SIMBA wakifanya vizur zaidi kwenye mpira, watavunja record kujaza mpka uwanja wa Uhuru. Simba wana mashabiki wengi kuliko team yoyote, uo ndio ukweli.🎉🎉
Tiketi zimeisha wapi??? mbona bado zinauzwa na mawakala na watu kibao mtaani...hata online unapata au mnamaanisha zimeuzwa kwa mkupuo kwa madalali ili nao wakauze?
Kama unakubali simba ndio timu yenye mvoto na mashabiki bora hapa Africa goga like hapa chini
Mvuto wa uchwala hamna team hapo simba mavi mtupu tutawanyosha sana mbaka muelewe tukutane tarehe 8
SIMBA wakifanya vizur zaidi kwenye mpira, watavunja record kujaza mpka uwanja wa Uhuru.
Simba wana mashabiki wengi kuliko team yoyote, uo ndio ukweli.🎉🎉
Mashabiki wa Simba ni Gen Z na mashabiki wa uto ni Majuvee 😂😂
Oya we Simba nguvu moja
KWANINI SIMBA ISIWEKE BIG SCREEN UWANJA WA UHURU ILI MASHABIKI WAINGIE UWANJA WA UHURU KWA MUDA HUU ULIO BAKI?
Hili ndo wazo langu
Channel inakaribia subscribers 100000 na mnafanya clickbait, ndo maana watu wanaojiheshimu kama Mbwaduke hawaji tena. Block
Wanasimba cc tunaimani na tundaman wetu yule mnyama kweli na tunataka aimbe na kiba labda.
Simba hatuna baya ila akituzingua tunamzingua mwaka huu UBAYA UBWELA💥
HATUKUTAKI KUJA KTK SIMBA
YETU, USIJEE SIMBA DAY,
NA NYINYI WATANGAZA JI
MSIMTEE AU NYIEEE NI YANGA
Tiketi zimeisha wapi??? mbona bado zinauzwa na mawakala na watu kibao mtaani...hata online unapata au mnamaanisha zimeuzwa kwa mkupuo kwa madalali ili nao wakauze?
HATUUUMTAAKI DULLA MAKABILAA KTK SIMBA DAY YETU AENDEE YANGA ,
TUMET0A HELLA ZETU
TENA AK0MEEE, KUJA KTK
SIMBA DAY Z0TEEE
hivi crown ni alikina ndiyo maana kila ukifungua ni Simba tu
Acha tumsamehe dula mkl, nae ni binadamu wana simba wenzangu tumuunge mkono, yakale yamepita simba oyeeeeeee❤❤❤❤❤
Ubaya ubwela
Yaaan dula ukija tunakubonda na chupa
Dula akija tunamzomea atumtakiiii
Dula asije
Leo ubaya ubwela
Simba ndio kubwa wengene wanatakiwa wajifunze kwetu hasa 🐸🐸🐸fc
Ubaya ubwela bd awajasema
Wasiojaza uwanja ndio wanaohaja ya kuchukua wasanii wakubwa kwa Simba aje yoyote tunajaza uwanja
Simba hatari ubaya ubwele ndiyo maana tiketi zimeisha
Simba baba lao
Pamoja saana
Simba nguvu moja simba yamwaka huu nicmba yaainayake yapekee
Nguvu moja
Simba baba Lao Tanzania
utoporo waje wasome kutoka simba
Utopolo wa mo dewji muende Yanga mkajifunze wanafanyaje mambo yao pasipo janjajanja na wanafanikiwa
Kwani makabila alifanyaje?
Tushasema Makabila hatumtaki mctuseti
Yan Simba tunakiwasha
Mashabiki wa simba niwengi mkubali mkatae
Ss ndo wakali wa hizi kazi
Simba Nguvu Moja
Vp Elia mpanzu
Huna ela yakumpata mchezaji mweny viwango kama elia mpanzu utapata hao hao wachezaji wachimba unye.
SIMBA BABA LAO
Tickets hazijaisha watu wa Simba nendeni kanunueni
Kwani huyo mpanzu ana kitu gani cha ajabu
utoporo waje wasome kutoka simba
Vp Elia mpanzu