True....doctor sule....upo...sahihi..., uwezi..kumjibia...mtu..bila kujua lengo lake ..Mimi .nnavaa Pete za silver Chen au dhahabu...kama urembo na sio shirk , napenda kuvaa xanaa. Ila sijafafa shiliki...yoyote. Namuogopa ALLAH, YAKINI, ATUEPUSHE na shirk....😭😭😭🙏
Hayo ndio nilikua naongelea instead of kumbilia Allah unataka kumkimbilia doctor shule akupe uwez wahela 🤣🤣🤣 naona tanzania mulisha aanza kusahau mola mnakimbilia kwamaisha haya yadunia Maataa'lu dunia qalila tutakufa
Hahahahahaha kweli shetani ni mjanja ili kuwateka watu anatumia maandiko...Aya bana mm yangu macho ila iko siku mtaumbuka azarani..Mkisikia watu wangu mnaangamia kwa kukosa maarifa ndio hayaaaa
😂😂😂😂 eti wanafunzi wa Yesu walikaa na mapepo wakawafundisha neno la Mungu. Kisha Yesu anamwambia Petro rudi nyuma yangu shetani. 😂 Kwahiyi jini ni shetani. Suratul Jinn 72:1-4 Waislamu wanashirikiana na majini(Mashetani) 😂 Na watu wanamshangilia kwamba huyu ni Dr. 😂
Kiukweli connection hzo zipo lakini ni ngumu sana mm babaangu aliwahi kunifundisha lakn mashart yake ni magumu sana ili upate utajr ila ukitaka za kuwatoa watu makafara hzo ni nyepesi na ndo haram
Pyramids ni nyumba za kuzikia wafalme. Mafarao wote walikuwa wanajenga. Kuna sehemu ya kuzikia wafalme, sehemu ya kutunza vito vya thamani, na sehemu ya kuhifafhi vyakula kwani wamisiri waliamini kuna maisha baada ya kufa, hivyo waiwawekea akiba za maisha yajayo ya viongozi wao.
Hayo maswali na muulizaji wote wanachekesha sana. Yaani so silly. Dr Sulle mstaarabu sana lakini Lazima hata yeye anamshangaa sana huyo interviewer. 🙈🙈🙈🙈
Majini yote wanaoshirikiana na binaadamu basi ni mbaya. Hakuna ushahidi huo binaadamu ashirikine n majini, ila nabii Suleiman pekee ndio aliopewa mamlaka hayo, aliomba dua kwa Allah apate uwezo huo.
Njaa kweli mbaya zamani huyu Shekh alikua yupo vizuri sana ila sasa Kawa Shekh wa kutafuta kiki na umaarufu tu inasikitisha Shekh kama huyu kumzania mtu ubaya huko ni kumkosea Allah.
Doctor shulee,ulianza vizuriii,lakni Kwa xx unazeeka vibayaaaa,, nilikua nakuelewa xana lakn xxhiv umeingia njaaaa,unaitumia dini vibayaaa,umeacha kufanya jukum la msing la kuhamasisha waislam tufanye ibadaa,unaitumia mitandaon kutafta kiki !!!! Kwa heshima Yako uloitengeneza kwenye din Kwa nch hii haya mambo ungeachana nayooo, yanakushushia heshimaa,Kuna watoto yatma wanateseka huko mtaani ,viongozi wa din pazen saut achaneni na kikii
tatizo unasahau kwamba wewe hujawahi kumpa chakula wala humsaidii chochote Dr sule pengine usinge mjua ungemlaumu muache mtu afanye kazi yake nawewe jaribu kufanya yanayo kuhusu basi....
Wwe umeshawahi kumlisha yatima?? Huna ellimu yeyote kuhusu dini na inavyo onesha hata msikitini hauwendi soma kwanza kisha uje kukosoa watu kwa hoja na ushahidi
Aisee nimesikiliza hadi nimecheka 😂😂😂😂. Bible haitatafsiriwi hvo jamani hadi natokwa na machozi 😭😭😭😪😪😪😪. Aisee uku kwenye bible hangepaacha tubaki na mambo ya Pete walai 😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪
HAKUNA USHIRIKINA HAPO KUVA PETE NI SUNNAH YA MTUME MOHAMMED (S.W)NA ALIKUWA AKIVA AQEEK YEMEN KATIKA MKONO WAKE WAKULIA KIDOLE CHA PETE NA KILA KITU AMBACHO ALICHO KIFANYA MTUME WETU NI DAWA NA KINA MAANA..
Kiekiekie kiekiekie kiekiekie kiekiekie nacheka sana ,waislam muko na shida kweli muokoke uyu bwana ni mwongo sana jini ni pepo chafu tu,akuna jini wa mzuri Pepo walitii kwaku kimbiya jina la yesu kristo Waka toka watu mwilini
Majini aina hao ni mashetani ambao wanataka kuwaposha binaadam huwa wanawaingia ktk maisha y binaadamu. Lkn ruhisa ya ushirikiano hakuna usitudanganye, hiyo aya ulioitoa hijaifahamu, usitafsiri Qur'an kwa akili yako . Siku soye ukitumia akili yako ktk dini unakosea. Allah atuongoze. Tusiziendekeze nasfi zetu na tamaa y dunia, Dinia n masisha ya mpito tu.
72:1 - Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu! Hiyo ndo 72:1 iyo anasema ni ipi tusomeni jamni 😢😢
Yeye kama shehe angefuatilia maswala ya dini tu،si Leo msanii huyu kesho huyu kabaa nini mara huyu ni mtu wa motoni mara huyu ni pesa zake ,ni haramu mara huyu amevaa ,pete ,sio vizuri kuwasema watu ,mwenyewe anavaa pete na staili anayo nyoa ,si ya heshima na Hakuna mwenye kujuwa mtu wa motoni,na mbiguni ,au peponi Hakuna ajuaye hayo ,tumwachie yeye mungu ,
Huyu nime amini kua ni tapeli na mushriki ni mtu ambaye anae nifanyia mzaha dini ya Ahlwa hakika kila kitu ni qadar na sio jiní ukimuona mtu mwenye kuitakidi kitu kama hichi basi ujue nikatiya walio muasi Ahlwa hafai huyu mtu ata tupoteza sana tusipo jiangalia waislamu.
ushauri wangu kwa ndugu anayemuhoji sule basi amwambie akitoa ushahidi wa qur'an basi azisome aya kama zilivyoshuka(kwa kiarabu)kisha atafsiri akinukuu kwa kiswahili anapotosha,akitaja maandiko ya qur'an anapotosha
Anazungumzia malaika, Yaani kuna malaika wema na wale malaika walioasi yaan malaika wabaya ambao wanatumika na shetani wanaoitwa majini, ila hakunaga malaika wa mungu anaeitwa jini mwema ila wanaitwa malaika wema
@@HoseaNgugemalaika ni malaika na jini jini na malaika awamuasi Mungu ila majini wanamuasi Mungu na malaika wameumbwa kutokana na nuru na majini wameumbwa kutokana na moto usichanganye
Aisee nimesikiliza hadi nimecheka 😂😂😂😂. Bible haitatafsiriwi hvo jamani hadi natokwa na machozi 😭😭😭😪😪😪😪. Aisee uku kwenye bible hangepaacha tubaki na mambo ya Pete walai 😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪
SHEIKH SULE YUPO SAHIHI MBONA HATA VITABU VIMEANDIKA WATU SIJUI KWANINI HAWASOMI.......REJEA HUU MSTARI KISHA TAFAKARI ........Isaya 45:3 nami nitakupa hazina za gizani, na mali zilizofichwa za mahali pa siri, upate kujua ya kuwa mimi ni BWANA, nikuitaye kwa jina lako, naam, Mungu wa Israeli.
Unajiita Dr. lakini bado hukubali kuwa biblia ni mkusanyiko wa vitabu ,siwezi kukuamini kwa maneno ya mdomo ila aya ,hata uliyoyaongea kuhusu biblia ni uongo ,Yeloboamu alipigwa akafa kwa sababu alishirikiana na majini ,Mungu ametukataza kushirikiana na majini,.
Aisee nimesikiliza hadi nimecheka 😂😂😂😂. Bible haitatafsiriwi hvo jamani hadi natokwa na machozi 😭😭😭😪😪😪😪. Aisee uku kwenye bible hangepaacha tubaki na mambo ya Pete walai 😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪
Mi swali hilo ninalo ajibu kwa mujibu wa vitu viwili Quran na Sunnah,,,,,,n si hoja z kichwa apana ,,,,,,then akifikiwa n hili nmuulize rasulullahi salallahu alayhi wasalam alivaa na kama alivaa makusudio yake ilikua Nini akitupa majibu naweza kaa chini nimskize akiongea la sivyo stori za Jana awache
Watoa Komenti Wanachekesha Sana Yani Habari Iko Mtandaoni Eti Wanasema Muulize Izo Pete Zake Alizonazo Sule Vipi Sasa Amuulize Nini Na Mahojiano Yameisha Tayari Na Kuwekwa Kwa Mtandao
Ni kweli ila hajataka kwenda deep,sasa muhandishi naye angelimuuliza kuhusu uyo shekhe Sulle izo pete alizovaa pia zinamaana gani,ingelikuwa vizuri pia
Huu ni msiba utajiri anatoa Mungu pekee ALLAH anasema yy anamruzuku amtakaye bila hisabu ukitafuta utajiri wa masharti ukifa motoni. pia haifai kutumia majini kwa lolote ,siku ya kiama ALLAH atawauliza malaika eti nyiye mliwambia wanaadamu wakuabuduni?jibu la malaika ,watasema ww ndiye Mungu wetu na mpedwa wetu sio hawa wanaadamu ,hawa wanaadamu walikuwa wakiabudu majini na kuyaamini hiyo aya hajaiona kwenye Qur'an. hili ni onyo kwa wanaowafuga majini na kuamini wanayokuamuru ukifa kwa hali hiyo ni motoni
Kwahiyo shekhe unakubali kua jina la YESU linanguvu, lakini hukubali kua YESU ni MUNGU. kivipi mapepo yamuogope nawakati mtume kabla ya kifo aliingiwa na pepo
Yesu atakuwaje mungu ndugu wapi yesu alisema yeye ni Mungu embu tupe ushahidi wa kimandiko kasome john 14 28 yesu anasema Mungu ni mkuu kuliko yeye pia kasome john 1 48 yesu anajiita nani embu hivi vitabu vya kuletewa na watu kutoka mbali ni lazma tuvisome tuvichunguze sio kuvibeba kwa nguvu na kuamini tu pasipo kuvifanyia utafiti ndo haya mabishano yasiyoisha umekuta wazazi wanamini basi nasi tunabeba na kuwa wafuasi na hatutaki kusoma na kujua ukweli
Pia hata hivyo vitabu sawa yesu kufanya miujiza na jina kuwa na nguvu sio kwa uwezo wake mwenyewe ni kwauwezo wa Mungu ndomana kuna mahali yesu anasema siyafanyi haya ila kama ninavyo amriwa kutoka juu ndivyo nifanyavyo wala siyasemi haya ila kama ninvyoambiwa ndivyo nenanavyo sijui kama haya maandiko unayaelewa ni lazma kuelewa the context ya kinachoelezwa
Yesu alilia heloi heloi lamathabatani Mungu wangu Mungu wangu mbona umeniacha sasa haya yesu kama ni mungu alimlilia Mungu gani bro embu tusome maandiko ya kuyafanyia kazi tuyaelewe sio maandiko ya kuletewa tunatavalia pembe kubwa kali na hatujaandika sisi bro ndo utaona watu wanamza kumdharau dr sule kumbe ni watu tumeweke chuki mbele kuliko kusoma na kupenda kufanya tafiti
Huyu sule unayemsema vibaya amefanya mengi kuliko wewe na mimi ametumia vitabu kutoa elimu na mihadhara na debates mbali mbali nchi nyingi walao ameeacha nembo wewe n mimi sasa hatuwezi kuka na watu 20 tukaweka mdahalo tunajiona wajanja kujibu kwa kameseji kamoja kwenye comment shida sana
Hakuna Maisha mazur nje ya Yesu,Viongoz wa dini ndio wanao Jua Mungu wanae mtumikia waumini wengi ni wajinga, Viongoz vipofu wanaongoza vipofu na wote wata ishia shimon.Msitishwe na mtu anaye sema Mungu shetani naye ni mungu
ndio,huyo ni daktari wa nguvu za kiume na mambo yake mengine sasa ukimfanya ni sheikh utapotea,si mjuzi katika dini yetu zaidi anafuata akili zake na experience zake na si elimu
Mashaallah dr uko vizuri kujibu maswali haukurupuki tu kuyajibu,Allah akuzidishie HIKMA na REHMA
True....doctor sule....upo...sahihi..., uwezi..kumjibia...mtu..bila kujua lengo lake ..Mimi .nnavaa Pete za silver Chen au dhahabu...kama urembo na sio shirk , napenda kuvaa xanaa. Ila sijafafa shiliki...yoyote. Namuogopa ALLAH, YAKINI, ATUEPUSHE na shirk....😭😭😭🙏
Dr. Sule nashallah hongera sana.tena very intellingets inabidi nikutafute kwa matatizo yangu.dr uko vizuri sana mashallah
Hayo ndio nilikua naongelea instead of kumbilia Allah unataka kumkimbilia doctor shule akupe uwez wahela 🤣🤣🤣 naona tanzania mulisha aanza kusahau mola mnakimbilia kwamaisha haya yadunia
Maataa'lu dunia qalila tutakufa
matatizo yako mshirikishe Mungu yaani unaona kabisa yeye anaendeshwa na pepo wachafu na wewe unataka kumfuata loo!
Ni kweli kabisa Dr Sule
Nyie naye mnamaswali ya ajabu Pete urembo tu haya muulize na Dr Sule hizo alizovaa vidole tofauti mkono kulia na kushoto atupe maana
Urembo tu😮, utachelewa sana.
Mapepo wana watii kwa kuambiwa toka kwa mtu wakamtoka, sio wanashirikiana na binadamu😅😅😅😅
Anawapotosha sana waislamu, huyu ni mshirikina tu. Uislamu na majini ni ndugu
@@igurusitv6553😂😂 Waislam wengi ni wachawi sana
Swali la kikubafuuu Alikiba atakujibu kamuulize yeye😂😂😂
Kama hamwelew kaen kimya mnabwabwaja tu Allah akulinde dockta sule akupe maisha marefu
Ivi nyie mnao toa hizi comment huwa mnaelimu kweli yamambo hivi amjui sulle nikichwa hatari msizani sule huzungumza kwautashi bali maandiko
Hahahahahaha kweli shetani ni mjanja ili kuwateka watu anatumia maandiko...Aya bana mm yangu macho ila iko siku mtaumbuka azarani..Mkisikia watu wangu mnaangamia kwa kukosa maarifa ndio hayaaaa
MashaAllah Dr Sule InshaAllah Mungu akakuajalia umri mrefu ili utupe mafundisha yanayo ambatana na vitabu vyetu vya dini
Sulle, mungu anakuona ujue 😢😢😢😢😢😢😢
ua-cam.com/video/HuvWLBctbRY/v-deo.html
😂😂😂😂
😂😂😂😂 eti wanafunzi wa Yesu walikaa na mapepo wakawafundisha neno la Mungu.
Kisha Yesu anamwambia Petro rudi nyuma yangu shetani. 😂
Kwahiyi jini ni shetani. Suratul Jinn 72:1-4 Waislamu wanashirikiana na majini(Mashetani) 😂
Na watu wanamshangilia kwamba huyu ni Dr. 😂
Waswahili na mambo ya majini wameipenda sana.
Kiukweli connection hzo zipo lakini ni ngumu sana mm babaangu aliwahi kunifundisha lakn mashart yake ni magumu sana ili upate utajr ila ukitaka za kuwatoa watu makafara hzo ni nyepesi na ndo haram
Pyramids ni nyumba za kuzikia wafalme. Mafarao wote walikuwa wanajenga. Kuna sehemu ya kuzikia wafalme, sehemu ya kutunza vito vya thamani, na sehemu ya kuhifafhi vyakula kwani wamisiri waliamini kuna maisha baada ya kufa, hivyo waiwawekea akiba za maisha yajayo ya viongozi wao.
Shindwa katika jina la Yesu
Aaaweeeh😂
Bro kasome bibilia utafute watumishi wa mungu wakuelimishe
Hayo maswali na muulizaji wote wanachekesha sana. Yaani so silly. Dr Sulle mstaarabu sana lakini Lazima hata yeye anamshangaa sana huyo interviewer. 🙈🙈🙈🙈
Jamn shekhe uwe unaongelea mambo ya mungu tu usi ufany uislm kuonekan kam haielewk shekh watu wana kuangalia km shekh
MashaAlla shekhe sule una weza Allah akulinde wallah 🙏
Anatafuta Kiki Tu hii Dunia tuwe makini sana mungu achanganywi ivo
Alaf kumuuliza Dr Sule juu ya Pete ya Ali kiba huo nao si ni kutaka kuwafitinisha !
uzuri kakujibu kihekima sana
Sindioooo
Kuwamakini shekh Dunia hii
Masheikh Ubwabwa
😅😅😅biblia huijui ni bahari kubwa, kwanza umetafsiri vibaya
Wew unaijuha mlete mkirstu alieifadh biblia mzimaa tuonee Acha shobo
Acha uongo
Majini yote wanaoshirikiana na binaadamu basi ni mbaya.
Hakuna ushahidi huo binaadamu ashirikine n majini, ila nabii Suleiman pekee ndio aliopewa mamlaka hayo, aliomba dua kwa Allah apate uwezo huo.
Njaa kweli mbaya zamani huyu Shekh alikua yupo vizuri sana ila sasa Kawa Shekh wa kutafuta kiki na umaarufu tu inasikitisha Shekh kama huyu kumzania mtu ubaya huko ni kumkosea Allah.
Kibaya kipi hasa alichokiongea?
Anatafuta kiki how?
Kichaa wewe alafu ni muislamu Dr anatoa elimu unataka watoe wakina nani makafiri tu
Doctor shulee,ulianza vizuriii,lakni Kwa xx unazeeka vibayaaaa,, nilikua nakuelewa xana lakn xxhiv umeingia njaaaa,unaitumia dini vibayaaa,umeacha kufanya jukum la msing la kuhamasisha waislam tufanye ibadaa,unaitumia mitandaon kutafta kiki !!!! Kwa heshima Yako uloitengeneza kwenye din Kwa nch hii haya mambo ungeachana nayooo, yanakushushia heshimaa,Kuna watoto yatma wanateseka huko mtaani ,viongozi wa din pazen saut achaneni na kikii
tatizo unasahau kwamba wewe hujawahi kumpa chakula wala humsaidii chochote Dr sule pengine usinge mjua ungemlaumu muache mtu afanye kazi yake nawewe jaribu kufanya yanayo kuhusu basi....
Wwe umeshawahi kumlisha yatima?? Huna ellimu yeyote kuhusu dini na inavyo onesha hata msikitini hauwendi soma kwanza kisha uje kukosoa watu kwa hoja na ushahidi
Kulisha mayatima kila mmoja anaweza tu ila kuwa na itikadi sahhi aliyofundisha mtume Muhammad ndo kipengere
Dr, mm niko Mozambique VP napata mawasiliano yako ili kwa maongezi zaidi, kwamaana kunamengi nahitaji kwako
Umemsahau.bakresa.mtoaji.sana.kwa.masikini
Jitahdi sana kumuelewa mtu kabla hujatamka maneno kwenye kinywa chako
HUYU ANAPELEKEA WATU KWA USHIRIKINA.ALLAH AMUONGOZE YARABB
Mashaalla
Mtihani kweli 😢😢😢
Kwani ye hajavaa Pete hapo, Pete avae kiba maswali umuulize mwingine😢
😂😂😂😂
Kwakiba bado sijaona chajabu ❤❤❤
Muulize kuhusu pete alizozivaa mwenyewe.
Sulle tupe elimu hawa wapingaji watoto wajuzi achana nao ss tulio anza kukujua toka enzi zamihazala ndio tunao jua fahida yako
We mzee unajifanya unajua sana
Aisee nimesikiliza hadi nimecheka 😂😂😂😂. Bible haitatafsiriwi hvo jamani hadi natokwa na machozi 😭😭😭😪😪😪😪. Aisee uku kwenye bible hangepaacha tubaki na mambo ya Pete walai 😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪
Kwa roho mtakatifu...unapigwa tumia akili.
0:27 yah na atoe ushahid katika Quran
HAKUNA USHIRIKINA HAPO KUVA PETE NI SUNNAH YA MTUME MOHAMMED (S.W)NA ALIKUWA AKIVA AQEEK YEMEN KATIKA MKONO WAKE WAKULIA KIDOLE CHA PETE NA KILA KITU AMBACHO ALICHO KIFANYA MTUME WETU NI DAWA NA KINA MAANA..
Kiekiekie kiekiekie kiekiekie kiekiekie nacheka sana ,waislam muko na shida kweli muokoke uyu bwana ni mwongo sana jini ni pepo chafu tu,akuna jini wa mzuri
Pepo walitii kwaku kimbiya jina la yesu kristo Waka toka watu mwilini
Majini aina hao ni mashetani ambao wanataka kuwaposha binaadam huwa wanawaingia ktk maisha y binaadamu.
Lkn ruhisa ya ushirikiano hakuna usitudanganye, hiyo aya ulioitoa hijaifahamu, usitafsiri Qur'an kwa akili yako .
Siku soye ukitumia akili yako ktk dini unakosea.
Allah atuongoze.
Tusiziendekeze nasfi zetu na tamaa y dunia,
Dinia n masisha ya mpito tu.
Inamaana Ustadh suley hajui Kwamba kutegemea kiumbe tofaut na mwenyeziMungu nishirki?
Hamna sheikh hapa huyu ni mpiga ramli
😂
Astaghfirullah
Ni kweli huyu ni mganga wa kienyeji
Duh uyu mzee muongo😊😅
Quran 72-1 inakataa aviendani na alicho kisema suley mambo mawili tofauti kabisa
Sahihi
72:1 - Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu!
Hiyo ndo 72:1 iyo anasema ni ipi tusomeni jamni 😢😢
😂😂😂😂 Wanafunzi wa Yesu walikaa na mapepo wakawafundisha neno la Mungu😂
Kwa mbali kama Dr sule kakata panki au macho yangu tu
Ni kweli mze halaf sio kwa mbali ni Panky
Huyu jamaa anapenda kiki sana huyu
Yani we ulivyosikia mapepo wanatutii ukadhani ni wanatii mafundisho? Hapana ni wakiambiwa mtoke mtu huyu wanatii na kuwatoka
Ubarikiwe sana
Yeye mwenyewe huyu Sule ana pete, muulize ni za kuwasiliana na nani?😊
Bongo naomba namba yako
Dk sule naomba nipate namba niongee niongee nipate nsada kwako
Jamani tu siamini anacho kisema huyu mtu hakika iyo ni shirki tupu tuacheni kumfuata kabisa maneno yake ni tapeli alie jificha kwenye dini
Dr sule namukubali
Yeye kama shehe angefuatilia maswala ya dini tu،si Leo msanii huyu kesho huyu kabaa nini mara huyu ni mtu wa motoni mara huyu ni pesa zake ,ni haramu mara huyu amevaa ,pete ,sio vizuri kuwasema watu ,mwenyewe anavaa pete na staili anayo nyoa ,si ya heshima na Hakuna mwenye kujuwa mtu wa motoni,na mbiguni ,au peponi Hakuna ajuaye hayo ,tumwachie yeye mungu ,
Shindwa kwa jina la yesu
tangu mlipo SEMA shindwa ktka jina la yesu mwaka wa ngapi huu au miaka mingpi saiv mbna mtu ashindwi
Nyie wandshi wa sasaivi bwana ssa maswali gn unauliza hyo tatzo Lenu nyie wandshi wa ssa wakuchkuana sna mtani yni kuhoji hmjui
Huyu nime amini kua ni tapeli na mushriki ni mtu ambaye anae nifanyia mzaha dini ya Ahlwa hakika kila kitu ni qadar na sio jiní ukimuona mtu mwenye kuitakidi kitu kama hichi basi ujue nikatiya walio muasi Ahlwa hafai huyu mtu ata tupoteza sana tusipo jiangalia waislamu.
ushauri wangu kwa ndugu anayemuhoji sule basi amwambie akitoa ushahidi wa qur'an basi azisome aya kama zilivyoshuka(kwa kiarabu)kisha atafsiri akinukuu kwa kiswahili anapotosha,akitaja maandiko ya qur'an anapotosha
Hawezi kusoma kiarabu huyu nae niwalewale wapigaji
Mie Binafsi sijaona anachopotosha wapi, we sema tu Elimu yako ndogo Sule anakuvuruga bc ..
@@abdallahkaskas6168 wenae mtu wa budaa
@@abdallahkaskas6168 ungekua unajua qur'an usingesema hivi
😂apo umemwambia
Me sina hilo jini tena ushindwe kwa Jina Yesu
Bado hujasema we jini unae Kama hautaki minyama 😅😅😅😅
Anazungumzia malaika,
Yaani kuna malaika wema na wale malaika walioasi yaan malaika wabaya ambao wanatumika na shetani wanaoitwa majini, ila hakunaga malaika wa mungu anaeitwa jini mwema ila wanaitwa malaika wema
@@HoseaNgugemalaika ni malaika na jini jini na malaika awamuasi Mungu ila majini wanamuasi Mungu na malaika wameumbwa kutokana na nuru na majini wameumbwa kutokana na moto usichanganye
Aisee nimesikiliza hadi nimecheka 😂😂😂😂. Bible haitatafsiriwi hvo jamani hadi natokwa na machozi 😭😭😭😪😪😪😪. Aisee uku kwenye bible hangepaacha tubaki na mambo ya Pete walai 😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪
Nayeye izo pete vipi atwambie kapewa na jini gani🤣🤣🤣
Leo nimepata elimu juu ya bibadam na jini
Hakuna dini yamungu mungu wakweli walimjuwa wazee wetu zamani,ndiomana Dili zilikuja afrika nawalilazimiswa kuzipokea.
Utajuaje kama unajini na je utaipataje Pete kama hiyo aliyo vaa alikiba
Wanafunzi wa Yesu awakuwahubiria majini mbali wakati wanawafukuza walikua wanatii hacha kupotosha
shee leo kasahau miramid ni makaburi ya mafarao
Biblia ni msitu mnene, ukiimgia vibaya unapotea.......
Kwa roho mtakatifu...unapigwa tumia akili
Mjin wapo kwa ma shehee
SHEIKH SULE YUPO SAHIHI MBONA HATA VITABU VIMEANDIKA WATU SIJUI KWANINI HAWASOMI.......REJEA HUU MSTARI KISHA TAFAKARI ........Isaya 45:3
nami nitakupa hazina za gizani, na mali zilizofichwa za mahali pa siri, upate kujua ya kuwa mimi ni BWANA, nikuitaye kwa jina lako, naam, Mungu wa Israeli.
Unajiita Dr. lakini bado hukubali kuwa biblia ni mkusanyiko wa vitabu ,siwezi kukuamini kwa maneno ya mdomo ila aya ,hata uliyoyaongea kuhusu biblia ni uongo ,Yeloboamu alipigwa akafa kwa sababu alishirikiana na majini ,Mungu ametukataza kushirikiana na majini,.
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Aah uyu nimuongo Bibilia gan anayoiongelea ushetani tu umemjaa
Aisee nimesikiliza hadi nimecheka 😂😂😂😂. Bible haitatafsiriwi hvo jamani hadi natokwa na machozi 😭😭😭😪😪😪😪. Aisee uku kwenye bible hangepaacha tubaki na mambo ya Pete walai 😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪
Dr Sule kwa nini unadanganya sana.
Hakunaga jini mzur shetani haja wahi kuwa mzur ,Ita kusaidia nn hata ungepewa Dunia nzima iwe Mali Yako alafu nafs Yako ika ishia kuzimu
Jini ni nini na shetani ni nini. Jibu kwa dalili ya vitabu biblia na quran
Tafuta Elimu husiwe mjinga
Soma Bibilia yako vizuri
@@hamzaswaibu9470watu wengi wanashindwa kubaini tofauti kati ya Jini na shetani😂😂😂😂😂basi full mvurugano
Hauko na elimu ya majini
Kuna mahali nilimuona na bodyguards tena kwa mhadhara sikuelewa kabisa
😂😂😂
Pete aina hii ni shirk
Ukisoma sanaaa kama hujawa makini utakuwa mchawi au mshirikina bila kujijuwa muwe makini wasomi
huyu sule si msomi,hili unaweza lifahamu kidogo tuu ukimsikiliza hata kama hukusoma sana
Sheikh Sasa anatuboa na cjui amekwama wapi baada ya kumtangaza Allah anatangaza pete
Madini mdo madini iyoo elimibnaijua baba uko sahihi
Nayeye hizo pete Alizo vaa mbona amumuhoji😳🙆
Umeona eeeee na mm nimehoji waandish cjui wakoje
Mi swali hilo ninalo ajibu kwa mujibu wa vitu viwili Quran na Sunnah,,,,,,n si hoja z kichwa apana ,,,,,,then akifikiwa n hili nmuulize rasulullahi salallahu alayhi wasalam alivaa na kama alivaa makusudio yake ilikua Nini akitupa majibu naweza kaa chini nimskize akiongea la sivyo stori za Jana awache
Hilo liongo linatafuta pa kula😂😂
Kakuomba chochote kuhusu kula?
NBA namba Namba yako
Watoa Komenti Wanachekesha Sana Yani Habari Iko Mtandaoni Eti Wanasema Muulize Izo Pete Zake Alizonazo Sule Vipi Sasa Amuulize Nini Na Mahojiano Yameisha Tayari Na Kuwekwa Kwa Mtandao
Hapo tulekuelew sn.ila kwa Alikiba ukaongea ukweli hukutaka kumzushia uwongo
Ni kweli ila hajataka kwenda deep,sasa muhandishi naye angelimuuliza kuhusu uyo shekhe Sulle izo pete alizovaa pia zinamaana gani,ingelikuwa vizuri pia
Mmh! Huyu ndio mana analaani watu hovyo Suleman alijenga hekalu miaka mia ngapi baada ya Kristo?!!!?!!
Huu ni msiba utajiri anatoa Mungu pekee ALLAH anasema yy anamruzuku amtakaye bila hisabu ukitafuta utajiri wa masharti ukifa motoni. pia haifai kutumia majini kwa lolote ,siku ya kiama ALLAH atawauliza malaika eti nyiye mliwambia wanaadamu wakuabuduni?jibu la malaika ,watasema ww ndiye Mungu wetu na mpedwa wetu sio hawa wanaadamu ,hawa wanaadamu walikuwa wakiabudu majini na kuyaamini hiyo aya hajaiona kwenye Qur'an. hili ni onyo kwa wanaowafuga majini na kuamini wanayokuamuru ukifa kwa hali hiyo ni motoni
HATA MTOTO ANATOA MUNGU ILA LAZIMA BINADAMU AHUSIKE KUBEBA MIMBA TAFAKARINI WAISLAM TATIZO ELIMU KIDOGO
Kwahiyo shekhe unakubali kua jina la YESU linanguvu, lakini hukubali kua YESU ni MUNGU. kivipi mapepo yamuogope nawakati mtume kabla ya kifo aliingiwa na pepo
Aya gan hiyo inasema hivyo ndugu yetu mbona umekurupuka 😅
Yesu atakuwaje mungu ndugu wapi yesu alisema yeye ni Mungu embu tupe ushahidi wa kimandiko kasome john 14 28 yesu anasema Mungu ni mkuu kuliko yeye pia kasome john 1 48 yesu anajiita nani embu hivi vitabu vya kuletewa na watu kutoka mbali ni lazma tuvisome tuvichunguze sio kuvibeba kwa nguvu na kuamini tu pasipo kuvifanyia utafiti ndo haya mabishano yasiyoisha umekuta wazazi wanamini basi nasi tunabeba na kuwa wafuasi na hatutaki kusoma na kujua ukweli
Pia hata hivyo vitabu sawa yesu kufanya miujiza na jina kuwa na nguvu sio kwa uwezo wake mwenyewe ni kwauwezo wa Mungu ndomana kuna mahali yesu anasema siyafanyi haya ila kama ninavyo amriwa kutoka juu ndivyo nifanyavyo wala siyasemi haya ila kama ninvyoambiwa ndivyo nenanavyo sijui kama haya maandiko unayaelewa ni lazma kuelewa the context ya kinachoelezwa
Yesu alilia heloi heloi lamathabatani Mungu wangu Mungu wangu mbona umeniacha sasa haya yesu kama ni mungu alimlilia Mungu gani bro embu tusome maandiko ya kuyafanyia kazi tuyaelewe sio maandiko ya kuletewa tunatavalia pembe kubwa kali na hatujaandika sisi bro ndo utaona watu wanamza kumdharau dr sule kumbe ni watu tumeweke chuki mbele kuliko kusoma na kupenda kufanya tafiti
Huyu sule unayemsema vibaya amefanya mengi kuliko wewe na mimi ametumia vitabu kutoa elimu na mihadhara na debates mbali mbali nchi nyingi walao ameeacha nembo wewe n mimi sasa hatuwezi kuka na watu 20 tukaweka mdahalo tunajiona wajanja kujibu kwa kameseji kamoja kwenye comment shida sana
Sikiliza, pumba acha, mchele chukua.
Ndio Mana Yesu Aliomba Chakula Kutoka Mbinguni Lakini Samaki Wako Duniani
Sisi mwaka wangapi tuko oman wanaume wengi wanataka mtelezo
Muulizeni yeye anavaa Pete kwenye kidole cha shahsda
tunaomba namba za Sule
Hakuna Maisha mazur nje ya Yesu,Viongoz wa dini ndio wanao Jua Mungu wanae mtumikia waumini wengi ni wajinga, Viongoz vipofu wanaongoza vipofu na wote wata ishia shimon.Msitishwe na mtu anaye sema Mungu shetani naye ni mungu
Hili jizee zuzu sana sura mbya
Matangazo ya App za mikopo zinakela jaman kama kuna mdau anajua namba ya fungu matangazo UA-cam anijuze 😊
Toka huko mm naish na jini. An mkristo niishi na shetani. Nie waisilam ndo mnaish na majin
Ni falao au farao
Niambien mnao jua
Farao falao ni matamshi ya kibara kwenye L wanaweka R
Sasa huyu ndio daktari huko Tanzania 😂😂😂
ndio,huyo ni daktari wa nguvu za kiume na mambo yake mengine sasa ukimfanya ni sheikh utapotea,si mjuzi katika dini yetu zaidi anafuata akili zake na experience zake na si elimu
Njoo Tanzania wewe tuna vipaji una kosa Raha kwakweli sisi tuna watu bana
Mpotoshaji mkubwa