Kinachobaki ni Tanzania pia
Mswada hakupitiahwa na wabunge bali Ruto aliwaita wabunge wa chama chake akaeapa maagizo wapitishe
Wabunge washatekwa na Ruto nilazima tu watapitisha hakuna namna ila tu nikutiwa adabu tu nawananchi ndio maana wamerudi kuomba msamahakwa wananchi
Wabunge walilipwa na Ruto ili wapitishe huo mswada. Khs 2M kila mmoja wao kutoka mrengo wa chama tawala. Kwa hiyo Ruto anahusika moja kwa moja. Ruto na wabunge wake wote wanahusika.
Zakayo must fall
Mzigo huu ni WA ruto.😂.
Watangazaji wa hovyo kabisa. Fanyeni basi research kidogo ndo msiongee mambo msiyoyajua. Kwa kifupi, wabunge walipitisha mswada kama walivyoagizwa na Ruto
I wish I was there to inform you what is happening, sababu nyinyi hamuelewi hata kidogo
Hawa wanesema nini sasa? You should all do research on this issues ili mkuwe mnajua mnacho ongolea puga nyinyi 😅
miswada inayopitishwa bunge la TZ mnaijua? au mnafatilia ya watu yakwenu Aaah
Fanyeni muangalie comments oscar oscar munaongea pumba hamjui maswala ya Geopolitics
katiba ya kenya miswada yote inaanzishwa na bunge then inapelekwa kwa rais
Kuchambuwa ya Kenya ya kwenu aaaaaaaa
Jadilini Mpira ndio mnaojuwa
Wabunge na huyo mtu wao wote takataka hawajui lolote bure kabisa
Sikubaliani na mtangazaji....Ruto mwnyewe alikuwa akiuza hii bill kwa wananchi. hadi alionga wabunge shillingi 2 million kupitisha. So lazima alaumiwe
No you don't understand bro mps who voted yes to finance bill 2024 were bribed ksh 2 millions each by Ruto himself. So in that case we can't allow corruption.We demand every Kenyan be given ksh 2millions na watoke bungeni we want fresh elections.
Mukiamka kama wakenya mutajua
Kwani ni lazima gani mjadili vitu hamvijui? C mtulie wasanii wenu waendelee kutunga nyimbo za kumsifu mama yenu
Wabunge walipewa pesa wao ni kama maraya
Huyu jamaa anasema nn sasa??
Ruto alinunua wabunge
Kusema ya nchi ya jilani tu lla kusema ya nchini kwn aaaaaaaah mnaogopa ht kugusia dadeki
That dude is actually clueless...infact I believe he doesn't know how a bill comes to be a success in Kenya endeleeni tu na kuwa mama ywaupiga mwingi lol
manze hamjui kwamba mswada ulitoka kwenye executive na masharti yakuipitisha pia humo.
Tatizo sio wabunge tu.Tatizo ni ahadi za uongo. Yan naona mawazo ya Dudu baya kuhusu uchambuzi wa Kenya ni ya juu mara 100 zaidi ya hawa wawili
Oscar katika maisha yako yote usije jaribu kushindana na vijana wanao balekhe..ataka wame kukosea kua mpole hio age ni shida😂😂😂
Kama unajua jeuri na kiburi ya tuto utaelewa hata wanaopitisha wanatishiwa ruto sio binadamu nikuombe hivi chukua ruto mwaka tu umueke tanzania awe raisi utatamani umtupe kwenye dzimbalah
Simuoni hassle madarakani mwezi 8 kamsaliti Putin
Oscar akili yako bado sana
Hivi kwanini alituma jeshi la policie haiti na kwake kunavurugu.
Si ndio hapo yaaan kama vile awana police
Kwanza alivyoingia madarakani alinunua wabunge hyo inamana alitaka kuua upinzani sasa basi wacha tudeal nae sisi
Aki ndungu nikweli awa wambunge ndio wameleta vifo
Watauzuia vp wakati walihongwa million ya pesa kupitisha bajeti, tatizo la viogozi wakenya ni mafisadi sana hivi wamenunu ndege wa natembelea na
....jamani acheni haya masuala ya siasa, inaonyesha uekewa wenu ni mdogo na siyo ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga. Chimbuko la hili tatizo siyo Ruto. Ni Rushwa a miaka mingi. Hili siyo tatizo la Kenya tu. Ni nchi zetu nyingi za kiafrika. Tatizo la Ruto amejaribu kulitatua tatizo kwa kufunika rushwa. Mswaada wa fedha ulikuwa ni wa Ruto na serikali yake. Yes wabunge walitakiwa kujadili kukubali au kukataa. Lakini Rushwa ikaingilia. Angekuwa muwazi kwa wananchi na kuwaambia hali ya kifedha ikoje nchini labda wangemuelewa.
kweli kaka
Uyo.jama.aende.nyumbani
Huyu Oscar Oscar anaongea non sense kbs, ebu chukulia Toka umekuwa ukaanza kufatilia siasa za hapa kwetu Tz ni lini Serikali ishawahi kupendeza au kupeleka muswada wenye ubovu wa kiwango Cha kimataifa alafu mbunge wa chama tawala akapima kura ya hapana. African politics are the same!
The Head of the state is The Head of Parliament as well as Judiciary. There's no so called separation of power or Independent State Organs. You got me bro May be this is not your ground or it is but still amateur!
Truth
Na huo ndo ukweli hata kwetu hivyo hivyo Mara ngapi bunge letu lenyewe limepitisha miswada kandamizi na Rais anasaini na inakuwa Sheria Sana sana vyama tawala hupiga kura ya ndiyo kwa sababu ya wingi wao miswada kandamizi inapitishwa
Nyie hamelewi lolote ruto mhuni huyu. Aliwalipi wabunge million mbili kupitisha mswaada ,sasa wabunge wanamaangusha aje ama ni yeye mhuni to
Oscar dunia ya sahii siyasa nyingi wabunge wanafanya anacotaka raisi mnacagua mapendekezo ya mkuu si kuteteya wanainchi
Rais ndo kwalipa mpaka wapizani wapitishe
im jus here listening to all this ridiculous trash... Tz y'all kno nothing bout what's going on with new govt in office.. Leave us alone.. Y'all sound goofy asf whenever y'all speaking yah minds and making suggestions lol..
He fail cz he paid the mps to pass the bill.so yeye ndie amejiangusha. He keeps on buying the members of parliament to pass every bill for his own benefits.
Huyu Oscar hajui lolote linalo endelea... Yaonesha siasa zampiga chenga waliopitisha ni wabunge wa upande wa Ruto kisha atasema vipi sio raisi ni wabunge? Na master plan ni Ruto
Mpumbavu sana huyo ruto, alitukashifu sana sisi wa kongo akashindwa kujua kwamba yote hulipwa hapahapa chini ya Jua
Naskia mnafungia trousers kwa high waist, said Ruto
You guys just stick to your Yanga/Simba football shenanigans! Ya Kenya kabisa hamyafahamu. Leave us Kenyans to sort out our issues with our president/MP's. Hakuna ya ukabila huku, it's a fight against bad governance, period!
That's I am also thinking....how is our country their business...their country is fucked up and they are here discussing issues of another country...
Sorry my friend first learn about budget making process in Kenya before addressing us
Poorly analysising ,we're after finance bill,this is new generations gen z
Deal with your samia tz hawajui katiba na nights , Kenyans knew theirs rights unlike tanzanians
Hamjui mnacho kiongea nyiny tulieni
Oscar kuna kitu kinaitwa party caucus, wabunge pale walifanya kile rais anawaelekeza kwenye hizo party caucus, na endpo hata mmja wa chama chale angevote no, Ruto huyohuyo angedeal nae
WASAFI vilaza sana😂😂😂...
Hiyo Bill ameimepeleka mwenyewe Raisi Ruto.. Sasa unategemea Wabunge Watapinga...
Ruto ndo Jipu.... Ameondoa Bill yake mwenyewe 😅😅
Kama kaiondowa kwanini bado waandamane nakuharibu mali? Kuna siasa inayo jificha na sio hio bill ndio chanzo.
Ongeleeni simba na yanga, hamjui siasa ya kenya 😂😂😂
Hakuna mjualo buana nyie jadilini mipira tu na kwa uchambuzi huu ni wazi siasa za Kenya hamzifuatilii kabisa!
This guy's doesn't know what is happening in Kenya they are just bucking they need to do research
Kaomgea fact wakenya hawajielewi na hii ni biasha ya kina odinga tuu.
Unprofessional... Wachambuzi wa mpira kuchambua siasa, Wasafi mnatuangusha sana
Hahaa uchambuzi wenu unaonyesha hamjui kabisa what was behind it all kwanza huo si muswada ilikua ni bajeti, pili Kuna vitu vingi mnoo vilihusisha serikali ya Ruto yote na sycophants wake, wabunge sio target kusema wabunge wamemcost Ruto hiyo si sana ishu ni serikali yake, n Ruto alitoa ahadi nyingi mnoo ambazo katimiza less than 10% wala si wabunge subject ni Ruto .
Akuna kitu President anawesa vitisha peke yake bila wambunge.
@@FauziaJoseph uliskia interview ya Ruto Sunday? Nenda kaangalie then utajua wht I suppose to mean.
Wambunge walilipwa million 2kupitisha huo mshwanda
Nani aliwalipa kila mp wakikuja mbungeni kila moja anawakilishanga upande wa kwake, kile kinahanisha wameogea na watu wao
Kile kina maanisha wameogea na watu wao ,sasa Ruto apo ako na makosa akusema peke yake ,lakini kunawale wamelipa vijana kualivia Ruto kazi