DR SULLE AIBUA MAPYA YA PETE ANAYOVAA ALIKIBA HERUFI 'A' INAMAANA KUBWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 299

  • @ahmedrmohamed7389
    @ahmedrmohamed7389 5 місяців тому +9

    Mashaallah dr uko vizuri kujibu maswali haukurupuki tu kuyajibu,Allah akuzidishie HIKMA na REHMA

  • @abdulhakhashim764
    @abdulhakhashim764 5 місяців тому

    True....doctor sule....upo...sahihi..., uwezi..kumjibia...mtu..bila kujua lengo lake ..Mimi .nnavaa Pete za silver Chen au dhahabu...kama urembo na sio shirk , napenda kuvaa xanaa. Ila sijafafa shiliki...yoyote. Namuogopa ALLAH, YAKINI, ATUEPUSHE na shirk....😭😭😭🙏

  • @fatemafatema4780
    @fatemafatema4780 5 місяців тому +7

    Dr. Sule nashallah hongera sana.tena very intellingets inabidi nikutafute kwa matatizo yangu.dr uko vizuri sana mashallah

    • @HassanNtakirutimana-m3y
      @HassanNtakirutimana-m3y 5 місяців тому +2

      Hayo ndio nilikua naongelea instead of kumbilia Allah unataka kumkimbilia doctor shule akupe uwez wahela 🤣🤣🤣 naona tanzania mulisha aanza kusahau mola mnakimbilia kwamaisha haya yadunia
      Maataa'lu dunia qalila tutakufa

    • @nuruabraham3769
      @nuruabraham3769 5 місяців тому

      matatizo yako mshirikishe Mungu yaani unaona kabisa yeye anaendeshwa na pepo wachafu na wewe unataka kumfuata loo!

  • @hassnasuleiman6923
    @hassnasuleiman6923 5 місяців тому +3

    Ni kweli kabisa Dr Sule

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 5 місяців тому +11

    Nyie naye mnamaswali ya ajabu Pete urembo tu haya muulize na Dr Sule hizo alizovaa vidole tofauti mkono kulia na kushoto atupe maana

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 5 місяців тому +7

    Mapepo wana watii kwa kuambiwa toka kwa mtu wakamtoka, sio wanashirikiana na binadamu😅😅😅😅

    • @igurusitv6553
      @igurusitv6553 5 місяців тому +1

      Anawapotosha sana waislamu, huyu ni mshirikina tu. Uislamu na majini ni ndugu

    • @Chrishenryson-beats
      @Chrishenryson-beats 5 місяців тому

      @@igurusitv6553😂😂 Waislam wengi ni wachawi sana

  • @NYAHURURU_ICON
    @NYAHURURU_ICON 5 місяців тому +5

    Swali la kikubafuuu Alikiba atakujibu kamuulize yeye😂😂😂

  • @FawziaFawzia44
    @FawziaFawzia44 5 місяців тому

    Kama hamwelew kaen kimya mnabwabwaja tu Allah akulinde dockta sule akupe maisha marefu

  • @RajabuMalebo
    @RajabuMalebo 5 місяців тому +5

    Ivi nyie mnao toa hizi comment huwa mnaelimu kweli yamambo hivi amjui sulle nikichwa hatari msizani sule huzungumza kwautashi bali maandiko

  • @OscarFrancis-mx7iy
    @OscarFrancis-mx7iy 4 місяці тому

    Hahahahahaha kweli shetani ni mjanja ili kuwateka watu anatumia maandiko...Aya bana mm yangu macho ila iko siku mtaumbuka azarani..Mkisikia watu wangu mnaangamia kwa kukosa maarifa ndio hayaaaa

  • @hassanmzungu
    @hassanmzungu 5 місяців тому

    MashaAllah Dr Sule InshaAllah Mungu akakuajalia umri mrefu ili utupe mafundisha yanayo ambatana na vitabu vyetu vya dini

  • @JamesJastin-bg1rx
    @JamesJastin-bg1rx 5 місяців тому +7

    Sulle, mungu anakuona ujue 😢😢😢😢😢😢😢

    • @magicindustrytv6743
      @magicindustrytv6743 5 місяців тому

      ua-cam.com/video/HuvWLBctbRY/v-deo.html

    • @IsackSakweli
      @IsackSakweli 5 місяців тому +1

      😂😂😂😂

    • @yesunialamayakiama.9013
      @yesunialamayakiama.9013 5 місяців тому

      😂😂😂😂 eti wanafunzi wa Yesu walikaa na mapepo wakawafundisha neno la Mungu.
      Kisha Yesu anamwambia Petro rudi nyuma yangu shetani. 😂
      Kwahiyi jini ni shetani. Suratul Jinn 72:1-4 Waislamu wanashirikiana na majini(Mashetani) 😂
      Na watu wanamshangilia kwamba huyu ni Dr. 😂

  • @walterowino-x8p
    @walterowino-x8p 5 місяців тому

    Waswahili na mambo ya majini wameipenda sana.

  • @rahamkibinda6137
    @rahamkibinda6137 3 місяці тому

    Kiukweli connection hzo zipo lakini ni ngumu sana mm babaangu aliwahi kunifundisha lakn mashart yake ni magumu sana ili upate utajr ila ukitaka za kuwatoa watu makafara hzo ni nyepesi na ndo haram

  • @josephkapinga652
    @josephkapinga652 5 місяців тому +2

    Pyramids ni nyumba za kuzikia wafalme. Mafarao wote walikuwa wanajenga. Kuna sehemu ya kuzikia wafalme, sehemu ya kutunza vito vya thamani, na sehemu ya kuhifafhi vyakula kwani wamisiri waliamini kuna maisha baada ya kufa, hivyo waiwawekea akiba za maisha yajayo ya viongozi wao.

  • @KiangoKipingu-f2y
    @KiangoKipingu-f2y 5 місяців тому +1

    Shindwa katika jina la Yesu

  • @johnpetro378
    @johnpetro378 5 місяців тому

    Bro kasome bibilia utafute watumishi wa mungu wakuelimishe

  • @zimbazimba1000
    @zimbazimba1000 5 місяців тому

    Hayo maswali na muulizaji wote wanachekesha sana. Yaani so silly. Dr Sulle mstaarabu sana lakini Lazima hata yeye anamshangaa sana huyo interviewer. 🙈🙈🙈🙈

  • @AshiraKaniki
    @AshiraKaniki 5 місяців тому

    Jamn shekhe uwe unaongelea mambo ya mungu tu usi ufany uislm kuonekan kam haielewk shekh watu wana kuangalia km shekh

  • @asiyajuma3135
    @asiyajuma3135 5 місяців тому

    MashaAlla shekhe sule una weza Allah akulinde wallah 🙏

  • @esterkapufi7753
    @esterkapufi7753 5 місяців тому

    Anatafuta Kiki Tu hii Dunia tuwe makini sana mungu achanganywi ivo

  • @rashidkatoti5781
    @rashidkatoti5781 5 місяців тому +1

    Alaf kumuuliza Dr Sule juu ya Pete ya Ali kiba huo nao si ni kutaka kuwafitinisha !
    uzuri kakujibu kihekima sana

  • @LichimbaAlly
    @LichimbaAlly 5 місяців тому

    Kuwamakini shekh Dunia hii

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 5 місяців тому

    Masheikh Ubwabwa

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 5 місяців тому +5

    😅😅😅biblia huijui ni bahari kubwa, kwanza umetafsiri vibaya

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 5 місяців тому

    Majini yote wanaoshirikiana na binaadamu basi ni mbaya.
    Hakuna ushahidi huo binaadamu ashirikine n majini, ila nabii Suleiman pekee ndio aliopewa mamlaka hayo, aliomba dua kwa Allah apate uwezo huo.

  • @SaidWasaki-iq3qd
    @SaidWasaki-iq3qd 5 місяців тому +6

    Njaa kweli mbaya zamani huyu Shekh alikua yupo vizuri sana ila sasa Kawa Shekh wa kutafuta kiki na umaarufu tu inasikitisha Shekh kama huyu kumzania mtu ubaya huko ni kumkosea Allah.

    • @yassinisalumu4894
      @yassinisalumu4894 5 місяців тому +1

      Kibaya kipi hasa alichokiongea?

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 5 місяців тому

      Anatafuta kiki how?

    • @jafarinauma6798
      @jafarinauma6798 5 місяців тому +1

      Kichaa wewe alafu ni muislamu Dr anatoa elimu unataka watoe wakina nani makafiri tu

  • @athumanially906
    @athumanially906 5 місяців тому +2

    Doctor shulee,ulianza vizuriii,lakni Kwa xx unazeeka vibayaaaa,, nilikua nakuelewa xana lakn xxhiv umeingia njaaaa,unaitumia dini vibayaaa,umeacha kufanya jukum la msing la kuhamasisha waislam tufanye ibadaa,unaitumia mitandaon kutafta kiki !!!! Kwa heshima Yako uloitengeneza kwenye din Kwa nch hii haya mambo ungeachana nayooo, yanakushushia heshimaa,Kuna watoto yatma wanateseka huko mtaani ,viongozi wa din pazen saut achaneni na kikii

    • @aryjunkitara1658
      @aryjunkitara1658 5 місяців тому

      tatizo unasahau kwamba wewe hujawahi kumpa chakula wala humsaidii chochote Dr sule pengine usinge mjua ungemlaumu muache mtu afanye kazi yake nawewe jaribu kufanya yanayo kuhusu basi....

    • @hemedmbondejr
      @hemedmbondejr 5 місяців тому

      Wwe umeshawahi kumlisha yatima?? Huna ellimu yeyote kuhusu dini na inavyo onesha hata msikitini hauwendi soma kwanza kisha uje kukosoa watu kwa hoja na ushahidi

    • @abdulkizeli9960
      @abdulkizeli9960 5 місяців тому

      Kulisha mayatima kila mmoja anaweza tu ila kuwa na itikadi sahhi aliyofundisha mtume Muhammad ndo kipengere

  • @SaideCrobidoSaide-jb2px
    @SaideCrobidoSaide-jb2px 4 місяці тому

    Dr, mm niko Mozambique VP napata mawasiliano yako ili kwa maongezi zaidi, kwamaana kunamengi nahitaji kwako

  • @SalumManondo
    @SalumManondo 5 місяців тому +2

    Umemsahau.bakresa.mtoaji.sana.kwa.masikini

    • @yassinisalumu4894
      @yassinisalumu4894 5 місяців тому

      Jitahdi sana kumuelewa mtu kabla hujatamka maneno kwenye kinywa chako

  • @mim9607
    @mim9607 5 місяців тому

    HUYU ANAPELEKEA WATU KWA USHIRIKINA.ALLAH AMUONGOZE YARABB

  • @ginazngo4317
    @ginazngo4317 5 місяців тому

    Mashaalla

  • @JamesJastin-bg1rx
    @JamesJastin-bg1rx 5 місяців тому

    Mtihani kweli 😢😢😢

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa1971 5 місяців тому +2

    Kwani ye hajavaa Pete hapo, Pete avae kiba maswali umuulize mwingine😢

  • @HamidaOmar-ub4kb
    @HamidaOmar-ub4kb 5 місяців тому

    Kwakiba bado sijaona chajabu ❤❤❤

  • @josphinenduta2011
    @josphinenduta2011 5 місяців тому +1

    Muulize kuhusu pete alizozivaa mwenyewe.

  • @RajabuMalebo
    @RajabuMalebo 5 місяців тому +3

    Sulle tupe elimu hawa wapingaji watoto wajuzi achana nao ss tulio anza kukujua toka enzi zamihazala ndio tunao jua fahida yako

  • @EmmyLyimo-y7b
    @EmmyLyimo-y7b 5 місяців тому

    We mzee unajifanya unajua sana

  • @JELSONMAUKI
    @JELSONMAUKI 5 місяців тому +2

    Aisee nimesikiliza hadi nimecheka 😂😂😂😂. Bible haitatafsiriwi hvo jamani hadi natokwa na machozi 😭😭😭😪😪😪😪. Aisee uku kwenye bible hangepaacha tubaki na mambo ya Pete walai 😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 5 місяців тому

      Kwa roho mtakatifu...unapigwa tumia akili.

  • @adamkassim-ts2ds
    @adamkassim-ts2ds 5 місяців тому +1

    0:27 yah na atoe ushahid katika Quran

  • @Shufs-Da-Lion666
    @Shufs-Da-Lion666 5 місяців тому

    HAKUNA USHIRIKINA HAPO KUVA PETE NI SUNNAH YA MTUME MOHAMMED (S.W)NA ALIKUWA AKIVA AQEEK YEMEN KATIKA MKONO WAKE WAKULIA KIDOLE CHA PETE NA KILA KITU AMBACHO ALICHO KIFANYA MTUME WETU NI DAWA NA KINA MAANA..

  • @johnkisubi8974
    @johnkisubi8974 5 місяців тому

    Kiekiekie kiekiekie kiekiekie kiekiekie nacheka sana ,waislam muko na shida kweli muokoke uyu bwana ni mwongo sana jini ni pepo chafu tu,akuna jini wa mzuri
    Pepo walitii kwaku kimbiya jina la yesu kristo Waka toka watu mwilini

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 5 місяців тому

    Majini aina hao ni mashetani ambao wanataka kuwaposha binaadam huwa wanawaingia ktk maisha y binaadamu.
    Lkn ruhisa ya ushirikiano hakuna usitudanganye, hiyo aya ulioitoa hijaifahamu, usitafsiri Qur'an kwa akili yako .
    Siku soye ukitumia akili yako ktk dini unakosea.
    Allah atuongoze.
    Tusiziendekeze nasfi zetu na tamaa y dunia,
    Dinia n masisha ya mpito tu.

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 5 місяців тому

    Inamaana Ustadh suley hajui Kwamba kutegemea kiumbe tofaut na mwenyeziMungu nishirki?

  • @mustaphahassan589
    @mustaphahassan589 5 місяців тому +3

    Hamna sheikh hapa huyu ni mpiga ramli

  • @KelvinAlex-x2i
    @KelvinAlex-x2i 5 місяців тому +1

    Duh uyu mzee muongo😊😅

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 5 місяців тому

    Quran 72-1 inakataa aviendani na alicho kisema suley mambo mawili tofauti kabisa

    • @zidiherimfinanga1344
      @zidiherimfinanga1344 5 місяців тому

      Sahihi

    • @zidiherimfinanga1344
      @zidiherimfinanga1344 5 місяців тому

      72:1 - Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu!
      Hiyo ndo 72:1 iyo anasema ni ipi tusomeni jamni 😢😢

  • @yesunialamayakiama.9013
    @yesunialamayakiama.9013 5 місяців тому

    😂😂😂😂 Wanafunzi wa Yesu walikaa na mapepo wakawafundisha neno la Mungu😂

  • @Binfaraday
    @Binfaraday 5 місяців тому +1

    Kwa mbali kama Dr sule kakata panki au macho yangu tu

  • @ludeelectronics
    @ludeelectronics 5 місяців тому

    Huyu jamaa anapenda kiki sana huyu

  • @upendomtui6544
    @upendomtui6544 5 місяців тому +1

    Yani we ulivyosikia mapepo wanatutii ukadhani ni wanatii mafundisho? Hapana ni wakiambiwa mtoke mtu huyu wanatii na kuwatoka

  • @oyay2821
    @oyay2821 5 місяців тому

    Yeye mwenyewe huyu Sule ana pete, muulize ni za kuwasiliana na nani?😊

  • @philoteuslwena3082
    @philoteuslwena3082 5 місяців тому

    Bongo naomba namba yako

  • @JimmyKazungu-oj5bs
    @JimmyKazungu-oj5bs 5 місяців тому

    Dk sule naomba nipate namba niongee niongee nipate nsada kwako

  • @CheniShauri
    @CheniShauri 5 місяців тому

    Jamani tu siamini anacho kisema huyu mtu hakika iyo ni shirki tupu tuacheni kumfuata kabisa maneno yake ni tapeli alie jificha kwenye dini

  • @EricManirakiza-g6d
    @EricManirakiza-g6d 5 місяців тому

    Dr sule namukubali

  • @ZATIUNISaidi
    @ZATIUNISaidi 5 місяців тому

    Yeye kama shehe angefuatilia maswala ya dini tu،si Leo msanii huyu kesho huyu kabaa nini mara huyu ni mtu wa motoni mara huyu ni pesa zake ,ni haramu mara huyu amevaa ,pete ,sio vizuri kuwasema watu ,mwenyewe anavaa pete na staili anayo nyoa ,si ya heshima na Hakuna mwenye kujuwa mtu wa motoni,na mbiguni ,au peponi Hakuna ajuaye hayo ,tumwachie yeye mungu ,

  • @tinaminja5500
    @tinaminja5500 5 місяців тому

    Shindwa kwa jina la yesu

    • @sidikassim6759
      @sidikassim6759 5 місяців тому

      tangu mlipo SEMA shindwa ktka jina la yesu mwaka wa ngapi huu au miaka mingpi saiv mbna mtu ashindwi

    • @sidikassim6759
      @sidikassim6759 5 місяців тому

      Nyie wandshi wa sasaivi bwana ssa maswali gn unauliza hyo tatzo Lenu nyie wandshi wa ssa wakuchkuana sna mtani yni kuhoji hmjui

  • @CheniShauri
    @CheniShauri 5 місяців тому

    Huyu nime amini kua ni tapeli na mushriki ni mtu ambaye anae nifanyia mzaha dini ya Ahlwa hakika kila kitu ni qadar na sio jiní ukimuona mtu mwenye kuitakidi kitu kama hichi basi ujue nikatiya walio muasi Ahlwa hafai huyu mtu ata tupoteza sana tusipo jiangalia waislamu.

  • @hajihaji123-lp5lx
    @hajihaji123-lp5lx 5 місяців тому +27

    ushauri wangu kwa ndugu anayemuhoji sule basi amwambie akitoa ushahidi wa qur'an basi azisome aya kama zilivyoshuka(kwa kiarabu)kisha atafsiri akinukuu kwa kiswahili anapotosha,akitaja maandiko ya qur'an anapotosha

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 5 місяців тому +3

      Hawezi kusoma kiarabu huyu nae niwalewale wapigaji

    • @abdallahkaskas6168
      @abdallahkaskas6168 5 місяців тому +11

      Mie Binafsi sijaona anachopotosha wapi, we sema tu Elimu yako ndogo Sule anakuvuruga bc ..

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 5 місяців тому

      @@abdallahkaskas6168 wenae mtu wa budaa

    • @hajihaji123-lp5lx
      @hajihaji123-lp5lx 5 місяців тому

      @@abdallahkaskas6168 ungekua unajua qur'an usingesema hivi

    • @SuleKiba
      @SuleKiba 5 місяців тому +3

      😂apo umemwambia

  • @OG_The_King
    @OG_The_King 5 місяців тому +4

    Me sina hilo jini tena ushindwe kwa Jina Yesu

    • @SuleimanDastan-ro2zy
      @SuleimanDastan-ro2zy 5 місяців тому

      Bado hujasema we jini unae Kama hautaki minyama 😅😅😅😅

    • @HoseaNguge
      @HoseaNguge 5 місяців тому

      Anazungumzia malaika,
      Yaani kuna malaika wema na wale malaika walioasi yaan malaika wabaya ambao wanatumika na shetani wanaoitwa majini, ila hakunaga malaika wa mungu anaeitwa jini mwema ila wanaitwa malaika wema

    • @Famao-dg3ul
      @Famao-dg3ul 5 місяців тому

      ​​@@HoseaNgugemalaika ni malaika na jini jini na malaika awamuasi Mungu ila majini wanamuasi Mungu na malaika wameumbwa kutokana na nuru na majini wameumbwa kutokana na moto usichanganye

    • @JELSONMAUKI
      @JELSONMAUKI 5 місяців тому

      Aisee nimesikiliza hadi nimecheka 😂😂😂😂. Bible haitatafsiriwi hvo jamani hadi natokwa na machozi 😭😭😭😪😪😪😪. Aisee uku kwenye bible hangepaacha tubaki na mambo ya Pete walai 😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪

  • @WilliamJohn-c4y
    @WilliamJohn-c4y 5 місяців тому

    Nayeye izo pete vipi atwambie kapewa na jini gani🤣🤣🤣

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone 5 місяців тому

    Leo nimepata elimu juu ya bibadam na jini

  • @RehemaMwalami-d7t
    @RehemaMwalami-d7t 5 місяців тому

    Hakuna dini yamungu mungu wakweli walimjuwa wazee wetu zamani,ndiomana Dili zilikuja afrika nawalilazimiswa kuzipokea.

  • @AbdullyJonh
    @AbdullyJonh 5 місяців тому

    Utajuaje kama unajini na je utaipataje Pete kama hiyo aliyo vaa alikiba

  • @samuellubunga
    @samuellubunga 5 місяців тому

    Wanafunzi wa Yesu awakuwahubiria majini mbali wakati wanawafukuza walikua wanatii hacha kupotosha

  • @mwingiramotorcycle5938
    @mwingiramotorcycle5938 5 місяців тому

    shee leo kasahau miramid ni makaburi ya mafarao

  • @Delux698
    @Delux698 5 місяців тому +2

    Biblia ni msitu mnene, ukiimgia vibaya unapotea.......

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 5 місяців тому

      Kwa roho mtakatifu...unapigwa tumia akili

  • @frankpaulofrank9302
    @frankpaulofrank9302 5 місяців тому

    Mjin wapo kwa ma shehee

  • @salimuismaily693
    @salimuismaily693 5 місяців тому

    SHEIKH SULE YUPO SAHIHI MBONA HATA VITABU VIMEANDIKA WATU SIJUI KWANINI HAWASOMI.......REJEA HUU MSTARI KISHA TAFAKARI ........Isaya 45:3
    nami nitakupa hazina za gizani, na mali zilizofichwa za mahali pa siri, upate kujua ya kuwa mimi ni BWANA, nikuitaye kwa jina lako, naam, Mungu wa Israeli.

  • @revodeo8592
    @revodeo8592 5 місяців тому

    Unajiita Dr. lakini bado hukubali kuwa biblia ni mkusanyiko wa vitabu ,siwezi kukuamini kwa maneno ya mdomo ila aya ,hata uliyoyaongea kuhusu biblia ni uongo ,Yeloboamu alipigwa akafa kwa sababu alishirikiana na majini ,Mungu ametukataza kushirikiana na majini,.

  • @PaulLameck-o3s
    @PaulLameck-o3s 5 місяців тому

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa

  • @TeresiaNestori-xh9ch
    @TeresiaNestori-xh9ch 5 місяців тому +1

    Aah uyu nimuongo Bibilia gan anayoiongelea ushetani tu umemjaa

    • @JELSONMAUKI
      @JELSONMAUKI 5 місяців тому +1

      Aisee nimesikiliza hadi nimecheka 😂😂😂😂. Bible haitatafsiriwi hvo jamani hadi natokwa na machozi 😭😭😭😪😪😪😪. Aisee uku kwenye bible hangepaacha tubaki na mambo ya Pete walai 😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪

  • @saida5091
    @saida5091 5 місяців тому

    Dr Sule kwa nini unadanganya sana.

  • @ananiadamian4597
    @ananiadamian4597 5 місяців тому +10

    Hakunaga jini mzur shetani haja wahi kuwa mzur ,Ita kusaidia nn hata ungepewa Dunia nzima iwe Mali Yako alafu nafs Yako ika ishia kuzimu

    • @iddydawood2020
      @iddydawood2020 5 місяців тому

      Jini ni nini na shetani ni nini. Jibu kwa dalili ya vitabu biblia na quran

    • @hamzaswaibu9470
      @hamzaswaibu9470 5 місяців тому

      Tafuta Elimu husiwe mjinga

    • @Daudisalim71
      @Daudisalim71 5 місяців тому

      Soma Bibilia yako vizuri

    • @HajratHajrat0501
      @HajratHajrat0501 5 місяців тому

      ​@@hamzaswaibu9470watu wengi wanashindwa kubaini tofauti kati ya Jini na shetani😂😂😂😂😂basi full mvurugano

    • @yolamally8338
      @yolamally8338 5 місяців тому

      Hauko na elimu ya majini

  • @spartachize122
    @spartachize122 5 місяців тому +1

    Kuna mahali nilimuona na bodyguards tena kwa mhadhara sikuelewa kabisa

  • @usrahismail3196
    @usrahismail3196 5 місяців тому

    Pete aina hii ni shirk

  • @AyoubKhatib-p4k
    @AyoubKhatib-p4k 5 місяців тому +1

    Ukisoma sanaaa kama hujawa makini utakuwa mchawi au mshirikina bila kujijuwa muwe makini wasomi

    • @hajihaji123-lp5lx
      @hajihaji123-lp5lx 5 місяців тому +1

      huyu sule si msomi,hili unaweza lifahamu kidogo tuu ukimsikiliza hata kama hukusoma sana

  • @RajabuMbago-sw1jo
    @RajabuMbago-sw1jo 4 місяці тому

    Sheikh Sasa anatuboa na cjui amekwama wapi baada ya kumtangaza Allah anatangaza pete

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone 5 місяців тому

    Madini mdo madini iyoo elimibnaijua baba uko sahihi

  • @DismasGeraldi-i2s
    @DismasGeraldi-i2s 5 місяців тому

    Nayeye hizo pete Alizo vaa mbona amumuhoji😳🙆

    • @zuwenasalim2794
      @zuwenasalim2794 5 місяців тому

      Umeona eeeee na mm nimehoji waandish cjui wakoje

    • @hassanWanjiku
      @hassanWanjiku 5 місяців тому

      Mi swali hilo ninalo ajibu kwa mujibu wa vitu viwili Quran na Sunnah,,,,,,n si hoja z kichwa apana ,,,,,,then akifikiwa n hili nmuulize rasulullahi salallahu alayhi wasalam alivaa na kama alivaa makusudio yake ilikua Nini akitupa majibu naweza kaa chini nimskize akiongea la sivyo stori za Jana awache

  • @froliansamson1646
    @froliansamson1646 5 місяців тому +1

    Hilo liongo linatafuta pa kula😂😂

  • @JimmyKazungu-oj5bs
    @JimmyKazungu-oj5bs 5 місяців тому

    NBA namba Namba yako

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 5 місяців тому

    Watoa Komenti Wanachekesha Sana Yani Habari Iko Mtandaoni Eti Wanasema Muulize Izo Pete Zake Alizonazo Sule Vipi Sasa Amuulize Nini Na Mahojiano Yameisha Tayari Na Kuwekwa Kwa Mtandao

  • @IssaMwamba-kk4ls
    @IssaMwamba-kk4ls 5 місяців тому

    Hapo tulekuelew sn.ila kwa Alikiba ukaongea ukweli hukutaka kumzushia uwongo

    • @princekarani7836
      @princekarani7836 5 місяців тому

      Ni kweli ila hajataka kwenda deep,sasa muhandishi naye angelimuuliza kuhusu uyo shekhe Sulle izo pete alizovaa pia zinamaana gani,ingelikuwa vizuri pia

  • @SharonAron-t1j
    @SharonAron-t1j 5 місяців тому

    Mmh! Huyu ndio mana analaani watu hovyo Suleman alijenga hekalu miaka mia ngapi baada ya Kristo?!!!?!!

  • @HabibuUrasa
    @HabibuUrasa 5 місяців тому

    Huu ni msiba utajiri anatoa Mungu pekee ALLAH anasema yy anamruzuku amtakaye bila hisabu ukitafuta utajiri wa masharti ukifa motoni. pia haifai kutumia majini kwa lolote ,siku ya kiama ALLAH atawauliza malaika eti nyiye mliwambia wanaadamu wakuabuduni?jibu la malaika ,watasema ww ndiye Mungu wetu na mpedwa wetu sio hawa wanaadamu ,hawa wanaadamu walikuwa wakiabudu majini na kuyaamini hiyo aya hajaiona kwenye Qur'an. hili ni onyo kwa wanaowafuga majini na kuamini wanayokuamuru ukifa kwa hali hiyo ni motoni

    • @salimuismaily693
      @salimuismaily693 5 місяців тому

      HATA MTOTO ANATOA MUNGU ILA LAZIMA BINADAMU AHUSIKE KUBEBA MIMBA TAFAKARINI WAISLAM TATIZO ELIMU KIDOGO

  • @joshuayengu3624
    @joshuayengu3624 5 місяців тому

    Kwahiyo shekhe unakubali kua jina la YESU linanguvu, lakini hukubali kua YESU ni MUNGU. kivipi mapepo yamuogope nawakati mtume kabla ya kifo aliingiwa na pepo

    • @MohamedYassini-rf5yo
      @MohamedYassini-rf5yo 5 місяців тому

      Aya gan hiyo inasema hivyo ndugu yetu mbona umekurupuka 😅

    • @stevenmwenda3005
      @stevenmwenda3005 5 місяців тому

      Yesu atakuwaje mungu ndugu wapi yesu alisema yeye ni Mungu embu tupe ushahidi wa kimandiko kasome john 14 28 yesu anasema Mungu ni mkuu kuliko yeye pia kasome john 1 48 yesu anajiita nani embu hivi vitabu vya kuletewa na watu kutoka mbali ni lazma tuvisome tuvichunguze sio kuvibeba kwa nguvu na kuamini tu pasipo kuvifanyia utafiti ndo haya mabishano yasiyoisha umekuta wazazi wanamini basi nasi tunabeba na kuwa wafuasi na hatutaki kusoma na kujua ukweli

    • @stevenmwenda3005
      @stevenmwenda3005 5 місяців тому

      Pia hata hivyo vitabu sawa yesu kufanya miujiza na jina kuwa na nguvu sio kwa uwezo wake mwenyewe ni kwauwezo wa Mungu ndomana kuna mahali yesu anasema siyafanyi haya ila kama ninavyo amriwa kutoka juu ndivyo nifanyavyo wala siyasemi haya ila kama ninvyoambiwa ndivyo nenanavyo sijui kama haya maandiko unayaelewa ni lazma kuelewa the context ya kinachoelezwa

    • @stevenmwenda3005
      @stevenmwenda3005 5 місяців тому

      Yesu alilia heloi heloi lamathabatani Mungu wangu Mungu wangu mbona umeniacha sasa haya yesu kama ni mungu alimlilia Mungu gani bro embu tusome maandiko ya kuyafanyia kazi tuyaelewe sio maandiko ya kuletewa tunatavalia pembe kubwa kali na hatujaandika sisi bro ndo utaona watu wanamza kumdharau dr sule kumbe ni watu tumeweke chuki mbele kuliko kusoma na kupenda kufanya tafiti

    • @stevenmwenda3005
      @stevenmwenda3005 5 місяців тому

      Huyu sule unayemsema vibaya amefanya mengi kuliko wewe na mimi ametumia vitabu kutoa elimu na mihadhara na debates mbali mbali nchi nyingi walao ameeacha nembo wewe n mimi sasa hatuwezi kuka na watu 20 tukaweka mdahalo tunajiona wajanja kujibu kwa kameseji kamoja kwenye comment shida sana

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 5 місяців тому

    Sikiliza, pumba acha, mchele chukua.

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 5 місяців тому

    Ndio Mana Yesu Aliomba Chakula Kutoka Mbinguni Lakini Samaki Wako Duniani

  • @ginazngo4317
    @ginazngo4317 5 місяців тому

    Sisi mwaka wangapi tuko oman wanaume wengi wanataka mtelezo

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 5 місяців тому

    Muulizeni yeye anavaa Pete kwenye kidole cha shahsda

  • @hajihaji123-lp5lx
    @hajihaji123-lp5lx 5 місяців тому

    tunaomba namba za Sule

  • @ananiadamian4597
    @ananiadamian4597 5 місяців тому

    Hakuna Maisha mazur nje ya Yesu,Viongoz wa dini ndio wanao Jua Mungu wanae mtumikia waumini wengi ni wajinga, Viongoz vipofu wanaongoza vipofu na wote wata ishia shimon.Msitishwe na mtu anaye sema Mungu shetani naye ni mungu

  • @josesombo186
    @josesombo186 5 місяців тому

    Hili jizee zuzu sana sura mbya

  • @TheBestPhone7918
    @TheBestPhone7918 5 місяців тому

    Matangazo ya App za mikopo zinakela jaman kama kuna mdau anajua namba ya fungu matangazo UA-cam anijuze 😊

  • @ludeelectronics
    @ludeelectronics 5 місяців тому

    Toka huko mm naish na jini. An mkristo niishi na shetani. Nie waisilam ndo mnaish na majin

  • @KefaMkv
    @KefaMkv 5 місяців тому

    Ni falao au farao
    Niambien mnao jua

    • @zuanshimchina2278
      @zuanshimchina2278 5 місяців тому

      Farao falao ni matamshi ya kibara kwenye L wanaweka R

  • @musiccaentertainment100k8
    @musiccaentertainment100k8 5 місяців тому +2

    Sasa huyu ndio daktari huko Tanzania 😂😂😂

    • @hajihaji123-lp5lx
      @hajihaji123-lp5lx 5 місяців тому

      ndio,huyo ni daktari wa nguvu za kiume na mambo yake mengine sasa ukimfanya ni sheikh utapotea,si mjuzi katika dini yetu zaidi anafuata akili zake na experience zake na si elimu

    • @Onlyforfun1992tube
      @Onlyforfun1992tube 5 місяців тому

      Njoo Tanzania wewe tuna vipaji una kosa Raha kwakweli sisi tuna watu bana

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 5 місяців тому

    Mpotoshaji mkubwa