Mzee wa kaliua leo umeongea vizuri Sana ...... Upigaji mwingi Sana .... Kodi zetu zingekuwa zinaelekezwa kwenye miradi yenye tija hii kopakopa ingepunguaa sana
Mimi nampongeza sana waliobuni kuweka kodi kwenye luku imetupunguzia kwenda TRA kupanga foleni na kupoteza muda mwingi la muhimu ni mpangaji na mwenye nyumba kuweka makubaliano ndani ya mkataba pindi unapolipa kodi ya nyumba ikatwe pesa ya kadi ya jengo , hata mimi nafanya hivyo kwa wapangaji wangu na tunaelewana vizuuri
Hii wizara ya fedha na Tra lazima ijitafakari... Kwa mfano hii wanayokata kwenye umeme wanasema n kod ya pango la ardhi, sasa mm kwenye ardhi yangu 1 nmejenga nyumba ya wapangaji na ndani ya ardhi hiyo 1 kuna Luku 7 kwa room 14, sasa kwann wanakata elf2 2 kwa kila Luku kila mwezi wakati luku zote ni za mmiliki mmoja, na ardhi pamoja na room zote ziko kwenye nyumba moja!!? Huu ni unyonywaji wa wazi kwa wananchi.. Wapangaji wanalipa kodi la pango la ardhi isiyowahusu kivipi ? Waziri anasubiri nn madarakani ?
Kwakweli tukiendelea kutumia media kama hivi kusemea wananchi. Media zitakuwa na mchango mkubwa sana ktk maendeleo ya wasilizaji wake. Hongereni sana. 👏🏿
Osika umeongea kitu Cha akili Sana toka nikujuwe...kama pale napo ishi tunaishi wapangaji2 ikifika mwisho wa mwezi ukinunua umeme unakatwa ..Sasa kitu Cha kujiuliza nakatwa Kodi kwani mim ndo mwenye nyumba ..selikal ya hovyoo sana wanafanya vitu bila kufikilia
Mtu saidie kupaza sauti maana ni shida kuanzia leo nitakuwa nawafuatilia kwa point hizo ila tatizo siyo tanesco ni serikali ya CCM na bunge lake ndo wameleta tatizo hilo
Yan Tanesco kwa kweli wameingilia kazi sio yao ili watudhulumu haki zetu wapangaji. Jana tar 08/07/2024 nmenunua umeme wa 3000 napew unit 2.8KW halafu nabiwa nmekatwa 2000 kod ya jengo?
Waleteni Kayombo wa TRA na Waziri wa fedha..waseme kufikia leo wamekusanya shingapi. Na hili zoezi litakoma lini maana sikuizi unakuta compound moja ina zaidi za hata nyumba kumi na kila nyumba ina luku yake na kila luku inakatwa hio kodi. Huu ni UWIZI! Wenye nyumba wengi hawawarudishi wapangaji hio hela na pia kodi inalipwa zaidi ya standard rate kama wapangaji ni wengi. Hili ni tatizo kubwa. Taarifa ya madeni waliotoa TANESCO NI YA UONGO!
Hapa Serikali inatuibia sana na kutuletea umasikini mkubwa. Hapa tumepanga nyumba moja familia 8 lakini vyumba tofauti na kila chumba kina mita yake. Tunaonewa sana.
@@kibasamohamedi8029hata kama ni shilingi 100 huo ni uwizi wapangaji sio wamiliki wa jengo na sio wapangaji wanaotakiwa kuandika barua tanesco..wenye nyumba wengi ni wahuni na ndio sababu huu mzigo umetupiwa wapangaji which is unacceptable
@mustafakimalio9129 Ndio si wanatoka hadharani tunawapigia kura za wazi atakayeshinda anaongoza nchi,lakini isiwe hizi chaguzi za mimi Raisi afu nateua watu wakinisimamia kura za nchi nzima afu baada ya kazi mimi huyo huyo nawalipa hela 😀😀😀
Kodi ya majengo kulipa kwenye luku ni wizi wa waziwazi na kushindwa watu kazi, wizara ya fedha in vihio wengi bdio maana hawana uwezo wa kujua kodi ya majengo maana yake nini, mfano wewe huna nyumba lkn umepanga kwenye jengo na kutaka separate meter na hapo inabidi ulipe kodi ya majengo wakati huna nyumba why.
Sasa hao wa tanesco watajuaje kama hiyo nyumba sio yako, mimi kwa mawazo yangu unapoingia kwenye nyumba uwe unamwambia hiyo Kodi alipe mwenyewe au muwe mnakatana kwenye kodi ya nyumba.
Wapi huko taarifa za kukata umeme Huwa zinatolewa maana mi Nina zaidi ya miezi 6 wanakata bila taarifa,,,Jana nimenunua umeme luku ya 5,000/ nikapewa unit 8, wizi au unyang'anyi?,,,,Sasa mi Nina mita ya kazini na nyumbani halafu nakatwa ya nyumba yangu na ya mwenyewe
Kuwa mzalendo hivi nyinyi wapangaji hamjuani kuwa mwezi huu mwezi huu kuna kalipa na kumfanyia mchango na kumrudishia. Pili unapolipa kodi ya pango kwa mwenye nyumba kaaeni naye chini iliafanye makto katika kupokea zile fedha zake. Hakika wananchi wengi sio wenye kutoa bila kushurutishwa.huu ni udhaifu wetu ndio serikali inafanya mitindo hoi ya ajabu. Eleza ukifanya ukaguzi unaweza kuonawenye nyumba hajalipa kodi ya jengo miaka 10 mpaka ishirini haya tunaisaidiaje serikali
Oscar wewe ni mpanga ndiyo maana hujuwi sisi wenye nyumba tulivyo pata unafuu wa kulipa hiyo Kodi ya nyuma wewe fanya hivi wakati unalipa Kodi kata kabisa Kodi ya nyuma serekali unajuwa Kila anayekaa kwenye nyuma ndiyo mwenye nyumba
Serikali inatumai matatizo yetu kwama mitaji yao kisiasa. Wanasahau zama zimebadilika wanaendelea na mambo yale yale toka uhuru. Ngoja watuaribie amani yetu wakituibia na kututia hasira wananchi wa kawaida.
Yani ni Usumbufu Juu ya Usumbufu Kuna nyumba zina MITA luku 3 na sisi wapangaji hatuna muda wa kuenda TANESCO kujieleza Hapa mjini tukobize ukimwambia mmiliki anasema nendeni TANESCO
Wamiliki wana vichwa vigumu sana na majibu yasiyo ridhisha..Mwigulu ajitafakari kwa hili kuwabebesha Watanzania mizigo mizito sababu yeye na huyo Kayombo wa TRA wameshindwa kufikiri
Hapo usiwalaumu Tanesco,lawama ziende kwa wabunge walioleta sheria ya kutuibia mpaka huku kijijini. Tulikua hatulipi ila sahivi tunalipa na barax2 hakuna maji pia hakina ni huduma gani tunalipia
Wizi, maana yake ni kuchukua kisicho chako kutoka kwa mwenyenacho bila idhini yake. Swala la kuvizia fedha za watu,katika manunuzi yao ya umeme ni WIZI kama wizi mwingine.Jamani,kodi ya jengo kulipwa kwenye manunuzi ya umeme wapi na wapi. Nyie watu (Mwigulu na wenzio) mnatukosea sana. Ila naamini yana mwisho.
Baada ya kuwanunulia watoto matokeo ya mitihani kwa muda mrefu leo wamekuwa viongozi na haya ndio matokeo yake,nchi inakuwa ya hovyo tunalazimishana kuwa wazalendo.
@@trecygohy7847 Sijazungumzia umeme, nmengungumzia Makato ya tanesco ya pango la nyumba ndugu sio jukumu letu Kama wapangaji, lakini tunakatwa kuptiaanunuzi ya umeme
Mwigulu na Kayombo wawajibishwe kwa hili maana ni uwizi. Wameshindwaje kuwakamata wakwepa kodi kisha kuwatwisha wapangaji mzigo huu. Mbona ukuta zinachorwa X wakati wakuvunja..wazunguke nchi nzima sababu kufikia mda huu wenye nyumba walitakiwa kua wameshajisalimisha ili wapangaji wasiendelee kubeba huu mzigo
Washatuona sisi ni wanyonge na ndiyo maana wanatuburuza wanavotaka hapo ukileta kihere here cha kuikosoa serikali kesho utajikuta uko kuzimu na aliyekupeleka humjui kwa hiyo tuendelee kuumia kimoyo moyo
Mimi ni mpangaji sina mambo mengi kwenye matumizi hapo nyumba nilikuwa natmia umeme wa 1000 kwa mwezi nilinunua umeme wa elfu tano siku umeisha nikaweka 5000 ninunue umeme walikata hela yangu yote,
Kodi zimekua nyingiii sana halafu hakuna maendeleo yeyotee .
Mzee wa kaliua leo umeongea vizuri Sana ...... Upigaji mwingi Sana .... Kodi zetu zingekuwa zinaelekezwa kwenye miradi yenye tija hii kopakopa ingepunguaa sana
Double taxation. Mzee wa Kaliua leo umetisha sana. Chukua form babu
Mimi nampongeza sana waliobuni kuweka kodi kwenye luku imetupunguzia kwenda TRA kupanga foleni na kupoteza muda mwingi la muhimu ni mpangaji na mwenye nyumba kuweka makubaliano ndani ya mkataba pindi unapolipa kodi ya nyumba ikatwe pesa ya kadi ya jengo , hata mimi nafanya hivyo kwa wapangaji wangu na tunaelewana vizuuri
Uko vizur sana
siyo wenye nyumba wote ni waelewa kama wewe kaka wengine hawataki Hata kusikia ukiwaambia hivyo
Wewe una nyu.ba wewe nyambafu
Sio sahihi kufurahia uzembe wako..nyie ndo mmetufikisha hapa
Huna akili😮
Kodi zetu cc tunawalipia viongozi wajaze matumbo yao ndio maendeleo tuyapatayo kuona wakitembea na magari ya kifahari suti kubwa na vitambi tu
Hii wizara ya fedha na Tra lazima ijitafakari... Kwa mfano hii wanayokata kwenye umeme wanasema n kod ya pango la ardhi, sasa mm kwenye ardhi yangu 1 nmejenga nyumba ya wapangaji na ndani ya ardhi hiyo 1 kuna Luku 7 kwa room 14, sasa kwann wanakata elf2 2 kwa kila Luku kila mwezi wakati luku zote ni za mmiliki mmoja, na ardhi pamoja na room zote ziko kwenye nyumba moja!!? Huu ni unyonywaji wa wazi kwa wananchi.. Wapangaji wanalipa kodi la pango la ardhi isiyowahusu kivipi ? Waziri anasubiri nn madarakani ?
Ajitafakari tena sana
Kwakweli tukiendelea kutumia media kama hivi kusemea wananchi. Media zitakuwa na mchango mkubwa sana ktk maendeleo ya wasilizaji wake. Hongereni sana. 👏🏿
Lakini siyo channel ten, pale hutapata utetezi wa hoja za wananchi!
Misiwaamini kabisa hawajamaa
wananyooshwa na crown media
Waandishi ndio tunataka muwe mnajadili hoja kama hizi za kulijenga taifa
Kaka nahisikama hawajamaa wameotea tu wesubirikesho utawasikia tu kaupigamwingi
tunayachangia majizi kodi zetu, jioni yakutane kugonga cheazi
Gen Z ya Tz iko na Mishangazi
TRUE
Hamuna nch hapa wazulumaji tu et nimeweka umeme wa 13000 nimepewa wa 2000 nimekatwa 10500 hamuna nch hapa ipo ck watajua hawajui
Wakati hata hilo deni halikuhusu walipaswa kumalizana na mwenye jengo
Osika umeongea kitu Cha akili Sana toka nikujuwe...kama pale napo ishi tunaishi wapangaji2 ikifika mwisho wa mwezi ukinunua umeme unakatwa ..Sasa kitu Cha kujiuliza nakatwa Kodi kwani mim ndo mwenye nyumba ..selikal ya hovyoo sana wanafanya vitu bila kufikilia
Huo ni uonevu mkubwa wabunge hilo hawashughuliki nalo wana kazi us kumuadhibu mpina anayetutetea.
Mkuu ulikuwaje mwandishi wa habari- mwajiri mbona anakusanya PAYEE
Huna unachokijua...
Ninani alikwambiq oscar ni mwandishi wa habari
@@gabumkono ni kweli ningekuwa najua nisingestaajabu
Mtu saidie kupaza sauti maana ni shida kuanzia leo nitakuwa nawafuatilia kwa point hizo ila tatizo siyo tanesco ni serikali ya CCM na bunge lake ndo wameleta tatizo hilo
Swal Kwa zile nyumba za kupanga zenye MITA Zaid ya 4 Kwa jengo Moja wanakataje awakufukiria Hilo au walifanya maamuz tu
Yan Tanesco kwa kweli wameingilia kazi sio yao ili watudhulumu haki zetu wapangaji. Jana tar 08/07/2024 nmenunua umeme wa 3000 napew unit 2.8KW halafu nabiwa nmekatwa 2000 kod ya jengo?
Waleteni Kayombo wa TRA na Waziri wa fedha..waseme kufikia leo wamekusanya shingapi. Na hili zoezi litakoma lini maana sikuizi unakuta compound moja ina zaidi za hata nyumba kumi na kila nyumba ina luku yake na kila luku inakatwa hio kodi. Huu ni UWIZI! Wenye nyumba wengi hawawarudishi wapangaji hio hela na pia kodi inalipwa zaidi ya standard rate kama wapangaji ni wengi. Hili ni tatizo kubwa.
Taarifa ya madeni waliotoa TANESCO NI YA UONGO!
Iko bomba hii serikali ya tz ingekuwa kenya aisee sijui wangekimbilia wapi wasafi mpewe 🎉🎉🎉 yenu
Bajeti ya kununua magari ya Tamisemi ni bilioni 189. Tunakamuliwa ili wanunue mavi eiti
Hapa Serikali inatuibia sana na kutuletea umasikini mkubwa.
Hapa tumepanga nyumba moja familia 8 lakini vyumba tofauti na kila chumba kina mita yake. Tunaonewa sana.
2000 kwa mwezi ndogo! Hebu acha kulalamika, halafu Kuna utaratibu kama nyumba Ina mita nyingi mnaandika barua inalipia mita moja
Mwenye chumba yupo atakubali mita yake ndo yapitie malipo na unahisi wengne watamsaidia? @kibasamohamedi8029
@@kibasamohamedi8029hata kama ni shilingi 100 huo ni uwizi wapangaji sio wamiliki wa jengo na sio wapangaji wanaotakiwa kuandika barua tanesco..wenye nyumba wengi ni wahuni na ndio sababu huu mzigo umetupiwa wapangaji which is unacceptable
Oscar uko vizuri natamani ugombee Uraisi mwakani unaupiga mwingi kuliko hao wanaosema..oooh anaupiga mwingi
Kila mwenye maoni mazuri anafaa kuwa rais,,,,
😂😂😂😂
@mustafakimalio9129 Ndio si wanatoka hadharani tunawapigia kura za wazi atakayeshinda anaongoza nchi,lakini isiwe hizi chaguzi za mimi Raisi afu nateua watu wakinisimamia kura za nchi nzima afu baada ya kazi mimi huyo huyo nawalipa hela 😀😀😀
1000 mda mfupi 1500 sasa 2000 inchi ngumu hii Tanesco inakuaje lakini ndio ivo tukubali tu
Nacha kuongezea unakuta nyumba moja ina mita mbili zote zinakatwa kama sio wizinini?
Mnaambiwa nyinyi tu dar uko kuhusu kukatika kwa umeme msijizungumzie pekeenu
Hii inasababisha wapangaji kumlipia mwenye nyumba hii ni mbaya sana
Yaani TRA hawataona hata kuta za Mbinguni
Tunashangaa sasa hivi wameongeza imekuwa 2000 yaani makodi yamekuwa kibao. Wanyonge hao eti tunasikiluzwa.
JAMANI KWANINI HAMNAGA JEMA:VIJANA?? KWANI MPANGAJI HATUMII BARABARA? MIMI NIULIZENI NIMEENDESHA MAGARI BARABARA ZA MIAKA YA 79-80 DODOMA- DAR SUKU2;
Wananchi wa Kenya Havana mchezo
Kodi ya majengo kulipa kwenye luku ni wizi wa waziwazi na kushindwa watu kazi, wizara ya fedha in vihio wengi bdio maana hawana uwezo wa kujua kodi ya majengo maana yake nini, mfano wewe huna nyumba lkn umepanga kwenye jengo na kutaka separate meter na hapo inabidi ulipe kodi ya majengo wakati huna nyumba why.
Kod yajengo kulipa kwenye luku Siyo sawa kabsa kunawatu tumepanga
Kweli inabidi tupaze sauti kuhusu hili..wanashindwaje kuwapata wenye majengo ama mchana majengo hayaonekani?
Na kwa wanaotumia umeme wa solar ambao hawana hiyo luku,je ulipaji wao wa kodi ya jengo watalipia vipi??
From TaNgA CiTy..
Wanalipa kupitia sisi wenye umeme ndo mana wanaongeza tu kodi
Sasa hao wa tanesco watajuaje kama hiyo nyumba sio yako, mimi kwa mawazo yangu unapoingia kwenye nyumba uwe unamwambia hiyo Kodi alipe mwenyewe au muwe mnakatana kwenye kodi ya nyumba.
Wapi huko taarifa za kukata umeme Huwa zinatolewa maana mi Nina zaidi ya miezi 6 wanakata bila taarifa,,,Jana nimenunua umeme luku ya 5,000/ nikapewa unit 8, wizi au unyang'anyi?,,,,Sasa mi Nina mita ya kazini na nyumbani halafu nakatwa ya nyumba yangu na ya mwenyewe
Wachumi wetu hao wasiotaka kuumiza vichwa vyao, badala yake ni kututwika mitozo Kila sehemu, MUNGU ata jibu soon tu
Oska unaongea ukweli ila ,watu wa kampeni ,wataanza kukusumbua,washenz
Kazi ya Tanesco ni kutupatia nishati sasa kodi ya majengo wapi na wapi kodi ni nyingi sana TZ
Tunaumizwa sana wapangaji na kwa sasa kodi ya pango ni sh.2000 kutoka sh.1500
Bila ivo wabongo hatuwezi kulipia Kodi ya majengo
Wasenge hao si uku wameanza kutukata 2000 toka mwaka jana ,bila taalifa yoyote
Wenye nyumba wenyewe majeuri , wanakwambia kama hutaki kulipa kaa gizani
Hadi sasa kuna nyumba zinalipia kodi ×2 kwa nyumba moja,zenye mita zaidi ya moja.
sasa kwa dizaini hii wasafi mtapata wasikilizaji wengi
Tunapigwa sana wapangaji ndio tunaumizwa . Simu nazo wanatuchukulia pesa nchii hii Mungu anawaona
Wabunge wa ccm tupige chini wote inch nzima ni wabunge nyumbu tu
Iyonikweli viongoziwetu wanamasikio lakini hawayasikii hayo sisi wapangaji kweli tunaumia
Wanazingua sana ilikuwa 1500 asaivi elfu 2000
Watatoaje taalifa wakati wanatumudu
Mimi nimetumia pia 8000 unit moja point mbili
Mi naona ni unyang'anywaji wa hela zetu tu
Jamani elfu 10 tu inakatwa kwa mwaka ss hao wapangaji si tunawarudishia tu hiyo elfu 10 yao kwa yunits za umeme
Baadhi hawarudishi
Hii nchí tunajadili matatizo zaidi ya ubunifu
Fact broo naitwa rama nipo temeke dsm
Hii nchi ya ovyo sana it's very sada
Hapo TANESCO WALIFELI
Tumefanya sensa juz tu majengo
Unaweza kukuta kuna watu tunawalipia madeni yao apo😂😂😂😂
watanzania sisi ni wajinga sana
Liangaliwe
Nme nunua umeme wa buku 5 napata unit 6 😡 😡 😡 😡 hivi wana dhani ela tuna okota inabidi ni nunue solar 😢
Sasa Mbona mm wa 4,000 nimepata unit 1
@@MtuSafi😂😂😂😂pole
Kuwa mzalendo hivi nyinyi wapangaji hamjuani kuwa mwezi huu mwezi huu kuna kalipa na kumfanyia mchango na kumrudishia. Pili unapolipa kodi ya pango kwa mwenye nyumba kaaeni naye chini iliafanye makto katika kupokea zile fedha zake. Hakika wananchi wengi sio wenye kutoa bila kushurutishwa.huu ni udhaifu wetu ndio serikali inafanya mitindo hoi ya ajabu. Eleza ukifanya ukaguzi unaweza kuonawenye nyumba hajalipa kodi ya jengo miaka 10 mpaka ishirini haya tunaisaidiaje serikali
Xavi mtupu
Oscar wewe ni mpanga ndiyo maana hujuwi sisi wenye nyumba tulivyo pata unafuu wa kulipa hiyo Kodi ya nyuma wewe fanya hivi wakati unalipa Kodi kata kabisa Kodi ya nyuma serekali unajuwa Kila anayekaa kwenye nyuma ndiyo mwenye nyumba
Mhhh hii ndio tz ,bado tumelala.sana sijui nani katuroga wa tz ila ipo siku yatahisha haya wacha watupige mpka tukome ili tuamje
Wewe Mha, nani alianzisha huu utaratibu na wakati huo mbona hatukukusikia ukitoa hoja yako? Uliogopa nini, kipotezwa?
Alafu pia unakuta nyumba moja ikiwa na luku zaidi ya moja zote wanakata unakuta nyumba moja ikiwa na luku mbili unalipia kodi mora mbili
Hivi bill zimepadishwa tena naona wanakatà 5000 saiz sijaielewa
Serikali inatumai matatizo yetu kwama mitaji yao kisiasa. Wanasahau zama zimebadilika wanaendelea na mambo yale yale toka uhuru. Ngoja watuaribie amani yetu wakituibia na kututia hasira wananchi wa kawaida.
Nakuna vijumba vyamradi vmejengwa kama nguzo hakuna jengo hukinunua umemeunalpia kod yapango napango halo hatar
hatar sana
Katiba ibadilike tu
Viongozi watakuwa na heshimaa😢😢
Itakuwa zaid ya kenya
Yani ni Usumbufu Juu ya Usumbufu Kuna nyumba zina MITA luku 3 na sisi wapangaji hatuna muda wa kuenda TANESCO kujieleza Hapa mjini tukobize ukimwambia mmiliki anasema nendeni TANESCO
Wamiliki wana vichwa vigumu sana na majibu yasiyo ridhisha..Mwigulu ajitafakari kwa hili kuwabebesha Watanzania mizigo mizito sababu yeye na huyo Kayombo wa TRA wameshindwa kufikiri
Hapo usiwalaumu Tanesco,lawama ziende kwa wabunge walioleta sheria ya kutuibia mpaka huku kijijini. Tulikua hatulipi ila sahivi tunalipa na barax2 hakuna maji pia hakina ni huduma gani tunalipia
Singida Big Star Bingwa 2024/2025 😂😂😂 Singida Big Star Juu...😮😮 D 2
Wanakata cod nyng elfu mbili kwamwez tanzania kunanyumba ngpi zenye umem
Wizi, maana yake ni kuchukua kisicho chako kutoka kwa mwenyenacho bila idhini yake.
Swala la kuvizia fedha za watu,katika manunuzi yao ya umeme ni WIZI kama wizi mwingine.Jamani,kodi ya jengo kulipwa kwenye manunuzi ya umeme wapi na wapi.
Nyie watu (Mwigulu na wenzio) mnatukosea sana. Ila naamini yana mwisho.
Rudia hii tena kwa sauti. Mwigulu na Kayombo wa TRA wanatuumiza wapangaji. Wakaona wametoa solution ya kimataifa..🙄
Tanesco na mabando ya sm bado kodi kubwa,alaf kuna REA,EWURA na VAT
Kumbuka kunanyumbanyingi hukukwetu hazina umeme nao wanalipaje
Baada ya kuwanunulia watoto matokeo ya mitihani kwa muda mrefu leo wamekuwa viongozi na haya ndio matokeo yake,nchi inakuwa ya hovyo tunalazimishana kuwa wazalendo.
Haya majamaa kilasiku yana madilika wasafi hongoleni achaneni na mamboya anaupiga mwingi
Kusema ukweli walikosea sana kuleta huu utalatibu insnikela sana hii la kulipa pango kila mwenzi
Tatizo sio TANESCO tatizo ni serikali yetu ndio inayopaswa kutatua changamoto zetu
Wao TANESCO ni moja ya hili tatizo kwa nini walikubali swala la kijinga kama hili?
Sisi tuna lipa Kodi hongera na vigelegele anapigiwa mama Samia alafu Kila siku tuna lipa kodi
Nawapongeza xn tanesco kiukwel imepunguza xn msongamano tra.kikubwa mwenye nyumba apange utaratibu na wapangaji wake.
Utaratibu upi?? Kuna baadhi ya nyumba za kupangisha kila mpangaji na mita yake, Sasa hapo inakuwaje?????
Wanafiki kwani ndo imeanza Leo mbona amkusema befor sikuzotee
kwaiyo wenyenyumba ambao hawatumii umee inamaana wao hawalipi kodi yamajengo
mm naunga mkono kodi iendelee kama wewe umelipia kodi ya aridhi si unaonesha kwa mwenye nyumba akulipe
Hii seriksli ni ya wezi tu wanajiona kama hawatakufa kazi Yao kuiba .tu tunaongozwa mbwa
Mambo ya hovyo sana haya.
Halafu wamepandisha ni 2000 jaman kweli
Hii inatuumiza Sana sisi wapangaji
Tunalipa Kodi
Tunalipa umeme
Tena tunalipia Kodi ya nyumban daaaah Inaumiza sana😢
Kulipa umeme n jukumu lako
@@trecygohy7847 Sijazungumzia umeme, nmengungumzia Makato ya tanesco ya pango la nyumba ndugu sio jukumu letu Kama wapangaji, lakini tunakatwa kuptiaanunuzi ya umeme
Mwigulu na Kayombo wawajibishwe kwa hili maana ni uwizi. Wameshindwaje kuwakamata wakwepa kodi kisha kuwatwisha wapangaji mzigo huu. Mbona ukuta zinachorwa X wakati wakuvunja..wazunguke nchi nzima sababu kufikia mda huu wenye nyumba walitakiwa kua wameshajisalimisha ili wapangaji wasiendelee kubeba huu mzigo
@@naturelle1097 hapo tupo sawa ndugu
@@MariamMpanga ungefafanua hivyo ili watu wakuelewe na sio kusema kulipa umeme
Wezi sana hao ila wakumbuke Mungu yupo
Imekua ni rahisi wengi walikuwa hawalipi kwahiyo tumefanyiwa urahisi wapangaji si waelewane na wenye nyumba
Bado sio sahihi wanachokifanya..ni sawa na kumlipia nchi jirani deni ambalo halituhusu
Safi sana osca huyo mwenyew kupata kakaa kichawa sana watangazaji kama hao hawafai kbsa
Washatuona sisi ni wanyonge na ndiyo maana wanatuburuza wanavotaka hapo ukileta kihere here cha kuikosoa serikali kesho utajikuta uko kuzimu na aliyekupeleka humjui kwa hiyo tuendelee kuumia kimoyo moyo
Katavii😅
Tanesco wameshinikizwa tu na mifumo tu.kwani waliopanga hiyo taratibu hawajui shida yake.
But kwa nini walikubali?
Mimi ni mpangaji sina mambo mengi kwenye matumizi hapo nyumba nilikuwa natmia umeme wa 1000 kwa mwezi nilinunua umeme wa elfu tano siku umeisha nikaweka 5000 ninunue umeme walikata hela yangu yote,
,😂😂ht mm Ivo just natumiag wa buk
@@MussaJabiri-l5y 😀😀😀 kazi kweli kweli
😂😂😂😂
Tuna viongozi wanawaza kutupiga hela tu.
Ww acha mambo ya kizamani Kodi hapo ndipo lahisi tra inamana watu wakapange foreni tra ni ujinga kabisa
Uliishia lamgapi ndugu? Tunapolipia LUKU tunamlipia mwenye nyumba wakati ilitakiwa mwenye nyumba ndiye alipe kwakuwa mpangaji ameshalipa pango lake.
Alieleta hii sheria aachie ngazi wapangaji wanaumia