Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
🔴
Вставка
- Опубліковано 18 лип 2022
- 🔴#Live: MZEE YUSUPH AFUNGUKA KUFUNGA NDOA NA DIDA, ATUPA KIJEMBE KWA KUMBI LAMOTO| KATAMBUGA
karibu utazame kipindi cha 'KATAMBUGA' kutoka +255 Global Radio, upate uhondo wa yale yanayoendelea mtaani kwako..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Hovyooo! Huyu Mzee Yussuf ana shida kubwa. Hajielewi kabisa.
Tatizo mzee yussuf nyimbo zako za sasa ni nyepesi sana kabisaa zikomaze zinogeshe kama zamani kisha achia
Mi naona ckuhzi kama akil zake zinashda kidgo hiv! Tusiwe tunajiingza kweny mambo ya Mungu kabla hatujajiandaa jaman.
Baba mtoto allah akusaidie inshaallah
Mzee yussuf anasema kuna kiki na kuku😅😅😅😅
Nakukubali sana mzee kaza buti baba achana na hawo wafa maji hawaishi kutapatapa
Sema inshaallah maana hizo siku si zako
SHEYTAAAN MKUBWA LAANA TULLAAAH
Hi Dunia Allah atujaalie mwisho mwema huyo kwa alichokifanya atachukiwa mpaka na ss mizi
DAAAH UMEMSHINDA HATA IBILISS YAANI ULIYVYO KUWA UNALIA NA KUKUTIA NA ULIVYO REJEAA UMEMSHINDA HATA IBILISS MKUBWA WA MASHETAAN
Hahahaaaaaa mzeee saluuuuute
Kwa ufalme wa taarab una kustahili
Sababu hapajaja anaye funika nyimbo zako za zamani
Mtu anaongea huku anatafuna bigijii Yaani hajielewi kabisa
Natamani. Unitungie nyimbo. Mzeemimi napendasana bendiyako
Wewe si ulikimbia kutoa ilmu kwa Jamani eti unamadeni? Leo una pesa tena eti maduka na manyumba?? Daaa! Allah tusamehe sisi viumbe vyako..
Mpunga wa kwa mwanzo mpe ndege ale 🤣🤣🤣
Heeee
No Coment
🤣 🤣 🤣
Hata huku Kenya tunamfagilia Mzee
Kwa hiyo ulikuwa una leta dhihaka Kwa watu ,dini na mwenyezimungu?
hajitambui
MKO POA SANA WADADA MMEPENDEZA SANA
laana tullah
Kweli kashawafunika saivi mzee
Dunia ni Mapito akhera ndio kwetu
Hitaweza kupiga nyimbo kwa sasa kuzidi zile nyimbo zako za zamani zile ni nyimbo nzito saana kubwa hasaa wala haita tikeyaga mtu ayakaye zifunika zile
Eti Hadj hovyo
Eti unalamba ubani km dada flani duh....hatuna mzee hapa
Kwa payment gani anayotoa kwa wafanyakazi gani aache uongo wafanyakazi wananjaa tuu
Kweli hajarudi mjini vile alakini hajapata wakumzidi
Heeee makubwa jamani kwani kanza ushoga lini huyo babu
Haaa..haaa...ameamuwa mwenyewe.ameona hyo ndo njia sahihi?
Muonekano wa mzee hatari
Kumbe umerudi kwa taarabu sbbu ya kununua magari hya tutakuona mwisho wako lkn usiongelee dini kwa jambo usolijua
mzee yusufu dini kwanza. yale machozi yalitoka mwilini kwako
ya kinafiki yalikuwa
Lakni mfalme anaongea kweli vo,uyo anatafuta riziki
Mashoga wengi wanaoa sana kufucha maovu yao
Kumbe umeliona pia wewe eeee?😅
We kokotoa tu alaf TRA wakufuate waseme una hujum uchumi🤣🤣🤣🥺
hahahaha TRA
Mzee Yusuph kaza Buti utapiga mwingi
Kumbe ww mzee mpuzi sana.ninekuelewa unaongea usicho kielewa.huna elimu ya kutosha ktk dini ucjifanye mtaalamu.sie ww ulokua hta waandishi wa habari wa kike hutaki kuwaangalia ?
Utopolo mtupu
We motoni tu
Huo ndo ukweli na huutaki ukweli.madeni ndo yamekurudisha nyimboni.ww licha kuimba hta kaingie kanisani si khiari yko?lkn uache kujionyeshaonyesha mitandaoni eti mtu wa dini blaa blaaa na mengibe.
Hadi aibu kukusikiliza dahh ulidhihak uislam na porojo zako
Aachee uongo nyumba ya mbagala kokoto kauza na hilo ghorofa analokaa anajitapa nalo hicho chumba na sitingroom juu aache kuaongea mambo yake mtandaon
Mzee yusuf umeanza tabia za udada flani?😊tumeanza kukushuku na tabia zaki LGBTQ
Z
Huyu aliaapa viapo vya kuacha na Nyimbo zake zikipigwa hahusiki na dhambi leo amerejea mjini,,uwiii dini na pepponi tutaingia wachache
Kwani ww ndo mume saana?kwa lipi unaloonyesha?wewe bure o8a huna lolote.una shida mzee yusuf unyumba.ngoja ulaliwe na lela Rashid ndo utajua kweli
very arogant man stupid
Ovyooo
MZEE YUSUFU UPO TOWN SASA
KHERI ANGEBAKI SHAMBA
Kumbe iblisi analetesha utajiri ???
@@fatmaalnabhani3609 IBLIS ANANGUVU SUBHANALLAH
@@zalhayahya5658 subhanallah
Inabidi ufike wakati mtu ukubaliane na hali. Mzee Yusuf umri umeenda hayo jambo ya kubadilisha maumbile waachie vijana. Japo haipendezi Allah hata kwa vijana. Kwani mtu huwezi kuwa maarufu mpaka ufanye mambo ya kijinga? Hata nyimbo zake sasa ivi za hivyo kabisa tofauti na alivyo kuwa Zanzibar morden na jahazi ile ya mwanzo. Hata kama mna enda na wakati lkn sio kiivyo.