Zitto Kabwe VS Waziri Lukuvi Bungeni

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лют 2025
  • Hii inatokea Bungeni Dodoma wakati wa kuhitimisha hoja katika Bajeti ya Wizara ya Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira iliyowasilishwa na Waziri wake January Makamba, zikaibuka hoja za Serikali kutokuwa na pesa za kutosha kujenga Mradi wa umeme wa mto Rufiji (Stiegler's Gorge) na majibizano yakatokea kati ya Waziri wa Ardhi Willium Lukuvi na Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe

КОМЕНТАРІ • 26

  • @kachasagynoma1756
    @kachasagynoma1756 6 років тому +3

    Zito kabwe mungu akujalie sana

  • @bahatigwivaha9696
    @bahatigwivaha9696 6 років тому +2

    Bunge linapendeza sana likiwa na hoja kutoka pande zote. Tusidhoofishe upinzani kama kweli tunaipenda Tanzania. Tushindane na kupingana kwa hoja, hoja yenye mashiko ndiyo ipite. Kwa pamoja tuijenge Tz. Tuache siasa za kujipendekeza, tuwe wakweli. Na wapinzani mnapoona chama tawala kimefanya vizuri wapongezeni siyo dhambi. Tufikiri na kuamua kwa makini siku zote.

  • @SamsonMadilu
    @SamsonMadilu Місяць тому

    Sio kwamba hawana hela Bali in wezi na mag is a different wa Mali zetu Tanzania
    😂

  • @geofreyngoloka2036
    @geofreyngoloka2036 5 років тому

    Ivi kuna watu zito bado mnamsikiliza

  • @salaammtafya8790
    @salaammtafya8790 6 років тому +1

    Wape minondo baba zito

  • @erasmusnzibonela5151
    @erasmusnzibonela5151 6 років тому +2

    Nasasaivi wanazuia michango ya Nssf lsichukuliwe nazani nisababu ya iro

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 6 років тому

    Zito wape makavu.

  • @jumangojole4009
    @jumangojole4009 6 років тому +1

    Ndio maana nssf mpaka ufike miaka 50

  • @mimiliism
    @mimiliism 6 років тому +2

    Zitto anaongea ukweli. nchi haina pesa ingekuwa nyo mafuta yangeshuka na sukari ingeshuka

  • @jamesdubara2438
    @jamesdubara2438 6 років тому +3

    Katiba ibadilike mawaziri watoke nje ya bunge mbona wapo sasa hawa mawaziri wa ccm ni bure kabisa

  • @haruninkelebe4599
    @haruninkelebe4599 6 років тому +2

    hawana pesa wasitudanganye hawa mafisadi

  • @humphreywilfred7631
    @humphreywilfred7631 6 років тому +2

    hawana hela hawaaaaaaa

  • @frankmailu943
    @frankmailu943 6 років тому +1

    Hawana hela wasituchanganye

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 6 років тому

    Sawa mh zitto

    • @ayubukanani8237
      @ayubukanani8237 6 років тому

      yani mbunge mmoja wa upinzani ni wabunge miamoja wa ccm yani sijawahi ona wabunge vilaza kama wachama chakavu

  • @hhmanyamba2871
    @hhmanyamba2871 6 років тому +1

    uyu zito kichwachake kibovu

    • @marcodominico9503
      @marcodominico9503 6 років тому

      hh manyamba
      Jina lako ukikosea kidogo tu kulitamka, ni shida.
      Achana na ZItto wewe, this guy is from another planet

  • @humphreywilfred7631
    @humphreywilfred7631 6 років тому +1

    hawana hela hawaaaaaaa