SIRI YA KUFUNGA NA KUOMBA SEHEMU YA I

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Kufunga na kuomba ni masomo mawili tofauti ambayo kila Mkristo anapaswa kujua. Hata hivyo masomo haya yamekuwa na changamoto ya kutoeleweka na watu wengi, hususan somo la kufunga. Ni muhimu kutambua kuwa hatufungi ili kumshawishi Mungu au kujionyesha mbele za Mungu au wanadamu. Bwana Yesu katika kitabu cha Matayo 6:16-18, anataadharisha kuwa unapofunga hata wanaokuzunguka wasijue kuwa umefunga, wakijua tu umekwisha haribu funga yako! Tunafunga sio kumshawishi Mungu au kujionyesha bali kwa ajilli ya sisi kuingia katika roho. Mwanadamu ana maisha ya aina mbili, ya kimwili na kiroho. Ili kuweza kuzama zaidi rohoni ni muhimu kufunga kulingana na Isaya 58:3-9 ambayo imeeleza kwa undani aina gani ya kufunga Mungu anapenda. Hakuna klima unaoweza kusimama kama tukifunga kulingana na maandiko na kumwomba Mungu

КОМЕНТАРІ • 15