CALISAH AFUNGUKA A-Z KILICHOFANYA WAZICHAPE NA NEY WA MITEGO, MWANAMKE ATAJWA!
Вставка
- Опубліковано 18 лип 2022
- CALISAH AFUNGUKA A-Z KILICHOFANYA WAZICHAPE NA NEY WA MITEGO, MWANAMKE ATAJWA!
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
Ney aliamulia ugomvi, ndio maana hakukupiga ila alikusukuma ili usiendelee kumpiga mwenzio. Lkn usilolijua ni kwamba hata huyo uliyempiga ulichukua sheria mkononi, ni kosa kisheria😂😂
Kweli
Kweli kabisa
John unaakili sanaaa
Kabisa
Halafu et naijua sheria ikiwa yey ndio kavunja dunia hiii
Mnafeli sana, Ney alikuwa sahihi alichokifanya ni mjinga tu kama Calisah hawawezi kuelewa, wewe ndiye ilikuwa unapiga mtu, ulitaka asukumwe nani? Haya polisi ulienda kufanya nini wakati umepiga mtu, fala sana wewe!!
We nawe umekurupuka😅
Sikiliza chanzo kwanza ilikwaje ad mtu akapigwa!!
Calisah ni chocha tu,, nguvu Gani .. ama tumuscle tunamdanganya...
@@rahelkiteka wew ndio umekurupuka calisa kavunja sheria mtu hata akikuchokoza fuata sheria sasa yeye kwanza anampga mlevi unaona nisahii?
We mchumba eti wanakujua we mkorofi hujierewi
Sisi tunafaida sana naney kuliko wewe muziki wake unahamasisha anatetea watu wake wa kitaa carlisa wewe hauna faida kweny nchi hii TRUE BOY HAUMUWEZ
Huyu jamaa anazingua Mda wote anajisifia tu mkorofi kila wakati muongo tu
Mbona unaanza uongo, ney aiogope serikali kivipi? Serikali inaheshimiwa na sio kuogopwa, na kumpiga ney wewe huwezi
Anasifu kujua Sheria wakati katika story yake ndio wakwanza kuvunja Sheria... Boya Sana mpaka poda.
Right to be heard,,, so hii ni story ya upande mmoj so tuckie story ya upande wa pili piah
The true boy in the building cheza mbali ngoma ngumu kijana
Nay true boy wanted him to know he is the building 😂😂😂
Calisah nakwita mara3 achana na ney utauponza..tunaomjua ney nisisi tuliosoma nae toka shule msingi ukombozi manzese..yule uhuni kauanza toka mtoto hajajifunza ukubwani.yani kwenye suala la ugomvi kiukweli ney humuwezi bora upotezee tu
Ushauri mzuri sana huo umemsaidia aliyewahi kupita ukombozi kwa mzee Kijaji anakielewa hiko kichwa 😂😂
@@abisaimuhanji3687 hahaha umeona eeh daah umenikumbusha mbali sana mwalimu kijaji na mwalimu chambo 😀😀
Jingasana! Kwa urembo huo ukimbiwe na Nani!????
Humuwezi ney wa mitego wewe potezea asije akakuuwa yule mwenzio ni chizi kichizi... Huyo unaemzungumzia ni ney wa mabua sio ney ninaemjua mimi true boy.
🤣🤣🤣🤣🤣
Callisa anajionaga sana huyu mtu, alifikiri ni jux anaemchokonoa kila mara na haijibiwi, huyo ni Ney babu😀😀
Mramba lips anataka kwenda kupasuka😅😅 unamjua mnyama ney true boy
Kwani Ney ana mwili wa chuma??
Kwahyo hamjui kama NEY ni Rais wa Kitaa? Rais hawez kuwajua watu wote, na Calisah wew ni Bodybuilder cyo Boxer, Ney atakuua😂😂😂
😭😭mwambie
Ney troubley forever
Calis tumia akili acha ujinga, hakuna Mwanaume wakujisifiya eti mkorofi na muhuni.
Kama Babu Tale anakuambia 2x eti wewe ni mkorofi, wewe hauoni kitu na sura unao kwenye jamii? Badilisha tabia we kijana @calis
Huyu mtoto mzuri awache kusumbua mitandaoni
HAHAHAHAHA
Hahahaaa uyu kuku hamuwezi ney, ney lijitu limoja likuubwa linalojikubali sana kwake hufui dafu panya weee
Watangazaji wa Wasafi jifunzeni namna Kelvin Shayo anavyohoji. Kelvin ni hodari wa kusikiliza.Kelvin hamkatishi maneno mgeni wake.Kelvin anatumia Kiswahili sana sio nyinyi munaongea Kiingereza kibosh ( broken English).
entertainment news lazima uweke swaga, tofauti na taarifa au habari ya MTU kakatwakatwa mapanga,kabomokewa na nyumba, kakosa ada,anahitaji msaada wa matibabu (entertainment mtangazaji unatakiwa uwe na swaga nyingi sana, angalia watangazaji wa marekani wanavyotangaza entertainment news, (hata efm na clouds muda wa entertainment news wanaswaga za hivi hivi)
@@emariusrush3285 kwahy wasaf wanaiga clouds?
Sahihi sana jamaa wanazingua sana
Acheni ushamba wezenu wanapigana ulingoni andaeni pambano mpiganie pesa watu watakuja kuangalia watalipia pesa mtapata kipato kikubwa sana🤣🤣🤣
hizo nyama kijana zisikudanganye,ney mtoto wa manzese kitaa ..wana watakutia nyembe na sura yako ya mauzo ndio niwe bas tena modoling...haachana na muhuni yule
Mbn mtu mwenyewe mrembo sana kwa ney wa mitego
Ney hana nguvu muoga sana2
@@binaljabirmshihirzanzibar8369 hahaha mara nyingi watu wa mdomo hua wanaogopa sana 😂😂
mh huyu mjinga sana mtu huja panch nae unasema unamueza wewe unapigwa vizuli2 nei mtoto wakitaa mhuni nasisi wahuni ugomvi tunaujua dk 2 unakaa
Kalisa kalisa kalisa nakuheshim nakupenda ndio maana Hata mm nakushauri heshim sheria ukiivunja Sheria ney anauwezo wa kuivunja sheria mara duf... Napenda kazi iendelee ila siyo bif na ney pls utapasuka... Puuza hili uvunjike guu
Hahahahaha ushauri wa bure et!
Hhhhh ushaur wa bure
Idon't wasafi media, because the don't do their interviews in both sides, usually on one side...juu ney alitoka wasafi...from Kenya..
Kumbe hakukupiga, ila alikusukuma ili kuamua ugomvi na akaondoka!! 😂😂.
Wewe sio mtoto wa kiume mtoto wa kiume hua anazichapa weka 2 weke na mwanaume hua haongei sana hua anafanya vitendo
Una jichubuaaa kama demu wa congo bar hrf umpige ney
Samtoto wa kiume unaenda studio kuongea hayo.usiwe kama kina mange kima ww mama tu
Bas sawa
Ney kama ni kweli ashikishwe adabu ujanja wa kizamani nguvu huna unategemea mikwara na washkaji.. Dogo anawagusa wastaarabu akamguse ganstar yeyote kama hajafirwa
Huyo ney mwenyewe gangstar we unamjua sawasawa ney? tuulize sisi tuliosoma nae shule ya msingi yani yule ukorofi kauanza utotoni hajajifunza ukubwani. nikazi sana kushindana nahuyu kiumbe kwenye suala lauhuni nibora aachane nae tu
@@salhanassor5201 Basi Mafara ndio wanamuogopa lkn si kwa watoto wa Mjini wa kisawaswa ngumi hajui n'a pengine jela hakujui n'a hata kuua hajawahi ganstar kwa washamba wenzake
@@salhanassor5201 uhuni wa shule ya msingi
😂😂😂😂
@@tonnywrld kweli vo.. yani ukimuona mtu ukorofi kaanza utotoni mpka ukubwa hajaacha ujue uhuni upo kwenye damu.. Ney nimkorofi sana tena sana kwanza hana nidhamu yawoga kwa kitu chochote kile humo polis station yeye nikama nyumbani kwao tena toka bdo mdogo mpka saiv
Kwa dareslam ney ndo gangster wao maana wanaume WA dar ni mabua ili nje ya dar mbona ney mrembo sana huyo kukaba watu usiku sio ubabe ni wizi mwambie aje huku mikoani atukabe kama hajarudi Hana viungo
Uwezo wa kuzinguana na Ney unao wewe usijisifu kwenye media hapo
Mleteni true boy! Atuambie kwanza
Maana naye mgomvii sana! The true boy
Weeh Kalisah Utauponza! Usijijaze uwezo usiokua nao wewe ni mbeba vitu vizito ilasio fight sasa utaumia, hacha ujinga kutiwa kichwa.
Kashakwambia mwanaume Kuna vitu vitatu huwezi kukaa kimya anyanyashwe mama mke/girfriend au mtoto wako hata kama huna nguvu unatakiwa kusimma sio kuogopa.. Je wewe ungekubali?
Tatizo mnawajua watu kwa umaarufu hamuwajui watu kwa uwezo wa ndani ,,, kwa maana ,,,me Nay namjua afu tushakuwa wanna afu Calisa namjua pia ila kwenye hi ligi binafsi naamini Nay hawezi kusimama siyo Mambo ya vyuma ,zikipigwa True boy hatoboy ,nishashuhudia maisha ya awa jamaa nje ya umaarufu na kubeba vyuma ila kwa ngumi za live calissa number nyingine ,sema tatizo ni kwa kuwa mchizi anajiwekaga kibishoo Sana so anachukuliwa ka mtoto wa mama
@@goldtvtz2739 calisa anaonekana ananguvu sana
Sana2
Huyu jamaa akii yake inashida kidogo
Brother Nakubali hakuna kuchukulia kinyonge au lah! Ney akili yeye , Ney hakutumia hekima Wala busara Tena sio kana kwamba hakujui na hata kama angekua hakujui kwanza alitakiwa kujua tatizo ni Nini sio kukurupuka ... Ukitaka kuwa raisi wa watu lazima uwasikilize watu hekima kwanza kama mtu mzima ,Hizo ni dharau😡😡😡 sipendagi dharau Mimi , Brother lazima kieleweke hapo
Calisah ni mchumba kwa Ney wa mitego!
Mabishoo kama nyinyi mnatakiwa mpigwe sana na watu kama nay,wewe kwanini umpige mtu sababu tuu kamuongelesha mwanamke wako,mapenzi yatakuua kenge wewe wahuni wanalinda wahuni wenzao thats y nay aliamua kumdefend mtu asiyemjua.
Jamaa boya sana
🏋️🏋️
WANAUME WA DAR ES SALAAM 😁😁
😅😅😅 Kweli wanaume wa Dar #ShidaTupu
unaweza ukawa mkolofi rakini ugomvi haujui nei atakuchesha boya ww alaf usione kila mtu unamuweza utakufa bro
Anae mwongelea hyu boya ni ney wa buza syo the true boy
Miongon mwa msenge huyo jamaa ni msenge sanaa sasa unajitapa kwamba hakuwezi wakati ashakudunda?? Unadhan kwa TZ hii kuna gang unaweza kuanzisha za kihuni huni ukatoboa?? Ww choko kweli yaani
Sawa mzee
Uyo dada amesuka vizur mdawote mdomo umepinda sijui ndio ulemavu au
Dah
Nay wa mitego ni mwamba sanaaaaa
Hiki kichoka ndoo CHA kumzingua Ney hahaaa ukimzingua Ney hata mimi nitaingilia nikutwange kitaa pumbavu kabisa, harafu usijione wewe mbabe sanaa kisa unaambiwa mkorofi wewe chunga sanaa huna ukorofi wewe
kwakwel😂😂😂😂
Boya wew
Eyoooo true boy
Sasa kama huez kuliacha umeenda kulalamika huko kwenye redio ili nn??
Umekosea kuongea kwenyekipindi ungemtafuta kimyakimya hapo utapambana na watu wengi Tena usiowajua.
fala tena boya huyo
Kapigwa uyoooooooo
Mtt mchele uyo yani izo simu kuita kutoka Kwa wakubwa ili umuache Ney yani unataka kutuaminisha Ney anawatu selikalini arafu unataka kuwachafua watu eti FA amewazuia Askali wasimkamate Ney , yani wewe mtt kichuna sana Sasa jikanyage ubadilike uso upoteze mvuto coz unaishi dar kama king'ast kupitia mkologo wako.
Uyu mwamba namjua vzr ney kwa uyu awezi,, yan uyu wauni wale wa bastola ni kambi lake, ney hamuwez calisa wallah, ndo maana anakimbia anajua chuma kitalia muda wowote.
Bastola ya nn wanaume wapande ulingoni
Ney msengeee
Huyu jamaa ni type ya akina LOKOLE, ISSA AZAM na ALISTOTE acheni kuwahoji wanaume mademu huyo hana akili. Wewe ni mkolofi kwa nini umfuate mtu acha upigwe na utaendelea kupigwa. Mtafuteni na NAY WA MITEGO tujue ukweli
Mkorofi sana
Sema ujue ukizinguliwa na mwana ambae unamuweza inauma kishenzi yani.
True mwamba
Calisah mtafute niva super Mario akwambie ney ni Nani mtoto wa tandale kwanza alikua mkabaji kakabawatu sanaaa kabla hajawa msanii kqziyake ilikuwa kukaba atakuua muache ukfata ney utapigwa na wahuni nkuelekeze sinza hotel anayopatkana mdawote wahun wakupasue
Calisah humuwezi Ney achana nae
😂😂 @calisah tulia mchumb wew unajisifu muun af unakimblia police
Sisi tunamjua Calisah vzr tu. Nay ni usela tu mwingi vurugu la mob ila mmoja mmoja ney hana ubavu wa kupigana na Calisah.
Weeeee🙌 unauhakika
@@lama6310 boya tu ney anajikuta kila mtu anamuweza hana lolote.
Nataka niandae pambano kama promoter wa ngumi,hawa wawili
Wapande ulingoni
Kumjua Calisah kumekusaidia nini?
@@victorsanga2229 haha anajuana na mtu maarufu bongo
Huyu jamaa anajijaza sana upepo, hajui ney ni mtoto wa kitaa!!?? Asijisifu sana mana yanaweza kumkuta ambayo hata ney mwenyewe asijue.
Hajui anajiona sana anajiona yeye ndo kila kitu yaan
Hajui kuwa ney kasoma ukombozi primary school shule inayoongoza kutoa wasanii wengi na magangwe kama ney😀😀muache ajizimishe data aone kitachomkuta kutoka andkwa true boy
We boya sana
This wasafi guys are always one sided sio poa for press guys kama nyinyi
Nilichona mm kwmba ww ndo ulimuonea jamaa alomgusa demu wenu ndoman nay kakuzingua kwa uonevu wako pia nay ww hukuwez kivyvyt usitafute kuuliw
Fala kweli huyo
Balance story msikilizeni ney hapo kuna kitu
Tuko pamoja sana
Nay alikuwa sahihi kabisa kwasababu hawez kumuacha Lisa unayempiga sio staa
Wew alikuamulia ulikua unampeleka mtu kwenye Giza kufanya nini huoni alikusadia ,,sasa ukaanza shali ukamfata akkukanyaga akaondoka sasa endelea kumfatilia Acha kujitetea
Hee kumbe unatabia zakike KO maswala ya Samia hapo yankujaje KO ilimama ndo amkamate Acha ushoga
Njoeni mbeya huku kuna ulingo "amazon ring"
Apo Sasa Ney anakosa gan amekukuta unafanya Ugomvi amekusukuma ili umuachie jamaa usiendelee kumpiga Sasa ww umeamulia bado unaendelea kumfata ata mm ningekukanyaga tu
Namchukia karisa
We sio mwanaume we mrembo tu calisah aka sharifa na ulivyosuka nywele bado dera itapendeza!!
Anajiita mkorofi mbele zawatu mafate tuone usijitie mkorofi kwenye midya
Kama unaijua sheria mbona ukampiga mwamba huna ukorofi wowote unatafta kiki wewe kwanza embu tuambie unafanya sanaa gani maana hujulikani
choko uyoooo
Ujui Shelia ata ungekuwa unajua sheriia usingempiga mlevi ungeita polisi
Mlamba Lips😂😂😂.. Leo anabifu na Ney
Ney bonge moja la shoga muoga sana2
@@binaljabirmshihirzanzibar8369 unauhakika kallisa anasema Ukweli kwa sabab Kuna interview alisema kwamba alipigwa Kofi, aalaf saiv anasema alisukumwa
Uyo jamaaa boya hamuwezi true boy
Mwaume Mzima et unasema ata madem anao chukua si type Dah Bongo bhna kwa Maneno ya Kuambiwa Ovyo...ney is best Sio ww kwa ney kaushia Mzee yan unatafta KiKi kupitia Ney fala kwl
Kumbe umemsikia yan huyu jamaa fala kabisa ywajikuta sukari sana
Nmemskia mjinga huyu
Huyu jamaa kajisikiliza kweli maana ana kosa la kumpiga mtu kisha anajiona ana haki,
Point 😆
Bongo bana 😂😂 Kwanza naanza na uyo jamaa mwenye kichupi cheusi Ayo mapaja kajibandika ngozi ya chatu ama watoto wa magomeni na sinza Nina wasiwasi nao Sasa wewe sijui karisahy sijuii Nan wewe true boy sio type yako atakupasua pasua mwisho uozee Hospital 😁😁 type zako Ni akina lokole isa azm aristote ndo type zako walegevu wenzio oooh wafa kalisah
😂😂😂
Mana kwanza ncheke, sasa apo mama Samia anahusika nn
Callisa achana na chuma kile (ney) we endelea kuramba lipsi ukijichanganya yule mjomba atakuchenga mbwa wew
Me nna swali kwahio demu wako ukamuacha wapi kama mwanaume 🤷🏽♀️? Ungeenza kumlinda yeye kwanza Ndo mengine yafate.
Hahahahahaaaa
huyu jamaa mtoto sana yani fala sana
Baba shelia hujuwi nimekubali Alikiba na mwana fa wakikwambia kituu kwasili unakeka mtandaoni nikosa mfano kuna interview ushaona ya Ney au kiba wanakuzungumuzia
Nimesoma comment nimejuwa watu mnapenda ney wote mmemsemea
Ney anakutaka huyo like binti
Msaidieni CAROLINE HAWA hali yake mbaya pleasee 😭😭🙏🙏
Mbabe na mbabe mwenzake🤣🤣ney
Achana na nay otherwise utauponza , kwanini hujiulizi kwanini alikupiga jinga sana.
Huyo aliyekaa nyuma kavaa pensi anatia kulinyaa kwani lazima uvae pensiiiiii
Calisah Unavowaambia hao sisi wanaume hua🤣🤣🤣 kwani wao ni wanawake 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Yani mtu boya kama huyu ndo anaongea ujinga na mpo mnamsikiliza huyo haweza kupiga na mtu nalbda kama wanamwacha tu
Broo uyo nay mimi simpendi sana
Lazma unapepo sio bule